Ifahamu teknolojia ya kumwagilia mazao kwa matone inavyoongeza tija kwa mkulima
Katika kumrahisisshia mkulima kazi za shambani hususani suala la kumwagilia mazao yake, mbunifu Kazi Mkembe kutoka halimashauri ya Wilaya ya Chalinze mkoani Pwani amekuja na teknolojia ya kutumia dumu la kawaida yanayotumika majumbani kwa kuliunganisha na mfumo wa umwagiliaji wa njia za matone.
#AzamTVUpdates #AzamNews
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Пікірлер: 34
Namba za mbunifu naomba...yupo vzr sana mr.Kazi
I like it. Keep educating aspiring farmers.
Pole na kazi mtaalam naomba nipate utaalam,,Niko dodoma Mimi ni mkulima wa nyanya najifunza
Hongera sana mbunifu,utatusaidia sana, tutakupatje,mie niko bkb
Mungu akulipe inshallah
Hongera Moro
please,cointact zako
Ndng mm nashukur sana kwa elim zr piaaa naomba namba zako ntashkr sana
Hivi ndio vitu tunapenda
Tafadhali ndugu naomba kupata mawasiliano yako ili uje uniwekee mfumo huo katika mashamba yangu nina ekari 8 nahitaji kujikita katika kilimo tuwasiliane unipe ushauri na unipe mwongozo katika kuwekeza
Mimi naitaji whts app yako mualim
Mfumo huo ni nzuri lakini lazima uweke tanki kubwa kidogo na duniani wanatumia huo mfumo
Naomba namba
Namba ya mtaalamu plz
Tutakupataje kujifunza zaidi
Kumbe ninazo rola hapa ntajaribu safi sana
Tunakuhitaji ndugu yetu tupe namba zako
Samahan naomba kupata namba ya mtaalam
Naomba kupata namba za huyu mtaalamu
Mimi naomba namba yako mpendwa
Naomba kujua ntakupateje
Unapatikana vipi?
Nahitaji namba ndio ni subscribe
contact zako please
Vp umeme hautumik
Nitakupataje nijifunze
Hii mipira inakuwa ishatobolewa kabisa au mnaitopoa
Babkubwa
Hakika nimejifunza kitu
Hii mipira inaitwaje na inapatikana wapi?
Mkulima mimi nikitaka kupata hivyo vifaa, navipaje na wapi tafadhali?.
@mwiruhabibu2060
3 жыл бұрын
0783281962
@titobenard944
2 жыл бұрын
mawasiliano tafadhali