KIJANA AFUNGUKA MAZITO UFUGAJI WA SAMAKI KWA NJIA YA VIZIMBA

Ойын-сауық

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Myfish Tanzania Mpanju Elipidius inayojihusisha na ufugaji samaki kwa njia ya vizimba ndani ya Ziwa Victoria Jijini Mwanza ameeleza kuwa ufugaji wa samaki kwa njia hiyo umekuwa na tija kubwa haswa kwa vijana wanaohangahika na suala la ajira kwani Serikali ya hawamu ya Sita inayoongozwa ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hasani imeweka mazingira rafiki ikiwa ni pamoja kutoa mikopo ya vizimba pamoja na boti za kisasa sambamba na soko la uhakika wa la samaki.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер

    Келесі