Kutana na Zena Mndeme Mkurugenzi Bigfish akielezea ufugaji wa samaki wa Kisasa.

Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg

Пікірлер: 22

  • @markleonardo8634
    @markleonardo86342 жыл бұрын

    mtangazaji unajua kuhoji na kutoa nafasi kwa mtu kukujibu bila kumkatisha... big up

  • @antymarche3031
    @antymarche30313 жыл бұрын

    Well done Big fish. Safi Sana, Mimi nimekula Hawa samaki wa Big fish ni wazuri mnoooo.

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv2553 жыл бұрын

    R. I. P. BLANDINA DAAAH

  • @humphreymzungu7695
    @humphreymzungu76953 жыл бұрын

    Mmesahau kuhusu hiyo technologia mpya ya waholanzi.

  • @zenamndeme7144

    @zenamndeme7144

    3 жыл бұрын

    Tutaongelea technologia mpya kipindi kijacho.

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv2553 жыл бұрын

    Florence jibu swali bana hapo unatangaza bisshara ya darasa

  • @alexjos7625
    @alexjos76253 жыл бұрын

    Nataka nianze ufugaji huu wa samaki..naanzaje?

  • @trendingworld7613
    @trendingworld7613 Жыл бұрын

    jaman kumbe huyu mtangazaji amefariki jaman 😭😭😭

  • @sammarley1413
    @sammarley14133 жыл бұрын

    Huyu dada anayliza maswali yafaida kabisa nimejifunza vingi

  • @sarahmwalufunda4227
    @sarahmwalufunda42273 жыл бұрын

    Je mnafundisha namna ya utotoleshaji samaki?

  • @zenamndeme7144

    @zenamndeme7144

    3 жыл бұрын

    Ndio tunafundisha. Karibu shambani kwetu. Piga namba 0789520883 kwa maelekezo ya jinsi ya kufika.

  • @trendingworld7613
    @trendingworld7613 Жыл бұрын

    huyu dada mtangazani anajua kuhoji vizur nimependa kusikiliza hiki kipindi maswal ni mazur

  • @olympiamushi3026
    @olympiamushi3026 Жыл бұрын

    naomba kuuliza swali dada zena ukiwa na samaki mia 3000 unawapa chakula kiasi gani..

  • @mzulunatal8062
    @mzulunatal80623 жыл бұрын

    Sister weka namba zako tuje kujifunza

  • @zenamndeme7144

    @zenamndeme7144

    3 жыл бұрын

    Namba zangu 0789520883 au 0758455284

  • @Musachopa
    @Musachopa3 жыл бұрын

    Hamjatuonyesha hata kambale au sato mmoja? mabwawa yalivyo? hizo machine zinafanyaje kazi?

  • @zenamndeme7144

    @zenamndeme7144

    3 жыл бұрын

    Tutawaonyesha kipindi kijacho. Asante sana kwa maoni yako.

  • @zenamndeme7144

    @zenamndeme7144

    3 жыл бұрын

    Musa, karibu shambani kwetu, Kigamboni, Kibada, kituo cha Sabato.

  • @Musachopa

    @Musachopa

    3 жыл бұрын

    @@zenamndeme7144 Itakuwa jambo jema,asante kwa kujibu

  • @merinalucas3069

    @merinalucas3069

    3 жыл бұрын

    Naomba unisaidie namba yako Dada zena

  • @merinalucas3069

    @merinalucas3069

    3 жыл бұрын

    Nipo Dodoma