Zifahamu Faida za Ufuagaji wa Samaki Kwa Njia ya Kisasa
#busokelotv #ufugajisamaki#samaki#ufugaji#
Kumekuwa na ongezekla watu wengi mijini na vijijini kuingia katika ufugaji wa samaki, Miradi hii imekuwa ikigharimu fedha nyingi katika uanzishwaji wake, Ili mfugaji aweze kuwa na ufugaji wenye tija, hana budi kujifunza ufugaji wa samaki kwa njia ya kisasa ambao hufanyika kwenye mabwawa ya kuchimbwa au visima na vifaa vingine vinavofanana na hivyo, vyenye uwezo wa kufugia samaki.
KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI
Email: busokelotv@gmail.com
Simu: 0762684745 au 0674217445
Karibu sana
Пікірлер: 7
Good good 👍
Naomba namba za wafugaji wa samaki
Hogera na Mimi napenda kufuga samaki naomba msaada wa elimu
Jambo nataka mnifundishe kufuga samaki asanteni niko hapa Bujumbura
Aye mabwawa unayo para samaki 100 nimta ngapi kwamola ngapi
Elimu kama hizi zinahitajika uwazi Sasa mnaficha manaulizwa maswali hamjibu
@BusokeloTV
Жыл бұрын
asante kwa kutembelea Busokelo tv tafadhari piga namba 0679795294