Karibu katika channeli yetu
Busokelo Tv ni chombo cha habari kinachouhabarisha umma Habari/Taarifa/Makala mbalimbali ndani na nje ya Tanzania.
MAWASILIANO
Email: [email protected]
Tel: +255762684745/+255674217445
Tufuatilie:
Facebook, Instagram and Twitter kwa kubofya viunganishi hapo chini
Пікірлер
Hakika yawe ni ya kweli katika shule yetu jaman
Jesho lipo bongo
Mwaambien huyu bunge wenu tunataka bara bara toka njia border mpaka Itunge port ijengwe .
Kuna kinachoendelea nyuma ya kurudisha joho! Si bure! Yaani makamu anamtuma mtoto kupeleka joho kwa askofu mkuu? Hapa makamu hajasema ukweli
Weeee alimtuma mtoto!!!!!!!! 😂😂😂😂😂😂😂
Mwambola anajichanganya
Dhambi ya uasi inawatesa
Apewe monobani yule wa Arusha mgombania ardhi awe naibu askofu wenu
Tatizo ni wafanyabiashara kinachohitaji mnyumbu ambao ni wahumini wanatakiwa wajitambue
Ok we thanks to hear that progress of mwabukusi take case to curt for him been blocked tls presidential candidate l as the tls president election ok mwabukusi we are following this move vary close be strong enough to resist as the tls presidential matiriol lncass win case to curt tuko pamoja bwana mwabukusi
Tumekuelewa mkuu wa mkoa Hawa viongozi wa kweku wanakwamisha maendelea ya wanakyela kwa kuwahujumu
Minawaambia nyie watanzania tumepoa sana katika nchi hiii kodi zetu zinaenda kununua magali ya msafara wa rais
Watanzania bhna tatizo letu hua tunajisahaulisha Hapo Samia akija akawaondolea mtapuga kelele za shangwe muanze kusema mama mama mama utafikiri Hauna mama yako Baada ya muda atazurudisha tu atarudisha kodi
Wewe mzee usituletee ujinga wako
Mnaacha kutuchagua sie wenyeji mnaleta wageni ss shida hio
Wasomi ndio wezi walawala wamejisahau kbs
Huyu mama akishinda 2025 mtafunga biashara
Ambao hawafanyi biashara hawataelewaa.
Wanatoa macho😮😮😮
Mabadilko ni muhimu kwenye hii nchi.
Mm sijaelewa mbona nchi yetu mtu anagombea popote tu , ila labda kwenye mchango hapo mana nchi yetu wat hawana uihari san wakulipa michango kisa inaliwa sana
Kodi zetu wao wanafanyia anasa
Tokeni zenu hapo hatuwataki kabisa na upmbavu wenu
Semeni hatumtaki samia na mawaziri wake wote vinginevyo mtakuwa mnawatafutia wao ili wanunue maviex
Daaaaaa poleni jamani😊
Something is seriously wrong 😒 😕
Watanzania wote inapaswa kuamka kwa sasa . Bila ya hivyo tutakuwa watumwa wa nchi hii
.... SHIDA yetu KODI zetu hazilindi MITAJI tunashindwa KUZALISHA tunabanana na KODI nyofo nyofo ni za KINYONYAJI huyu mtu ana AKILI na anajielewa #MwiguluisaFAILURE anamuangusha MAMA
Huyu ni Mimi kbs
Namshukuru Mungu pia
Chama imehingiliwa na mafisadi hatari twende wapi
Hongeren sana jeshi la polisi
Magereza tupo vizuli
Mji wangu mzuri kyela napapenda kyela home sweet home.
Ifike mahali mtumishi wa Mungu ukae mahali ujitafakari kwanini kila pahala wanakaa na mimi kwa muda fulani na baada ya hapo wananikataa yan hawataki kushirikiana na wewe. Lakini pia ukitaka kumjua kiongozi yoyote vizuri uliza aliofanya nao kazi watakwambia ni mtu wa aina gani huyo.
😮😮😢
Yamefika yaliyotalajiwa kama kawaida yake yakusema anamasirahi
That My Blood! Go Broo Goooo
Mm Nina erufi m mikono yote miwili na zinangara
umejipambanua sana bro kwa mtu mwenye akili ameshaelewa wewe ni mtu wa namna gani. Danganya sana wanadamu ila ujue Mungu anakuona Mungu hapendi hivo sikuhukumu ila namini utafika jehanamu ukiwa umechoka sana
Kk tukonyumayako tunakuombea kwamungu ushindi ,
Mwanampotevu aliopotafakari moyoni AKAHAMU TAFAKARI UHAMUE MSINGI WA KKAM NI UGOMVI TARAJIA UGOMVI HADI MWISHO POVU RUKSA
Hilo limeshiba rushwa 😢
Mungu awatangulie
Kindly we need a conclusion ...
Soon as possible, Endelea kusubscribe tunarejea sasa hivi
Uasi huzaa uasi😭
hivi kuna pasi za sola zakunyooshea nguo? kama zipo ninahitaji
Kuna wachungaji kuna wakomba sadaka za wajinga ndiyo waliwao kazi kugombana kisa sadaka
Mwajiri wako ni Kristo Yesu na SI vinginevyo
Washamba bado sana
Kaka hapo ni nyumbani pako?
Aisee....hili nililitegemea. Nadhani linakuja kubwa zaidi ya hili
Mch ulipokuwa unakabidhiwa vifaa vya kichungaji ulitumiwa mtoto? Imekuwaje umtume mtoto