#SHAMBANI
Kilimo cha papai,ni kilimo ambacho kinafaida ya muda mfupi na pia gharama ya kufanya kilimo hichi ni ndogo ukilinganisha na mazao mengine,ambapo pia unaweza kufanya kilimo mseto ili uweze kunufaika vema na shamba lako.
Kilimo cha papai,ni kilimo ambacho kinafaida ya muda mfupi na pia gharama ya kufanya kilimo hichi ni ndogo ukilinganisha na mazao mengine,ambapo pia unaweza kufanya kilimo mseto ili uweze kunufaika vema na shamba lako.
Пікірлер: 11
Hongera mtaalam kwa Elimu Tunaomba no yako
Asante kwa kipindi bora
@philiponkoswe5319
2 жыл бұрын
Je sababu za kuungua kwa majani
Hongera mkulima ila ungepunguza utegemezi wa mbegu za kisasa. Bado mbegu za kiasili tunatoa katika papai na zinafanya vizuri sana na zina faida zifuatazo ukilinganisha na za kisasa.. 1. Papai lake tamu zaidi 2. haziathiriki na magonjwa kirahisi. 3. zinastahamili ukame 4. hazina gharama 5. Unazipata muda wowote nk
@changanikisesa7021
2 жыл бұрын
Pls nipe contact
@mrmahmoud1278
2 жыл бұрын
@@changanikisesa7021 upo wapi wewe? me nipo Zanzibar
@yohanamwakanyelenge3786
Ай бұрын
Barikiwa songa mbele nakufuatilia
Tunaomba namba ys cmu tafafhali
Naomba namba za cm kwa mafunzo zaidi na kuhusu masoko
Umetuelekeza vizuri inahamasisha ombi,tuwekee namba ili tupate maelekezo zaidi ya hapo
@chambagoagrovet1720
Жыл бұрын
l