ALIBEBA ZEGE/SASA ANAINGIZA MKWANJA NA KILIMO CHA MAPAPAI

#PAPAI #KIHORO #MCLDIGITAL #MAKALA
‘’Changamoto ni mwanzo wa mafanikio, huwezi kupata mafanikio bila kupitia changamoto.’’ Ally Said Kihoro

Пікірлер: 32

  • @babalois7240
    @babalois72404 жыл бұрын

    Super One..

  • @user-qx8yn6bl2k
    @user-qx8yn6bl2k7 ай бұрын

    Asante kwa elimu nzuri lakini nilihitaji kujuwa jee. Mipapai inakubali kwenye udongo aina yoyote?

  • @saidmabrouknassor4229
    @saidmabrouknassor42294 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @user-kv8pc1ir4w
    @user-kv8pc1ir4w5 ай бұрын

    Kwann usitugeiye namba Yako kwajilibya ushaur

  • @yusufally6853
    @yusufally68534 жыл бұрын

    Congratulation

  • @jumakauli9696
    @jumakauli96964 жыл бұрын

    TANZANIA YA VIWANDA: Sijambo. Haujambo? Huyu MR. PAPAI Jina lake ni ALI SAIDI KIHORO. Namba yake ya simu ni 0678970256 yupo karibu na uwanja wa ndege wa MWL. NYERERE Kipawa Dar es Salaam. Ni vizuri namba yake ya simu angelikuwa anaiandika mwanzo, katikati na mwisho wa video kuliko kuitaja haraka kwa mdomo. Kwani baadhi ya watu hawana muda au MB za kuweza kuisikiliza video kwa makini mwanzo hadi mwisho na kuirudia tena video hiyo ili kuweza kuielewa vizuri.. VIWANDA VINAHITAJI UJUZI NA KUJITUMA. aeiou.

  • @netxtv3887
    @netxtv38874 жыл бұрын

    Nimepata elimu kwahapo aiseee....maana nahitaji nilime icho kilimo.....je ninaweza kupata kwa upana wa 2×2??

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif62164 жыл бұрын

    Kitu unachokipenda lazima ujifunze

  • @lucianomakenza8717
    @lucianomakenza87174 жыл бұрын

    Tangaza namba zako Aly

  • @erickmsele6274
    @erickmsele6274 Жыл бұрын

    Unapatikan wap hyo Niko dar

  • @netxtv3887
    @netxtv38874 жыл бұрын

    Vp Bei ya @ mche wa papai

  • @laurentmodest3603
    @laurentmodest36034 жыл бұрын

    Saf naomba namba

  • @allykihoro5947

    @allykihoro5947

    4 жыл бұрын

    0678970256

  • @allykihoro5947

    @allykihoro5947

    4 жыл бұрын

    067897056

  • @winifridachaula8926
    @winifridachaula89265 жыл бұрын

    Unapatikana wapi? Na pia naomba unisaidie mawasiliano

  • @JackCharlesTv

    @JackCharlesTv

    4 жыл бұрын

    winifrida chaula 0678-970 256

  • @allykihoro5947

    @allykihoro5947

    4 жыл бұрын

    napatikana maisha plus (kituo airport dar es salaam ) number 0678970256

  • @queensophy7700

    @queensophy7700

    3 ай бұрын

    ​@@allykihoro5947 Asantee kwa Elimu Yako nakupigia hivi punde

  • @queensophy7700

    @queensophy7700

    3 ай бұрын

    ​@@allykihoro5947 Kaz nzuri

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy70433 жыл бұрын

    Tatizo nipale unapo panda mpapai mwisho wasiku unaukuzaaa halah unakuwa dume

  • @schosay_

    @schosay_

    2 жыл бұрын

    Hapo tatizo linakua umechagua mbegu mbaya. Chukua mbegu za kisasa kama Malkia ambazo hazina dume

  • @maryammaram2612
    @maryammaram26124 жыл бұрын

    Tupe namba yako kaka 🌱🌱

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    4 жыл бұрын

    @@JackCharlesTv eeh kaka sio vibaya kama unayo nia ya kunisaidia si unipatie thu hapa namba zake imekuwa mpk wasap tena mmh🤔🤔

  • @JackCharlesTv

    @JackCharlesTv

    4 жыл бұрын

    0678-970 256

  • @allykihoro5947

    @allykihoro5947

    4 жыл бұрын

    0678970256

  • @jumakauli9696
    @jumakauli96964 жыл бұрын

    TANZANIA YA VIWANDA: Sijambo. Haujambo? Kwa watanzania wengi tuna ubinafsi na uchoyo wa kupeana ujuzi wa kiuchumi. Sidhani kama atakupatia namba yake ya simu. Kwani wengi wetu huwa tunaficha MAARIFA bora ya kiuchumi kwa sababu huwa hatupendi mtu mwingine ajue ujuzi wa kiuchumi nilionao mimi kwa kuhofia kuwa akijua atamaliza pesa zote za Tanzania na wateja wote sokoni. Kama kweli unataka kulima mipapai hii chotara aina ya MALKIA F 1 au aina nyingine ya mipapai chotara tia vocha kwenye simu yako kisha wasiliana na mimi kwa simu au kwa njia ya meseji kwenye Whatsapp nami nitakuelekeza bure kila kitu unachotaka kujua kuanzia A hadi Z au niulize swali lolote kuhusu kilimo cha haya mapapai chotara na nitakujibu bure. Pia ukitaka kununua mbegu za mipapai chotara kama haujui mahali pa kupata mbegu na iwapo utapenda nitakuunganisha na mawakala wanaouza mbegu bora ili uoteshe miche wewe mwenyewe ya mipapai hii hapo hapo nyumbani ulipo ila uwe na maji ya kudumu kwa ajili ya kumwagilia miche ikiwa kitaluni na shambani. Kwani kuotesha miche ni rahisi mno ila mche mmoja wa mpapai chotara wanauza Tshilingi elfu mbili au elfu tatu au zaidi. Mpapai mmoja unazaa mapapai 60 hadi 130 kwa mwaka. Eka moja inaingia mipapai 1200 au idadi utakayopenda kutegemea na kipimo cha upandaji shambani utakachopenda kutumia. Papai moja uza shambani kwa Tzshilingi 500. Mipapai hii inazaa vizuri kwa muda wa miaka 3 mwisho 5. Hii namba yangu ya simu iko wazi usiku na mchana nayo ni TIGO 0715237482 ila namba zangu hizi zifuatazo zipo wazi mchana tu nazo ni AIRTEL 0782456794 pia TIGO 0712820392 pia hii ni namba yenye Whatsapp HALOTEL 0621003274 WATANZANIA TUPEANE BURE MAARIFA YA KIUCHUMI ILI TUENDE KWENYE UCHUMI WA KATI. Juma Musa Kauli. aeiou.

  • @allykihoro5947

    @allykihoro5947

    4 жыл бұрын

    🚶‍♂️

  • @brunomusphany8428

    @brunomusphany8428

    4 жыл бұрын

    Asante, naomba kufaham papai linaishi miaka mingapi

  • @kulwamahandagi916

    @kulwamahandagi916

    4 жыл бұрын

    Nimefurahi sana

  • @rahmarahma6259
    @rahmarahma62594 жыл бұрын

    Noomba no yk, yng 0717 020 868,nahitaji hiyo miche

  • @allykihoro5947

    @allykihoro5947

    4 жыл бұрын

    tuwasiliane kwa number 0678970256