KILIMO AJIRA YANGU - Ufugaji wa Samaki aina ya Sato 24.02.2018

Пікірлер: 83

  • @alisuleimanabeid3217
    @alisuleimanabeid32174 жыл бұрын

    Mtaalam kama kijana anataka kuanza mradi huu wa samaki anahitaji kiwango gani cha fedha

  • @abdirazaaqhussein3318
    @abdirazaaqhussein33184 жыл бұрын

    Mtaalamu umeelezea vizuri sana ajira nzuri kwa wananchi

  • @jabirnalicho6218
    @jabirnalicho62182 жыл бұрын

    Nashukuru kwa elimu nzuri sana

  • @frolencefelician8299
    @frolencefelician82993 жыл бұрын

    Elimu nzuri mtaalamu ubarikiwe

  • @AssengaProsper-pd6zh
    @AssengaProsper-pd6zh4 ай бұрын

    Nimevutiwa sana na ufugaji wa samaki sato je bei vifanga ni kiasi gani?

  • @festohaule4400
    @festohaule4400 Жыл бұрын

    Hata Mimi nilifuga kienyeji nikashindawa kupata mavuno chanya..nimejifunza

  • @godianathuman705
    @godianathuman70511 ай бұрын

    Tatizo amuweki namba zamawasiliano

  • @AssengaProsper-pd6zh
    @AssengaProsper-pd6zh4 ай бұрын

    Wavu uliyotandika juu ya bwawa unapatikana wapi na bei gani.

  • @reyph1700
    @reyph17006 жыл бұрын

    Aisee safi sana

  • @yovystevemsowoya1418
    @yovystevemsowoya14184 жыл бұрын

    Safi sana.....ngoja nasi tujipange tufuge..... Naomba namba ya mfugaji.....kupata ujuz zaidi.

  • @ashellshorawilliam3889
    @ashellshorawilliam38895 жыл бұрын

    Hongera sana kwa makala ya uelimishaji, mimi ninalo eneo na nimechimba kisima cha mita 74, nina maji ya kutosha kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji wa samani mnanisaidiaje kupata mkopo kwa ajili ya generator pamp na uchimaji wa mabwawa?

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias11884 жыл бұрын

    Kuanzia cha chini ni sh. Ngap Jamani .tunaomba ufafanuzi kidogo na mawasiliano pia

  • @gipsonuisso2967
    @gipsonuisso29674 жыл бұрын

    Mbona haweki namba simu???

  • @LoraraeMmoney
    @LoraraeMmoney5 жыл бұрын

    Natamani sana kufuga na nifuga ila nahitaji maelezo zaidii

  • @Channeltenonline

    @Channeltenonline

    4 жыл бұрын

    0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga atakueleza kila kitu.

  • @webnet1591
    @webnet15914 жыл бұрын

    Tupe namba zako

  • @newmovestrailor1197
    @newmovestrailor11974 жыл бұрын

    liked

  • @dianajafeth5108
    @dianajafeth51085 жыл бұрын

    OK

  • @boazjoseph2565
    @boazjoseph25654 жыл бұрын

    Maji ya mvua ya kuvuna kwa bati ya nyumba yanafaa kwa ufugaji

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 Жыл бұрын

    Chakula chake hasa nini

  • @lamecktungalaza5049
    @lamecktungalaza50494 жыл бұрын

    nimependa kaziyenu. naomba namba zenu

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther59084 жыл бұрын

    Somo zuri sana🙏

  • @mumberematsundo5780

    @mumberematsundo5780

    3 жыл бұрын

    Solo nzuri n'a wapenda Niko kongo napena tuwasiliane

  • @olympiamushi3026
    @olympiamushi3026 Жыл бұрын

    nilikuwa naomba uwasilana na wewe unipe daras

  • @naimamuturi3475

    @naimamuturi3475

    Жыл бұрын

    Nami pia

  • @babylonallen4260
    @babylonallen42604 жыл бұрын

    Samaki mkubwa mwisho ana Kg ngap?

  • @haroungeorge7603
    @haroungeorge76034 жыл бұрын

    Magege

  • @jumashewiza9058
    @jumashewiza90584 жыл бұрын

    mtaaramu tunaomba nambayako

  • @beatierehema6695
    @beatierehema66955 жыл бұрын

    Natamani kuanza ufugaji

  • @jnmagese4916

    @jnmagese4916

    4 жыл бұрын

    Beatie Rehema usiishie kutamani ndugu fanya kwa vitendo ( To dare is to do )

  • @agrivaluefarm3353

    @agrivaluefarm3353

    Жыл бұрын

    Umeanza kufuga samaki?

  • @starnewstvtv1126
    @starnewstvtv11266 жыл бұрын

    Asant sana

  • @johnboscopamphilio1341

    @johnboscopamphilio1341

    6 жыл бұрын

    Safi sana kaka umeni- inspire kujiajili

  • @glorygodbless4162

    @glorygodbless4162

    6 жыл бұрын

    Ninakupata je?

  • @Ntobi_158

    @Ntobi_158

    6 жыл бұрын

    0653979484

  • @annahaule8222
    @annahaule82226 жыл бұрын

    hongera sana kaka nimekupenda

  • @Ntobi_158

    @Ntobi_158

    6 жыл бұрын

    Anna Haule ahsante sana

  • @richardkitambo1933

    @richardkitambo1933

    5 жыл бұрын

    +Emmanuel Ntobi. habari gani kuhusu aina ya maji je majichumvi yanafaa kufuga samaki aina ya sato

  • @Ntobi_158

    @Ntobi_158

    5 жыл бұрын

    0653979484

  • @dennismadinda9888
    @dennismadinda98886 жыл бұрын

    somo limeelezewa vzuri kabsaa

  • @farajanassary2745

    @farajanassary2745

    4 жыл бұрын

    amina

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino98686 жыл бұрын

    Kaka hongera namba zako plz

  • @Ntobi_158

    @Ntobi_158

    6 жыл бұрын

    Alexandrina Domaino 0653979484

  • @alexandrinadomaino9868

    @alexandrinadomaino9868

    6 жыл бұрын

    +Emmanuel Ntobi asante sana kaka

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum71565 жыл бұрын

    duu si mchezo.acha nijipange nikutafute kaka

  • @Channeltenonline

    @Channeltenonline

    4 жыл бұрын

    karibu

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum71565 жыл бұрын

    mtowege na namba basi

  • @Channeltenonline

    @Channeltenonline

    4 жыл бұрын

    0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga

  • @muyegetv1067

    @muyegetv1067

    3 жыл бұрын

    @@Channeltenonline poa

  • @ignasntasima5975
    @ignasntasima59756 жыл бұрын

    maji ya mvua ya kuvuna au chemchem yanafaa kwa ufugaji wa samaki?

  • @juliusamos4832

    @juliusamos4832

    6 жыл бұрын

    naamba ya huyo jamaa

  • @meshackgardiel6894

    @meshackgardiel6894

    4 жыл бұрын

    Yanafaa maji hata kama ya chumvi mimi nafuga na eneo nlilopoo maji ni ya chumvii balaaaa na hakuna tatz wanaishi vizurii

  • @lucasmayunga8397

    @lucasmayunga8397

    4 жыл бұрын

    wanakua baada ya mda wa miezi mingapi

  • @robyj33
    @robyj336 жыл бұрын

    tunakupataje mtaalam?

  • @Ntobi_158

    @Ntobi_158

    6 жыл бұрын

    Roby J 0653979484

  • @lyidiaassenga4541
    @lyidiaassenga45415 жыл бұрын

    Hellow, Mimi nahtaji kuanza huu ufugaji wa samaki,je naweza kukupata wapi nilihtaji maelekezo zaidi,asante

  • @Ntobi_158

    @Ntobi_158

    5 жыл бұрын

    0653979484

  • @Channeltenonline

    @Channeltenonline

    4 жыл бұрын

    0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga

  • @danielfesto9966
    @danielfesto99665 жыл бұрын

    maji ya chumvi yanaweza kutumika kufugia samaki

  • @meshackgardiel6894

    @meshackgardiel6894

    4 жыл бұрын

    daniel festo yanawezaa mimi nafuga naishi eneo lina maji ya chumvii mpaka basi na hawapati athari

  • @georgeakasha764

    @georgeakasha764

    3 жыл бұрын

    @@meshackgardiel6894 Hpn itakua hayo maji yana magadi ila sio chumvi ya kutosha, sato na chumvi tofauti sana labda iwe kwa mbali mno ila mara nyngi yanakua ni magadi.

  • @sarahmwalufunda4227
    @sarahmwalufunda42273 жыл бұрын

    Je wasiozaliana wanapatikana wapi mi nipo mbeya

  • @georgeakasha764

    @georgeakasha764

    3 жыл бұрын

    Vituo vingi kama ruvu fish farm, kingolwira... Me pia mtaalamu wa samaki nitafute takucheki na nikuelekeze ufuge kwa faida.

  • @jumakitwana6338
    @jumakitwana63385 жыл бұрын

    nipo namba ya mkulima anae fuga

  • @Channeltenonline

    @Channeltenonline

    4 жыл бұрын

    0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga

  • @allyrajabu7457

    @allyrajabu7457

    4 жыл бұрын

    Wekeni namba ya mfuga.samaki sawa

  • @richardntambula9247

    @richardntambula9247

    4 жыл бұрын

    Mm nafuga nipo dsm 0769078342

  • @athumanimsuya3705
    @athumanimsuya37056 жыл бұрын

    Namba Za huyo mtaalamu

  • @mikambise5049

    @mikambise5049

    6 жыл бұрын

    sasa kaka kuna mnyama aina ya ngiri maji anayekula samaki ni njia gani ambayo inaweza kumfanya huyo ngirimaji akamatwe?

  • @Ntobi_158

    @Ntobi_158

    6 жыл бұрын

    0653979484

  • @19785881

    @19785881

    6 жыл бұрын

    Emmanuel Ntobi Hello contact me on 00447466596048 watsup.

  • @Ntobi_158

    @Ntobi_158

    5 жыл бұрын

    @@19785881 ok

  • @19785881

    @19785881

    5 жыл бұрын

    @@Ntobi_158 number yako y sim plz.

  • @olympiamushi3026
    @olympiamushi3026 Жыл бұрын

    nilikuwa naomba uwasilana na wewe unipe daras