KILIMO CHA HOHO, KINACHO ZINGATIA TECHNOLOJIA BORA ZA UZALISHAJI KWA MKULIMA.
Kutana na wakulima wa hoho, wanao zingatia technoloia bora za uzalishaji wa mazao shambani ambao, wamenufaika na mradi wa feed the future mboga na matunda Tanzania.
Kutana na wakulima wa hoho, wanao zingatia technoloia bora za uzalishaji wa mazao shambani ambao, wamenufaika na mradi wa feed the future mboga na matunda Tanzania.
Пікірлер: 30
Ahsante sana Kwa elimu nzuri
Sana
Kipindi kizuri naomba no ya huyo mzee au wana kikundi
Nimewaelewa sanaaaa... Tatizo ni soko,, tunaweza saidiwaje kwa upande wa kupata soko
Tunashukuru sana kwa elimu.
@digitalfarms9053
4 жыл бұрын
Tunashukuru sana kusikia kutoka kwako, na karibu sana @joseph wattay,
Very nice wamewaza kitu kizuri
Safi sana kipindi kimekuwa bora zaidi
@digitalfarms9053
4 жыл бұрын
Andrea Kidulile Asante na tutazidi kuboresha zaidi na zaidi.
Kazi nzuri Mdogo wangu, #TakeAction!
@digitalfarms9053
4 жыл бұрын
REUBEN RICHARD Asante sana. Kazi nzuri zitazidi kuja, Nashukuru kwa support yako.
@reubenrichard5961
4 жыл бұрын
Karibu Sana!
Nimekipenda kipindi aisee.. 1 of the best.
@digitalfarms9053
4 жыл бұрын
tija damvp00 Shukran sana, na endelea kuwa na Digital farms
Hongera egno...kazi nzuri huyu mzee nampata...mpe pongezi
@digitalfarms9053
4 жыл бұрын
Prakseda Melkior Asante sana, pongezi zitamfikia mzee wetu Mzee Fransic huyo.
Mawasiliano ya feed the future
Ndiyo ndiyo
@digitalfarms9053
4 жыл бұрын
seto tv Karibu sana watu wa nguvu seto tv
#Ndio ndio
@digitalfarms9053
4 жыл бұрын
mpelwa henry tupo pamoja kujakikisha tuna onyesha mambo muhimu ya wakulima nchini.
Nc idea
@digitalfarms9053
4 жыл бұрын
omari zubeda Asante sana na endelea kuwa nasi, kwa shughuli mbali mbali za kilimo
Kilimo ni lugha yetu #Vijana tusonge mbele
nimepata muamkao wa kilimo japokuwa mwenyewe napemda sana kilimo
Nice work boss
@digitalfarms9053
4 жыл бұрын
herman edward Shukran sana, tupo pamoja na endelea kuwa nasi.
mimi nipo dar es saalam tupo vijana watatu na tuna sehemu ndogo kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga ila naona bado hatujapata elimu ya kutosha kuhusu kilimo hiki je mtatusaidiaje tuweze kupata elimu hii na mwisho tuweze kufika malengo
Kama na mm ninakikundi nataka hudumu kama iyo ya drop irrigation nasaidiwaje ili kuwapata?
Isia zangu nikilimo