Kutana na Zena Mndeme Mkurugenzi Bigfish akielezea ufugaji wa samaki wa Kisasa.
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Пікірлер: 22
mtangazaji unajua kuhoji na kutoa nafasi kwa mtu kukujibu bila kumkatisha... big up
Well done Big fish. Safi Sana, Mimi nimekula Hawa samaki wa Big fish ni wazuri mnoooo.
R. I. P. BLANDINA DAAAH
Mmesahau kuhusu hiyo technologia mpya ya waholanzi.
@zenamndeme7144
3 жыл бұрын
Tutaongelea technologia mpya kipindi kijacho.
Florence jibu swali bana hapo unatangaza bisshara ya darasa
Nataka nianze ufugaji huu wa samaki..naanzaje?
jaman kumbe huyu mtangazaji amefariki jaman 😭😭😭
Huyu dada anayliza maswali yafaida kabisa nimejifunza vingi
Je mnafundisha namna ya utotoleshaji samaki?
@zenamndeme7144
3 жыл бұрын
Ndio tunafundisha. Karibu shambani kwetu. Piga namba 0789520883 kwa maelekezo ya jinsi ya kufika.
huyu dada mtangazani anajua kuhoji vizur nimependa kusikiliza hiki kipindi maswal ni mazur
naomba kuuliza swali dada zena ukiwa na samaki mia 3000 unawapa chakula kiasi gani..
Sister weka namba zako tuje kujifunza
@zenamndeme7144
3 жыл бұрын
Namba zangu 0789520883 au 0758455284
Hamjatuonyesha hata kambale au sato mmoja? mabwawa yalivyo? hizo machine zinafanyaje kazi?
@zenamndeme7144
3 жыл бұрын
Tutawaonyesha kipindi kijacho. Asante sana kwa maoni yako.
@zenamndeme7144
3 жыл бұрын
Musa, karibu shambani kwetu, Kigamboni, Kibada, kituo cha Sabato.
@Musachopa
3 жыл бұрын
@@zenamndeme7144 Itakuwa jambo jema,asante kwa kujibu
@merinalucas3069
3 жыл бұрын
Naomba unisaidie namba yako Dada zena
@merinalucas3069
3 жыл бұрын
Nipo Dodoma