KILIMO CHA HOHO, KINACHO ZINGATIA TECHNOLOJIA BORA ZA UZALISHAJI KWA MKULIMA.

Kutana na wakulima wa hoho, wanao zingatia technoloia bora za uzalishaji wa mazao shambani ambao, wamenufaika na mradi wa feed the future mboga na matunda Tanzania.

Пікірлер: 30

  • @MariamJuma-pf5ky
    @MariamJuma-pf5ky8 ай бұрын

    Ahsante sana Kwa elimu nzuri

  • @jameslyatuu95
    @jameslyatuu954 жыл бұрын

    Sana

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o17 күн бұрын

    Kipindi kizuri naomba no ya huyo mzee au wana kikundi

  • @jescajoshua5133
    @jescajoshua51333 жыл бұрын

    Nimewaelewa sanaaaa... Tatizo ni soko,, tunaweza saidiwaje kwa upande wa kupata soko

  • @josephwattay4904
    @josephwattay49044 жыл бұрын

    Tunashukuru sana kwa elimu.

  • @digitalfarms9053

    @digitalfarms9053

    4 жыл бұрын

    Tunashukuru sana kusikia kutoka kwako, na karibu sana @joseph wattay,

  • @natoiwokizablon8467
    @natoiwokizablon84673 жыл бұрын

    Very nice wamewaza kitu kizuri

  • @chiefandrewkidulile3028
    @chiefandrewkidulile30284 жыл бұрын

    Safi sana kipindi kimekuwa bora zaidi

  • @digitalfarms9053

    @digitalfarms9053

    4 жыл бұрын

    Andrea Kidulile Asante na tutazidi kuboresha zaidi na zaidi.

  • @reubenrichard5961
    @reubenrichard59614 жыл бұрын

    Kazi nzuri Mdogo wangu, #TakeAction!

  • @digitalfarms9053

    @digitalfarms9053

    4 жыл бұрын

    REUBEN RICHARD Asante sana. Kazi nzuri zitazidi kuja, Nashukuru kwa support yako.

  • @reubenrichard5961

    @reubenrichard5961

    4 жыл бұрын

    Karibu Sana!

  • @tijadamvp0077
    @tijadamvp00774 жыл бұрын

    Nimekipenda kipindi aisee.. 1 of the best.

  • @digitalfarms9053

    @digitalfarms9053

    4 жыл бұрын

    tija damvp00 Shukran sana, na endelea kuwa na Digital farms

  • @praksedamelkior8581
    @praksedamelkior85814 жыл бұрын

    Hongera egno...kazi nzuri huyu mzee nampata...mpe pongezi

  • @digitalfarms9053

    @digitalfarms9053

    4 жыл бұрын

    Prakseda Melkior Asante sana, pongezi zitamfikia mzee wetu Mzee Fransic huyo.

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn68514 жыл бұрын

    Mawasiliano ya feed the future

  • @setotvtz
    @setotvtz4 жыл бұрын

    Ndiyo ndiyo

  • @digitalfarms9053

    @digitalfarms9053

    4 жыл бұрын

    seto tv Karibu sana watu wa nguvu seto tv

  • @mpelwahenry
    @mpelwahenry4 жыл бұрын

    #Ndio ndio

  • @digitalfarms9053

    @digitalfarms9053

    4 жыл бұрын

    mpelwa henry tupo pamoja kujakikisha tuna onyesha mambo muhimu ya wakulima nchini.

  • @omarizubeda977
    @omarizubeda9774 жыл бұрын

    Nc idea

  • @digitalfarms9053

    @digitalfarms9053

    4 жыл бұрын

    omari zubeda Asante sana na endelea kuwa nasi, kwa shughuli mbali mbali za kilimo

  • @AIG7187
    @AIG71873 жыл бұрын

    Kilimo ni lugha yetu #Vijana tusonge mbele

  • @alexandermtenga4213
    @alexandermtenga42134 жыл бұрын

    nimepata muamkao wa kilimo japokuwa mwenyewe napemda sana kilimo

  • @mrsmartfarm1313
    @mrsmartfarm13134 жыл бұрын

    Nice work boss

  • @digitalfarms9053

    @digitalfarms9053

    4 жыл бұрын

    herman edward Shukran sana, tupo pamoja na endelea kuwa nasi.

  • @alexandermtenga4213
    @alexandermtenga42134 жыл бұрын

    mimi nipo dar es saalam tupo vijana watatu na tuna sehemu ndogo kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga ila naona bado hatujapata elimu ya kutosha kuhusu kilimo hiki je mtatusaidiaje tuweze kupata elimu hii na mwisho tuweze kufika malengo

  • @luhembekilatu3651
    @luhembekilatu36514 жыл бұрын

    Kama na mm ninakikundi nataka hudumu kama iyo ya drop irrigation nasaidiwaje ili kuwapata?

  • @benardalex4491
    @benardalex44913 жыл бұрын

    Isia zangu nikilimo