Mzungu wa Kichaga

Пікірлер: 190

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jgАй бұрын

    Nimekupenda bule kipenz duuh hongera sana wewe ni mtu na Upeo mwing

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel2 жыл бұрын

    We Mzungu Wa kichaga ni mjanja sana maana umeajili watu sahii ktk shughuli zako.Ubarikiwe zaidi

  • @winniejustine2051
    @winniejustine20513 жыл бұрын

    Duh ! Nimekupenda bureeee

  • @gracemima5234
    @gracemima52342 жыл бұрын

    Nimekupenda bure. You are my type of a friend. Hongera sana mama

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78233 жыл бұрын

    Mashallah Mwenyezi Mungu akuzidishie. Unaishi na ndoto zangu Madam Mzungu.

  • @magrethkimonge7923
    @magrethkimonge79232 жыл бұрын

    Hongera sana Mzungu wa Kichaga,, naomba namba yako ya simu maana natamani kuja shambani kwako

  • @wilberforceasumwa5220
    @wilberforceasumwa52202 жыл бұрын

    Really inspired by this story, am ajournalist too,who has ventured in poultry farming, two months old,started kuku wa mayai tatu, sasa hivi niko nao 45

  • @ludovicsaronganangawe2720
    @ludovicsaronganangawe27202 жыл бұрын

    Hongera sana, umewahamasisha watazamaji kuwa wabunifu

  • @faboge
    @faboge2 жыл бұрын

    the Swahili she speaks is enough to make you fall in love!

  • @smwansasu8605

    @smwansasu8605

    2 жыл бұрын

    Fred O. she is married oh!!!!!

  • @Da_Gee

    @Da_Gee

    2 жыл бұрын

    @@smwansasu8605 the pure Tanzanian Swahili. Thats how we speak in Tanzania.

  • @marymathew6529
    @marymathew65292 жыл бұрын

    Hongera inaonesha hauruhusu fursa ikupite,hadi sunguraumeshafuga na bata pia, hongera sana tena sana.

  • @SilasshijaMangu
    @SilasshijaMangu4 ай бұрын

    Kwa iyo hao n kienyej pure dada

  • @hilarymungure8590
    @hilarymungure85903 жыл бұрын

    Huyu dada anapenda kufuga kama mimi jmn

  • @fidesbenard2836

    @fidesbenard2836

    2 жыл бұрын

    We acha tu Mimi mwenyewe napenda sana

  • @alfeokaguo1663
    @alfeokaguo16633 жыл бұрын

    Hongera San mzungu wa kichaga kila ninapokusikiliza napata hamasa ya kufanya kazi na kujituma bila kusubilia ajira . Nakuubaaal San big up San

  • @peterwamwandawiro8126
    @peterwamwandawiro81263 жыл бұрын

    God bless you more and more. Nitakuja tanzania kukutafuta siku moja. naitaji ujuzi wa kuku

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson83872 жыл бұрын

    Mmachame mwenzangu👍🤗🤗🇸🇪🇸🇪🇸🇪

  • @rehemamfuru-kimu3246
    @rehemamfuru-kimu32462 жыл бұрын

    I.love this. Nimempenda sana huyu mchaga mwenzangu

  • @mulhatramadhan9425
    @mulhatramadhan94253 жыл бұрын

    Kwa kweli nimekupenda sana mzungu wa kichaga, Allah akubarik kwa roho yko ya kipekee, nami nitajitahid inshaAllah.

  • @OsmanK699
    @OsmanK6992 жыл бұрын

    Waah!! Mzungu wa kichaga apendeza sana. Kiswahili is such a beautiful language.

  • @hellenmtei9149
    @hellenmtei91492 жыл бұрын

    Kuanzia Leo wewe ni role model wangu jaman! Sikuwah kufikiria Kama inawezekana hiv,am a journalist too, mwakan wa sita huu eti nasubir ajira,kumbe inawezekana!

  • @madamepilly6872
    @madamepilly68722 жыл бұрын

    Hongera sana,nami natamani sana kazi hii,Ila sina pahali pa kufugia,mungu akusimamie

  • @gooddeeds162

    @gooddeeds162

    Жыл бұрын

    Kama upo tayari naweza kukusaidia eneo bure kwa mwaka mzima , Bure kabisa. Eneo lipo Bagamoyo Fukayose. Ningekukabidhi eka 1 utumie kwa mwaka mzima bure then baada ya hapo tuongee biasharA ya kulipia kila mwezi. Kama upo interested nambie. Asante

  • @stellakatega9617
    @stellakatega96173 жыл бұрын

    Big up👏👏👏

  • @evachuwa3809
    @evachuwa38093 жыл бұрын

    Ongera sana wajina na Mchaga mwenzangu mimi Niki Arusha natamani sana kufuga kibiashara hakika

  • @lauriankileo4433
    @lauriankileo44332 жыл бұрын

    Mzungu wa kichaga,hongera sana ninapatikana mbuyuni moshi.nipe mchapo.

  • @vitusdani4001
    @vitusdani40013 жыл бұрын

    Hongera mzungu wa kichaga nimehamasika sana

  • @djdj3urj88
    @djdj3urj882 жыл бұрын

    Wee dada hii ndoto yangu mungu aniwezeshe

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel2 жыл бұрын

    Ningependa kuja kujifunza kwako Mzungu Wa kichaga Mungu akubariki sana

  • @geraldntalondo6110
    @geraldntalondo61103 жыл бұрын

    Nakuelewaga sana dadaangu.

  • @faidaothman546
    @faidaothman5463 жыл бұрын

    Nimeipenda storia yake mzungu wa kichaga ila mm nahitaji km anakitabu ambacho kinaonesh njia au jinsi alivyoanza na mpaka kufanikiwa ili na mm nipate kupita nyayo zake

  • @bensonlucas7607
    @bensonlucas76073 жыл бұрын

    Very Incaraging

  • @faisalikassim3837
    @faisalikassim38372 жыл бұрын

    Masha allah

  • @jumasabour5886
    @jumasabour58863 жыл бұрын

    big up, that is successful stories ..Am so admired to hear again and again. In fact Wish to be like you madam. lkn kwa mfano unaanza na kuku kumi unahitaji kupata banda la kukubwa gani

  • @zainababas5139
    @zainababas51392 жыл бұрын

    Nàam nakupenda nitakutafuta mwenyezi mungu akupe afya njema

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli7492 жыл бұрын

    Masha Allah..napenda sana ufugaji huu.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius17963 жыл бұрын

    Mida ya jioni ndo mida ya kupandana 😂😂😂😂😂😂

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel2 жыл бұрын

    Ktk maisha unaweza kupita njia unayo tegemea kukufikisha ktk malengo au nia yako lakini ikawa tofauti ikakukatisha hata tamaa lakini hili ufike malengo lazima upite hizo njia cha msingi utakiwi kukata tamaa nikujiongeza na kusubutu. Ubarikiwe mzungu Wa kichaga

  • @neemamsisimsisi8440
    @neemamsisimsisi84402 жыл бұрын

    Big up San dad we nimfano wa kuigwa

  • @Maryam-yt8lw
    @Maryam-yt8lw2 жыл бұрын

    Mashaallah Allah akuzidishie

  • @naftarinyakimwe7951
    @naftarinyakimwe79513 жыл бұрын

    Asante, endelea kutupatia ushauli kuhusu chanjo zinazopaswa kwavifaranga na Dawa sahihi za kifaranga

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili67282 жыл бұрын

    Nakupenda sana mkulima mwenzangu

  • @yaredymyenda5844
    @yaredymyenda58443 жыл бұрын

    kwa kweli dada kileo umenipachangamoto sana kuhusu mradi huu unapatikana wapi nataka kujifunza

  • @ajay0528
    @ajay0528 Жыл бұрын

    Imebidi niangalie upya she is amazing 🤩 sasa hawa ndio ma super woman 👩

  • @januaryyotham8652
    @januaryyotham86523 жыл бұрын

    Kuku wa kienyeji wako taratibusan mpaka miez 7 had 8 kutaga.hao ni chotara

  • @godfreymlanda5188
    @godfreymlanda51883 жыл бұрын

    Vizuri sana nami natamani kuanza

  • @annasilayo1405
    @annasilayo14052 жыл бұрын

    Mwanamke wangu washoka super model wangu.

  • @dismassmariki6985
    @dismassmariki69852 жыл бұрын

    Inatia moyo kukusikiliza, hongera sana dada, uko smart sana 🙏

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki40292 жыл бұрын

    Nilipofanya hesabu ya 10,000 X 2500 X 7 X 4 kidogo ningeandika barua ya resignation. Barikiwa sana dada Mwnyezi Mungu aendelee kukusimamia..

  • @innocentmushi4549
    @innocentmushi45492 жыл бұрын

    Kazi njema dadangu

  • @polycarppaschal9paschal478
    @polycarppaschal9paschal4783 жыл бұрын

    Nimeipenda sana

  • @saidsalum850
    @saidsalum8503 жыл бұрын

    Hongera Sana dada

  • @clintonnjiku3616
    @clintonnjiku36163 жыл бұрын

    Dadaa naitajii vifarangaa beii gan

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka84693 жыл бұрын

    Ninamaono hayo dada, lkn!

  • @jumahaji108
    @jumahaji1083 жыл бұрын

    Nice💞👍

  • @samsonthuo2996
    @samsonthuo29962 жыл бұрын

    kutoka kenya...nimeipenda hii sana.

  • @mussaramadhani5808
    @mussaramadhani58082 жыл бұрын

    Nice dada wa siha kwetu 💪💪💪

  • @angelsawere1114

    @angelsawere1114

    2 жыл бұрын

    Wasiha tupo juuu

  • @kishm988
    @kishm9883 жыл бұрын

    Safiii dada

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma45703 жыл бұрын

    Mimi nilikua mfugaji zamani lakini nilipata Green card kuja America lakini nimevutiwa sana na ufugaji wako Mungu akuongezee, Nikija Tz nitakutafuta namawazo ya kununua sehemu nifuge kuku wa kienyeji na tumai utafika maarifa iko siku ishallah. Ubarikiwe na kurespect sana huna stress hapo upeo na kuku wanatoa mawazo mabovu

  • @gilliardnkini2758

    @gilliardnkini2758

    2 жыл бұрын

    Hongera sana Makileo. Mungu abariki sana kazi za mikono yako. Uko vizuri sana. Kaa na ohoo Makileo.

  • @user-re3zl1uj2c
    @user-re3zl1uj2c Жыл бұрын

    Safi sana, Mini naguga kijijini ngambo Ukraine, Yani nymbani tunanguvu kali sana kwenye kilimo na nyanda zote za kiuchumi, Nawangalia weupe ninaoishinao yani hawatuzidi chochote sisi hatudhubut tu kufanya mambo makubwa kama utengenezaji viwanda mama, Nauwezo tunao akili tunazo, Maisha ni yale yale huku kijijini nilipo ni kama vile vile Africa. Lkn ufugaji ni wa milioni iwe nafaka au wanyama, bata batamzinga kuku na bustani ndogondogo kifamilia ni kama za Africa. Africa inatakiwa iwe ya kwanza duniani kwa sababu tuna human labour nyingi na yenye nguvu. Shujaa huyu kwenye hii podcast anamalengo ya kuuza nje, Kitu kibaya ni kama atatafuta hatua hiyo kupitia serikali, Maoni yangu ni bora apitie wafanya biashara wakubwa walio na ujuzi wa masoko ya nje, Kinacho ntia hudhuni tunadharauliana sana lAfrica.

  • @manasadunia3458
    @manasadunia34582 жыл бұрын

    Masha allah napenda sana ufugaji

  • @fundiazamdstvstartimes6556
    @fundiazamdstvstartimes65563 жыл бұрын

    Well done

  • @josephjonathan248
    @josephjonathan2483 жыл бұрын

    Hongera sana dada

  • @mmwaapamghambonyi7836
    @mmwaapamghambonyi78362 жыл бұрын

    Hustler nation!!!

  • @mtaakwamtaa4425
    @mtaakwamtaa44253 жыл бұрын

    Hongera sana kwa kweli

  • @meritha8424
    @meritha84242 жыл бұрын

    Dada nimekupenda wewe 😍😍 nitaiga mfano wako hakika

  • @akeem1221
    @akeem12212 жыл бұрын

    Sasa ikiwa mambo ni hayo basi itabidi nirudi nyumbani mana hawa wazungu wananitita pressure humu. wala sioni mahali hela zinaenda.

  • @evelynmsoma9787
    @evelynmsoma97873 жыл бұрын

    Hongera Dada,ila hujaweka mawasiliano yako

  • @benmusa1988
    @benmusa19882 жыл бұрын

    Wow! This mama is a pro. I couldn't stop looking at her. Beautiful, intelligent, humble and very educative. How I wish she were available for marriage. Ha!

  • @braightonmalela2576
    @braightonmalela25763 жыл бұрын

    Hi nawezaje kukupata?unaweza kunisaidia kitu na mm.maana akili yangu inaugua sabab ya kufuga. Napenda mnoo

  • @izraelyherman4467
    @izraelyherman44672 жыл бұрын

    Hongera na mm natamani kufuga sana kuku

  • @farajasallah2338
    @farajasallah23382 жыл бұрын

    Nimeongeza kitu, asante

  • @owenyatv9142
    @owenyatv91422 жыл бұрын

    naomba kuku moja dada yangu

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Жыл бұрын

    Ongera sana ndugu mimi. Nimeaza na ufugaji wa mbuzi lakini niko. Oman nimekuja kutafuta pesa hili nijenge badalakuku naomba namba nikiludi tz nikutafute

  • @wilsonkakanga538
    @wilsonkakanga5382 жыл бұрын

    Hongera mpambanaji

  • @mohamedsayi7084
    @mohamedsayi70842 жыл бұрын

    Hongela Sana dada yang umetufumbia macho

  • @user-rp1kf1yv2i
    @user-rp1kf1yv2i2 ай бұрын

    Niko kwenye mandalizi ya ufugaji wa kuku wa kienyeji na napatikana morogoro lakini mradi wangu naenda kuufanyie kahama naitaji ushauri na namna ya kukuona ili nijifunze zaidi

  • @andrewkalubi3524
    @andrewkalubi35242 жыл бұрын

    mzungu wa kichaga ungetupa mawasiliano ingekua poa Sana kwa sisi wa mikoani

  • @princessringo2879
    @princessringo28792 жыл бұрын

    Mbna unaniispire sasa😘😘😘

  • @ohizafanuel8380
    @ohizafanuel83803 жыл бұрын

    Hongera. Tunakupataje mwanangu

  • @juliusmfangavo2926

    @juliusmfangavo2926

    3 жыл бұрын

    Namba yako ya sim ni ya muhimu Sana tunakupataje Mtani?

  • @vailethmasaki3947

    @vailethmasaki3947

    2 жыл бұрын

    Ongera msiha mwenzangu

  • @tianarest
    @tianarest Жыл бұрын

    Dada hongera sana ruwa nakutarame

  • @ConsolataChafu
    @ConsolataChafu9 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @esterjohn1277
    @esterjohn12772 жыл бұрын

    Naomba elimu zaidi kuhusu ufugaji dada

  • @answardmsagati3045
    @answardmsagati30452 жыл бұрын

    Mbona wachaga huwa mnapenda kujisifia sana kila mtu anajua kutafuta pesa bwana

  • @nsiaelieza9568

    @nsiaelieza9568

    2 жыл бұрын

    Sasa Msagati unataka kulinganisha mchaga na mnyalu? Tulia dawa iingie

  • @goodlackriwa6728

    @goodlackriwa6728

    2 жыл бұрын

    We kubali aliyekupita kakupita tuu dawa ni kujifunza kutoka kwake sio kushindana.

  • @benitoilulatvpilla144
    @benitoilulatvpilla1442 жыл бұрын

    Tunduma jakuna mbao umesahau nimafinga

  • @josephmalisa2987
    @josephmalisa29872 жыл бұрын

    Chamecha mae!

  • @thaudensiandeskoi6548
    @thaudensiandeskoi65482 жыл бұрын

    wonderful

  • @nkawagalogistics6164
    @nkawagalogistics61643 жыл бұрын

    Hongela dada natamani kazi yako , can you please help me

  • @ngussamhingoarts8574
    @ngussamhingoarts8574 Жыл бұрын

    Hongera sana kwa ufugaji ws kuku hawa ni croila au pure kienyeji?

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla89962 жыл бұрын

    Dada katulia sana

  • @gracenkongo199
    @gracenkongo1993 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu kwako Asante.

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Жыл бұрын

    Nimependa nichukue fundisho kutoka kwako

  • @jimmykahindi9257
    @jimmykahindi92576 ай бұрын

    Nikitaka vifaraga mzungu vya kuroiler coz nko kenya

  • @adinaniissa5310
    @adinaniissa53102 жыл бұрын

    Hongera Eva

  • @salomerobert2816
    @salomerobert28162 жыл бұрын

    Nimependa natamani

  • @elizabethmanyara7119
    @elizabethmanyara71192 жыл бұрын

    Nafurahia mawazo yako dada, Mimi mkenya naishi Eldoret ningependa kuwasiliana na wewe tuongee biashara hasa vufaranga.

  • @mussaramadhani5808
    @mussaramadhani58082 жыл бұрын

    Vzr ungetupa mawasiliano

  • @godfreymlanda5188
    @godfreymlanda51883 жыл бұрын

    Masomo yanachelewa sana tuleteeni bas

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif62163 жыл бұрын

    Your champion

  • @hezironmakonde3716

    @hezironmakonde3716

    3 жыл бұрын

    Kuku hajawahitaga anawezaja kuatamia

  • @silasimushi9267
    @silasimushi92673 жыл бұрын

    Vifaranga wako naweza wapataje🤔

  • @kekuandrew9497
    @kekuandrew9497 Жыл бұрын

    Dada samhani naomba no yako pia mimi ni mchaga naitwa keku

  • @dotoresaveriofficiale8914
    @dotoresaveriofficiale89142 жыл бұрын

    Can someone please give me the contacts of this Lady. I want to visit this farm from Kenya.

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50252 жыл бұрын

    Mimi napenda kufuga sana ila kuku wanakufa mno