Simamia Malengo: Sikujua kama pilipili kichaa ni faida tupu. Nimepata ajira, ujuzi na mbinu bora
Үй жануарлары мен аңдар
Promo Online TV inakuletea Simamia Malengo.
Je unaswali, au unahitaji kuunganishwa na watalamu wa kilimo, mazingira, maliasili na utalii? KIJANI CONSULT itakuunganisha nao, unachotakiwa kufanya ni kulipia sh. 1000 tu kupitia TIGO LIPA NAMBA 22922127, kisha tuma ujumbe au piga simu kwenye namba ya 0655753023, kueleza hitaji lako, NASI TUTAKUHUDUMIA.
Пікірлер: 5
Napataje mawasiliano na hawa vitesse?
Samahan kwan kilimo cha pilipili ni lazima kiwe cha kumwagilia tu au unaweza ukalima hata kipindi cha mvua .
Hyo mvivu cku nzima kilo nne hyo mgonjwa
@promoonlinetv7442
3 жыл бұрын
hiyo ni kwakuwa anapangiwa majukumu mengine kwa siku hiyo, lakini akivuna tu kwa siku nzima anaweza kuvuna mpaka kilo 20 za pilipili. Jiunge na PromoCARD kupitia 0686928828 ili uweze kuunganishwa na masoko, wakulima na wataalamu katika kilimo, ufugaji, mazao ya misitu na utalii
@nemesshayo9370
3 жыл бұрын
Nahitaj kulima Ila kwasababu naanza punguza Bei ya mbegu Kisha tufanye Kaz