UFUGAJI WA KUKU, MABORESHO UFUGAJI WA NGO'OMBE

Ushauri wa kitaalamu kutoka kwa Dr.Massawe

Пікірлер: 22

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica18943 жыл бұрын

    Naomba kupata mawasiliano ya Dr Massawe ningependa kumtembelea kujifunza zaidi!!Shukran

  • @aishaomar4318
    @aishaomar43186 жыл бұрын

    Huyu mzee hatupi kitu 😁😁😁mpaka kinyesi anatengeza gesi yakupikia. Sijui manyoya yakuku anatengezea nini. Safi sana

  • @abdullahsayid5280

    @abdullahsayid5280

    4 жыл бұрын

    Mto wa kulalia

  • @mactongathe179

    @mactongathe179

    3 жыл бұрын

    manyoyaaaa anaweza tengenezaaa Plastic akapataa Vtuu flaniii baaada ya kuyayeyushaa na kuweka shape

  • @luckysoodys9515
    @luckysoodys95153 жыл бұрын

    Shukran Sana Dr Massawe kwa Darasa la Ufugaji

  • @stephengalinoma8590
    @stephengalinoma85906 жыл бұрын

    Mzee nimemkubali Sana.

  • @superkingkong1034
    @superkingkong10347 жыл бұрын

    napenda hii chanel

  • @issamkali4162
    @issamkali41626 жыл бұрын

    Channel nzuri mnatupa faida nyingi,tuelekezeni na masoko yanapatikana wapi?

  • @johnmerryinnocent1953
    @johnmerryinnocent19533 жыл бұрын

    Napataje hiyo mbegu

  • @amalahmad6590
    @amalahmad65905 жыл бұрын

    kipindi kizuri sana lakini sisi wafugaji wakuku wanyama soko jamani mtusaidia tupate soko lauhakika

  • @godsonchacha9445
    @godsonchacha94457 жыл бұрын

    Naomba kupata mtaji wa ng'ombe wa maziwa naona hapo upo wa kuku

  • @kilimobiashara9361

    @kilimobiashara9361

    7 жыл бұрын

    angalia star tv saa tatu usiku jumapili tarehe 25-06-2017 patakua na hizo taarifa ama subscribe baada ya muda zitakua hapa

  • @kilimobiashara9361

    @kilimobiashara9361

    7 жыл бұрын

    Tayari tumesha upload hicho kipindi pitia vipindi vyetu utaona

  • @fabianlyimo7186
    @fabianlyimo71867 жыл бұрын

    Hao bata wanaokuwa haraka na wa kisasa wanapatikana wapi?

  • @bobwhite9252
    @bobwhite92525 жыл бұрын

    Hahah,uko vzur....okay. kuna mchanganuo nmeuona hapo wa kufuga kuku wa nyama kwamba mtaj 1.4m na faida ni 700k,.nauliza hao kuku unafugia wap?mbona gharama za banda hakuna

  • @samaalexmaleto2509
    @samaalexmaleto25097 жыл бұрын

    Natanguliza shukrani zang kwa mtayarishaji WA kipindi hiki,na mtaalam Dr.Efraimu kwa elimu nzuri. Mimi Niko mbion kuanza kufuga kuku wa nyama (Broiler). Naomba kufaham juu ya aina ya chakula BORA kinachofaa kutumika kwa kuku aina hiyo,ili kupata uhakika wa uzito wa kuku ...(uwe zaid ya 1.8 kg au 2kg baada ya week)?

  • @samaalexmaleto2509

    @samaalexmaleto2509

    7 жыл бұрын

    Marekebisho:BAADA YA WEEK5

  • @aishaomar4318

    @aishaomar4318

    6 жыл бұрын

    Umeshaanza kufuga ao kuku??? Mana na mm naipenda io kazi lkn nataka ao kroela

  • @aishaomar4318

    @aishaomar4318

    6 жыл бұрын

    Kweli kabiaa mana namm apo kwenye market ndo mpango

  • @mohamedsalum9465
    @mohamedsalum94657 жыл бұрын

    Hiyo hesa ya faina ni kuku ina gani?

  • @kilimobiashara9361

    @kilimobiashara9361

    7 жыл бұрын

    broiler , kuku wa nyama