KILIMO CHA UMWAGILIAJI
Jifunze manufaa ya kilimo cha umwagiliaji kutoka kwa mtaalamu wa umwagiliaji wa AGRIBUSINESS, kwa vifaa na utaalamu wa umwagiliaji wasiliana na kwa namba hii
+255 715 044 777
au tembelea ukura wao wa instagram
/ agribusinestz
Пікірлер: 28
hongera Ahsante sana kwa elimu hii
Nice subject..nimekua inspired soon I will be like you congrats broh
Okay.... Class taken Mr. Entrepreneur...
kilima Cha mahindi
Hongera kaka mungu akubariki
Thanks alot Mr George Shango for the lesson I have gain alot from you
@briargrey7515
2 жыл бұрын
i know Im randomly asking but does anybody know of a trick to log back into an Instagram account?? I was stupid lost the login password. I would love any help you can offer me!
Naitaji Sana pampu ya uwezo wa kumwagilia ekari 2
nakuelewa sana mkuu
Asante kaka
Thanks
Nimependa Sana kilimo cha umwagiliaji, ila nawaza gharama ya kutengeneza iyo nyumb sijui n kias gani?
Vifaa vinapatikana kwenye ofisi zenu
Vifaa vyavkuanzishia kilimo ja drip ilihation vinapatikana wapi?
Where are you located
Naomba ushaur.mmepnda mazao mchanyiko takriban aina kumi za miti.juwa linaniathir zaid midimu ndmu znapukutika kwa juwa.ss namba ushaur nn nifnya kuokoa hasara io.
@kilimobiashara9361
6 жыл бұрын
Nadhani ushauri ulikua ndani ya kipindi hiki, tumia matandaza kama inavyoonekana humu kuzuia ukali wa jua, pia pumba za mchele, nyasi au majani ya mti kuzuia upotevu wa maji na ukavu wa udongo
Hizo drip ni special?
MM NILIZAN mtu onyesha njisi ya kuconect drip line ,fitter ,main line, tank
@kilimobiashara9361
6 жыл бұрын
Tumia mtaalamu akusaidie hilo suala
@allyyussufshuwari4508
4 жыл бұрын
Hata mm pia
Je nikusema kuwa mtu hawezi fanya ukulima wa kunyunyuzia kwa sehemu yenye mlima?
@smartagribusinesstanzania3035
6 жыл бұрын
Unaweza kufanya, Kuna namna ya kufunga hata kama sehemu ina mwinuko. Japo usiwe mkali sana
nina heka mbil pale ruvu, natafuta nyingine moja, hizo mbil nimenunua lakin sijawai lima bado, pale ruvu kunaniumiza kichwa nn nilime kibiashara?
@aminamndolwa4150
5 жыл бұрын
Lima mpunga
@emmanuelchiza7733
2 жыл бұрын
Lima muhogo jombaa
@mahamoudabas8555
2 жыл бұрын
@@emmanuelchiza7733 Muhogo nilipanda mwaka jana, nilipata ya kula na kuuza, mwaka huu ukame