KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Jifunze manufaa ya kilimo cha umwagiliaji kutoka kwa mtaalamu wa umwagiliaji wa AGRIBUSINESS, kwa vifaa na utaalamu wa umwagiliaji wasiliana na kwa namba hii
+255 715 044 777
au tembelea ukura wao wa instagram
/ agribusinestz

Пікірлер: 28

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c5 жыл бұрын

    hongera Ahsante sana kwa elimu hii

  • @aminamndolwa4150
    @aminamndolwa41505 жыл бұрын

    Nice subject..nimekua inspired soon I will be like you congrats broh

  • @tahiachande3898
    @tahiachande38986 жыл бұрын

    Okay.... Class taken Mr. Entrepreneur...

  • @emmykharifa1450
    @emmykharifa1450 Жыл бұрын

    kilima Cha mahindi

  • @evaamerika9939
    @evaamerika99396 жыл бұрын

    Hongera kaka mungu akubariki

  • @mussahokororo485
    @mussahokororo4856 жыл бұрын

    Thanks alot Mr George Shango for the lesson I have gain alot from you

  • @briargrey7515

    @briargrey7515

    2 жыл бұрын

    i know Im randomly asking but does anybody know of a trick to log back into an Instagram account?? I was stupid lost the login password. I would love any help you can offer me!

  • @godfreygramsen5910
    @godfreygramsen59103 жыл бұрын

    Naitaji Sana pampu ya uwezo wa kumwagilia ekari 2

  • @sethmsangwa1413
    @sethmsangwa14136 жыл бұрын

    nakuelewa sana mkuu

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje12726 жыл бұрын

    Asante kaka

  • @heavenlymusicproduction4360
    @heavenlymusicproduction43604 жыл бұрын

    Thanks

  • @gullaalex6590
    @gullaalex65904 жыл бұрын

    Nimependa Sana kilimo cha umwagiliaji, ila nawaza gharama ya kutengeneza iyo nyumb sijui n kias gani?

  • @godfreygramsen5910
    @godfreygramsen59103 жыл бұрын

    Vifaa vinapatikana kwenye ofisi zenu

  • @barakayohanasanga3005
    @barakayohanasanga30053 жыл бұрын

    Vifaa vyavkuanzishia kilimo ja drip ilihation vinapatikana wapi?

  • @camilanjau2429
    @camilanjau24292 жыл бұрын

    Where are you located

  • @dullaali5920
    @dullaali59206 жыл бұрын

    Naomba ushaur.mmepnda mazao mchanyiko takriban aina kumi za miti.juwa linaniathir zaid midimu ndmu znapukutika kwa juwa.ss namba ushaur nn nifnya kuokoa hasara io.

  • @kilimobiashara9361

    @kilimobiashara9361

    6 жыл бұрын

    Nadhani ushauri ulikua ndani ya kipindi hiki, tumia matandaza kama inavyoonekana humu kuzuia ukali wa jua, pia pumba za mchele, nyasi au majani ya mti kuzuia upotevu wa maji na ukavu wa udongo

  • @MISHIONARYSHUKURU
    @MISHIONARYSHUKURU5 жыл бұрын

    Hizo drip ni special?

  • @danyngenda4714
    @danyngenda47146 жыл бұрын

    MM NILIZAN mtu onyesha njisi ya kuconect drip line ,fitter ,main line, tank

  • @kilimobiashara9361

    @kilimobiashara9361

    6 жыл бұрын

    Tumia mtaalamu akusaidie hilo suala

  • @allyyussufshuwari4508

    @allyyussufshuwari4508

    4 жыл бұрын

    Hata mm pia

  • @mwachambigeorge7728
    @mwachambigeorge77286 жыл бұрын

    Je nikusema kuwa mtu hawezi fanya ukulima wa kunyunyuzia kwa sehemu yenye mlima?

  • @smartagribusinesstanzania3035

    @smartagribusinesstanzania3035

    6 жыл бұрын

    Unaweza kufanya, Kuna namna ya kufunga hata kama sehemu ina mwinuko. Japo usiwe mkali sana

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas85556 жыл бұрын

    nina heka mbil pale ruvu, natafuta nyingine moja, hizo mbil nimenunua lakin sijawai lima bado, pale ruvu kunaniumiza kichwa nn nilime kibiashara?

  • @aminamndolwa4150

    @aminamndolwa4150

    5 жыл бұрын

    Lima mpunga

  • @emmanuelchiza7733

    @emmanuelchiza7733

    2 жыл бұрын

    Lima muhogo jombaa

  • @mahamoudabas8555

    @mahamoudabas8555

    2 жыл бұрын

    @@emmanuelchiza7733 Muhogo nilipanda mwaka jana, nilipata ya kula na kuuza, mwaka huu ukame

Келесі