#SHAMBANI

Kilimo cha papai,ni kilimo ambacho kinafaida ya muda mfupi na pia gharama ya kufanya kilimo hichi ni ndogo ukilinganisha na mazao mengine,ambapo pia unaweza kufanya kilimo mseto ili uweze kunufaika vema na shamba lako.

Пікірлер: 11

  • @bonytarimo2877
    @bonytarimo28773 жыл бұрын

    Hongera mtaalam kwa Elimu Tunaomba no yako

  • @philiponkoswe5319
    @philiponkoswe53192 жыл бұрын

    Asante kwa kipindi bora

  • @philiponkoswe5319

    @philiponkoswe5319

    2 жыл бұрын

    Je sababu za kuungua kwa majani

  • @mrmahmoud1278
    @mrmahmoud12783 жыл бұрын

    Hongera mkulima ila ungepunguza utegemezi wa mbegu za kisasa. Bado mbegu za kiasili tunatoa katika papai na zinafanya vizuri sana na zina faida zifuatazo ukilinganisha na za kisasa.. 1. Papai lake tamu zaidi 2. haziathiriki na magonjwa kirahisi. 3. zinastahamili ukame 4. hazina gharama 5. Unazipata muda wowote nk

  • @changanikisesa7021

    @changanikisesa7021

    2 жыл бұрын

    Pls nipe contact

  • @mrmahmoud1278

    @mrmahmoud1278

    2 жыл бұрын

    @@changanikisesa7021 upo wapi wewe? me nipo Zanzibar

  • @yohanamwakanyelenge3786

    @yohanamwakanyelenge3786

    Ай бұрын

    Barikiwa songa mbele nakufuatilia

  • @evakanyeka6994
    @evakanyeka6994 Жыл бұрын

    Tunaomba namba ys cmu tafafhali

  • @rahmaguchiba7300
    @rahmaguchiba73003 жыл бұрын

    Naomba namba za cm kwa mafunzo zaidi na kuhusu masoko

  • @richardmatete9679
    @richardmatete96793 жыл бұрын

    Umetuelekeza vizuri inahamasisha ombi,tuwekee namba ili tupate maelekezo zaidi ya hapo

  • @chambagoagrovet1720

    @chambagoagrovet1720

    Жыл бұрын

    l