BIASHARA SABA 7 UNAZOWEZA FANYA UKIWA NA MTAJI MDOGO UKAPATA FAIDA KUBWA NA CHIEF GODLOVE

Фильм және анимация

Пікірлер: 811

  • @justinepaul2851
    @justinepaul285110 ай бұрын

    Niliaza na mtaji wa sh 45000 ,mwaka elifu 2017 na mpaka Sasa namiliki zaid ya ml 14.8 ,,,niliaza na biashara ya kuuza vinywaji barabaran mpaka ikanipeleka mtaan kwenye furemu na kuaza kukomaa Hadi kununu pkpk 4 na kuoa hapa hapo na kiwanja na shamba mkoan yaan ,,mungu ni mkubwa ,,,big up chifu?

  • @samsonsoligi2420

    @samsonsoligi2420

    9 ай бұрын

    Biashara gan?

  • @user-ig1wd5yq1f

    @user-ig1wd5yq1f

    9 ай бұрын

    Ulifanya biashara gani??

  • @chiboonline363

    @chiboonline363

    9 ай бұрын

    Ushirikina ulitumika pia

  • @kuyekajisandu

    @kuyekajisandu

    9 ай бұрын

    Good job

  • @malimimasolwa6492

    @malimimasolwa6492

    9 ай бұрын

    Nimekupata sana kwenye kuku me mwenyewe nilianza na kuku mmoja sa iv nina kuku 200

  • @AnnaMkenga-iu9db
    @AnnaMkenga-iu9db7 ай бұрын

    Thanks brother..nimeanza na kuku wa kienyeji 8 natetea na jogoo 2 this year July but nimetotolesha vifaranga zaidi ya 200 kwa 3 months sasa nimeuza and nimeingiza pesa nzuri Iam happy.unachokiongea ni kweli.sasa this December niko na oda ya 120 chicks na tatari nimeweka kuku 10 wote wanalalia 15 eggs each na in 5 days wanatotoa.so unaongea ukweli bro.asante mnoo

  • @fredkangethe7497

    @fredkangethe7497

    6 ай бұрын

    @Anna Mkenga. Wafugia kuku wapi dada yangu.?

  • @AnnaMkenga-iu9db

    @AnnaMkenga-iu9db

    6 ай бұрын

    @@fredkangethe7497 nafugia Arusha

  • @tithomathias

    @tithomathias

    5 ай бұрын

    sorry nlikuwa naomba ufafanuz wa ufugaji kuku ili na mm nifanye please nipe ata namba yako

  • @PeterTuruba-uf4fn

    @PeterTuruba-uf4fn

    3 ай бұрын

    Dada

  • @user-ye7hh1pv7w

    @user-ye7hh1pv7w

    28 күн бұрын

    Nimekuelewa bro umetuambia ukweli mtupu nitafanyia kazi

  • @user-zs1cq5cy6p
    @user-zs1cq5cy6p11 ай бұрын

    Mungu akupe maisha marefu ni msaada mkubwa kwa taifa umetuamsha san

  • @moisebwanamoye1484
    @moisebwanamoye1484 Жыл бұрын

    matuta vijana wanaochangia mawazo hayo ndio mapenzi kweli nakupenda sana mzee wangu

  • @user-dr7jn4op8g

    @user-dr7jn4op8g

    Жыл бұрын

    Kweli juice inafaida nakubali

  • @user-dr7jn4op8g

    @user-dr7jn4op8g

    Жыл бұрын

    Nimewahikufanya juice baada ya miezi 3 nilitoa Faida kubwa siseminikiasigani lkn siachi kufanya juice huwanapumzika tu lkn ndio biashara yngu kubwa nakama Niki fanya Leo wateja wanakuja kwasababu najuwa kutengeneza napia naifanya kwaumaridadi usafi. Kwanza biashara kma hizi zamajimaji. Kma juice mwezangu mtu Hali tu kama hawajamuwangalia mfanyaji usafi wake

  • @aishakassim75

    @aishakassim75

    10 ай бұрын

    ​@@user-dr7jn4op8guko wapi dear nataka kufanya hiyo kazi ila sijui pa kuanzia

  • @ramamavumba6187
    @ramamavumba61878 ай бұрын

    Ukosahihi kaka shukran kwakuamsha mawazomapya ktk watuambao huzani nilazima upatemtaji mkubwa dah ahsante kaka

  • @baysadam235
    @baysadam235 Жыл бұрын

    Nakupata vzuri bro cheaf From Moz🇲🇿🇲🇿👍

  • @PaulinaNduva

    @PaulinaNduva

    11 ай бұрын

    ❤ good

  • @jastinekyando9044
    @jastinekyando904410 ай бұрын

    shukran kaka godlove nakufatilia san na nimejipa miaka mitano from now napenda unavyofanya🙏🙏

  • @mussaabdulmalick2048
    @mussaabdulmalick204811 ай бұрын

    Asante sanaa kaka ningependa siku moja tuonane mi naishi msasan nafanya biashara ya mayai kama unaenda kifanya shopping supermarket za shoppers angalia mayai yenye jina MSSAP ...

  • @justinelius7830

    @justinelius7830

    6 ай бұрын

    Kaka mtaji wa kuku ulianza na shi ngap

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea51539 ай бұрын

    Gentle man ña nusu. God bless you more

  • @hishammudhihiri5555
    @hishammudhihiri555510 ай бұрын

    Bro sasa huo ndio uwanaume...mwanaume sikupiga tantarira nyingi kma muimba taarabu..hizi ndo njia nzuri zakusaidia wenzio na wao waeze kujituma kwa bidii..Ubarikiwe mzee baba

  • @AnethEdward-nf6sc

    @AnethEdward-nf6sc

    10 ай бұрын

    Hongera kwa mada nzuri.

  • @adelinefikiri3870

    @adelinefikiri3870

    6 ай бұрын

    C'est vrai

  • @IsmailMsemwa-cz2pe
    @IsmailMsemwa-cz2pe10 ай бұрын

    Kaka www ni msaada Kwa jamii Asante xan mungu akubalik

  • @GraceGodson-fk3tu
    @GraceGodson-fk3tu8 ай бұрын

    Ahsantee my brother nilikua na ndoto ya kufuga kuku Ila nilikuwa nimekata tamaa Ila Leo umenipa moyo am going to start it...

  • @alihassansorikushey1414
    @alihassansorikushey14149 ай бұрын

    Shukran kaka kutufungua macho ubarikiwee

  • @andrearaphael3728
    @andrearaphael372810 ай бұрын

    Daaaaaa ngoj nikupe maua yako Big point San Brother 🎉🎉

  • @FredyNdimla-uv6dx
    @FredyNdimla-uv6dx10 ай бұрын

    Asante kwa kunifungua brother

  • @user-ub2zv5oi8k
    @user-ub2zv5oi8k10 ай бұрын

    Yeah that is very good advice

  • @user-pg2mv9wd2x
    @user-pg2mv9wd2x4 ай бұрын

    Big mind, big up bro and God bless

  • @BGHaule
    @BGHaule10 ай бұрын

    Unatuchamba huku unatupa elimu,big up,mwanzo hata Mimi nilikuwa sikuelewi,ila now nimekumanya,dogo upo vizuri you are the geneous

  • @happyvalence5352

    @happyvalence5352

    7 ай бұрын

    Tafuta pesa mbwa nyinyi 🤣🤣🤣🤣

  • @SuzanLazaro-sj8qv

    @SuzanLazaro-sj8qv

    6 ай бұрын

    Kaka vp kashata italipa

  • @magesajoseph
    @magesajoseph10 ай бұрын

    Asante sana kaka endelea hivyo utukomboe ndugu

  • @user-oh7ls4cz5l
    @user-oh7ls4cz5l4 ай бұрын

    Aiseeee bro nakukubl sana we n genius aisee umenitoa kwenye Giza nene

  • @aureliakisaka8894
    @aureliakisaka88944 ай бұрын

    asante bro nilikuwa nawaza cha kufanya❤

  • @jafaryNyato
    @jafaryNyato6 ай бұрын

    Ahsant.bladha umenipa moyo.ngoja nikomae.na kazi.❤🎉

  • @dausonmethod618
    @dausonmethod6187 ай бұрын

    Kaka uko vizuri sana ahsante kwa ushauli wako

  • @josephmtavilalo5087
    @josephmtavilalo50874 ай бұрын

    Chief lila siku ninakueleza you are the best bro keep it up🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Mosses8
    @Mosses811 ай бұрын

    kaka kazi zuri sana mimi nina haidia ya kufanya biashara ya kuuza chakula cha mifugo kama chakula cha kuku ila sina mtaji kaka iwezeshe nipo moshi kilimanjaro

  • @user-tg4wt8yh6h
    @user-tg4wt8yh6h5 ай бұрын

    Asante Kaka kwaushauli wako unatupa changamoto yakutafuta hela

  • @mkalitalkshow
    @mkalitalkshow10 ай бұрын

    Nice advice brother

  • @user-sm7ct8lv5l
    @user-sm7ct8lv5l10 ай бұрын

    Jamaa kanipa madini na kanifanya kujiona na Mimi naweza for sure Nilikuwa nampango wakufungua biashara ya cm nikawa naogopa ila kanipa nguvu sana huyu mwamba mzalendo respect brother

  • @evanslikono8634

    @evanslikono8634

    10 ай бұрын

    Mimi ni mkenye Niko Nairobi nafuraia mawaitha yako👍💯

  • @SmartZacky360Tallent
    @SmartZacky360Tallent5 ай бұрын

    Appriciate cn bro you have open my brain👍👍

  • @user-mm9hf9if7f
    @user-mm9hf9if7f10 ай бұрын

    Nimekuelewa sana kaka ngoja nikupe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @olarivolarivp2702
    @olarivolarivp270210 ай бұрын

    Brother uko vizuri atabiashara ya bekery

  • @user-jx9ni2fm5g
    @user-jx9ni2fm5g4 ай бұрын

    Asante kwakutufungua macho bro

  • @tumajunior6080
    @tumajunior608010 ай бұрын

    Umeeleweka bro asante ubarikiwe

  • @samsonmaketa8835
    @samsonmaketa883510 ай бұрын

    Naisubir ep sod 2 nakupendaa Bure ndroo

  • @Nourdeintv2030
    @Nourdeintv20305 ай бұрын

    Brother hapo umetisha ahsante sana mkuu

  • @EzekiaMwaibambe-yu6uk
    @EzekiaMwaibambe-yu6uk7 ай бұрын

    Asante kwa ushauri wako Mungu akubarik

  • @user-pc9ol8jh2s
    @user-pc9ol8jh2s6 ай бұрын

    Asante kaka ushauri wako mzuri Mimi ninauza juyce kiukweli matunda mazuri nayaona we we mkweli

  • @strawberryrachii12-xh5bq
    @strawberryrachii12-xh5bq10 ай бұрын

    Umeona mbali sana chakula kinalipa sana aswa catering service hii pia haitaji mtaji mkubwa kikubwa ni ujuzi na kujua namna ya kukuza hiyo biashara hongera chief kwa hili🙌🙌🤝

  • @user-xn9kf3kp2g
    @user-xn9kf3kp2g4 ай бұрын

    Ahsante kwasemina mazuri na mungu akubariki

  • @FedrickOden-lk5pb
    @FedrickOden-lk5pb Жыл бұрын

    Blz nakupata vzr kbx pande za mpegele hapa

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan662210 ай бұрын

    Blessings bro🎉🎉🎉❤

  • @SaidaTulinge-hr2su
    @SaidaTulinge-hr2su5 ай бұрын

    Asante bro napenda san kufanikiwa

  • @mtinkoITservices
    @mtinkoITservices9 ай бұрын

    Hii ndio hisani kaka hakika umetujenga na tutafata . Maana wivu uliomzuri ni ule wa kuangalia njia walizotumia wenzako kuendelea utumie na wewe tunashukuru kwa elimu yako 💪💪

  • @yahayamasanja1849
    @yahayamasanja18495 ай бұрын

    Nimeipenda hiyo bro.busara zako zinaonyesha kuwa kila mmoja apate

  • @veronicaelias791
    @veronicaelias7912 ай бұрын

    Asantee sana kaka kwa ushauli mzuri

  • @hastatz
    @hastatz Жыл бұрын

    Biashara ya udalali wa vitu used kuna mtu ana shida na kitanda hana hela ya kununua kipya alf kuna mtu amechoka kitanda anataka kingine na anahitaji mtu wa kumpa hela kidogo hapa wew unakua kati kati yao unapiga chako kwa juu na hapa kwenye hii biashara kuna njia 2 za kuifanya moja unakua dalali kwa mnunuzi na muuzaji ya pili ni unanunua bei ya chini mteja anakuja unamuuzia wew😊

  • @abelaidan

    @abelaidan

    10 ай бұрын

    Hii ni bonge la biashara ndio naifanya kwa sasa

  • @user-re4pe8st9f
    @user-re4pe8st9f9 ай бұрын

    Thanks bro im from Congo Drc

  • @comorolodgechamanzisaku6341
    @comorolodgechamanzisaku63415 ай бұрын

    Asante mtani kwa juhudi zako kupambana watu wasio kuelewa wenye chuki kama wale wa Ipinda. Nadhani wenye mitaji midogo watavuna kitu hapa. Rgds BDKOMBA

  • @magrethmbaga1089

    @magrethmbaga1089

    5 ай бұрын

    Mm napenda biashara y a bakery. Sasa sijui napata wapi mafunzonilinnianze.

  • @Ntomolapagu255
    @Ntomolapagu25511 ай бұрын

    Asantee kwa darasa 🙏

  • @user-jo2qh5oq8p
    @user-jo2qh5oq8p6 ай бұрын

    Mungu akupe maisha endelevu

  • @MosesGilya
    @MosesGilya8 ай бұрын

    asante sana kaka kwa kujifungua ubongo

  • @AbdulMpendu-xj8nd
    @AbdulMpendu-xj8nd Жыл бұрын

    Umetisha cheaf katiyaizo urizozitaja biashara mbiri nazifikiria irabadokidogo najiwekasawa

  • @GodbetterIbrahimu
    @GodbetterIbrahimu4 ай бұрын

    Thankx bro...

  • @user-cd2gn3ot9r
    @user-cd2gn3ot9r8 ай бұрын

    Asante San kaka unazid kutupa nguvu

  • @user-vv4wy1ih4r
    @user-vv4wy1ih4r10 ай бұрын

    Barikiwa sana kaka dah umeniamsha

  • @user-yr4cf7wj4g
    @user-yr4cf7wj4g11 ай бұрын

    Umetisha sana kaka ❤❤❤

  • @Dullah08Sportswear
    @Dullah08Sportswear10 ай бұрын

    Mimi nawashauri kitu kimoja tu, kabla ya kufungua biashara yako jitahidi ujibrand (uwekeze kwenye wateja). Mimi nimeanza biashara yangu huu ni mwezi wa tatu tu lakini kwa sasa biashara yangu inanipa faida kubwa kuliko mshahara nnaopata.

  • @mahengepascal

    @mahengepascal

    9 ай бұрын

    Unafanya biashara gani

  • @user-xx2pj1xq6y

    @user-xx2pj1xq6y

    6 ай бұрын

    Bro biashara gan iyo

  • @SimonIbrahim-vy2vy

    @SimonIbrahim-vy2vy

    3 ай бұрын

    me cjui ata nifanye biashara gn

  • @bluetikyd7371

    @bluetikyd7371

    Ай бұрын

    🤜

  • @NeemaGodwin-ql5gm
    @NeemaGodwin-ql5gm2 ай бұрын

    Asante sana kaka umetisha

  • @user-ke2he9ni3u
    @user-ke2he9ni3u10 ай бұрын

    Goodlove Naqba Sana Umefanya Saiv Money Naipambania Sana RESPECT BROTHER

  • @user-yy2qm5ne3d
    @user-yy2qm5ne3d5 ай бұрын

    Big up brother kinacho tupa shida ni uoga wa kufanya kitu na hatuna uthubutu wa kujaribu Zaid tunaishia kuyawaza pasipo kutendea kazi

  • @JacksonDomisian
    @JacksonDomisian9 ай бұрын

    Asante buraza kwaushauri

  • @elikanasamwel
    @elikanasamwel9 ай бұрын

    Biashara ingine ni ya kuuza mtumba,unaweza kununua suruali nzuri yenye bei ya tsh 5000 ukauza 12000 had 15000

  • @chachawambura4030
    @chachawambura4030 Жыл бұрын

    Nakumbuka nilianza na mtaji wa sh. Laki 7 katika biashara yangu lakini Kwa Sasa imekuwa na kufikia Mil.25 Kwa miaka miwili na mwaka ujao naanza hiyo ya ufugaji kuku sababu tangu kale naamini itanitoa kimaisha. Respect Chief GODLOVE

  • @directorballo9598

    @directorballo9598

    Жыл бұрын

    kwA biashara gan laki7 ad 25m kwa miaka mi2 kaka chacha

  • @MarCom-xy6cj

    @MarCom-xy6cj

    Жыл бұрын

    Oy wambura

  • @simonmwashiuya6184

    @simonmwashiuya6184

    Жыл бұрын

    Ni biashara gani mwenzangu

  • @consolatamedard6593

    @consolatamedard6593

    11 ай бұрын

    ​@@directorballo9598Yani na mm nimewaza kwasauti hapa

  • @stellawatison6142

    @stellawatison6142

    11 ай бұрын

    Natamani sana biashara sijuwi pakuanzia

  • @paulinewamboikamaukamau-mp2ze
    @paulinewamboikamaukamau-mp2ze5 ай бұрын

    Asante kwa ushauri mzuri

  • @arnoldopindi4452
    @arnoldopindi4452 Жыл бұрын

    Oy chief godlove mm nipo Kenya na nimetaka kuanza biashara ya kuuza viatu na mavazi,je biashara hiyo Ina mtaji? Naomba jibu

  • @nashajr5491

    @nashajr5491

    Жыл бұрын

    Oya kamanda Kenya vip biashala uko

  • @mohdhamad5521
    @mohdhamad552110 ай бұрын

    Good Idea bro🎉🎉❤

  • @isaackambofi1241
    @isaackambofi124110 ай бұрын

    Goooood mwanafyale ndaga fijo

  • @pauljuliusonyango5735
    @pauljuliusonyango573510 ай бұрын

    Kaka unatia moyo sana hongera sana bt kingne mm naona kilimo Cha umwagiliaji

  • @user-be3nf4ov6c
    @user-be3nf4ov6c4 ай бұрын

    Fantastic ideas

  • @cornelytv2839
    @cornelytv28397 ай бұрын

    Congratulations ❤❤❤❤

  • @user-ik2qn7xp9k
    @user-ik2qn7xp9k5 ай бұрын

    ❤kaka apo umesaidia vijana wengi sana kifikra god bless you

  • @abdulrazaquerazaque
    @abdulrazaquerazaque10 ай бұрын

    mungu akubaliki Kaká mi Niko Moçambique

  • @SasaNgunila-fl9ms
    @SasaNgunila-fl9ms10 ай бұрын

    Mungu akubariki sana kaka

  • @user-ni9bo9dl6f
    @user-ni9bo9dl6f9 ай бұрын

    ❤❤much love chief

  • @OtevaTz-uf3pc
    @OtevaTz-uf3pc28 күн бұрын

    Kaka una roho nzuri sana mungu akulinde

  • @mr_shark3587
    @mr_shark358711 ай бұрын

    Mnajua Huyu Brother ni Geneas sana aise na Unajua Kuna wabongo wachache sana wenye kuwa naakili timamu Ndo watamuelewa huyu jamaa shida ya Cici wabongo Tunakubali anacho kifanya mwamba ila Bado. Wabishi sana 🤣 ila ukweli nikwamba anatisha sana sema Simba 👑👑👑Chief Mungu akuweke content zako Zina fanya vizuri sana 🔥💪

  • @ukweliunauma4570

    @ukweliunauma4570

    10 ай бұрын

    Acha kujidanganya mwenzio yuko katika chama hata akiuza mavi yanatoka freemason inachangia iyo

  • @hilalshaib
    @hilalshaib2 ай бұрын

    shukran bloo mung atufanikishe

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard659311 ай бұрын

    Yani wa Tz sisi hatuna Jema mtu anatueleza biashara za kufanya unaanza kulalama mtaji kwaiyo unataka akuletee mtaji hiyo Juice anayosema sizan kama inataka mtaji mkubwa Mim nilkuwa nacheza mchezo Wa kila siku 2000 lengo tu nipate Blenda na Friji Used nikapata na natengeneza juice mambo yanaenda punguzen kulalamika na kuwaambia watu wachawi niakili tu

  • @sarahnyaganilwa3862

    @sarahnyaganilwa3862

    10 ай бұрын

    Hili pia wazo langu hvi juice nzuri ni matunda Gani

  • @AnethEdward-nf6sc

    @AnethEdward-nf6sc

    10 ай бұрын

    Tz tunapenda kupewa vitu hatupendi kusugua akili .

  • @user-wz6cn9ze2c
    @user-wz6cn9ze2c6 ай бұрын

    Bro nmekuelew vzr ngoj tufanyie kazi

  • @waleggaestrongboy
    @waleggaestrongboy4 ай бұрын

    Ahsanten Bro❤

  • @user-gh4ph9nx6x
    @user-gh4ph9nx6x10 ай бұрын

    Nimefurahi Sana buradher vipi biashala yangombe

  • @user-qd7sl4vu1e
    @user-qd7sl4vu1e5 ай бұрын

    Nakubari bro betri kumbe halina chaji😂😂

  • @HawaHussein-hq1lj
    @HawaHussein-hq1lj10 ай бұрын

    Hongera san broo napenda san wakaka wenye uxhauri kama wakwako huo niuxhauri mzuri san

  • @user-pm5ie6pl4q
    @user-pm5ie6pl4q5 ай бұрын

    Asante kaka kwaushauli

  • @BlackMamba-qs1uz
    @BlackMamba-qs1uz10 ай бұрын

    Kati ya siku unewongeya pweti ndo Sasa ,💝💝💝💝

  • @rehemaothuman3764
    @rehemaothuman37644 күн бұрын

    Nakuelewaga sana sir

  • @barnabawilliams586
    @barnabawilliams58611 ай бұрын

    Mm nataja biashara moja kwenye hzo mbili zilizobaki biashala ya mtumba inatoa na haihitaji pesa kubwa sana ili kuanza ni pesa kdg2 230000 inatosha sana kuanzisha mitumba ya watoto hii biashala inatowa sana ila hasala kwenye biashala hazikosekan belo moja linatowa zaid ya pesa uliyonunulia

  • @GraceEzekiel-rw1fh
    @GraceEzekiel-rw1fh10 ай бұрын

    Asante kaka ang

  • @BaloziKiliwale
    @BaloziKiliwale4 ай бұрын

    Nakukubar sana chief,

  • @user-ij2bf9mb6v
    @user-ij2bf9mb6v8 ай бұрын

    Dah asante sana mm nipo bukoba mm nafanya kaz ya ufund wa sim kama ulivosema inalipa kweli ila nataman na kufuga kuku alafu banda la cd

  • @Shadianujum
    @Shadianujum26 күн бұрын

    Asante sana ndugu yang umenisIdi

  • @deniseliya348
    @deniseliya348 Жыл бұрын

    Umeongea ukweli, Vijana tuamke tufanye kazi

  • @user-zz6mi4yj8w
    @user-zz6mi4yj8w7 ай бұрын

    I like it broo🎉🎉🎉🎉

  • @user-ez8ds8ng9y
    @user-ez8ds8ng9y Жыл бұрын

    Umetisha xana kaka

  • @kulishaandry5730
    @kulishaandry57306 ай бұрын

    Kwa mara ya kwanza nimetazama video yako... Nimekuelewa sana.

  • @colethahenry6063
    @colethahenry60638 ай бұрын

    Big up bro,,,,,,,

  • @florianmzagila2136
    @florianmzagila21369 ай бұрын

    Daaah brother ahsante umenipa elimu kubwa sana ila mm sina hata mtaji je nafanyaje angalau nipate kamtaji kiasi ili niweze kuanzisha biashara.

  • @user-om3in6di1b

    @user-om3in6di1b

    5 ай бұрын

    Uza iyo sim upate mtaji

  • @user-gk1om1lx4t
    @user-gk1om1lx4t4 ай бұрын

    Asante kwa kitushauri

  • @AndreaEzekiel-wm6sv
    @AndreaEzekiel-wm6sv9 ай бұрын

    Big up Sana Br

  • @MarthaDonald-wb4ll
    @MarthaDonald-wb4ll2 ай бұрын

    Mimi napenda sana kufanya biashara ya kuuza juice ila bado sijafanikiwa kupata friji tu naomba sana mungu anisaidie nipate PESA ya friji.asnte bro upo vizuri sana

Келесі