Hongera kazi nzuri sana. He Mimi nitapataje Miche? Nipo Dar es Salaam
@TEACHER.CLEOPHAS2 жыл бұрын
Well done. Keep it up!!!
@KulwadottoSalehe-re6kn Жыл бұрын
kwa mfano mimi nina mapasheni watoto yamebeba lakini hayaivi naomba ushauri
@minskbelarus72552 жыл бұрын
Huyu afisa Kilimo anashindwa kujieleza
@jesusnetworkministry2 жыл бұрын
unajua katika jambo ambalo siwaelewi maafisa kilimo kusema zile mbegu kutoka kwenye tunda hazifai sio kweli sio kweli kabisa je izo ambazo zipo madukani zimetoka wapi kama si kwenye tunda
@madhuru25542 жыл бұрын
Safi sana
@christianmwasakogo55792 жыл бұрын
Inavutia sana
@samsonzacharia23292 жыл бұрын
Na unaweza kuotesha mazao mengine chini ya mioasheni?. Naona mazao mengine humo shambanip
@raheemaathumani86632 жыл бұрын
Naomba nisaidie namba ya uyo mkulima naitaji kufanya kilimo
@minskbelarus72552 жыл бұрын
Ni Amphids au APHIDS????.
@compostsfertilizers54712 жыл бұрын
Tafadhali ni wapi mtandaoni nitapata huu wimbo wa shambani ?
Пікірлер: 16
Hongera kazi nzuri sana. He Mimi nitapataje Miche? Nipo Dar es Salaam
Well done. Keep it up!!!
kwa mfano mimi nina mapasheni watoto yamebeba lakini hayaivi naomba ushauri
Huyu afisa Kilimo anashindwa kujieleza
unajua katika jambo ambalo siwaelewi maafisa kilimo kusema zile mbegu kutoka kwenye tunda hazifai sio kweli sio kweli kabisa je izo ambazo zipo madukani zimetoka wapi kama si kwenye tunda
Safi sana
Inavutia sana
Na unaweza kuotesha mazao mengine chini ya mioasheni?. Naona mazao mengine humo shambanip
Naomba nisaidie namba ya uyo mkulima naitaji kufanya kilimo
Ni Amphids au APHIDS????.
Tafadhali ni wapi mtandaoni nitapata huu wimbo wa shambani ?
@raheemaathumani8663
2 жыл бұрын
😁😁😂😂me nimeutafuta ad leo sijaupata
@compostsfertilizers5471
2 жыл бұрын
@@raheemaathumani8663 Nitamwambia Diamond atumalizie.
@RASHIDALI-df6eo
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/fISLq8SgctfTfqg.html
KUSIA ndio nini??
@user-is5cm3us1p
7 ай бұрын
LUSIA no broadcasting