Naomba kupata mawasiliano ya Dr Massawe ningependa kumtembelea kujifunza zaidi!!Shukran
@aishaomar43186 жыл бұрын
Huyu mzee hatupi kitu 😁😁😁mpaka kinyesi anatengeza gesi yakupikia. Sijui manyoya yakuku anatengezea nini. Safi sana
@abdullahsayid5280
4 жыл бұрын
Mto wa kulalia
@mactongathe179
3 жыл бұрын
manyoyaaaa anaweza tengenezaaa Plastic akapataa Vtuu flaniii baaada ya kuyayeyushaa na kuweka shape
@luckysoodys95153 жыл бұрын
Shukran Sana Dr Massawe kwa Darasa la Ufugaji
@stephengalinoma85906 жыл бұрын
Mzee nimemkubali Sana.
@superkingkong10347 жыл бұрын
napenda hii chanel
@issamkali41626 жыл бұрын
Channel nzuri mnatupa faida nyingi,tuelekezeni na masoko yanapatikana wapi?
@johnmerryinnocent19533 жыл бұрын
Napataje hiyo mbegu
@amalahmad65905 жыл бұрын
kipindi kizuri sana lakini sisi wafugaji wakuku wanyama soko jamani mtusaidia tupate soko lauhakika
@godsonchacha94457 жыл бұрын
Naomba kupata mtaji wa ng'ombe wa maziwa naona hapo upo wa kuku
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
angalia star tv saa tatu usiku jumapili tarehe 25-06-2017 patakua na hizo taarifa ama subscribe baada ya muda zitakua hapa
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
Tayari tumesha upload hicho kipindi pitia vipindi vyetu utaona
@fabianlyimo71867 жыл бұрын
Hao bata wanaokuwa haraka na wa kisasa wanapatikana wapi?
@bobwhite92525 жыл бұрын
Hahah,uko vzur....okay. kuna mchanganuo nmeuona hapo wa kufuga kuku wa nyama kwamba mtaj 1.4m na faida ni 700k,.nauliza hao kuku unafugia wap?mbona gharama za banda hakuna
@samaalexmaleto25097 жыл бұрын
Natanguliza shukrani zang kwa mtayarishaji WA kipindi hiki,na mtaalam Dr.Efraimu kwa elimu nzuri. Mimi Niko mbion kuanza kufuga kuku wa nyama (Broiler). Naomba kufaham juu ya aina ya chakula BORA kinachofaa kutumika kwa kuku aina hiyo,ili kupata uhakika wa uzito wa kuku ...(uwe zaid ya 1.8 kg au 2kg baada ya week)?
@samaalexmaleto2509
7 жыл бұрын
Marekebisho:BAADA YA WEEK5
@aishaomar4318
6 жыл бұрын
Umeshaanza kufuga ao kuku??? Mana na mm naipenda io kazi lkn nataka ao kroela
@aishaomar4318
6 жыл бұрын
Kweli kabiaa mana namm apo kwenye market ndo mpango
Пікірлер: 22
Naomba kupata mawasiliano ya Dr Massawe ningependa kumtembelea kujifunza zaidi!!Shukran
Huyu mzee hatupi kitu 😁😁😁mpaka kinyesi anatengeza gesi yakupikia. Sijui manyoya yakuku anatengezea nini. Safi sana
@abdullahsayid5280
4 жыл бұрын
Mto wa kulalia
@mactongathe179
3 жыл бұрын
manyoyaaaa anaweza tengenezaaa Plastic akapataa Vtuu flaniii baaada ya kuyayeyushaa na kuweka shape
Shukran Sana Dr Massawe kwa Darasa la Ufugaji
Mzee nimemkubali Sana.
napenda hii chanel
Channel nzuri mnatupa faida nyingi,tuelekezeni na masoko yanapatikana wapi?
Napataje hiyo mbegu
kipindi kizuri sana lakini sisi wafugaji wakuku wanyama soko jamani mtusaidia tupate soko lauhakika
Naomba kupata mtaji wa ng'ombe wa maziwa naona hapo upo wa kuku
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
angalia star tv saa tatu usiku jumapili tarehe 25-06-2017 patakua na hizo taarifa ama subscribe baada ya muda zitakua hapa
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
Tayari tumesha upload hicho kipindi pitia vipindi vyetu utaona
Hao bata wanaokuwa haraka na wa kisasa wanapatikana wapi?
Hahah,uko vzur....okay. kuna mchanganuo nmeuona hapo wa kufuga kuku wa nyama kwamba mtaj 1.4m na faida ni 700k,.nauliza hao kuku unafugia wap?mbona gharama za banda hakuna
Natanguliza shukrani zang kwa mtayarishaji WA kipindi hiki,na mtaalam Dr.Efraimu kwa elimu nzuri. Mimi Niko mbion kuanza kufuga kuku wa nyama (Broiler). Naomba kufaham juu ya aina ya chakula BORA kinachofaa kutumika kwa kuku aina hiyo,ili kupata uhakika wa uzito wa kuku ...(uwe zaid ya 1.8 kg au 2kg baada ya week)?
@samaalexmaleto2509
7 жыл бұрын
Marekebisho:BAADA YA WEEK5
@aishaomar4318
6 жыл бұрын
Umeshaanza kufuga ao kuku??? Mana na mm naipenda io kazi lkn nataka ao kroela
@aishaomar4318
6 жыл бұрын
Kweli kabiaa mana namm apo kwenye market ndo mpango
Hiyo hesa ya faina ni kuku ina gani?
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
broiler , kuku wa nyama