Niliaza na mtaji wa sh 45000 ,mwaka elifu 2017 na mpaka Sasa namiliki zaid ya ml 14.8 ,,,niliaza na biashara ya kuuza vinywaji barabaran mpaka ikanipeleka mtaan kwenye furemu na kuaza kukomaa Hadi kununu pkpk 4 na kuoa hapa hapo na kiwanja na shamba mkoan yaan ,,mungu ni mkubwa ,,,big up chifu?
@samsonsoligi2420
9 ай бұрын
Biashara gan?
@user-ig1wd5yq1f
9 ай бұрын
Ulifanya biashara gani??
@chiboonline363
9 ай бұрын
Ushirikina ulitumika pia
@kuyekajisandu
9 ай бұрын
Good job
@malimimasolwa6492
9 ай бұрын
Nimekupata sana kwenye kuku me mwenyewe nilianza na kuku mmoja sa iv nina kuku 200
@AnnaMkenga-iu9db7 ай бұрын
Thanks brother..nimeanza na kuku wa kienyeji 8 natetea na jogoo 2 this year July but nimetotolesha vifaranga zaidi ya 200 kwa 3 months sasa nimeuza and nimeingiza pesa nzuri Iam happy.unachokiongea ni kweli.sasa this December niko na oda ya 120 chicks na tatari nimeweka kuku 10 wote wanalalia 15 eggs each na in 5 days wanatotoa.so unaongea ukweli bro.asante mnoo
@fredkangethe7497
6 ай бұрын
@Anna Mkenga. Wafugia kuku wapi dada yangu.?
@AnnaMkenga-iu9db
6 ай бұрын
@@fredkangethe7497 nafugia Arusha
@tithomathias
5 ай бұрын
sorry nlikuwa naomba ufafanuz wa ufugaji kuku ili na mm nifanye please nipe ata namba yako
@PeterTuruba-uf4fn
3 ай бұрын
Dada
@user-ye7hh1pv7w
28 күн бұрын
Nimekuelewa bro umetuambia ukweli mtupu nitafanyia kazi
@user-zs1cq5cy6p11 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu ni msaada mkubwa kwa taifa umetuamsha san
@moisebwanamoye1484 Жыл бұрын
matuta vijana wanaochangia mawazo hayo ndio mapenzi kweli nakupenda sana mzee wangu
@user-dr7jn4op8g
Жыл бұрын
Kweli juice inafaida nakubali
@user-dr7jn4op8g
Жыл бұрын
Nimewahikufanya juice baada ya miezi 3 nilitoa Faida kubwa siseminikiasigani lkn siachi kufanya juice huwanapumzika tu lkn ndio biashara yngu kubwa nakama Niki fanya Leo wateja wanakuja kwasababu najuwa kutengeneza napia naifanya kwaumaridadi usafi. Kwanza biashara kma hizi zamajimaji. Kma juice mwezangu mtu Hali tu kama hawajamuwangalia mfanyaji usafi wake
@aishakassim75
10 ай бұрын
@@user-dr7jn4op8guko wapi dear nataka kufanya hiyo kazi ila sijui pa kuanzia
shukran kaka godlove nakufatilia san na nimejipa miaka mitano from now napenda unavyofanya🙏🙏
@mussaabdulmalick204811 ай бұрын
Asante sanaa kaka ningependa siku moja tuonane mi naishi msasan nafanya biashara ya mayai kama unaenda kifanya shopping supermarket za shoppers angalia mayai yenye jina MSSAP ...
@justinelius7830
6 ай бұрын
Kaka mtaji wa kuku ulianza na shi ngap
@stanleyandrea51539 ай бұрын
Gentle man ña nusu. God bless you more
@hishammudhihiri555510 ай бұрын
Bro sasa huo ndio uwanaume...mwanaume sikupiga tantarira nyingi kma muimba taarabu..hizi ndo njia nzuri zakusaidia wenzio na wao waeze kujituma kwa bidii..Ubarikiwe mzee baba
@AnethEdward-nf6sc
10 ай бұрын
Hongera kwa mada nzuri.
@adelinefikiri3870
6 ай бұрын
C'est vrai
@IsmailMsemwa-cz2pe10 ай бұрын
Kaka www ni msaada Kwa jamii Asante xan mungu akubalik
@GraceGodson-fk3tu8 ай бұрын
Ahsantee my brother nilikua na ndoto ya kufuga kuku Ila nilikuwa nimekata tamaa Ila Leo umenipa moyo am going to start it...
@alihassansorikushey14149 ай бұрын
Shukran kaka kutufungua macho ubarikiwee
@andrearaphael372810 ай бұрын
Daaaaaa ngoj nikupe maua yako Big point San Brother 🎉🎉
@FredyNdimla-uv6dx10 ай бұрын
Asante kwa kunifungua brother
@user-ub2zv5oi8k10 ай бұрын
Yeah that is very good advice
@user-pg2mv9wd2x4 ай бұрын
Big mind, big up bro and God bless
@BGHaule10 ай бұрын
Unatuchamba huku unatupa elimu,big up,mwanzo hata Mimi nilikuwa sikuelewi,ila now nimekumanya,dogo upo vizuri you are the geneous
@happyvalence5352
7 ай бұрын
Tafuta pesa mbwa nyinyi 🤣🤣🤣🤣
@SuzanLazaro-sj8qv
6 ай бұрын
Kaka vp kashata italipa
@magesajoseph10 ай бұрын
Asante sana kaka endelea hivyo utukomboe ndugu
@user-oh7ls4cz5l4 ай бұрын
Aiseeee bro nakukubl sana we n genius aisee umenitoa kwenye Giza nene
Chief lila siku ninakueleza you are the best bro keep it up🎉🎉🎉🎉🎉
@Mosses811 ай бұрын
kaka kazi zuri sana mimi nina haidia ya kufanya biashara ya kuuza chakula cha mifugo kama chakula cha kuku ila sina mtaji kaka iwezeshe nipo moshi kilimanjaro
@user-tg4wt8yh6h5 ай бұрын
Asante Kaka kwaushauli wako unatupa changamoto yakutafuta hela
@mkalitalkshow10 ай бұрын
Nice advice brother
@user-sm7ct8lv5l10 ай бұрын
Jamaa kanipa madini na kanifanya kujiona na Mimi naweza for sure Nilikuwa nampango wakufungua biashara ya cm nikawa naogopa ila kanipa nguvu sana huyu mwamba mzalendo respect brother
@evanslikono8634
10 ай бұрын
Mimi ni mkenye Niko Nairobi nafuraia mawaitha yako👍💯
@SmartZacky360Tallent5 ай бұрын
Appriciate cn bro you have open my brain👍👍
@user-mm9hf9if7f10 ай бұрын
Nimekuelewa sana kaka ngoja nikupe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@olarivolarivp270210 ай бұрын
Brother uko vizuri atabiashara ya bekery
@user-jx9ni2fm5g4 ай бұрын
Asante kwakutufungua macho bro
@tumajunior608010 ай бұрын
Umeeleweka bro asante ubarikiwe
@samsonmaketa883510 ай бұрын
Naisubir ep sod 2 nakupendaa Bure ndroo
@Nourdeintv20305 ай бұрын
Brother hapo umetisha ahsante sana mkuu
@EzekiaMwaibambe-yu6uk7 ай бұрын
Asante kwa ushauri wako Mungu akubarik
@user-pc9ol8jh2s6 ай бұрын
Asante kaka ushauri wako mzuri Mimi ninauza juyce kiukweli matunda mazuri nayaona we we mkweli
@strawberryrachii12-xh5bq10 ай бұрын
Umeona mbali sana chakula kinalipa sana aswa catering service hii pia haitaji mtaji mkubwa kikubwa ni ujuzi na kujua namna ya kukuza hiyo biashara hongera chief kwa hili🙌🙌🤝
@user-xn9kf3kp2g4 ай бұрын
Ahsante kwasemina mazuri na mungu akubariki
@FedrickOden-lk5pb Жыл бұрын
Blz nakupata vzr kbx pande za mpegele hapa
@nanceaidan662210 ай бұрын
Blessings bro🎉🎉🎉❤
@SaidaTulinge-hr2su5 ай бұрын
Asante bro napenda san kufanikiwa
@mtinkoITservices9 ай бұрын
Hii ndio hisani kaka hakika umetujenga na tutafata . Maana wivu uliomzuri ni ule wa kuangalia njia walizotumia wenzako kuendelea utumie na wewe tunashukuru kwa elimu yako 💪💪
@yahayamasanja18495 ай бұрын
Nimeipenda hiyo bro.busara zako zinaonyesha kuwa kila mmoja apate
@veronicaelias7912 ай бұрын
Asantee sana kaka kwa ushauli mzuri
@hastatz Жыл бұрын
Biashara ya udalali wa vitu used kuna mtu ana shida na kitanda hana hela ya kununua kipya alf kuna mtu amechoka kitanda anataka kingine na anahitaji mtu wa kumpa hela kidogo hapa wew unakua kati kati yao unapiga chako kwa juu na hapa kwenye hii biashara kuna njia 2 za kuifanya moja unakua dalali kwa mnunuzi na muuzaji ya pili ni unanunua bei ya chini mteja anakuja unamuuzia wew😊
@abelaidan
10 ай бұрын
Hii ni bonge la biashara ndio naifanya kwa sasa
@user-re4pe8st9f9 ай бұрын
Thanks bro im from Congo Drc
@comorolodgechamanzisaku63415 ай бұрын
Asante mtani kwa juhudi zako kupambana watu wasio kuelewa wenye chuki kama wale wa Ipinda. Nadhani wenye mitaji midogo watavuna kitu hapa. Rgds BDKOMBA
@magrethmbaga1089
5 ай бұрын
Mm napenda biashara y a bakery. Sasa sijui napata wapi mafunzonilinnianze.
@Ntomolapagu25511 ай бұрын
Asantee kwa darasa 🙏
@user-jo2qh5oq8p6 ай бұрын
Mungu akupe maisha endelevu
@MosesGilya8 ай бұрын
asante sana kaka kwa kujifungua ubongo
@AbdulMpendu-xj8nd Жыл бұрын
Umetisha cheaf katiyaizo urizozitaja biashara mbiri nazifikiria irabadokidogo najiwekasawa
@GodbetterIbrahimu4 ай бұрын
Thankx bro...
@user-cd2gn3ot9r8 ай бұрын
Asante San kaka unazid kutupa nguvu
@user-vv4wy1ih4r10 ай бұрын
Barikiwa sana kaka dah umeniamsha
@user-yr4cf7wj4g11 ай бұрын
Umetisha sana kaka ❤❤❤
@Dullah08Sportswear10 ай бұрын
Mimi nawashauri kitu kimoja tu, kabla ya kufungua biashara yako jitahidi ujibrand (uwekeze kwenye wateja). Mimi nimeanza biashara yangu huu ni mwezi wa tatu tu lakini kwa sasa biashara yangu inanipa faida kubwa kuliko mshahara nnaopata.
@mahengepascal
9 ай бұрын
Unafanya biashara gani
@user-xx2pj1xq6y
6 ай бұрын
Bro biashara gan iyo
@SimonIbrahim-vy2vy
3 ай бұрын
me cjui ata nifanye biashara gn
@bluetikyd7371
Ай бұрын
🤜
@NeemaGodwin-ql5gm2 ай бұрын
Asante sana kaka umetisha
@user-ke2he9ni3u10 ай бұрын
Goodlove Naqba Sana Umefanya Saiv Money Naipambania Sana RESPECT BROTHER
@user-yy2qm5ne3d5 ай бұрын
Big up brother kinacho tupa shida ni uoga wa kufanya kitu na hatuna uthubutu wa kujaribu Zaid tunaishia kuyawaza pasipo kutendea kazi
@JacksonDomisian9 ай бұрын
Asante buraza kwaushauri
@elikanasamwel9 ай бұрын
Biashara ingine ni ya kuuza mtumba,unaweza kununua suruali nzuri yenye bei ya tsh 5000 ukauza 12000 had 15000
@chachawambura4030 Жыл бұрын
Nakumbuka nilianza na mtaji wa sh. Laki 7 katika biashara yangu lakini Kwa Sasa imekuwa na kufikia Mil.25 Kwa miaka miwili na mwaka ujao naanza hiyo ya ufugaji kuku sababu tangu kale naamini itanitoa kimaisha. Respect Chief GODLOVE
@directorballo9598
Жыл бұрын
kwA biashara gan laki7 ad 25m kwa miaka mi2 kaka chacha
@MarCom-xy6cj
Жыл бұрын
Oy wambura
@simonmwashiuya6184
Жыл бұрын
Ni biashara gani mwenzangu
@consolatamedard6593
11 ай бұрын
@@directorballo9598Yani na mm nimewaza kwasauti hapa
@stellawatison6142
11 ай бұрын
Natamani sana biashara sijuwi pakuanzia
@paulinewamboikamaukamau-mp2ze5 ай бұрын
Asante kwa ushauri mzuri
@arnoldopindi4452 Жыл бұрын
Oy chief godlove mm nipo Kenya na nimetaka kuanza biashara ya kuuza viatu na mavazi,je biashara hiyo Ina mtaji? Naomba jibu
@nashajr5491
Жыл бұрын
Oya kamanda Kenya vip biashala uko
@mohdhamad552110 ай бұрын
Good Idea bro🎉🎉❤
@isaackambofi124110 ай бұрын
Goooood mwanafyale ndaga fijo
@pauljuliusonyango573510 ай бұрын
Kaka unatia moyo sana hongera sana bt kingne mm naona kilimo Cha umwagiliaji
@user-be3nf4ov6c4 ай бұрын
Fantastic ideas
@cornelytv28397 ай бұрын
Congratulations ❤❤❤❤
@user-ik2qn7xp9k5 ай бұрын
❤kaka apo umesaidia vijana wengi sana kifikra god bless you
@abdulrazaquerazaque10 ай бұрын
mungu akubaliki Kaká mi Niko Moçambique
@SasaNgunila-fl9ms10 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka
@user-ni9bo9dl6f9 ай бұрын
❤❤much love chief
@OtevaTz-uf3pc28 күн бұрын
Kaka una roho nzuri sana mungu akulinde
@mr_shark358711 ай бұрын
Mnajua Huyu Brother ni Geneas sana aise na Unajua Kuna wabongo wachache sana wenye kuwa naakili timamu Ndo watamuelewa huyu jamaa shida ya Cici wabongo Tunakubali anacho kifanya mwamba ila Bado. Wabishi sana 🤣 ila ukweli nikwamba anatisha sana sema Simba 👑👑👑Chief Mungu akuweke content zako Zina fanya vizuri sana 🔥💪
@ukweliunauma4570
10 ай бұрын
Acha kujidanganya mwenzio yuko katika chama hata akiuza mavi yanatoka freemason inachangia iyo
@hilalshaib2 ай бұрын
shukran bloo mung atufanikishe
@consolatamedard659311 ай бұрын
Yani wa Tz sisi hatuna Jema mtu anatueleza biashara za kufanya unaanza kulalama mtaji kwaiyo unataka akuletee mtaji hiyo Juice anayosema sizan kama inataka mtaji mkubwa Mim nilkuwa nacheza mchezo Wa kila siku 2000 lengo tu nipate Blenda na Friji Used nikapata na natengeneza juice mambo yanaenda punguzen kulalamika na kuwaambia watu wachawi niakili tu
@sarahnyaganilwa3862
10 ай бұрын
Hili pia wazo langu hvi juice nzuri ni matunda Gani
Hongera san broo napenda san wakaka wenye uxhauri kama wakwako huo niuxhauri mzuri san
@user-pm5ie6pl4q5 ай бұрын
Asante kaka kwaushauli
@BlackMamba-qs1uz10 ай бұрын
Kati ya siku unewongeya pweti ndo Sasa ,💝💝💝💝
@rehemaothuman37644 күн бұрын
Nakuelewaga sana sir
@barnabawilliams58611 ай бұрын
Mm nataja biashara moja kwenye hzo mbili zilizobaki biashala ya mtumba inatoa na haihitaji pesa kubwa sana ili kuanza ni pesa kdg2 230000 inatosha sana kuanzisha mitumba ya watoto hii biashala inatowa sana ila hasala kwenye biashala hazikosekan belo moja linatowa zaid ya pesa uliyonunulia
@GraceEzekiel-rw1fh10 ай бұрын
Asante kaka ang
@BaloziKiliwale4 ай бұрын
Nakukubar sana chief,
@user-ij2bf9mb6v8 ай бұрын
Dah asante sana mm nipo bukoba mm nafanya kaz ya ufund wa sim kama ulivosema inalipa kweli ila nataman na kufuga kuku alafu banda la cd
@Shadianujum26 күн бұрын
Asante sana ndugu yang umenisIdi
@deniseliya348 Жыл бұрын
Umeongea ukweli, Vijana tuamke tufanye kazi
@user-zz6mi4yj8w7 ай бұрын
I like it broo🎉🎉🎉🎉
@user-ez8ds8ng9y Жыл бұрын
Umetisha xana kaka
@kulishaandry57306 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nimetazama video yako... Nimekuelewa sana.
@colethahenry60638 ай бұрын
Big up bro,,,,,,,
@florianmzagila21369 ай бұрын
Daaah brother ahsante umenipa elimu kubwa sana ila mm sina hata mtaji je nafanyaje angalau nipate kamtaji kiasi ili niweze kuanzisha biashara.
@user-om3in6di1b
5 ай бұрын
Uza iyo sim upate mtaji
@user-gk1om1lx4t4 ай бұрын
Asante kwa kitushauri
@AndreaEzekiel-wm6sv9 ай бұрын
Big up Sana Br
@MarthaDonald-wb4ll2 ай бұрын
Mimi napenda sana kufanya biashara ya kuuza juice ila bado sijafanikiwa kupata friji tu naomba sana mungu anisaidie nipate PESA ya friji.asnte bro upo vizuri sana
Пікірлер: 811
Niliaza na mtaji wa sh 45000 ,mwaka elifu 2017 na mpaka Sasa namiliki zaid ya ml 14.8 ,,,niliaza na biashara ya kuuza vinywaji barabaran mpaka ikanipeleka mtaan kwenye furemu na kuaza kukomaa Hadi kununu pkpk 4 na kuoa hapa hapo na kiwanja na shamba mkoan yaan ,,mungu ni mkubwa ,,,big up chifu?
@samsonsoligi2420
9 ай бұрын
Biashara gan?
@user-ig1wd5yq1f
9 ай бұрын
Ulifanya biashara gani??
@chiboonline363
9 ай бұрын
Ushirikina ulitumika pia
@kuyekajisandu
9 ай бұрын
Good job
@malimimasolwa6492
9 ай бұрын
Nimekupata sana kwenye kuku me mwenyewe nilianza na kuku mmoja sa iv nina kuku 200
Thanks brother..nimeanza na kuku wa kienyeji 8 natetea na jogoo 2 this year July but nimetotolesha vifaranga zaidi ya 200 kwa 3 months sasa nimeuza and nimeingiza pesa nzuri Iam happy.unachokiongea ni kweli.sasa this December niko na oda ya 120 chicks na tatari nimeweka kuku 10 wote wanalalia 15 eggs each na in 5 days wanatotoa.so unaongea ukweli bro.asante mnoo
@fredkangethe7497
6 ай бұрын
@Anna Mkenga. Wafugia kuku wapi dada yangu.?
@AnnaMkenga-iu9db
6 ай бұрын
@@fredkangethe7497 nafugia Arusha
@tithomathias
5 ай бұрын
sorry nlikuwa naomba ufafanuz wa ufugaji kuku ili na mm nifanye please nipe ata namba yako
@PeterTuruba-uf4fn
3 ай бұрын
Dada
@user-ye7hh1pv7w
28 күн бұрын
Nimekuelewa bro umetuambia ukweli mtupu nitafanyia kazi
Mungu akupe maisha marefu ni msaada mkubwa kwa taifa umetuamsha san
matuta vijana wanaochangia mawazo hayo ndio mapenzi kweli nakupenda sana mzee wangu
@user-dr7jn4op8g
Жыл бұрын
Kweli juice inafaida nakubali
@user-dr7jn4op8g
Жыл бұрын
Nimewahikufanya juice baada ya miezi 3 nilitoa Faida kubwa siseminikiasigani lkn siachi kufanya juice huwanapumzika tu lkn ndio biashara yngu kubwa nakama Niki fanya Leo wateja wanakuja kwasababu najuwa kutengeneza napia naifanya kwaumaridadi usafi. Kwanza biashara kma hizi zamajimaji. Kma juice mwezangu mtu Hali tu kama hawajamuwangalia mfanyaji usafi wake
@aishakassim75
10 ай бұрын
@@user-dr7jn4op8guko wapi dear nataka kufanya hiyo kazi ila sijui pa kuanzia
Ukosahihi kaka shukran kwakuamsha mawazomapya ktk watuambao huzani nilazima upatemtaji mkubwa dah ahsante kaka
Nakupata vzuri bro cheaf From Moz🇲🇿🇲🇿👍
@PaulinaNduva
11 ай бұрын
❤ good
shukran kaka godlove nakufatilia san na nimejipa miaka mitano from now napenda unavyofanya🙏🙏
Asante sanaa kaka ningependa siku moja tuonane mi naishi msasan nafanya biashara ya mayai kama unaenda kifanya shopping supermarket za shoppers angalia mayai yenye jina MSSAP ...
@justinelius7830
6 ай бұрын
Kaka mtaji wa kuku ulianza na shi ngap
Gentle man ña nusu. God bless you more
Bro sasa huo ndio uwanaume...mwanaume sikupiga tantarira nyingi kma muimba taarabu..hizi ndo njia nzuri zakusaidia wenzio na wao waeze kujituma kwa bidii..Ubarikiwe mzee baba
@AnethEdward-nf6sc
10 ай бұрын
Hongera kwa mada nzuri.
@adelinefikiri3870
6 ай бұрын
C'est vrai
Kaka www ni msaada Kwa jamii Asante xan mungu akubalik
Ahsantee my brother nilikua na ndoto ya kufuga kuku Ila nilikuwa nimekata tamaa Ila Leo umenipa moyo am going to start it...
Shukran kaka kutufungua macho ubarikiwee
Daaaaaa ngoj nikupe maua yako Big point San Brother 🎉🎉
Asante kwa kunifungua brother
Yeah that is very good advice
Big mind, big up bro and God bless
Unatuchamba huku unatupa elimu,big up,mwanzo hata Mimi nilikuwa sikuelewi,ila now nimekumanya,dogo upo vizuri you are the geneous
@happyvalence5352
7 ай бұрын
Tafuta pesa mbwa nyinyi 🤣🤣🤣🤣
@SuzanLazaro-sj8qv
6 ай бұрын
Kaka vp kashata italipa
Asante sana kaka endelea hivyo utukomboe ndugu
Aiseeee bro nakukubl sana we n genius aisee umenitoa kwenye Giza nene
asante bro nilikuwa nawaza cha kufanya❤
Ahsant.bladha umenipa moyo.ngoja nikomae.na kazi.❤🎉
Kaka uko vizuri sana ahsante kwa ushauli wako
Chief lila siku ninakueleza you are the best bro keep it up🎉🎉🎉🎉🎉
kaka kazi zuri sana mimi nina haidia ya kufanya biashara ya kuuza chakula cha mifugo kama chakula cha kuku ila sina mtaji kaka iwezeshe nipo moshi kilimanjaro
Asante Kaka kwaushauli wako unatupa changamoto yakutafuta hela
Nice advice brother
Jamaa kanipa madini na kanifanya kujiona na Mimi naweza for sure Nilikuwa nampango wakufungua biashara ya cm nikawa naogopa ila kanipa nguvu sana huyu mwamba mzalendo respect brother
@evanslikono8634
10 ай бұрын
Mimi ni mkenye Niko Nairobi nafuraia mawaitha yako👍💯
Appriciate cn bro you have open my brain👍👍
Nimekuelewa sana kaka ngoja nikupe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Brother uko vizuri atabiashara ya bekery
Asante kwakutufungua macho bro
Umeeleweka bro asante ubarikiwe
Naisubir ep sod 2 nakupendaa Bure ndroo
Brother hapo umetisha ahsante sana mkuu
Asante kwa ushauri wako Mungu akubarik
Asante kaka ushauri wako mzuri Mimi ninauza juyce kiukweli matunda mazuri nayaona we we mkweli
Umeona mbali sana chakula kinalipa sana aswa catering service hii pia haitaji mtaji mkubwa kikubwa ni ujuzi na kujua namna ya kukuza hiyo biashara hongera chief kwa hili🙌🙌🤝
Ahsante kwasemina mazuri na mungu akubariki
Blz nakupata vzr kbx pande za mpegele hapa
Blessings bro🎉🎉🎉❤
Asante bro napenda san kufanikiwa
Hii ndio hisani kaka hakika umetujenga na tutafata . Maana wivu uliomzuri ni ule wa kuangalia njia walizotumia wenzako kuendelea utumie na wewe tunashukuru kwa elimu yako 💪💪
Nimeipenda hiyo bro.busara zako zinaonyesha kuwa kila mmoja apate
Asantee sana kaka kwa ushauli mzuri
Biashara ya udalali wa vitu used kuna mtu ana shida na kitanda hana hela ya kununua kipya alf kuna mtu amechoka kitanda anataka kingine na anahitaji mtu wa kumpa hela kidogo hapa wew unakua kati kati yao unapiga chako kwa juu na hapa kwenye hii biashara kuna njia 2 za kuifanya moja unakua dalali kwa mnunuzi na muuzaji ya pili ni unanunua bei ya chini mteja anakuja unamuuzia wew😊
@abelaidan
10 ай бұрын
Hii ni bonge la biashara ndio naifanya kwa sasa
Thanks bro im from Congo Drc
Asante mtani kwa juhudi zako kupambana watu wasio kuelewa wenye chuki kama wale wa Ipinda. Nadhani wenye mitaji midogo watavuna kitu hapa. Rgds BDKOMBA
@magrethmbaga1089
5 ай бұрын
Mm napenda biashara y a bakery. Sasa sijui napata wapi mafunzonilinnianze.
Asantee kwa darasa 🙏
Mungu akupe maisha endelevu
asante sana kaka kwa kujifungua ubongo
Umetisha cheaf katiyaizo urizozitaja biashara mbiri nazifikiria irabadokidogo najiwekasawa
Thankx bro...
Asante San kaka unazid kutupa nguvu
Barikiwa sana kaka dah umeniamsha
Umetisha sana kaka ❤❤❤
Mimi nawashauri kitu kimoja tu, kabla ya kufungua biashara yako jitahidi ujibrand (uwekeze kwenye wateja). Mimi nimeanza biashara yangu huu ni mwezi wa tatu tu lakini kwa sasa biashara yangu inanipa faida kubwa kuliko mshahara nnaopata.
@mahengepascal
9 ай бұрын
Unafanya biashara gani
@user-xx2pj1xq6y
6 ай бұрын
Bro biashara gan iyo
@SimonIbrahim-vy2vy
3 ай бұрын
me cjui ata nifanye biashara gn
@bluetikyd7371
Ай бұрын
🤜
Asante sana kaka umetisha
Goodlove Naqba Sana Umefanya Saiv Money Naipambania Sana RESPECT BROTHER
Big up brother kinacho tupa shida ni uoga wa kufanya kitu na hatuna uthubutu wa kujaribu Zaid tunaishia kuyawaza pasipo kutendea kazi
Asante buraza kwaushauri
Biashara ingine ni ya kuuza mtumba,unaweza kununua suruali nzuri yenye bei ya tsh 5000 ukauza 12000 had 15000
Nakumbuka nilianza na mtaji wa sh. Laki 7 katika biashara yangu lakini Kwa Sasa imekuwa na kufikia Mil.25 Kwa miaka miwili na mwaka ujao naanza hiyo ya ufugaji kuku sababu tangu kale naamini itanitoa kimaisha. Respect Chief GODLOVE
@directorballo9598
Жыл бұрын
kwA biashara gan laki7 ad 25m kwa miaka mi2 kaka chacha
@MarCom-xy6cj
Жыл бұрын
Oy wambura
@simonmwashiuya6184
Жыл бұрын
Ni biashara gani mwenzangu
@consolatamedard6593
11 ай бұрын
@@directorballo9598Yani na mm nimewaza kwasauti hapa
@stellawatison6142
11 ай бұрын
Natamani sana biashara sijuwi pakuanzia
Asante kwa ushauri mzuri
Oy chief godlove mm nipo Kenya na nimetaka kuanza biashara ya kuuza viatu na mavazi,je biashara hiyo Ina mtaji? Naomba jibu
@nashajr5491
Жыл бұрын
Oya kamanda Kenya vip biashala uko
Good Idea bro🎉🎉❤
Goooood mwanafyale ndaga fijo
Kaka unatia moyo sana hongera sana bt kingne mm naona kilimo Cha umwagiliaji
Fantastic ideas
Congratulations ❤❤❤❤
❤kaka apo umesaidia vijana wengi sana kifikra god bless you
mungu akubaliki Kaká mi Niko Moçambique
Mungu akubariki sana kaka
❤❤much love chief
Kaka una roho nzuri sana mungu akulinde
Mnajua Huyu Brother ni Geneas sana aise na Unajua Kuna wabongo wachache sana wenye kuwa naakili timamu Ndo watamuelewa huyu jamaa shida ya Cici wabongo Tunakubali anacho kifanya mwamba ila Bado. Wabishi sana 🤣 ila ukweli nikwamba anatisha sana sema Simba 👑👑👑Chief Mungu akuweke content zako Zina fanya vizuri sana 🔥💪
@ukweliunauma4570
10 ай бұрын
Acha kujidanganya mwenzio yuko katika chama hata akiuza mavi yanatoka freemason inachangia iyo
shukran bloo mung atufanikishe
Yani wa Tz sisi hatuna Jema mtu anatueleza biashara za kufanya unaanza kulalama mtaji kwaiyo unataka akuletee mtaji hiyo Juice anayosema sizan kama inataka mtaji mkubwa Mim nilkuwa nacheza mchezo Wa kila siku 2000 lengo tu nipate Blenda na Friji Used nikapata na natengeneza juice mambo yanaenda punguzen kulalamika na kuwaambia watu wachawi niakili tu
@sarahnyaganilwa3862
10 ай бұрын
Hili pia wazo langu hvi juice nzuri ni matunda Gani
@AnethEdward-nf6sc
10 ай бұрын
Tz tunapenda kupewa vitu hatupendi kusugua akili .
Bro nmekuelew vzr ngoj tufanyie kazi
Ahsanten Bro❤
Nimefurahi Sana buradher vipi biashala yangombe
Nakubari bro betri kumbe halina chaji😂😂
Hongera san broo napenda san wakaka wenye uxhauri kama wakwako huo niuxhauri mzuri san
Asante kaka kwaushauli
Kati ya siku unewongeya pweti ndo Sasa ,💝💝💝💝
Nakuelewaga sana sir
Mm nataja biashara moja kwenye hzo mbili zilizobaki biashala ya mtumba inatoa na haihitaji pesa kubwa sana ili kuanza ni pesa kdg2 230000 inatosha sana kuanzisha mitumba ya watoto hii biashala inatowa sana ila hasala kwenye biashala hazikosekan belo moja linatowa zaid ya pesa uliyonunulia
Asante kaka ang
Nakukubar sana chief,
Dah asante sana mm nipo bukoba mm nafanya kaz ya ufund wa sim kama ulivosema inalipa kweli ila nataman na kufuga kuku alafu banda la cd
Asante sana ndugu yang umenisIdi
Umeongea ukweli, Vijana tuamke tufanye kazi
I like it broo🎉🎉🎉🎉
Umetisha xana kaka
Kwa mara ya kwanza nimetazama video yako... Nimekuelewa sana.
Big up bro,,,,,,,
Daaah brother ahsante umenipa elimu kubwa sana ila mm sina hata mtaji je nafanyaje angalau nipate kamtaji kiasi ili niweze kuanzisha biashara.
@user-om3in6di1b
5 ай бұрын
Uza iyo sim upate mtaji
Asante kwa kitushauri
Big up Sana Br
Mimi napenda sana kufanya biashara ya kuuza juice ila bado sijafanikiwa kupata friji tu naomba sana mungu anisaidie nipate PESA ya friji.asnte bro upo vizuri sana