ONGEZA KIPATO KWA KUFANYA BIASHARA HIZI 5 ZITAKAZOKULIPA VIZURI KWA MTAJI WA KUANZIA ELFU 50 TU.
Kununua Vitabu vyangu vya Ushauri wa Maisha
1. Thubutu Kufanikiwa - 10,000
2. Mwanamke wa Thamani - 10,000
3. Siri za Kuishi Maisha ya Furaha - 15,000
Piga simu namba 0687786576.
Пікірлер: 356
Asante dada kwa ushaur mungu akuzidishie kwa kila jambo
@annaclaireshija
6 күн бұрын
@@Zuwenamuhammedy Amina, karibu sana.
Hongera sana dogo kwa exposure nzuri sana big up sana ❤❤
Niko kenya dada nimependa sana maelezo yako mungu akubariki
@annaclaireshija
Жыл бұрын
Amina kipenzi. Karibu sana.
Nimekuelewa sana Mungu akubless
Thanks so much kwakunifungulia dunia kwa mawazo konki kabisa kilicho baki ni kazikwangu kuchukua hatua yani ni Mungu tu nilikua napita tu youtube sahivi ndiyo nikaona hili somo japo ulifundisha siku nyingi miezi 7 imepita Ila sihaba nimepata kitu ubarikiwe mno dada angu yani mh sijui nisemaje kwakweli be blessed indeed
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Amina mpendwa. Ubarikiwe pia na Mwenyezi Mungu akufanikishe katika mipango yako.
🙏♥️somo nzuri dada ,ubarikiwe! wengi wataelimika na kujikomboa kiuchumi kupitia wewe👏
@annaclaireshija
9 ай бұрын
Amina dear, tubarikiwe sote ❤️
Thanks,Mungu akubariki kwa elimu kwa uma. Keep on doing it!
@annaclaireshija
Ай бұрын
Thank you dear ❤️
Ubarikiwe sana, Mungu azidi kukutumia kufungua watu kimawazo
@annaclaireshija
3 ай бұрын
Amina dear, Asante sana.
Ubarikiwe sana kwa ujumla umetoa somo zuri msingi wa mafanikio nimependa sana somo lako.
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Amina, asante sana. Ubarikiwe pia.
Hamjambo, Mimi kikweli nipo ulaya na mtaji wangu sio mdogo, naona ki kweli nipo na uwezo mkubwa. Nahitaji kufanya Biashara ya REAL ESTATE TANZANIA ila sijui nianziye wapi... Naomba sana usaidizi... Shukran
@King_David2.
10 ай бұрын
😅
@victormagafu7652
8 ай бұрын
tuwasiliane niko tarime Mara kwa rel estate hapa ardhi ipo na kilimo cha mahindi misimu miwili na soko zuri kwa nchi ya Kenya na South Sudan Ujenzi wa nyumba na kupangisha au kuuza soko lipo tuko mpakani soko lipo vile vile ununuzi wa dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo waliowengi hapa
@fredrickmutabilwa8269
7 ай бұрын
Mzee karibu Tz sisi tupo Mzee uwezo na uhaminifu ktk Biashara ninao na najihamini kwa Hilo japo Sina wakunibusti tuwasiliane napatikana Tanzania Bukoba Kagera
@fredrickmutabilwa8269
7 ай бұрын
Aridhi ya kilimo Cha parachichi ninayo karibu Sana
Asante kwa Elim mungu akulinde
@annaclaireshija
5 күн бұрын
@@user-wo5bj8wm4y Amina dear 🙏🏾
Mungu akubariki kwa kazi na elimu unayo saidia vijana wenye nia yakutafuta na kujituma kupata kipato halali
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Amina, ubarikiwe sana.
@JedyIsack-ec1kx
6 ай бұрын
Dada nimekuelewa, lakini umezungumzia kwa watu walioko mjini tu, je kwa walioko vijijini?
Asante sana madam ❤
@annaclaireshija
8 ай бұрын
Asante dear.
Asante dada kwa somo zuri
Mashaa Allah shukran sana kwa elimu ALLAH azidi kukuhifadhi my sister.
@annaclaireshija
7 ай бұрын
Amina Amina 🙏🏾 ubarikiwe.
Asante sana Mimi nitaanza na mitumba ya akina mama na icessories. Nitatangaza mtandaoni, haviozi nitauza, ubarikiwe
@annaclaireshija
7 ай бұрын
Sawa dear. Hongera sana kwa maamuzi.
Ahsante sana dada mungu akubariki kwa ushauri mzuri
@annaclaireshija
7 күн бұрын
@@HappyMathias-f1d Amina dear. Ubarikiwe pia.
Umenitia moyo sana dada angu nataman kuelekezwa jinsi ya kutumia mtandao kupost biashara msaada jamn
@annaclaireshija
6 ай бұрын
La kwanza, ujue unataka kuwa unapost nini hasa au bidhaa gani, kisha unaweka maelezo ya bidhaa yako, mahali inapopatikana, bei na mawasiliano yako. Ni muhimu uwe unapost kila siku na kubuni njia za kutengeneza maudhui yatakayovutia wateja wako.
Asante mum wewe ni super woman ushauri wako umenijenga kiimani na kifikra pia💕😘
@annaclaireshija
5 ай бұрын
Asante sana dear.
Asante sana kwa elimu Bure wewe ni wa maana kulikoni wanaojitahidi kusema uongo
@annaclaireshija
6 ай бұрын
Amina mpendwa, nashukuru.
Asante sana dada Mungu akubariki sana
@annaclaireshija
Жыл бұрын
Amina, tubarikiwe sote.
Mungu akutunze dada SoMo lako nizur naomba unifundishe jinsi yakutumia mtandao kibiashara❤
@annaclaireshija
6 ай бұрын
Wasiliana nami kwa namba 0687786576.
Asantee sana dada
Asante sana dadangu nmejifunza kitu kwa kupitia maelezo yako barkiwa sana🎉
@annaclaireshija
9 ай бұрын
Amina, asante sana ubarikiwe pia 🙏🏾
Nimekuelewa Sana dada angu ahsante Sana Barikiwa Sana.
@annaclaireshija
9 ай бұрын
Amina dear, ubarikiwe pia 🙏🏾
Nimekupenda sana kwa utoaji wa Elimu hiyo nzuri..
@annaclaireshija
9 ай бұрын
Asante dear, karibu
@lydiachunga1264
9 ай бұрын
@@annaclaireshija Asante kwa elimu
Ahsante sana nimejifunza kitu kutoka kwako mungu akubariki
@annaclaireshija
8 ай бұрын
Asante sana dear. Amina 🙏🏾 ubarikiwe.
Asante Kwa ushauri dada
@annaclaireshija
3 сағат бұрын
@@EmmanuelChinguile-t7x Karibu sana.
Ubarikiwe dada nimependa ushauri wako,umeongea kweli
@annaclaireshija
2 ай бұрын
Asante dear.
Safe sana, darasa nzuri, endelea kuelimisha jamii, nimeipenda.
@annaclaireshija
Жыл бұрын
Asante mpendwa. Ubarikiwe.
@tideamasha4380
10 ай бұрын
Ubarikiwe Sana kipenzi
@FridaPaul-gg7ts
10 ай бұрын
❤❤
@EvelynRuzindaza-yb6np
10 ай бұрын
Ubarikiwe!
Ubarikiwe sana mpendwa kwa kutuelim8sha
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Akina dear, ubarikiwe pia kwa kutazama.
Asante sana kwa mafundisho mazuri nimependa
@annaclaireshija
7 ай бұрын
Asante dear.
Yaan ww Dada una mawazo mazuri ya Ujasiriamali🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Asante sana na karibu.
Shukran dada❤
@annaclaireshija
8 ай бұрын
karibu sana.
Asante sana dada kwa yshUri wake nitaufNuia kszi
@annaclaireshija
7 ай бұрын
karibu sana.
Asante sana nimejifunza sasa nikuingia kwenye utekelezaji tu barikiwa sana mama
@annaclaireshija
6 ай бұрын
Amina dear, ubarikiwe pia.
Asante sana kwa elm yko endlea kutpa maujuziii
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Asante sana dear.
A Great motivation dada shija
@annaclaireshija
5 ай бұрын
Thank you very much 🙏🏾
ubarkiwe kwaushqur mzur Mungu akubarki sana nimeguswa nanitqyafanyia kazi
@annaclaireshija
9 ай бұрын
Amina dear, ubarikiwe pia.
Asante sana kwa elim yako mama.
@annaclaireshija
Жыл бұрын
Nashukuru sana dear.
Nipo zanzibar asante sana kwaushauri wako tutaufanyikazi asante
@annaclaireshija
6 ай бұрын
Asante dear. Karibu sana.
Asante sana dada kwa somo zuri
@annaclaireshija
5 ай бұрын
Nashukuru 🙏🏾👍🏾
Ok sawa dada nitafute Mimi mdogo wako
Asante sana dada mungu akubariki nimejifu za kitu
@annaclaireshija
4 ай бұрын
Amina dear 🙏🏾 Ubarikiwe.
Asante dada nakuelewa sana
@annaclaireshija
11 ай бұрын
Asante dear.
thanks so much mom nmeamua kitu sasa
@annaclaireshija
10 ай бұрын
hongera na karibu sana.
Asante sana umenifungua na umenipa nguvu
@annaclaireshija
Жыл бұрын
Ubarikiwe mamii. Asante sana ❤️
Mashallah...unajitahid Sana my dear....unatujenga kiakil
@annaclaireshija
Жыл бұрын
Asante sana Mpendwa. Uzidi kubarikiwa.
@sammyhosny8566
Жыл бұрын
@@annaclaireshija ameeen...my dear
thanks cster
@annaclaireshija
10 ай бұрын
you are welcome dear.
Asante nimeipenda sana somo zuri
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Asante sana dear.
Ahsante Mungu akubariki dada
@annaclaireshija
6 ай бұрын
Amina dear. Ubarikiwe pia.
Asante sana. Inaelimisha sana
@annaclaireshija
10 ай бұрын
karibu sana dear 👍🏾
🎉🎉🎉thankfully madame
@annaclaireshija
8 ай бұрын
you are welcome
Ahsante Sana kwa Elimu yako nzuri ya Biashara Dada angu.
@annaclaireshija
7 ай бұрын
karibu sana na asante kwa kutazama.
@fredrickmutabilwa8269
7 ай бұрын
Unapatikna wapi Dada
@fredrickmutabilwa8269
7 ай бұрын
@@annaclaireshija nimependa Sana elimishaji yako 🙏
@annaclaireshija
7 ай бұрын
@@fredrickmutabilwa8269 Dar es salaam.
Ahsante sana dada Kwa elimu hii
@annaclaireshija
9 ай бұрын
karibu sana dear.
Asante kwa elim ya biashara
@annaclaireshija
4 ай бұрын
Karibu sana.
Asante dada kwa SoMo zuri
@annaclaireshija
10 күн бұрын
@@SityLuu Karibu sana. Unaweza pia kupata Vitabu vyenye mafunzo mbalimbali ambayo yatakusaidia kujipatia maendeleo 0687786576.
Barikiwa dada, nimechukua mawazo yako.
@annaclaireshija
7 ай бұрын
Karibu sana.
Asante dada kwa ushauli wako
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Karibu sana.
Asante Kwa ushauli wako mzur❤❤
@annaclaireshija
6 ай бұрын
Karibu sana.
Mungu awe pamoja nawe
Ni nzuri sana, utawasaidia wengi
@annaclaireshija
9 ай бұрын
asante dear 👍🏾
Daaa mm nataka hizo cheni vipuli hapo tadzania lakini sijui ntazipatavipi asante
Nimependa sana ,na nimejifunza kitu ubalikiwe
@annaclaireshija
4 ай бұрын
Asante sana dear.
Honger san dada nmeipend❤❤🙏
@annaclaireshija
9 ай бұрын
Asante sana dear.
Asante sana dada
@annaclaireshija
10 ай бұрын
karibu sana dear.
Hongera kwa somo.
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Asante dear ❤️
Asante dada kwa kunihelimisha
@annaclaireshija
8 ай бұрын
karibu dear.
Asante dada🙏🏽❤
@annaclaireshija
9 ай бұрын
Karibu dear 👍🏾
Nimekuelewa sana mamaangu kipenzi Naomba uendelee kutupa seminar usichoke tafadhali.
@annaclaireshija
Жыл бұрын
Asante dear. Nitaendelea.
Asante dada nimekuelewa sana
@annaclaireshija
Ай бұрын
Karibu sana.
Asante barikiwa
@annaclaireshija
9 ай бұрын
Amina dear, tubarikiwe sote.
Thanks dear ❤
@annaclaireshija
6 ай бұрын
you are welcome ❤️
Asante Dada. Kwa ushauri
@annaclaireshija
6 ай бұрын
Karibu dear.
Safi sana mamaa , wengi huanza na 500000 wanaishia visuruali na kutengeneza nywele zinaisha.
@annaclaireshija
Жыл бұрын
Asante sana kw kutazama.
@theophildamfuruki6859
8 ай бұрын
Naomba namba yako
Asante sn dada .rakini mm naomba unishauri kitu mm hapa nikonamutaji wa 20000 rakini sijaona biashara ya kufanya
@annaclaireshija
5 ай бұрын
Kama unaweza kupika, pika maandazi, yatafaa kwa mtaji huo.
Asante ubarikiwe dada
@annaclaireshija
2 ай бұрын
Amina mpendwa.
Asante Sana ume nifundisha kitu hapo nime kuelewa
@annaclaireshija
5 ай бұрын
Karibu sana my dear.
Hongera sana,mdada kwa mashule haya
@annaclaireshija
5 ай бұрын
Nashukuru sana dear.
Asante Sana mama waeleweshe
@annaclaireshija
7 ай бұрын
Nashukuru 🙏🏾
Ubarikiwe San dad
@annaclaireshija
Жыл бұрын
Amina, tubarikiwe sote dear.
🎉🎉 ahsante dada
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Karibu sana.
Asante kwa elim ya biashsra
@annaclaireshija
10 ай бұрын
karibu sana dear.
Asante kwakwel kwa nasaha nzur. ❤.
@annaclaireshija
6 ай бұрын
Asante kushukuru.
Barikiwa ssna asante
@annaclaireshija
9 ай бұрын
amina, ubarikiwe pia.
Asante sana kwa darasa tamu
@annaclaireshija
9 ай бұрын
asante na karibu
Ahsante Kwa darasa ,ur
@annaclaireshija
9 ай бұрын
karibu sana dear.
Mungu akulipe dada yetu kwa kuelimisha jamii
@annaclaireshija
8 ай бұрын
Amina dear. Asante sana. Comment kama hizi zinanipa moyo wa kuona kumbe ninachokifanya ni kizuri na cha thamani kwa watu wa Mungu.
@RebeccaMuhimba-be1pj
3 ай бұрын
@@annaclaireshijadada please nilikuwa naomba no yako ya Whatsapp kuna kitu umeni herimisha nataka uniongoze kwenye biashara yangu
Darasa nzuri sana dada nahitajikujifunza zaid
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Asante dear na Karibu.
Nimejifunza kitu Asante
@annaclaireshija
6 ай бұрын
Karibu sana.
I like
@annaclaireshija
Жыл бұрын
youa re welcome 👍🏾
Nimekuelewa mama mjasiriamali nimefurahishwa sana na mawazo yako
@annaclaireshija
8 ай бұрын
Asante sana na karibu.
Barikiwe dada yangu
@annaclaireshija
5 ай бұрын
Amina Amina tubarikiwe sote.
Asante dada vp kuhus biashar ya vikapu
@annaclaireshija
2 ай бұрын
Ni nzuri tu mpendwa hasa ukizingatia sasa hivi matumizi ya mifuko ya plastic hayaruhusiwi.
Asante,samahani unauzoefu juu ya kuingiza kama nguo viatu ktk nchi nyingine utaratibu ukoje?
BARIKIWA Anna na zaidi ya KUBARIKIWA.
@annaclaireshija
Жыл бұрын
Amina kipenzi. Ubarikiwe sana pia 🙏🏾
Ubarikiwe Dada umenifungua kiakili
@annaclaireshija
10 ай бұрын
Amina, ubarikiwe pia.
@frankkasembo2940
10 ай бұрын
Amina
Barikiwa sana
@annaclaireshija
6 ай бұрын
Amina dear. Ubarikiwe pia.
Safi sana,ulikuwa DED wetu same Kilimanjaro
@annaclaireshija
9 ай бұрын
Asante, nawashukuru wana Same 👍🏾👍🏾
Barikiwa
@annaclaireshija
11 ай бұрын
Amen. Ubarikiwe pia.