Msichana Mjasiriamali Tanzania kupitia kilimo
Alianzia kilimo kwa kutegemea soko la nchi yake, lakini baadaye akakitanua kilimo chake na kuyalenga masoko ya kimataifa. Kwa sasa anauza mazao kama maharagwe na njegere hadi Ulaya. Ujumbe wake kwa vijana ni kwamba kuna fursa kila mahali
Пікірлер: 95
Hongera sana Hadija kwa kuweza kuthubutu , Umenitia moyo sana Mdada mwezio
Kwamba the Target one day Ni kumvuka Aliko dangote ,this is a great thought 😍😍😍 hongera saana
This lady is doing amazing i am a farmer from Kenya and i must say shes doing amazing
All the best Khadija. God bless you!
U deserve congratulations,
Hongera sana. You are my idol.. hata Mimi nimefikiria sana kufanya kazi hii.
Congrats madam
Goood perfomance
Sawa Dada hongera sana
Mungu akubariki Khadija
Hivi vitu no rahic sana kuviongea ila kutenda ni habari nyingine
@nickalreadyknows
5 жыл бұрын
Abdallah Juma ndomana kasema changamoto zipo na anakabiliana nazo hajakwambia ni rahisi
@kadogorimwinyi1466
3 жыл бұрын
Kikimo hakitumii akili nyingi kama kazi nyingine, tujielekeze huko
Kwangu tatizo ni masoko nahitaji msaada sana tafadhali dada hasa kwa mazao hayo mawili
@d.a.t3383
4 жыл бұрын
Unalima niini na unabuna kiasi ganin
Watu bana😂😂😂 sasa hizo namba zitawasaidia na nn...amewafungua macho na ww azisha kama waweza. Biashara yingi sio lazima kilimo jamn... akili ni nywele kila mmoja ana zake.
@andy_the_great
4 жыл бұрын
Mbona kama wivu sasa wanawake kwa wanawake😊
Hongera
Mashallah
ongera sana bi Fatuma iyo ndio maana ya elimu.
Interested
Hongera,
Nakubali,,,
very encouraging
Jabil Hongera
Hongera sana
Can u give your number.......? Mm pia ni mkulima wa nyanya ,tikiti n.k
Nakupenda
Kwenye mnyololo wa thaman kuna fursa nyingi ambazo kijana anaweza kuingia na akafanya biashara
Ahsante sana
Dada naomba nisaidie namba yako tuwasiliane zaidi napenda sana elimu ya kilimo🙏
I'm. nakuru Kenya how can I reach you for.a visit am a young farmer I think big God bres you
nice
@nassorokeliyamali6324
5 жыл бұрын
Watoto TZ Tv naomba namba zko plz
Unani inspire sana my mentor thanks
Habari dada natamani kupata no zako napenda kulima sana nataka kulima huko ntapaje mawasiliano mi niko tabora
Naomba namba zako s star
Nimependa hii
Namba Dada
@frankmagana4796
5 жыл бұрын
hidaya mvungi
Mwenye mawasiliano yake please
Naomba namba yako ya sim
tatizo amuweki namba zenu za simu tungalikuwa tumekwisha waletea makampuni makubwa ya kilimo kutoka nje ya inchi.
Uyu mdada umooi 😬😬😬😬😬😬😬😬😬
Hongera sana …mimi napenda sana ukulima na ufugaji katika pita pita zangu nilikuja nikakutana na post zake .nikamtafta nikapata number zake .soon I’ll bring my testimony inshallah
@Naseeha2
Ай бұрын
Habari. Naomba uniambie ulichojifunza kwake ama chochote alichokusaidia
Maharage huwa yanaoteshwaga na mbolea ya viwandani.?
Namba zako mdada
@d.a.t3383
4 жыл бұрын
Ziko kwenye matangazo yake ya kingereza mwangalie humuhumu
Duh
Naomba kuunganishwa na huyu mudada mjasilia mali
Napataje namba yake
Umeniinspire sana,kwan namm baada ya kuhitimu masomo nina lengo kuuanzisha kilimo.Npe contact zako tafadhar
@ezekieljacob5795
4 жыл бұрын
Contact zake za nini ?? Huyu ni mke wa mtu , wabongo!!!!kisa wameangalia tako mate bwelele.dada tafadhari usitoe namba.hapa hakuna mkulima hata mmoja.hivi kilimo kisikiage hivi hivi.
Naomba mawasiliano Dada unishauri
@georgematahimba5242
3 жыл бұрын
Unataka namba Chukua hii 4😂
Ila nyanya inalipa sanah tena sanah kinaweza kukufanya kuwa bilionea
Naweza kujitolea kwenye kampuni yako ?
Naomba namba za Dada Khadija,
Pambana mama
Iko vizur
Namnba
Dada umenifulaisha kusema tunaweza kuwa kama dangote tukko pamoja
Jaman mtusaidie si tunamitaj lakin hatuna mashamba
Napenda Sana kilimo ishu mtu wakishilikiana nae
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Upo wapi nawewe niwa jinsi gani upo. Mkoa gani
@graysonpastory1918
10 ай бұрын
@@user-po8hz7xw9jhello hi
Naonba nije kukutembelea nigifunze nataka kurima
Tatzo ni mtaji mama
@missbees.companylimted4575
4 жыл бұрын
Kwa kwel
@prettyh7509
3 жыл бұрын
Mi tatzo sijapata eneo la kulima
Nini maana ya kilimo
Mi Niko Moro naomba mawasiliano ya Dada ili niweze kupata abc's
@vumilialambert398
4 жыл бұрын
Yangu in 0658786895
Nataman kufanya kazi na wewe umenvutia kwa juhud zako
Shikilia hapo hapo utafaulu kabisa
@maningujohn1169
4 жыл бұрын
Hongera sana dada.tatizo changamoto zinasumbua sana.namutaji nao ni wasi wasi basi dada
hadija namba yako samahan sana nitaman sana kilimo
@maryammaram2612
5 жыл бұрын
Nami pia kama hutojal tunaweza kubadilishana mawazo tuma no zako tuzungumze
@AfyaScore
4 жыл бұрын
👍
Nahitaji mafunzo
Mimi pia ni mtanzania, nalima kenya naishi dodoma, khadija hujatoa contact zako bhanaa, 0767434079 nitafute tufanye mambo makubwa zaidi
sagi
@hassannjiku3880
5 жыл бұрын
safi na hongera
@victoriadickson8771
5 жыл бұрын
Ongera sana Khadija
Naomba nitumie namba zako tuwasiliane,my email; kiyumbiyuga@gmail.com
Mafunzo
Umbali wa kupana maharagemce hadi mch