A detailed information on fish farming in Tanzania contact us for more information kilimobiashara.co.tz/contact/
Жүктеу.....
Пікірлер: 19
@stanleypeter85734 жыл бұрын
Miradi mzuri, Inafaa kuwe na kitabu cha kujisomea kabla ya kuanza kufuga
@danielmbonde52736 жыл бұрын
Wataalam jitambulisheni kikamilifu ikiwa pamoja nakutoa no zenu za simu ili wafugaji watarajiwa tuwze kuwapata kwa ushauri zaidi
@bujamoviesonline8553Ай бұрын
Tunaomba contract ili tufike kujifunza
@avax57175 жыл бұрын
Hapo kwenye kutumia wataalamu hapo umenigusa
@ambelemwakatobe91336 жыл бұрын
Inapendeza saana kwa ushauri
@maxmiliansanga65446 жыл бұрын
asante kwa utalamu wako
@beatierehema66955 жыл бұрын
Natoka nchini Kenya, Natamani kuanza biashara hii naomba ushauri
@aystv59986 жыл бұрын
Mashallah
@calvinpaschal95796 жыл бұрын
Habari naitaji kuonana na nyie nasikaje apo na wapi pleas
@leticiandomba39696 жыл бұрын
toeni namba jaman
@kilimobiashara9361
6 жыл бұрын
Huwa ipo Kwenye kipindi 0713 588 410
@chadogyfrankibrahim29765 жыл бұрын
Cotact
@kilimobiashara9361
5 жыл бұрын
See channel info on communication
@ernesttuseko87805 жыл бұрын
Too much politics Hanna mafunzo.
@kilimobiashara9361
5 жыл бұрын
Asante kwa maoni yako, what are your suggestions to better improve the program
@johnsonjoshua67073 жыл бұрын
Changamoto ninayoiona i hawa wataalam gharama zao zipo juu sana,hizi gharama kwa mtu mwenye kipato cha 800,000 kwa mwezi hataweza kufuga samaki.kama bwawa tu ni 5M
Пікірлер: 19
Miradi mzuri, Inafaa kuwe na kitabu cha kujisomea kabla ya kuanza kufuga
Wataalam jitambulisheni kikamilifu ikiwa pamoja nakutoa no zenu za simu ili wafugaji watarajiwa tuwze kuwapata kwa ushauri zaidi
Tunaomba contract ili tufike kujifunza
Hapo kwenye kutumia wataalamu hapo umenigusa
Inapendeza saana kwa ushauri
asante kwa utalamu wako
Natoka nchini Kenya, Natamani kuanza biashara hii naomba ushauri
Mashallah
Habari naitaji kuonana na nyie nasikaje apo na wapi pleas
toeni namba jaman
@kilimobiashara9361
6 жыл бұрын
Huwa ipo Kwenye kipindi 0713 588 410
Cotact
@kilimobiashara9361
5 жыл бұрын
See channel info on communication
Too much politics Hanna mafunzo.
@kilimobiashara9361
5 жыл бұрын
Asante kwa maoni yako, what are your suggestions to better improve the program
Changamoto ninayoiona i hawa wataalam gharama zao zipo juu sana,hizi gharama kwa mtu mwenye kipato cha 800,000 kwa mwezi hataweza kufuga samaki.kama bwawa tu ni 5M