Busokelo TV

Busokelo TV

Karibu katika channeli yetu
Busokelo Tv ni chombo cha habari kinachouhabarisha umma Habari/Taarifa/Makala mbalimbali ndani na nje ya Tanzania.

MAWASILIANO
Email: [email protected]
Tel: +255762684745/+255674217445

Tufuatilie:
Facebook, Instagram and Twitter kwa kubofya viunganishi hapo chini

Пікірлер

  • @NeverMwakyoma
    @NeverMwakyoma18 сағат бұрын

    Hakika yawe ni ya kweli katika shule yetu jaman

  • @benjamincharles4315
    @benjamincharles431523 сағат бұрын

    Jesho lipo bongo

  • @furahamwakalukwa
    @furahamwakalukwaКүн бұрын

    Mwaambien huyu bunge wenu tunataka bara bara toka njia border mpaka Itunge port ijengwe .

  • @revdrseni
    @revdrseniКүн бұрын

    Kuna kinachoendelea nyuma ya kurudisha joho! Si bure! Yaani makamu anamtuma mtoto kupeleka joho kwa askofu mkuu? Hapa makamu hajasema ukweli

  • @jonisiamdulingwa6900
    @jonisiamdulingwa6900Күн бұрын

    Weeee alimtuma mtoto!!!!!!!! 😂😂😂😂😂😂😂

  • @mariakawogo3449
    @mariakawogo3449Күн бұрын

    Mwambola anajichanganya

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470Күн бұрын

    Dhambi ya uasi inawatesa

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862Күн бұрын

    Apewe monobani yule wa Arusha mgombania ardhi awe naibu askofu wenu

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862Күн бұрын

    Tatizo ni wafanyabiashara kinachohitaji mnyumbu ambao ni wahumini wanatakiwa wajitambue

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda13192 күн бұрын

    Ok we thanks to hear that progress of mwabukusi take case to curt for him been blocked tls presidential candidate l as the tls president election ok mwabukusi we are following this move vary close be strong enough to resist as the tls presidential matiriol lncass win case to curt tuko pamoja bwana mwabukusi

  • @ambokilegwakisa3526
    @ambokilegwakisa35262 күн бұрын

    Tumekuelewa mkuu wa mkoa Hawa viongozi wa kweku wanakwamisha maendelea ya wanakyela kwa kuwahujumu

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel61532 күн бұрын

    Minawaambia nyie watanzania tumepoa sana katika nchi hiii kodi zetu zinaenda kununua magali ya msafara wa rais

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x2 күн бұрын

    Watanzania bhna tatizo letu hua tunajisahaulisha Hapo Samia akija akawaondolea mtapuga kelele za shangwe muanze kusema mama mama mama utafikiri Hauna mama yako Baada ya muda atazurudisha tu atarudisha kodi

  • @GwakisaMwangajilo-rm4es
    @GwakisaMwangajilo-rm4es3 күн бұрын

    Wewe mzee usituletee ujinga wako

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya66243 күн бұрын

    Mnaacha kutuchagua sie wenyeji mnaleta wageni ss shida hio

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya66243 күн бұрын

    Wasomi ndio wezi walawala wamejisahau kbs

  • @user-fk6mt5ib6g
    @user-fk6mt5ib6g3 күн бұрын

    Huyu mama akishinda 2025 mtafunga biashara

  • @KanikiIkinda
    @KanikiIkinda3 күн бұрын

    Ambao hawafanyi biashara hawataelewaa.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel61532 күн бұрын

    Wanatoa macho😮😮😮

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso3 күн бұрын

    Mabadilko ni muhimu kwenye hii nchi.

  • @danielmwandenga5369
    @danielmwandenga53693 күн бұрын

    Mm sijaelewa mbona nchi yetu mtu anagombea popote tu , ila labda kwenye mchango hapo mana nchi yetu wat hawana uihari san wakulipa michango kisa inaliwa sana

  • @oscarwasenga1333
    @oscarwasenga13333 күн бұрын

    Kodi zetu wao wanafanyia anasa

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary55883 күн бұрын

    Tokeni zenu hapo hatuwataki kabisa na upmbavu wenu

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary55883 күн бұрын

    Semeni hatumtaki samia na mawaziri wake wote vinginevyo mtakuwa mnawatafutia wao ili wanunue maviex

  • @Ushauri235
    @Ushauri2353 күн бұрын

    Daaaaaa poleni jamani😊

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu30363 күн бұрын

    Something is seriously wrong 😒 😕

  • @MirajiMbolile
    @MirajiMbolile3 күн бұрын

    Watanzania wote inapaswa kuamka kwa sasa . Bila ya hivyo tutakuwa watumwa wa nchi hii

  • @emmanuelellymwakyusa2900
    @emmanuelellymwakyusa29003 күн бұрын

    .... SHIDA yetu KODI zetu hazilindi MITAJI tunashindwa KUZALISHA tunabanana na KODI nyofo nyofo ni za KINYONYAJI huyu mtu ana AKILI na anajielewa #MwiguluisaFAILURE anamuangusha MAMA

  • @ClayONeal-s5c
    @ClayONeal-s5c3 күн бұрын

    Huyu ni Mimi kbs

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko39153 күн бұрын

    Namshukuru Mungu pia

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko4 күн бұрын

    Chama imehingiliwa na mafisadi hatari twende wapi

  • @MashauriissaMohamed
    @MashauriissaMohamed4 күн бұрын

    Hongeren sana jeshi la polisi

  • @KuwedaPaul
    @KuwedaPaul4 күн бұрын

    Magereza tupo vizuli

  • @Big-oc8wl
    @Big-oc8wl4 күн бұрын

    Mji wangu mzuri kyela napapenda kyela home sweet home.

  • @AmenithaDickson
    @AmenithaDickson4 күн бұрын

    Ifike mahali mtumishi wa Mungu ukae mahali ujitafakari kwanini kila pahala wanakaa na mimi kwa muda fulani na baada ya hapo wananikataa yan hawataki kushirikiana na wewe. Lakini pia ukitaka kumjua kiongozi yoyote vizuri uliza aliofanya nao kazi watakwambia ni mtu wa aina gani huyo.

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose13344 күн бұрын

    😮😮😢

  • @AmbokileOmarymwanyiru
    @AmbokileOmarymwanyiru5 күн бұрын

    Yamefika yaliyotalajiwa kama kawaida yake yakusema anamasirahi

  • @user-uk4ll3su3g
    @user-uk4ll3su3g5 күн бұрын

    That My Blood! Go Broo Goooo

  • @BelimoMasoka
    @BelimoMasoka5 күн бұрын

    Mm Nina erufi m mikono yote miwili na zinangara

  • @imanimwaijumb4934
    @imanimwaijumb49345 күн бұрын

    umejipambanua sana bro kwa mtu mwenye akili ameshaelewa wewe ni mtu wa namna gani. Danganya sana wanadamu ila ujue Mungu anakuona Mungu hapendi hivo sikuhukumu ila namini utafika jehanamu ukiwa umechoka sana

  • @StephanoMwanjemba
    @StephanoMwanjemba5 күн бұрын

    Kk tukonyumayako tunakuombea kwamungu ushindi ,

  • @nehemiahmboyamboya8557
    @nehemiahmboyamboya85575 күн бұрын

    Mwanampotevu aliopotafakari moyoni AKAHAMU TAFAKARI UHAMUE MSINGI WA KKAM NI UGOMVI TARAJIA UGOMVI HADI MWISHO POVU RUKSA

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana21525 күн бұрын

    Hilo limeshiba rushwa 😢

  • @amanijampion3045
    @amanijampion30455 күн бұрын

    Mungu awatangulie

  • @eddyjojo36
    @eddyjojo365 күн бұрын

    Kindly we need a conclusion ...

  • @BusokeloTV
    @BusokeloTV5 күн бұрын

    Soon as possible, Endelea kusubscribe tunarejea sasa hivi

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo38985 күн бұрын

    Uasi huzaa uasi😭

  • @AminaDaud
    @AminaDaud5 күн бұрын

    hivi kuna pasi za sola zakunyooshea nguo? kama zipo ninahitaji

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74386 күн бұрын

    Kuna wachungaji kuna wakomba sadaka za wajinga ndiyo waliwao kazi kugombana kisa sadaka

  • @alphabartazary9692
    @alphabartazary96926 күн бұрын

    Mwajiri wako ni Kristo Yesu na SI vinginevyo

  • @HassaniUwessu
    @HassaniUwessu6 күн бұрын

    Washamba bado sana

  • @lyosimwaalyosi5981
    @lyosimwaalyosi59816 күн бұрын

    Kaka hapo ni nyumbani pako?

  • @Mwakamele
    @Mwakamele6 күн бұрын

    Aisee....hili nililitegemea. Nadhani linakuja kubwa zaidi ya hili

  • @Nyalafu
    @Nyalafu6 күн бұрын

    Mch ulipokuwa unakabidhiwa vifaa vya kichungaji ulitumiwa mtoto? Imekuwaje umtume mtoto