TRAINING: Ufugaji wa Samaki

Пікірлер: 32

  • @jabirnalicho6218
    @jabirnalicho62182 жыл бұрын

    Nashukuru sana kwa elimu nzuri

  • @emmyshya-year9600
    @emmyshya-year96004 жыл бұрын

    tunashkuru kwa darasa zuri sana nimependa. Ila hilo li mziki linakera..lina saut ya juuu sana had kero.

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias11884 жыл бұрын

    Kifaraga kimoja cha samaki aina ya sato na kabale ni sh. Ngapi pia mawasiliano yenu Jamani ni mhimu na mnapopatikana

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya69513 жыл бұрын

    Jamaniii naomben msaada, nataka kufuga samaki

  • @mankappy2017
    @mankappy20174 жыл бұрын

    Shukran kwa darasa , namba ya simu kwa mawasiliano zaidi tafadhali

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo30644 жыл бұрын

    nikweli kaka endelea hivo hivo kutuilimisha kwa mambo kama hayooo.

  • @uwezomazongera7819
    @uwezomazongera78194 жыл бұрын

    this is gud and impressing

  • @suleimanmbarouk650
    @suleimanmbarouk6504 жыл бұрын

    Good

  • @user-vu7yy6hp8j
    @user-vu7yy6hp8j11 ай бұрын

    Mafunzo mazuri , nambari ya mawasiliano

  • @hassansiraji8648
    @hassansiraji86484 жыл бұрын

    Vep maji yanatakiwa yabadrishe kila baada ya muda gan

  • @mrakida
    @mrakida2 ай бұрын

    ili uwe na bwawa 6 za ukubwa wa 30mx20m ina maana uwe na eneo lenye 3600 square meters kama sijakosea ..Kwa maana hiyo eneo karibia na heka moja ..Naomba ushauri zaidi kama nimekosea hesabau apo..Maana kama ndio ivyo basi ufugaji wa samaki kibiashara ni grama sana maana wakulima wadogo hawana maeneo kiasi icho

  • @gidombawala3111
    @gidombawala31114 жыл бұрын

    Nadhani mabwawa Madhuri ni ya kujenga

  • @evangomera9565
    @evangomera9565 Жыл бұрын

    Nahitaji elimu ya ufugaji wa samaki

  • @martinaswai1347
    @martinaswai13475 жыл бұрын

    Asante Sana mtaharamu wetu

  • @simakeexavery3260
    @simakeexavery32604 жыл бұрын

    Shukrani

  • @trendingworld7613
    @trendingworld7613 Жыл бұрын

    jaman mi sielew mnaposema samaki wanne sijui watano mnamaanisha nn 🙄

  • @gladymwaipopo5002
    @gladymwaipopo50023 жыл бұрын

    Mnapatikana wapi

  • @traffrocky5081
    @traffrocky50813 жыл бұрын

    Watu tunaitaji namba

  • @juliethscott1129
    @juliethscott11294 жыл бұрын

    Namba ya simu please

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster66914 жыл бұрын

    Kama umevuna maji ya mvua au kisma bado unahitaji kibali??

  • @evangomera9565
    @evangomera9565 Жыл бұрын

    Number ya uwasiliyano

  • @joycepaul8848
    @joycepaul88484 жыл бұрын

    Tunapataje namba zenu

  • @godfreylaroya4480
    @godfreylaroya44805 жыл бұрын

    Asante sana nimekuelewa

  • @charlesbonifacenashanda7814

    @charlesbonifacenashanda7814

    4 жыл бұрын

    Naomba namba za simu

  • @williamftairo3475
    @williamftairo34754 жыл бұрын

    Chakula cha samaki ni kipi na tunakipataje?

  • @olivemwamengonakilimombeya6951

    @olivemwamengonakilimombeya6951

    3 жыл бұрын

    Ulipata namba? Naomba

  • @anyangograce1465
    @anyangograce14654 жыл бұрын

    Mm nina eneo na nina maji

  • @dastanfussy4898

    @dastanfussy4898

    4 жыл бұрын

    Upo wapi?

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    Жыл бұрын

    🇮🇱Je 1m² wanaweza kukaa KAMBALE WANGAPI?

  • @anyangograce1465
    @anyangograce14654 жыл бұрын

    Mnapatikana wp na no zenu he zapatikanaje

  • @olivemwamengonakilimombeya6951

    @olivemwamengonakilimombeya6951

    3 жыл бұрын

    Namba ulipata ndugu, maana nataka

  • @godifreypaul9409
    @godifreypaul94094 жыл бұрын

    Mnapotaka kuwaelimisha watu,tafuteni MTU mwenye ufahamu,mzoefu wa kuelimisha.MF.kifaranga kimoja sh,ngapi.bei ya chakula,mmoja anaanzia na sh,ngapi akikuwa.Kibali cha maji,kuna watu wanavuna ya mvua,ulaji wao kwa siku,nk.

Келесі