Nimekupenda bule kipenz duuh hongera sana wewe ni mtu na Upeo mwing
@Frankgamanuel2 жыл бұрын
We Mzungu Wa kichaga ni mjanja sana maana umeajili watu sahii ktk shughuli zako.Ubarikiwe zaidi
@winniejustine20513 жыл бұрын
Duh ! Nimekupenda bureeee
@gracemima52342 жыл бұрын
Nimekupenda bure. You are my type of a friend. Hongera sana mama
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Mashallah Mwenyezi Mungu akuzidishie. Unaishi na ndoto zangu Madam Mzungu.
@magrethkimonge79232 жыл бұрын
Hongera sana Mzungu wa Kichaga,, naomba namba yako ya simu maana natamani kuja shambani kwako
@wilberforceasumwa52202 жыл бұрын
Really inspired by this story, am ajournalist too,who has ventured in poultry farming, two months old,started kuku wa mayai tatu, sasa hivi niko nao 45
@ludovicsaronganangawe27202 жыл бұрын
Hongera sana, umewahamasisha watazamaji kuwa wabunifu
@faboge2 жыл бұрын
the Swahili she speaks is enough to make you fall in love!
@smwansasu8605
2 жыл бұрын
Fred O. she is married oh!!!!!
@Da_Gee
2 жыл бұрын
@@smwansasu8605 the pure Tanzanian Swahili. Thats how we speak in Tanzania.
@marymathew65292 жыл бұрын
Hongera inaonesha hauruhusu fursa ikupite,hadi sunguraumeshafuga na bata pia, hongera sana tena sana.
@SilasshijaMangu4 ай бұрын
Kwa iyo hao n kienyej pure dada
@hilarymungure85903 жыл бұрын
Huyu dada anapenda kufuga kama mimi jmn
@fidesbenard2836
2 жыл бұрын
We acha tu Mimi mwenyewe napenda sana
@alfeokaguo16633 жыл бұрын
Hongera San mzungu wa kichaga kila ninapokusikiliza napata hamasa ya kufanya kazi na kujituma bila kusubilia ajira . Nakuubaaal San big up San
@peterwamwandawiro81263 жыл бұрын
God bless you more and more. Nitakuja tanzania kukutafuta siku moja. naitaji ujuzi wa kuku
@rosestigeneriksson83872 жыл бұрын
Mmachame mwenzangu👍🤗🤗🇸🇪🇸🇪🇸🇪
@rehemamfuru-kimu32462 жыл бұрын
I.love this. Nimempenda sana huyu mchaga mwenzangu
@mulhatramadhan94253 жыл бұрын
Kwa kweli nimekupenda sana mzungu wa kichaga, Allah akubarik kwa roho yko ya kipekee, nami nitajitahid inshaAllah.
@OsmanK6992 жыл бұрын
Waah!! Mzungu wa kichaga apendeza sana. Kiswahili is such a beautiful language.
@hellenmtei91492 жыл бұрын
Kuanzia Leo wewe ni role model wangu jaman! Sikuwah kufikiria Kama inawezekana hiv,am a journalist too, mwakan wa sita huu eti nasubir ajira,kumbe inawezekana!
@madamepilly68722 жыл бұрын
Hongera sana,nami natamani sana kazi hii,Ila sina pahali pa kufugia,mungu akusimamie
@gooddeeds162
Жыл бұрын
Kama upo tayari naweza kukusaidia eneo bure kwa mwaka mzima , Bure kabisa. Eneo lipo Bagamoyo Fukayose. Ningekukabidhi eka 1 utumie kwa mwaka mzima bure then baada ya hapo tuongee biasharA ya kulipia kila mwezi. Kama upo interested nambie. Asante
@stellakatega96173 жыл бұрын
Big up👏👏👏
@evachuwa38093 жыл бұрын
Ongera sana wajina na Mchaga mwenzangu mimi Niki Arusha natamani sana kufuga kibiashara hakika
@lauriankileo44332 жыл бұрын
Mzungu wa kichaga,hongera sana ninapatikana mbuyuni moshi.nipe mchapo.
@vitusdani40013 жыл бұрын
Hongera mzungu wa kichaga nimehamasika sana
@djdj3urj882 жыл бұрын
Wee dada hii ndoto yangu mungu aniwezeshe
@Frankgamanuel2 жыл бұрын
Ningependa kuja kujifunza kwako Mzungu Wa kichaga Mungu akubariki sana
@geraldntalondo61103 жыл бұрын
Nakuelewaga sana dadaangu.
@faidaothman5463 жыл бұрын
Nimeipenda storia yake mzungu wa kichaga ila mm nahitaji km anakitabu ambacho kinaonesh njia au jinsi alivyoanza na mpaka kufanikiwa ili na mm nipate kupita nyayo zake
@bensonlucas76073 жыл бұрын
Very Incaraging
@faisalikassim38372 жыл бұрын
Masha allah
@jumasabour58863 жыл бұрын
big up, that is successful stories ..Am so admired to hear again and again. In fact Wish to be like you madam. lkn kwa mfano unaanza na kuku kumi unahitaji kupata banda la kukubwa gani
@zainababas51392 жыл бұрын
Nàam nakupenda nitakutafuta mwenyezi mungu akupe afya njema
@arafakiloli7492 жыл бұрын
Masha Allah..napenda sana ufugaji huu.
@alanusrespicius17963 жыл бұрын
Mida ya jioni ndo mida ya kupandana 😂😂😂😂😂😂
@Frankgamanuel2 жыл бұрын
Ktk maisha unaweza kupita njia unayo tegemea kukufikisha ktk malengo au nia yako lakini ikawa tofauti ikakukatisha hata tamaa lakini hili ufike malengo lazima upite hizo njia cha msingi utakiwi kukata tamaa nikujiongeza na kusubutu. Ubarikiwe mzungu Wa kichaga
@neemamsisimsisi84402 жыл бұрын
Big up San dad we nimfano wa kuigwa
@Maryam-yt8lw2 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie
@naftarinyakimwe79513 жыл бұрын
Asante, endelea kutupatia ushauli kuhusu chanjo zinazopaswa kwavifaranga na Dawa sahihi za kifaranga
@sammycharomwalili67282 жыл бұрын
Nakupenda sana mkulima mwenzangu
@yaredymyenda58443 жыл бұрын
kwa kweli dada kileo umenipachangamoto sana kuhusu mradi huu unapatikana wapi nataka kujifunza
@ajay0528 Жыл бұрын
Imebidi niangalie upya she is amazing 🤩 sasa hawa ndio ma super woman 👩
@januaryyotham86523 жыл бұрын
Kuku wa kienyeji wako taratibusan mpaka miez 7 had 8 kutaga.hao ni chotara
@godfreymlanda51883 жыл бұрын
Vizuri sana nami natamani kuanza
@annasilayo14052 жыл бұрын
Mwanamke wangu washoka super model wangu.
@dismassmariki69852 жыл бұрын
Inatia moyo kukusikiliza, hongera sana dada, uko smart sana 🙏
@carolinemariki40292 жыл бұрын
Nilipofanya hesabu ya 10,000 X 2500 X 7 X 4 kidogo ningeandika barua ya resignation. Barikiwa sana dada Mwnyezi Mungu aendelee kukusimamia..
@innocentmushi45492 жыл бұрын
Kazi njema dadangu
@polycarppaschal9paschal4783 жыл бұрын
Nimeipenda sana
@saidsalum8503 жыл бұрын
Hongera Sana dada
@clintonnjiku36163 жыл бұрын
Dadaa naitajii vifarangaa beii gan
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Ninamaono hayo dada, lkn!
@jumahaji1083 жыл бұрын
Nice💞👍
@samsonthuo29962 жыл бұрын
kutoka kenya...nimeipenda hii sana.
@mussaramadhani58082 жыл бұрын
Nice dada wa siha kwetu 💪💪💪
@angelsawere1114
2 жыл бұрын
Wasiha tupo juuu
@kishm9883 жыл бұрын
Safiii dada
@ukweliunauma45703 жыл бұрын
Mimi nilikua mfugaji zamani lakini nilipata Green card kuja America lakini nimevutiwa sana na ufugaji wako Mungu akuongezee, Nikija Tz nitakutafuta namawazo ya kununua sehemu nifuge kuku wa kienyeji na tumai utafika maarifa iko siku ishallah. Ubarikiwe na kurespect sana huna stress hapo upeo na kuku wanatoa mawazo mabovu
@gilliardnkini2758
2 жыл бұрын
Hongera sana Makileo. Mungu abariki sana kazi za mikono yako. Uko vizuri sana. Kaa na ohoo Makileo.
@user-re3zl1uj2c Жыл бұрын
Safi sana, Mini naguga kijijini ngambo Ukraine, Yani nymbani tunanguvu kali sana kwenye kilimo na nyanda zote za kiuchumi, Nawangalia weupe ninaoishinao yani hawatuzidi chochote sisi hatudhubut tu kufanya mambo makubwa kama utengenezaji viwanda mama, Nauwezo tunao akili tunazo, Maisha ni yale yale huku kijijini nilipo ni kama vile vile Africa. Lkn ufugaji ni wa milioni iwe nafaka au wanyama, bata batamzinga kuku na bustani ndogondogo kifamilia ni kama za Africa. Africa inatakiwa iwe ya kwanza duniani kwa sababu tuna human labour nyingi na yenye nguvu. Shujaa huyu kwenye hii podcast anamalengo ya kuuza nje, Kitu kibaya ni kama atatafuta hatua hiyo kupitia serikali, Maoni yangu ni bora apitie wafanya biashara wakubwa walio na ujuzi wa masoko ya nje, Kinacho ntia hudhuni tunadharauliana sana lAfrica.
@manasadunia34582 жыл бұрын
Masha allah napenda sana ufugaji
@fundiazamdstvstartimes65563 жыл бұрын
Well done
@josephjonathan2483 жыл бұрын
Hongera sana dada
@mmwaapamghambonyi78362 жыл бұрын
Hustler nation!!!
@mtaakwamtaa44253 жыл бұрын
Hongera sana kwa kweli
@meritha84242 жыл бұрын
Dada nimekupenda wewe 😍😍 nitaiga mfano wako hakika
@akeem12212 жыл бұрын
Sasa ikiwa mambo ni hayo basi itabidi nirudi nyumbani mana hawa wazungu wananitita pressure humu. wala sioni mahali hela zinaenda.
@evelynmsoma97873 жыл бұрын
Hongera Dada,ila hujaweka mawasiliano yako
@benmusa19882 жыл бұрын
Wow! This mama is a pro. I couldn't stop looking at her. Beautiful, intelligent, humble and very educative. How I wish she were available for marriage. Ha!
@braightonmalela25763 жыл бұрын
Hi nawezaje kukupata?unaweza kunisaidia kitu na mm.maana akili yangu inaugua sabab ya kufuga. Napenda mnoo
@izraelyherman44672 жыл бұрын
Hongera na mm natamani kufuga sana kuku
@farajasallah23382 жыл бұрын
Nimeongeza kitu, asante
@owenyatv91422 жыл бұрын
naomba kuku moja dada yangu
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Ongera sana ndugu mimi. Nimeaza na ufugaji wa mbuzi lakini niko. Oman nimekuja kutafuta pesa hili nijenge badalakuku naomba namba nikiludi tz nikutafute
@wilsonkakanga5382 жыл бұрын
Hongera mpambanaji
@mohamedsayi70842 жыл бұрын
Hongela Sana dada yang umetufumbia macho
@user-rp1kf1yv2i2 ай бұрын
Niko kwenye mandalizi ya ufugaji wa kuku wa kienyeji na napatikana morogoro lakini mradi wangu naenda kuufanyie kahama naitaji ushauri na namna ya kukuona ili nijifunze zaidi
@andrewkalubi35242 жыл бұрын
mzungu wa kichaga ungetupa mawasiliano ingekua poa Sana kwa sisi wa mikoani
@princessringo28792 жыл бұрын
Mbna unaniispire sasa😘😘😘
@ohizafanuel83803 жыл бұрын
Hongera. Tunakupataje mwanangu
@juliusmfangavo2926
3 жыл бұрын
Namba yako ya sim ni ya muhimu Sana tunakupataje Mtani?
@vailethmasaki3947
2 жыл бұрын
Ongera msiha mwenzangu
@tianarest Жыл бұрын
Dada hongera sana ruwa nakutarame
@ConsolataChafu9 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@esterjohn12772 жыл бұрын
Naomba elimu zaidi kuhusu ufugaji dada
@answardmsagati30452 жыл бұрын
Mbona wachaga huwa mnapenda kujisifia sana kila mtu anajua kutafuta pesa bwana
@nsiaelieza9568
2 жыл бұрын
Sasa Msagati unataka kulinganisha mchaga na mnyalu? Tulia dawa iingie
@goodlackriwa6728
2 жыл бұрын
We kubali aliyekupita kakupita tuu dawa ni kujifunza kutoka kwake sio kushindana.
@benitoilulatvpilla1442 жыл бұрын
Tunduma jakuna mbao umesahau nimafinga
@josephmalisa29872 жыл бұрын
Chamecha mae!
@thaudensiandeskoi65482 жыл бұрын
wonderful
@nkawagalogistics61643 жыл бұрын
Hongela dada natamani kazi yako , can you please help me
@ngussamhingoarts8574 Жыл бұрын
Hongera sana kwa ufugaji ws kuku hawa ni croila au pure kienyeji?
@saidabdalla89962 жыл бұрын
Dada katulia sana
@gracenkongo1993 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kwako Asante.
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Nimependa nichukue fundisho kutoka kwako
@jimmykahindi92576 ай бұрын
Nikitaka vifaraga mzungu vya kuroiler coz nko kenya
@adinaniissa53102 жыл бұрын
Hongera Eva
@salomerobert28162 жыл бұрын
Nimependa natamani
@elizabethmanyara71192 жыл бұрын
Nafurahia mawazo yako dada, Mimi mkenya naishi Eldoret ningependa kuwasiliana na wewe tuongee biashara hasa vufaranga.
@mussaramadhani58082 жыл бұрын
Vzr ungetupa mawasiliano
@godfreymlanda51883 жыл бұрын
Masomo yanachelewa sana tuleteeni bas
@muhammedwakif62163 жыл бұрын
Your champion
@hezironmakonde3716
3 жыл бұрын
Kuku hajawahitaga anawezaja kuatamia
@silasimushi92673 жыл бұрын
Vifaranga wako naweza wapataje🤔
@kekuandrew9497 Жыл бұрын
Dada samhani naomba no yako pia mimi ni mchaga naitwa keku
@dotoresaveriofficiale89142 жыл бұрын
Can someone please give me the contacts of this Lady. I want to visit this farm from Kenya.
Пікірлер: 190
Nimekupenda bule kipenz duuh hongera sana wewe ni mtu na Upeo mwing
We Mzungu Wa kichaga ni mjanja sana maana umeajili watu sahii ktk shughuli zako.Ubarikiwe zaidi
Duh ! Nimekupenda bureeee
Nimekupenda bure. You are my type of a friend. Hongera sana mama
Mashallah Mwenyezi Mungu akuzidishie. Unaishi na ndoto zangu Madam Mzungu.
Hongera sana Mzungu wa Kichaga,, naomba namba yako ya simu maana natamani kuja shambani kwako
Really inspired by this story, am ajournalist too,who has ventured in poultry farming, two months old,started kuku wa mayai tatu, sasa hivi niko nao 45
Hongera sana, umewahamasisha watazamaji kuwa wabunifu
the Swahili she speaks is enough to make you fall in love!
@smwansasu8605
2 жыл бұрын
Fred O. she is married oh!!!!!
@Da_Gee
2 жыл бұрын
@@smwansasu8605 the pure Tanzanian Swahili. Thats how we speak in Tanzania.
Hongera inaonesha hauruhusu fursa ikupite,hadi sunguraumeshafuga na bata pia, hongera sana tena sana.
Kwa iyo hao n kienyej pure dada
Huyu dada anapenda kufuga kama mimi jmn
@fidesbenard2836
2 жыл бұрын
We acha tu Mimi mwenyewe napenda sana
Hongera San mzungu wa kichaga kila ninapokusikiliza napata hamasa ya kufanya kazi na kujituma bila kusubilia ajira . Nakuubaaal San big up San
God bless you more and more. Nitakuja tanzania kukutafuta siku moja. naitaji ujuzi wa kuku
Mmachame mwenzangu👍🤗🤗🇸🇪🇸🇪🇸🇪
I.love this. Nimempenda sana huyu mchaga mwenzangu
Kwa kweli nimekupenda sana mzungu wa kichaga, Allah akubarik kwa roho yko ya kipekee, nami nitajitahid inshaAllah.
Waah!! Mzungu wa kichaga apendeza sana. Kiswahili is such a beautiful language.
Kuanzia Leo wewe ni role model wangu jaman! Sikuwah kufikiria Kama inawezekana hiv,am a journalist too, mwakan wa sita huu eti nasubir ajira,kumbe inawezekana!
Hongera sana,nami natamani sana kazi hii,Ila sina pahali pa kufugia,mungu akusimamie
@gooddeeds162
Жыл бұрын
Kama upo tayari naweza kukusaidia eneo bure kwa mwaka mzima , Bure kabisa. Eneo lipo Bagamoyo Fukayose. Ningekukabidhi eka 1 utumie kwa mwaka mzima bure then baada ya hapo tuongee biasharA ya kulipia kila mwezi. Kama upo interested nambie. Asante
Big up👏👏👏
Ongera sana wajina na Mchaga mwenzangu mimi Niki Arusha natamani sana kufuga kibiashara hakika
Mzungu wa kichaga,hongera sana ninapatikana mbuyuni moshi.nipe mchapo.
Hongera mzungu wa kichaga nimehamasika sana
Wee dada hii ndoto yangu mungu aniwezeshe
Ningependa kuja kujifunza kwako Mzungu Wa kichaga Mungu akubariki sana
Nakuelewaga sana dadaangu.
Nimeipenda storia yake mzungu wa kichaga ila mm nahitaji km anakitabu ambacho kinaonesh njia au jinsi alivyoanza na mpaka kufanikiwa ili na mm nipate kupita nyayo zake
Very Incaraging
Masha allah
big up, that is successful stories ..Am so admired to hear again and again. In fact Wish to be like you madam. lkn kwa mfano unaanza na kuku kumi unahitaji kupata banda la kukubwa gani
Nàam nakupenda nitakutafuta mwenyezi mungu akupe afya njema
Masha Allah..napenda sana ufugaji huu.
Mida ya jioni ndo mida ya kupandana 😂😂😂😂😂😂
Ktk maisha unaweza kupita njia unayo tegemea kukufikisha ktk malengo au nia yako lakini ikawa tofauti ikakukatisha hata tamaa lakini hili ufike malengo lazima upite hizo njia cha msingi utakiwi kukata tamaa nikujiongeza na kusubutu. Ubarikiwe mzungu Wa kichaga
Big up San dad we nimfano wa kuigwa
Mashaallah Allah akuzidishie
Asante, endelea kutupatia ushauli kuhusu chanjo zinazopaswa kwavifaranga na Dawa sahihi za kifaranga
Nakupenda sana mkulima mwenzangu
kwa kweli dada kileo umenipachangamoto sana kuhusu mradi huu unapatikana wapi nataka kujifunza
Imebidi niangalie upya she is amazing 🤩 sasa hawa ndio ma super woman 👩
Kuku wa kienyeji wako taratibusan mpaka miez 7 had 8 kutaga.hao ni chotara
Vizuri sana nami natamani kuanza
Mwanamke wangu washoka super model wangu.
Inatia moyo kukusikiliza, hongera sana dada, uko smart sana 🙏
Nilipofanya hesabu ya 10,000 X 2500 X 7 X 4 kidogo ningeandika barua ya resignation. Barikiwa sana dada Mwnyezi Mungu aendelee kukusimamia..
Kazi njema dadangu
Nimeipenda sana
Hongera Sana dada
Dadaa naitajii vifarangaa beii gan
Ninamaono hayo dada, lkn!
Nice💞👍
kutoka kenya...nimeipenda hii sana.
Nice dada wa siha kwetu 💪💪💪
@angelsawere1114
2 жыл бұрын
Wasiha tupo juuu
Safiii dada
Mimi nilikua mfugaji zamani lakini nilipata Green card kuja America lakini nimevutiwa sana na ufugaji wako Mungu akuongezee, Nikija Tz nitakutafuta namawazo ya kununua sehemu nifuge kuku wa kienyeji na tumai utafika maarifa iko siku ishallah. Ubarikiwe na kurespect sana huna stress hapo upeo na kuku wanatoa mawazo mabovu
@gilliardnkini2758
2 жыл бұрын
Hongera sana Makileo. Mungu abariki sana kazi za mikono yako. Uko vizuri sana. Kaa na ohoo Makileo.
Safi sana, Mini naguga kijijini ngambo Ukraine, Yani nymbani tunanguvu kali sana kwenye kilimo na nyanda zote za kiuchumi, Nawangalia weupe ninaoishinao yani hawatuzidi chochote sisi hatudhubut tu kufanya mambo makubwa kama utengenezaji viwanda mama, Nauwezo tunao akili tunazo, Maisha ni yale yale huku kijijini nilipo ni kama vile vile Africa. Lkn ufugaji ni wa milioni iwe nafaka au wanyama, bata batamzinga kuku na bustani ndogondogo kifamilia ni kama za Africa. Africa inatakiwa iwe ya kwanza duniani kwa sababu tuna human labour nyingi na yenye nguvu. Shujaa huyu kwenye hii podcast anamalengo ya kuuza nje, Kitu kibaya ni kama atatafuta hatua hiyo kupitia serikali, Maoni yangu ni bora apitie wafanya biashara wakubwa walio na ujuzi wa masoko ya nje, Kinacho ntia hudhuni tunadharauliana sana lAfrica.
Masha allah napenda sana ufugaji
Well done
Hongera sana dada
Hustler nation!!!
Hongera sana kwa kweli
Dada nimekupenda wewe 😍😍 nitaiga mfano wako hakika
Sasa ikiwa mambo ni hayo basi itabidi nirudi nyumbani mana hawa wazungu wananitita pressure humu. wala sioni mahali hela zinaenda.
Hongera Dada,ila hujaweka mawasiliano yako
Wow! This mama is a pro. I couldn't stop looking at her. Beautiful, intelligent, humble and very educative. How I wish she were available for marriage. Ha!
Hi nawezaje kukupata?unaweza kunisaidia kitu na mm.maana akili yangu inaugua sabab ya kufuga. Napenda mnoo
Hongera na mm natamani kufuga sana kuku
Nimeongeza kitu, asante
naomba kuku moja dada yangu
Ongera sana ndugu mimi. Nimeaza na ufugaji wa mbuzi lakini niko. Oman nimekuja kutafuta pesa hili nijenge badalakuku naomba namba nikiludi tz nikutafute
Hongera mpambanaji
Hongela Sana dada yang umetufumbia macho
Niko kwenye mandalizi ya ufugaji wa kuku wa kienyeji na napatikana morogoro lakini mradi wangu naenda kuufanyie kahama naitaji ushauri na namna ya kukuona ili nijifunze zaidi
mzungu wa kichaga ungetupa mawasiliano ingekua poa Sana kwa sisi wa mikoani
Mbna unaniispire sasa😘😘😘
Hongera. Tunakupataje mwanangu
@juliusmfangavo2926
3 жыл бұрын
Namba yako ya sim ni ya muhimu Sana tunakupataje Mtani?
@vailethmasaki3947
2 жыл бұрын
Ongera msiha mwenzangu
Dada hongera sana ruwa nakutarame
❤❤❤❤❤
Naomba elimu zaidi kuhusu ufugaji dada
Mbona wachaga huwa mnapenda kujisifia sana kila mtu anajua kutafuta pesa bwana
@nsiaelieza9568
2 жыл бұрын
Sasa Msagati unataka kulinganisha mchaga na mnyalu? Tulia dawa iingie
@goodlackriwa6728
2 жыл бұрын
We kubali aliyekupita kakupita tuu dawa ni kujifunza kutoka kwake sio kushindana.
Tunduma jakuna mbao umesahau nimafinga
Chamecha mae!
wonderful
Hongela dada natamani kazi yako , can you please help me
Hongera sana kwa ufugaji ws kuku hawa ni croila au pure kienyeji?
Dada katulia sana
Nimejifunza kitu kwako Asante.
Nimependa nichukue fundisho kutoka kwako
Nikitaka vifaraga mzungu vya kuroiler coz nko kenya
Hongera Eva
Nimependa natamani
Nafurahia mawazo yako dada, Mimi mkenya naishi Eldoret ningependa kuwasiliana na wewe tuongee biashara hasa vufaranga.
Vzr ungetupa mawasiliano
Masomo yanachelewa sana tuleteeni bas
Your champion
@hezironmakonde3716
3 жыл бұрын
Kuku hajawahitaga anawezaja kuatamia
Vifaranga wako naweza wapataje🤔
Dada samhani naomba no yako pia mimi ni mchaga naitwa keku
Can someone please give me the contacts of this Lady. I want to visit this farm from Kenya.
Mimi napenda kufuga sana ila kuku wanakufa mno