Msichana Mjasiriamali Tanzania kupitia kilimo

Alianzia kilimo kwa kutegemea soko la nchi yake, lakini baadaye akakitanua kilimo chake na kuyalenga masoko ya kimataifa. Kwa sasa anauza mazao kama maharagwe na njegere hadi Ulaya. Ujumbe wake kwa vijana ni kwamba kuna fursa kila mahali

Пікірлер: 95

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo25045 жыл бұрын

    Hongera sana Hadija kwa kuweza kuthubutu , Umenitia moyo sana Mdada mwezio

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon71604 жыл бұрын

    Kwamba the Target one day Ni kumvuka Aliko dangote ,this is a great thought 😍😍😍 hongera saana

  • @kimsam5506
    @kimsam55064 жыл бұрын

    This lady is doing amazing i am a farmer from Kenya and i must say shes doing amazing

  • @amenemhurt8817
    @amenemhurt88174 жыл бұрын

    All the best Khadija. God bless you!

  • @yugakiyumbi9909
    @yugakiyumbi99095 жыл бұрын

    U deserve congratulations,

  • @m.mwanga3052
    @m.mwanga30522 жыл бұрын

    Hongera sana. You are my idol.. hata Mimi nimefikiria sana kufanya kazi hii.

  • @fredrickfrancis5591
    @fredrickfrancis55915 жыл бұрын

    Congrats madam

  • @milimomashini9432
    @milimomashini94325 жыл бұрын

    Goood perfomance

  • @doramwakatwila2971
    @doramwakatwila29714 жыл бұрын

    Sawa Dada hongera sana

  • @dominiclengwavi432
    @dominiclengwavi4324 жыл бұрын

    Mungu akubariki Khadija

  • @abdallahjuma7516
    @abdallahjuma75165 жыл бұрын

    Hivi vitu no rahic sana kuviongea ila kutenda ni habari nyingine

  • @nickalreadyknows

    @nickalreadyknows

    5 жыл бұрын

    Abdallah Juma ndomana kasema changamoto zipo na anakabiliana nazo hajakwambia ni rahisi

  • @kadogorimwinyi1466

    @kadogorimwinyi1466

    3 жыл бұрын

    Kikimo hakitumii akili nyingi kama kazi nyingine, tujielekeze huko

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay22084 жыл бұрын

    Kwangu tatizo ni masoko nahitaji msaada sana tafadhali dada hasa kwa mazao hayo mawili

  • @d.a.t3383

    @d.a.t3383

    4 жыл бұрын

    Unalima niini na unabuna kiasi ganin

  • @yumnacute8079
    @yumnacute80794 жыл бұрын

    Watu bana😂😂😂 sasa hizo namba zitawasaidia na nn...amewafungua macho na ww azisha kama waweza. Biashara yingi sio lazima kilimo jamn... akili ni nywele kila mmoja ana zake.

  • @andy_the_great

    @andy_the_great

    4 жыл бұрын

    Mbona kama wivu sasa wanawake kwa wanawake😊

  • @ezekiangabo7040
    @ezekiangabo70405 жыл бұрын

    Hongera

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor53494 жыл бұрын

    Mashallah

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge36954 жыл бұрын

    ongera sana bi Fatuma iyo ndio maana ya elimu.

  • @magrethkimaro5140
    @magrethkimaro51404 жыл бұрын

    Interested

  • @simonkarega2714
    @simonkarega27144 жыл бұрын

    Hongera,

  • @dismascosmas1441
    @dismascosmas14414 жыл бұрын

    Nakubali,,,

  • @MrGadau
    @MrGadau2 жыл бұрын

    very encouraging

  • @phchouse
    @phchouse4 жыл бұрын

    Jabil Hongera

  • @tatukaratatatukarata753
    @tatukaratatatukarata75310 ай бұрын

    Hongera sana

  • @swabrinyawale8126
    @swabrinyawale81265 жыл бұрын

    Can u give your number.......? Mm pia ni mkulima wa nyanya ,tikiti n.k

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa74714 жыл бұрын

    Nakupenda

  • @josephgaitan989
    @josephgaitan9894 жыл бұрын

    Kwenye mnyololo wa thaman kuna fursa nyingi ambazo kijana anaweza kuingia na akafanya biashara

  • @BarakaMichael-lt3vk
    @BarakaMichael-lt3vk8 ай бұрын

    Ahsante sana

  • @laurentdau753
    @laurentdau7532 жыл бұрын

    Dada naomba nisaidie namba yako tuwasiliane zaidi napenda sana elimu ya kilimo🙏

  • @JosephGithui-rr4je
    @JosephGithui-rr4je9 ай бұрын

    I'm. nakuru Kenya how can I reach you for.a visit am a young farmer I think big God bres you

  • @ireboysgang56
    @ireboysgang565 жыл бұрын

    nice

  • @nassorokeliyamali6324

    @nassorokeliyamali6324

    5 жыл бұрын

    Watoto TZ Tv naomba namba zko plz

  • @enockkagomba1261
    @enockkagomba12614 жыл бұрын

    Unani inspire sana my mentor thanks

  • @LatifaSaidi-dn6wb
    @LatifaSaidi-dn6wb Жыл бұрын

    Habari dada natamani kupata no zako napenda kulima sana nataka kulima huko ntapaje mawasiliano mi niko tabora

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula97184 жыл бұрын

    Naomba namba zako s star

  • @tumainituya6789
    @tumainituya67894 жыл бұрын

    Nimependa hii

  • @hidayamvungi6962
    @hidayamvungi69625 жыл бұрын

    Namba Dada

  • @frankmagana4796

    @frankmagana4796

    5 жыл бұрын

    hidaya mvungi

  • @johansenrauben6166
    @johansenrauben61664 жыл бұрын

    Mwenye mawasiliano yake please

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 Жыл бұрын

    Naomba namba yako ya sim

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk11 ай бұрын

    tatizo amuweki namba zenu za simu tungalikuwa tumekwisha waletea makampuni makubwa ya kilimo kutoka nje ya inchi.

  • @edsonsibuti6914
    @edsonsibuti69145 жыл бұрын

    Uyu mdada umooi 😬😬😬😬😬😬😬😬😬

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 Жыл бұрын

    Hongera sana …mimi napenda sana ukulima na ufugaji katika pita pita zangu nilikuja nikakutana na post zake .nikamtafta nikapata number zake .soon I’ll bring my testimony inshallah

  • @Naseeha2

    @Naseeha2

    Ай бұрын

    Habari. Naomba uniambie ulichojifunza kwake ama chochote alichokusaidia

  • @eliadimsaki9754
    @eliadimsaki97542 жыл бұрын

    Maharage huwa yanaoteshwaga na mbolea ya viwandani.?

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma71425 жыл бұрын

    Namba zako mdada

  • @d.a.t3383

    @d.a.t3383

    4 жыл бұрын

    Ziko kwenye matangazo yake ya kingereza mwangalie humuhumu

  • @CatherineMassawe-pb2jd
    @CatherineMassawe-pb2jd19 күн бұрын

    Duh

  • @johansenrauben6166
    @johansenrauben61664 жыл бұрын

    Naomba kuunganishwa na huyu mudada mjasilia mali

  • @redemtamkemwa6067
    @redemtamkemwa60672 жыл бұрын

    Napataje namba yake

  • @yonafedrick36
    @yonafedrick364 жыл бұрын

    Umeniinspire sana,kwan namm baada ya kuhitimu masomo nina lengo kuuanzisha kilimo.Npe contact zako tafadhar

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    4 жыл бұрын

    Contact zake za nini ?? Huyu ni mke wa mtu , wabongo!!!!kisa wameangalia tako mate bwelele.dada tafadhari usitoe namba.hapa hakuna mkulima hata mmoja.hivi kilimo kisikiage hivi hivi.

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure74934 жыл бұрын

    Naomba mawasiliano Dada unishauri

  • @georgematahimba5242

    @georgematahimba5242

    3 жыл бұрын

    Unataka namba Chukua hii 4😂

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga43 жыл бұрын

    Ila nyanya inalipa sanah tena sanah kinaweza kukufanya kuwa bilionea

  • @user-dq3ck1lv7p
    @user-dq3ck1lv7p2 ай бұрын

    Naweza kujitolea kwenye kampuni yako ?

  • @barakayohanasanga3005
    @barakayohanasanga30053 жыл бұрын

    Naomba namba za Dada Khadija,

  • @LUKIKOALEX-jm5ev
    @LUKIKOALEX-jm5ev Жыл бұрын

    Pambana mama

  • @oscarngowi3118
    @oscarngowi31182 жыл бұрын

    Iko vizur

  • @imanimwazembe4703
    @imanimwazembe4703 Жыл бұрын

    Namnba

  • @zawadishabani2589
    @zawadishabani2589 Жыл бұрын

    Dada umenifulaisha kusema tunaweza kuwa kama dangote tukko pamoja

  • @prettyh7509
    @prettyh75093 жыл бұрын

    Jaman mtusaidie si tunamitaj lakin hatuna mashamba

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula97184 жыл бұрын

    Napenda Sana kilimo ishu mtu wakishilikiana nae

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    2 жыл бұрын

    Upo wapi nawewe niwa jinsi gani upo. Mkoa gani

  • @graysonpastory1918

    @graysonpastory1918

    10 ай бұрын

    ​@@user-po8hz7xw9jhello hi

  • @valentinajoseph5245
    @valentinajoseph5245 Жыл бұрын

    Naonba nije kukutembelea nigifunze nataka kurima

  • @evagasper4772
    @evagasper47725 жыл бұрын

    Tatzo ni mtaji mama

  • @missbees.companylimted4575

    @missbees.companylimted4575

    4 жыл бұрын

    Kwa kwel

  • @prettyh7509

    @prettyh7509

    3 жыл бұрын

    Mi tatzo sijapata eneo la kulima

  • @HawaAmour
    @HawaAmourАй бұрын

    Nini maana ya kilimo

  • @vumilialambert398
    @vumilialambert3984 жыл бұрын

    Mi Niko Moro naomba mawasiliano ya Dada ili niweze kupata abc's

  • @vumilialambert398

    @vumilialambert398

    4 жыл бұрын

    Yangu in 0658786895

  • @editafrancis6154
    @editafrancis61543 жыл бұрын

    Nataman kufanya kazi na wewe umenvutia kwa juhud zako

  • @abdulrahmanabubakarshariff9749
    @abdulrahmanabubakarshariff97494 жыл бұрын

    Shikilia hapo hapo utafaulu kabisa

  • @maningujohn1169

    @maningujohn1169

    4 жыл бұрын

    Hongera sana dada.tatizo changamoto zinasumbua sana.namutaji nao ni wasi wasi basi dada

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c5 жыл бұрын

    hadija namba yako samahan sana nitaman sana kilimo

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    5 жыл бұрын

    Nami pia kama hutojal tunaweza kubadilishana mawazo tuma no zako tuzungumze

  • @AfyaScore

    @AfyaScore

    4 жыл бұрын

    👍

  • @rahmahussein9627
    @rahmahussein9627 Жыл бұрын

    Nahitaji mafunzo

  • @alextzmmary5121
    @alextzmmary51214 жыл бұрын

    Mimi pia ni mtanzania, nalima kenya naishi dodoma, khadija hujatoa contact zako bhanaa, 0767434079 nitafute tufanye mambo makubwa zaidi

  • @hassannjiku3880
    @hassannjiku38805 жыл бұрын

    sagi

  • @hassannjiku3880

    @hassannjiku3880

    5 жыл бұрын

    safi na hongera

  • @victoriadickson8771

    @victoriadickson8771

    5 жыл бұрын

    Ongera sana Khadija

  • @yugakiyumbi9909
    @yugakiyumbi99095 жыл бұрын

    Naomba nitumie namba zako tuwasiliane,my email; kiyumbiyuga@gmail.com

  • @rahmahussein9627
    @rahmahussein9627 Жыл бұрын

    Mafunzo

  • @AnthonyMrosso
    @AnthonyMrosso3 ай бұрын

    Umbali wa kupana maharagemce hadi mch