Hongera sana kwa makala ya uelimishaji, mimi ninalo eneo na nimechimba kisima cha mita 74, nina maji ya kutosha kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji wa samani mnanisaidiaje kupata mkopo kwa ajili ya generator pamp na uchimaji wa mabwawa?
@lameckmathias11884 жыл бұрын
Kuanzia cha chini ni sh. Ngap Jamani .tunaomba ufafanuzi kidogo na mawasiliano pia
@gipsonuisso29674 жыл бұрын
Mbona haweki namba simu???
@LoraraeMmoney5 жыл бұрын
Natamani sana kufuga na nifuga ila nahitaji maelezo zaidii
@Channeltenonline
4 жыл бұрын
0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga atakueleza kila kitu.
@webnet15914 жыл бұрын
Tupe namba zako
@newmovestrailor11974 жыл бұрын
liked
@dianajafeth51085 жыл бұрын
OK
@boazjoseph25654 жыл бұрын
Maji ya mvua ya kuvuna kwa bati ya nyumba yanafaa kwa ufugaji
@benderarulenge2477 Жыл бұрын
Chakula chake hasa nini
@lamecktungalaza50494 жыл бұрын
nimependa kaziyenu. naomba namba zenu
@muharamiesther59084 жыл бұрын
Somo zuri sana🙏
@mumberematsundo5780
3 жыл бұрын
Solo nzuri n'a wapenda Niko kongo napena tuwasiliane
@olympiamushi3026 Жыл бұрын
nilikuwa naomba uwasilana na wewe unipe daras
@naimamuturi3475
Жыл бұрын
Nami pia
@babylonallen42604 жыл бұрын
Samaki mkubwa mwisho ana Kg ngap?
@haroungeorge76034 жыл бұрын
Magege
@jumashewiza90584 жыл бұрын
mtaaramu tunaomba nambayako
@beatierehema66955 жыл бұрын
Natamani kuanza ufugaji
@jnmagese4916
4 жыл бұрын
Beatie Rehema usiishie kutamani ndugu fanya kwa vitendo ( To dare is to do )
@agrivaluefarm3353
Жыл бұрын
Umeanza kufuga samaki?
@starnewstvtv11266 жыл бұрын
Asant sana
@johnboscopamphilio1341
6 жыл бұрын
Safi sana kaka umeni- inspire kujiajili
@glorygodbless4162
6 жыл бұрын
Ninakupata je?
@Ntobi_158
6 жыл бұрын
0653979484
@annahaule82226 жыл бұрын
hongera sana kaka nimekupenda
@Ntobi_158
6 жыл бұрын
Anna Haule ahsante sana
@richardkitambo1933
5 жыл бұрын
+Emmanuel Ntobi. habari gani kuhusu aina ya maji je majichumvi yanafaa kufuga samaki aina ya sato
@Ntobi_158
5 жыл бұрын
0653979484
@dennismadinda98886 жыл бұрын
somo limeelezewa vzuri kabsaa
@farajanassary2745
4 жыл бұрын
amina
@alexandrinadomaino98686 жыл бұрын
Kaka hongera namba zako plz
@Ntobi_158
6 жыл бұрын
Alexandrina Domaino 0653979484
@alexandrinadomaino9868
6 жыл бұрын
+Emmanuel Ntobi asante sana kaka
@radhiasalum71565 жыл бұрын
duu si mchezo.acha nijipange nikutafute kaka
@Channeltenonline
4 жыл бұрын
karibu
@radhiasalum71565 жыл бұрын
mtowege na namba basi
@Channeltenonline
4 жыл бұрын
0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga
@muyegetv1067
3 жыл бұрын
@@Channeltenonline poa
@ignasntasima59756 жыл бұрын
maji ya mvua ya kuvuna au chemchem yanafaa kwa ufugaji wa samaki?
@juliusamos4832
6 жыл бұрын
naamba ya huyo jamaa
@meshackgardiel6894
4 жыл бұрын
Yanafaa maji hata kama ya chumvi mimi nafuga na eneo nlilopoo maji ni ya chumvii balaaaa na hakuna tatz wanaishi vizurii
@lucasmayunga8397
4 жыл бұрын
wanakua baada ya mda wa miezi mingapi
@robyj336 жыл бұрын
tunakupataje mtaalam?
@Ntobi_158
6 жыл бұрын
Roby J 0653979484
@lyidiaassenga45415 жыл бұрын
Hellow, Mimi nahtaji kuanza huu ufugaji wa samaki,je naweza kukupata wapi nilihtaji maelekezo zaidi,asante
@Ntobi_158
5 жыл бұрын
0653979484
@Channeltenonline
4 жыл бұрын
0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga
@danielfesto99665 жыл бұрын
maji ya chumvi yanaweza kutumika kufugia samaki
@meshackgardiel6894
4 жыл бұрын
daniel festo yanawezaa mimi nafuga naishi eneo lina maji ya chumvii mpaka basi na hawapati athari
@georgeakasha764
3 жыл бұрын
@@meshackgardiel6894 Hpn itakua hayo maji yana magadi ila sio chumvi ya kutosha, sato na chumvi tofauti sana labda iwe kwa mbali mno ila mara nyngi yanakua ni magadi.
@sarahmwalufunda42273 жыл бұрын
Je wasiozaliana wanapatikana wapi mi nipo mbeya
@georgeakasha764
3 жыл бұрын
Vituo vingi kama ruvu fish farm, kingolwira... Me pia mtaalamu wa samaki nitafute takucheki na nikuelekeze ufuge kwa faida.
@jumakitwana63385 жыл бұрын
nipo namba ya mkulima anae fuga
@Channeltenonline
4 жыл бұрын
0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga
@allyrajabu7457
4 жыл бұрын
Wekeni namba ya mfuga.samaki sawa
@richardntambula9247
4 жыл бұрын
Mm nafuga nipo dsm 0769078342
@athumanimsuya37056 жыл бұрын
Namba Za huyo mtaalamu
@mikambise5049
6 жыл бұрын
sasa kaka kuna mnyama aina ya ngiri maji anayekula samaki ni njia gani ambayo inaweza kumfanya huyo ngirimaji akamatwe?
@Ntobi_158
6 жыл бұрын
0653979484
@19785881
6 жыл бұрын
Emmanuel Ntobi Hello contact me on 00447466596048 watsup.
Пікірлер: 83
Mtaalam kama kijana anataka kuanza mradi huu wa samaki anahitaji kiwango gani cha fedha
Mtaalamu umeelezea vizuri sana ajira nzuri kwa wananchi
Nashukuru kwa elimu nzuri sana
Elimu nzuri mtaalamu ubarikiwe
Nimevutiwa sana na ufugaji wa samaki sato je bei vifanga ni kiasi gani?
Hata Mimi nilifuga kienyeji nikashindawa kupata mavuno chanya..nimejifunza
Tatizo amuweki namba zamawasiliano
Wavu uliyotandika juu ya bwawa unapatikana wapi na bei gani.
Aisee safi sana
Safi sana.....ngoja nasi tujipange tufuge..... Naomba namba ya mfugaji.....kupata ujuz zaidi.
Hongera sana kwa makala ya uelimishaji, mimi ninalo eneo na nimechimba kisima cha mita 74, nina maji ya kutosha kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji wa samani mnanisaidiaje kupata mkopo kwa ajili ya generator pamp na uchimaji wa mabwawa?
Kuanzia cha chini ni sh. Ngap Jamani .tunaomba ufafanuzi kidogo na mawasiliano pia
Mbona haweki namba simu???
Natamani sana kufuga na nifuga ila nahitaji maelezo zaidii
@Channeltenonline
4 жыл бұрын
0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga atakueleza kila kitu.
Tupe namba zako
liked
OK
Maji ya mvua ya kuvuna kwa bati ya nyumba yanafaa kwa ufugaji
Chakula chake hasa nini
nimependa kaziyenu. naomba namba zenu
Somo zuri sana🙏
@mumberematsundo5780
3 жыл бұрын
Solo nzuri n'a wapenda Niko kongo napena tuwasiliane
nilikuwa naomba uwasilana na wewe unipe daras
@naimamuturi3475
Жыл бұрын
Nami pia
Samaki mkubwa mwisho ana Kg ngap?
Magege
mtaaramu tunaomba nambayako
Natamani kuanza ufugaji
@jnmagese4916
4 жыл бұрын
Beatie Rehema usiishie kutamani ndugu fanya kwa vitendo ( To dare is to do )
@agrivaluefarm3353
Жыл бұрын
Umeanza kufuga samaki?
Asant sana
@johnboscopamphilio1341
6 жыл бұрын
Safi sana kaka umeni- inspire kujiajili
@glorygodbless4162
6 жыл бұрын
Ninakupata je?
@Ntobi_158
6 жыл бұрын
0653979484
hongera sana kaka nimekupenda
@Ntobi_158
6 жыл бұрын
Anna Haule ahsante sana
@richardkitambo1933
5 жыл бұрын
+Emmanuel Ntobi. habari gani kuhusu aina ya maji je majichumvi yanafaa kufuga samaki aina ya sato
@Ntobi_158
5 жыл бұрын
0653979484
somo limeelezewa vzuri kabsaa
@farajanassary2745
4 жыл бұрын
amina
Kaka hongera namba zako plz
@Ntobi_158
6 жыл бұрын
Alexandrina Domaino 0653979484
@alexandrinadomaino9868
6 жыл бұрын
+Emmanuel Ntobi asante sana kaka
duu si mchezo.acha nijipange nikutafute kaka
@Channeltenonline
4 жыл бұрын
karibu
mtowege na namba basi
@Channeltenonline
4 жыл бұрын
0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga
@muyegetv1067
3 жыл бұрын
@@Channeltenonline poa
maji ya mvua ya kuvuna au chemchem yanafaa kwa ufugaji wa samaki?
@juliusamos4832
6 жыл бұрын
naamba ya huyo jamaa
@meshackgardiel6894
4 жыл бұрын
Yanafaa maji hata kama ya chumvi mimi nafuga na eneo nlilopoo maji ni ya chumvii balaaaa na hakuna tatz wanaishi vizurii
@lucasmayunga8397
4 жыл бұрын
wanakua baada ya mda wa miezi mingapi
tunakupataje mtaalam?
@Ntobi_158
6 жыл бұрын
Roby J 0653979484
Hellow, Mimi nahtaji kuanza huu ufugaji wa samaki,je naweza kukupata wapi nilihtaji maelekezo zaidi,asante
@Ntobi_158
5 жыл бұрын
0653979484
@Channeltenonline
4 жыл бұрын
0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga
maji ya chumvi yanaweza kutumika kufugia samaki
@meshackgardiel6894
4 жыл бұрын
daniel festo yanawezaa mimi nafuga naishi eneo lina maji ya chumvii mpaka basi na hawapati athari
@georgeakasha764
3 жыл бұрын
@@meshackgardiel6894 Hpn itakua hayo maji yana magadi ila sio chumvi ya kutosha, sato na chumvi tofauti sana labda iwe kwa mbali mno ila mara nyngi yanakua ni magadi.
Je wasiozaliana wanapatikana wapi mi nipo mbeya
@georgeakasha764
3 жыл бұрын
Vituo vingi kama ruvu fish farm, kingolwira... Me pia mtaalamu wa samaki nitafute takucheki na nikuelekeze ufuge kwa faida.
nipo namba ya mkulima anae fuga
@Channeltenonline
4 жыл бұрын
0653 979 484 mtaalamu wa samaki anapatikana Mkuranga
@allyrajabu7457
4 жыл бұрын
Wekeni namba ya mfuga.samaki sawa
@richardntambula9247
4 жыл бұрын
Mm nafuga nipo dsm 0769078342
Namba Za huyo mtaalamu
@mikambise5049
6 жыл бұрын
sasa kaka kuna mnyama aina ya ngiri maji anayekula samaki ni njia gani ambayo inaweza kumfanya huyo ngirimaji akamatwe?
@Ntobi_158
6 жыл бұрын
0653979484
@19785881
6 жыл бұрын
Emmanuel Ntobi Hello contact me on 00447466596048 watsup.
@Ntobi_158
5 жыл бұрын
@@19785881 ok
@19785881
5 жыл бұрын
@@Ntobi_158 number yako y sim plz.
nilikuwa naomba uwasilana na wewe unipe daras