Digitalfarm ni taasisi ambayo lengo lake kuu, ni kuhakikisha unapata taarifa ambazo ni sahihi kwa wakulima wote, nakuwa sauti ya wakulima, hili kufikia malengo ya kufanya kilimo ambacho ni endelevu, tija na chenye manufaa.
Kipindi kizuri naomba no ya huyo mzee au wana kikundi
@DidasTambaАй бұрын
Napenda sana ufugaji wa samaki
@DidasTambaАй бұрын
Hongera ndugu yangu kwa kazi nzuri
@MariamJuma-pf5ky8 ай бұрын
Ahsante sana Kwa elimu nzuri
@mikomangwageorge705511 ай бұрын
Hongera sana dada! Nami naanza safari hii msaada wako wahitajika
@moshezanzibar25 Жыл бұрын
Nakaribia kunua shamba lenye takribani heka tatu hapo Tanga naombeni ushauri hua mnazalisha kwa kumwagilia au kwa mwaka bidhaa zenu?
@ezraeric4601 Жыл бұрын
Saf
@mumaheza151 Жыл бұрын
Nakubali sana
@agneskachenga97712 жыл бұрын
)
@MISHIONARYSHUKURU2 жыл бұрын
Naomba namba yake yasim
@MISHIONARYSHUKURU2 жыл бұрын
Naomba namba yako
@mahembaelias17222 жыл бұрын
Great job
@jescajoshua51333 жыл бұрын
Nimewaelewa sanaaaa... Tatizo ni soko,, tunaweza saidiwaje kwa upande wa kupata soko
@phphacongo47153 жыл бұрын
Tunawezajee pata mbegu za mahind lishe
@kefamarandu11073 жыл бұрын
Tatizo ni soko la hayo mahindi hakuna nimelima heka kumi hapa nilikosa pa kupeleke
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Umelimia wap
@natoiwokizablon84673 жыл бұрын
Very nice wamewaza kitu kizuri
@gladnesskaguo3743 жыл бұрын
Binti wa kichaga uko vizuri sana,hongera sana
@andrew.gadimrinji17133 жыл бұрын
Kuna taarifa nyingi haziko kamili...ameanza na mtaji kiasi gani..hicho Chakula anachanganya nini na nini na gharama zake...je soko likoje na wastani anauza kwa bei gani size gani na faida au hasara..so hii story ilikuwa vipandevipande tu.
@digitalfarms90533 жыл бұрын
Kwa maelezo zaidi unaweza wasiliana na Dada Elisalia Swai kwa namba +255 719 404 267.
@nassercrewalkindi78993 жыл бұрын
Mbona hamkusema ni mbolea ipi mnatumia jina la mbolea pia, Mara ngapi mkulima atumie
@benardalex44913 жыл бұрын
Isia zangu nikilimo
@salimkabangira66323 жыл бұрын
Naomba kupata mawasiliano nae
@AIG71873 жыл бұрын
Kilimo chetu sehemu yetu #Vijana tusonge
@AIG71873 жыл бұрын
Kilimo ni lugha yetu #Vijana tusonge mbele
@jameslyatuu954 жыл бұрын
Sana
@sofiprofxmediamakceo62744 жыл бұрын
The D.O.P Filmed this short documentary is really deal , . Great cinematography, really professional video, good depth field, great shots , good cutaways . Well done 👍
@digitalfarms90534 жыл бұрын
SofiproFXmedia Mak CEO we are so hapo to her from you, we real appreciate.
@emsotv164 жыл бұрын
Naomba msaada wa namna ya kuzifanyia usafi wa kubadirisha maji pale maji yanapokuwa yamechafuka au kukaa kwa muda mrefu. Naomba majibu kwa namba ya 0625386121 Mungu awabariki
@alexandermtenga42134 жыл бұрын
mimi nipo dar es saalam tupo vijana watatu na tuna sehemu ndogo kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga ila naona bado hatujapata elimu ya kutosha kuhusu kilimo hiki je mtatusaidiaje tuweze kupata elimu hii na mwisho tuweze kufika malengo
@alexandermtenga42134 жыл бұрын
nimepata muamkao wa kilimo japokuwa mwenyewe napemda sana kilimo
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Mawasiliano ya feed the future
@thecklamichael83614 жыл бұрын
Natamani sana kufuga samaki, tatizo sina eneo
@luhembekilatu36514 жыл бұрын
Kama na mm ninakikundi nataka hudumu kama iyo ya drop irrigation nasaidiwaje ili kuwapata?
@lameckmathias11884 жыл бұрын
Asante kwa ushauri
@lameckmathias11884 жыл бұрын
Kianzio cha chini ni kiasi Gan
@opqsweetbert95984 жыл бұрын
Ungeuliza mtajai sh ngap
@dandaskijo22454 жыл бұрын
Good..
@chiefandrewkidulile30284 жыл бұрын
Safi sana kipindi kimekuwa bora zaidi
@digitalfarms90534 жыл бұрын
Andrea Kidulile Asante na tutazidi kuboresha zaidi na zaidi.
@tijadamvp00774 жыл бұрын
Nimekipenda kipindi aisee.. 1 of the best.
@digitalfarms90534 жыл бұрын
tija damvp00 Shukran sana, na endelea kuwa na Digital farms
omari zubeda Asante sana na endelea kuwa nasi, kwa shughuli mbali mbali za kilimo
@mrsmartfarm13134 жыл бұрын
Nice work boss
@digitalfarms90534 жыл бұрын
herman edward Shukran sana, tupo pamoja na endelea kuwa nasi.
@mpelwahenry4 жыл бұрын
#Ndio ndio
@digitalfarms90534 жыл бұрын
mpelwa henry tupo pamoja kujakikisha tuna onyesha mambo muhimu ya wakulima nchini.
@setotvtz4 жыл бұрын
Ndiyo ndiyo
@digitalfarms90534 жыл бұрын
seto tv Karibu sana watu wa nguvu seto tv
@reubenrichard59614 жыл бұрын
Kazi nzuri Mdogo wangu, #TakeAction!
@digitalfarms90534 жыл бұрын
REUBEN RICHARD Asante sana. Kazi nzuri zitazidi kuja, Nashukuru kwa support yako.
@reubenrichard59614 жыл бұрын
Karibu Sana!
@josephwattay49044 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa elimu.
@digitalfarms90534 жыл бұрын
Tunashukuru sana kusikia kutoka kwako, na karibu sana @joseph wattay,
@Moon-wf2ec4 жыл бұрын
Penda sana hiikz jmn
@mansoormtuzu91074 жыл бұрын
Vichekesho
@puregamers42154 жыл бұрын
Nashukuru kwa ushauri
@muhsinsalum23054 жыл бұрын
Lkn hamjtuambia hekari moja inaweza kutoa gunia ngapi
@digitalfarms90534 жыл бұрын
Muhsin Salum kwa ekari moja ni gunia 17 hadi 24, hutegemea sana na matunzo shambani.
@amonzachary39184 жыл бұрын
Wazee mnafanya kazi nzuri ila pia mnafel nyie kama wataalam wa kilimo mnaingia vp shamban na nguo za kwenye sherehe kwa nni msinge vaa protective gears ili muwe kwenye usalama zaid na pia kama wataalamu nyie mnavyovaa hvyo shamban mnainspire nni wakulima juu ya usalama wao,Ebu mda mwingine kuwen civilized do the right thing at the right time so kufaa michomekeo huku mko shamban
Пікірлер
Na mimi nipo morogoro naomba no ya huyo dada
Kipindi kizuri naomba no ya huyo mzee au wana kikundi
Napenda sana ufugaji wa samaki
Hongera ndugu yangu kwa kazi nzuri
Ahsante sana Kwa elimu nzuri
Hongera sana dada! Nami naanza safari hii msaada wako wahitajika
Nakaribia kunua shamba lenye takribani heka tatu hapo Tanga naombeni ushauri hua mnazalisha kwa kumwagilia au kwa mwaka bidhaa zenu?
Saf
Nakubali sana
)
Naomba namba yake yasim
Naomba namba yako
Great job
Nimewaelewa sanaaaa... Tatizo ni soko,, tunaweza saidiwaje kwa upande wa kupata soko
Tunawezajee pata mbegu za mahind lishe
Tatizo ni soko la hayo mahindi hakuna nimelima heka kumi hapa nilikosa pa kupeleke
Umelimia wap
Very nice wamewaza kitu kizuri
Binti wa kichaga uko vizuri sana,hongera sana
Kuna taarifa nyingi haziko kamili...ameanza na mtaji kiasi gani..hicho Chakula anachanganya nini na nini na gharama zake...je soko likoje na wastani anauza kwa bei gani size gani na faida au hasara..so hii story ilikuwa vipandevipande tu.
Kwa maelezo zaidi unaweza wasiliana na Dada Elisalia Swai kwa namba +255 719 404 267.
Mbona hamkusema ni mbolea ipi mnatumia jina la mbolea pia, Mara ngapi mkulima atumie
Isia zangu nikilimo
Naomba kupata mawasiliano nae
Kilimo chetu sehemu yetu #Vijana tusonge
Kilimo ni lugha yetu #Vijana tusonge mbele
Sana
The D.O.P Filmed this short documentary is really deal , . Great cinematography, really professional video, good depth field, great shots , good cutaways . Well done 👍
SofiproFXmedia Mak CEO we are so hapo to her from you, we real appreciate.
Naomba msaada wa namna ya kuzifanyia usafi wa kubadirisha maji pale maji yanapokuwa yamechafuka au kukaa kwa muda mrefu. Naomba majibu kwa namba ya 0625386121 Mungu awabariki
mimi nipo dar es saalam tupo vijana watatu na tuna sehemu ndogo kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga ila naona bado hatujapata elimu ya kutosha kuhusu kilimo hiki je mtatusaidiaje tuweze kupata elimu hii na mwisho tuweze kufika malengo
nimepata muamkao wa kilimo japokuwa mwenyewe napemda sana kilimo
Mawasiliano ya feed the future
Natamani sana kufuga samaki, tatizo sina eneo
Kama na mm ninakikundi nataka hudumu kama iyo ya drop irrigation nasaidiwaje ili kuwapata?
Asante kwa ushauri
Kianzio cha chini ni kiasi Gan
Ungeuliza mtajai sh ngap
Good..
Safi sana kipindi kimekuwa bora zaidi
Andrea Kidulile Asante na tutazidi kuboresha zaidi na zaidi.
Nimekipenda kipindi aisee.. 1 of the best.
tija damvp00 Shukran sana, na endelea kuwa na Digital farms
Hongera egno...kazi nzuri huyu mzee nampata...mpe pongezi
Prakseda Melkior Asante sana, pongezi zitamfikia mzee wetu Mzee Fransic huyo.
Nc idea
omari zubeda Asante sana na endelea kuwa nasi, kwa shughuli mbali mbali za kilimo
Nice work boss
herman edward Shukran sana, tupo pamoja na endelea kuwa nasi.
#Ndio ndio
mpelwa henry tupo pamoja kujakikisha tuna onyesha mambo muhimu ya wakulima nchini.
Ndiyo ndiyo
seto tv Karibu sana watu wa nguvu seto tv
Kazi nzuri Mdogo wangu, #TakeAction!
REUBEN RICHARD Asante sana. Kazi nzuri zitazidi kuja, Nashukuru kwa support yako.
Karibu Sana!
Tunashukuru sana kwa elimu.
Tunashukuru sana kusikia kutoka kwako, na karibu sana @joseph wattay,
Penda sana hiikz jmn
Vichekesho
Nashukuru kwa ushauri
Lkn hamjtuambia hekari moja inaweza kutoa gunia ngapi
Muhsin Salum kwa ekari moja ni gunia 17 hadi 24, hutegemea sana na matunzo shambani.
Wazee mnafanya kazi nzuri ila pia mnafel nyie kama wataalam wa kilimo mnaingia vp shamban na nguo za kwenye sherehe kwa nni msinge vaa protective gears ili muwe kwenye usalama zaid na pia kama wataalamu nyie mnavyovaa hvyo shamban mnainspire nni wakulima juu ya usalama wao,Ebu mda mwingine kuwen civilized do the right thing at the right time so kufaa michomekeo huku mko shamban
Amon Zachary Kabisa yaan!