KILIMO CHA MAHARAGE.

Kilimo cha maharage ni rahisi na kinalipa sana kikifanyika kwa utaalamu. Gharama nafuu na ushindani wa soko sio mkubwa sana. Huhitaji kusafiri, kinachofanyika ni kuwaita wateja waje shambani kwako na kuchukua mzigo.
Ekari moja ya maharage ya njano kwa maeneo mengi unaweza pata gunia kati ya 8 - 12 au zaidi ila inategemea na eneo unalolimia.
Shamba la maharage kama unalima kwa kumwagilia unaweza lima mara tatu kwa mwaka . Hii ina maana ukilima ekari moja tu utakua na uhakika wa kipato cha uhakika na kikubwa kila baada ya miezi minne

Пікірлер: 16

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw6 ай бұрын

    Hongera sanaa Kwa mkulima anajuhudi na maarifa Sisi waafrica tumelala sanaa tunafikili tunaweza kuishi bila KAZI za viwango lazima tubadilike kama wengine duniani

  • @zeyanaalharthy5049
    @zeyanaalharthy50494 ай бұрын

    Kisarawahi unaweza kupanda

  • @SurprisedBorderCollie-ls2mq
    @SurprisedBorderCollie-ls2mq6 ай бұрын

    Unaweza vuna kiasi gani kwa eka

  • @salummkulima3225
    @salummkulima3225 Жыл бұрын

    Kwa kipindi hiki Cha 2023 ni mda gani wa kupanda

  • @mafunzokuhusukilimo5375

    @mafunzokuhusukilimo5375

    4 ай бұрын

    Samahani ndgu yangu nilikwa off kwa muda mrefu sana

  • @abdallahseif7858
    @abdallahseif785828 күн бұрын

    Mbegu za maharage ya njano napawa wap chief msaada

  • @levinakyauke
    @levinakyauke Жыл бұрын

    Kak nashukuru Sana Ila haiwezekan kupata mawasiliano na ww

  • @Kheir220
    @Kheir220 Жыл бұрын

    Nahitaji mawasiliano baina yetu, nataka kuanza iko kilimo , nikiwa na maana kwamba uwe mwenyeji wangu . Huko mim ni mgeni natokea Zanzibar.

  • @josephkalenge9186
    @josephkalenge91862 жыл бұрын

    Naomba kujua madawa ya kudhibiti magonjwa ya mimea ya maharage

  • @mafunzokuhusukilimo5375

    @mafunzokuhusukilimo5375

    4 ай бұрын

    Tafuta Nordox Express hyo ni red copper pia tafuta na Booster ya Verno amplifaya ambayo ina Calcium, copper , Zinc na Brono kwa wakati moja

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu6 ай бұрын

    Unanong,ona alafu nasema tusbucrib

  • @mafunzokuhusukilimo5375

    @mafunzokuhusukilimo5375

    4 ай бұрын

    @frolahrimo samahani ila si kila mtu alipewa sauti kubwa ndyo maana kuna wingine ni pastors kuna wingine ni walimu kila mtu na karama Yake

  • @mathiaskalawa3753
    @mathiaskalawa3753 Жыл бұрын

    Konokono wanakata maharage dawa gani nitumie

  • @mafunzokuhusukilimo5375

    @mafunzokuhusukilimo5375

    4 ай бұрын

    Tafuta FERRARI GOLD MKUU

  • @julianamhenga1712
    @julianamhenga17122 жыл бұрын

    Hivi ni sahihi kupiga booster kwenye maharagwe!?

  • @mafunzokuhusukilimo5375

    @mafunzokuhusukilimo5375

    4 ай бұрын

    Kabxa ni Sahihi