KILIMO AJIRA YANGU, Ufugaji wa Samaki Mkoa wa Pwani Wilaya ya Mkuranga 03,02.2018

Kipindi Hiki kimerekodiwa Mkoa wa Pwani Wilaya ya Mkuranga, Kijiji cha Malela Kitongoji cha Kizinu.

Пікірлер: 18

  • @johnmalongo9674
    @johnmalongo9674 Жыл бұрын

    Asante kwa elimu mnayo tupatia wa Tanzania

  • @jumatimbanga4973
    @jumatimbanga49735 жыл бұрын

    Nimependa unavo tuelimisha safi sana

  • @patriciatungilayo1654

    @patriciatungilayo1654

    3 жыл бұрын

    Upo vizuri mkubwa nitumie namba yako

  • @rahimlaki1778
    @rahimlaki17785 жыл бұрын

    kwahiyo samaki analimwa au anafugwa?

  • @saidhamisi2795
    @saidhamisi27953 жыл бұрын

    Mbolea ilio Kauka au mbichi

  • @annahaule8222
    @annahaule82226 жыл бұрын

    pia naomba kujua kuhusu kisima cha kujenga na siment

  • @annahaule8222
    @annahaule82226 жыл бұрын

    Hongera sana nahitaji kujua aina ya CHAKULA cha samaki

  • @Ntobi_158

    @Ntobi_158

    5 жыл бұрын

    Karibu 0653979484

  • @shafiishafiishafii8281

    @shafiishafiishafii8281

    4 жыл бұрын

    Nahitaji chakula cha samaki Nipo dsm

  • @bilibamasaka8999

    @bilibamasaka8999

    4 жыл бұрын

    Hongera unavyo fafanua kaka

  • @amarahmed1689
    @amarahmed16895 жыл бұрын

    Sasa nyie mbona hamuweki namba za simu

  • @Ntobi_158

    @Ntobi_158

    5 жыл бұрын

    0653979484

  • @vedastusfwabonx972
    @vedastusfwabonx9726 жыл бұрын

    Tuktumia akil zetu na vipawa tulivypew na mung umakin itabaki history

  • @rahimlaki1778

    @rahimlaki1778

    5 жыл бұрын

    sahihi

  • @saidhamisi2795

    @saidhamisi2795

    3 жыл бұрын

    Nakubaliana na wewe

  • @avax5717
    @avax57175 жыл бұрын

    mtaalamu na mkulima wote wanajua haswa kuelezea

  • @ganaliomega2993

    @ganaliomega2993

    5 жыл бұрын

    jamaa ana kipawa hata kufundisha tu lazima utalewa,,,,,,,ni kaka yangu mimi kishule,,,,, Lamadi secondary

  • @chengenchamiki6724

    @chengenchamiki6724

    5 жыл бұрын

    no ya cm plz

Келесі