Kutana na Elisalia Swai, Mfugaji wa samaki sato, jinsi anavyo endesha, mradi wake kisasa.
Ufugaji wa samaki umekuwa ukija kwa kasi, kutokana na mahitaji ya protini katika miili yetu na kufanya uhitaji wake sokoni kuwa mkubwa,na kufanya wazalishaji wa samaki kupata faida nzuri, kupitia miradi yao.
Пікірлер: 45
Napenda sana ufugaji wa samaki
Hongera ndugu yangu kwa kazi nzuri
The D.O.P Filmed this short documentary is really deal , . Great cinematography, really professional video, good depth field, great shots , good cutaways . Well done 👍
@digitalfarms9053
4 жыл бұрын
SofiproFXmedia Mak CEO we are so hapo to her from you, we real appreciate.
Ongea tu kiswahili dada. Melezo yako mazuri ila ukilazimisha kingereza unaharibu uhondo.
Hongera sana dada! Nami naanza safari hii msaada wako wahitajika
Ufugaji wa samaki unalipa na naupenda sana
Ungeuliza mtajai sh ngap
Great job
Binti wa kichaga uko vizuri sana,hongera sana
Hongera sana kwa kazi nzuri
Mmefanya kazi nzuri Sana. Endeleeni msiache.
kazi nzuri sana dada
Asante kwa ushauri
Nashukuru kwa ushauri
Good..
inapendeza na hongera sana,naomba namba za simu za huyo mfugaji au wataalam
Kianzio cha chini ni kiasi Gan
Hii ni fursa nzuri sana itakayo tuwezesha , kuwa chanzo kizuri cha kipato.
@geraldntalondo8048
5 жыл бұрын
asante Sana
vipi kuhusu mashine za kuchuja maji?
Vzr sana.....inapendeza
@digitalfarms9053
6 жыл бұрын
Asante sana
Great
@digitalfarms9053
6 жыл бұрын
Asante na endelea kuwa karibu na Digital farm
wooow inatia moyo kwa kweli
@digitalfarms9053
6 жыл бұрын
Asante sana, Karibu Digital farm
Kazi nzuri sana unatupatia. Napenda kupata number ya Justine uliyemwoji. Ambaye katengeneza sehemu ya kuangulia vifaranga vya kambale. Asante sana
@geraldntalondo8048
5 жыл бұрын
uko vizuri
Natamani sana kufuga samaki, tatizo sina eneo
Naomba kupata mawasiliano nae
Safi nimeipenda
@digitalfarms9053
6 жыл бұрын
Asante na endelea kuwa karibu na Digital farm
@emsotv6214
4 жыл бұрын
Naomba namba ya simu ya digital filarms tafadhali kupitia 0625386121. Ahsante!.
Saf
Tatizo lugha mseto.
Vichekesho
inapendeza,naomba namba za wataalam
@digitalfarms9053
5 жыл бұрын
Frank Jackson Asante sana, tutakupatia wasiliana nasi kwa 0752 255 685
@digitalfarms9053
5 жыл бұрын
Frank Jackson Asante sana, tutakupatia wasiliana nasi kwa 0752 255 685
Naomba msaada wa namna ya kuzifanyia usafi wa kubadirisha maji pale maji yanapokuwa yamechafuka au kukaa kwa muda mrefu. Naomba majibu kwa namba ya 0625386121 Mungu awabariki
Kuna taarifa nyingi haziko kamili...ameanza na mtaji kiasi gani..hicho Chakula anachanganya nini na nini na gharama zake...je soko likoje na wastani anauza kwa bei gani size gani na faida au hasara..so hii story ilikuwa vipandevipande tu.
@digitalfarms9053
3 жыл бұрын
Kwa maelezo zaidi unaweza wasiliana na Dada Elisalia Swai kwa namba +255 719 404 267.
)