KILIMO CHA MAHARAGE.
Kilimo cha maharage ni rahisi na kinalipa sana kikifanyika kwa utaalamu. Gharama nafuu na ushindani wa soko sio mkubwa sana. Huhitaji kusafiri, kinachofanyika ni kuwaita wateja waje shambani kwako na kuchukua mzigo.
Ekari moja ya maharage ya njano kwa maeneo mengi unaweza pata gunia kati ya 8 - 12 au zaidi ila inategemea na eneo unalolimia.
Shamba la maharage kama unalima kwa kumwagilia unaweza lima mara tatu kwa mwaka . Hii ina maana ukilima ekari moja tu utakua na uhakika wa kipato cha uhakika na kikubwa kila baada ya miezi minne
Пікірлер: 16
Hongera sanaa Kwa mkulima anajuhudi na maarifa Sisi waafrica tumelala sanaa tunafikili tunaweza kuishi bila KAZI za viwango lazima tubadilike kama wengine duniani
Kisarawahi unaweza kupanda
Unaweza vuna kiasi gani kwa eka
Kwa kipindi hiki Cha 2023 ni mda gani wa kupanda
@mafunzokuhusukilimo5375
4 ай бұрын
Samahani ndgu yangu nilikwa off kwa muda mrefu sana
Mbegu za maharage ya njano napawa wap chief msaada
Kak nashukuru Sana Ila haiwezekan kupata mawasiliano na ww
Nahitaji mawasiliano baina yetu, nataka kuanza iko kilimo , nikiwa na maana kwamba uwe mwenyeji wangu . Huko mim ni mgeni natokea Zanzibar.
Naomba kujua madawa ya kudhibiti magonjwa ya mimea ya maharage
@mafunzokuhusukilimo5375
4 ай бұрын
Tafuta Nordox Express hyo ni red copper pia tafuta na Booster ya Verno amplifaya ambayo ina Calcium, copper , Zinc na Brono kwa wakati moja
Unanong,ona alafu nasema tusbucrib
@mafunzokuhusukilimo5375
4 ай бұрын
@frolahrimo samahani ila si kila mtu alipewa sauti kubwa ndyo maana kuna wingine ni pastors kuna wingine ni walimu kila mtu na karama Yake
Konokono wanakata maharage dawa gani nitumie
@mafunzokuhusukilimo5375
4 ай бұрын
Tafuta FERRARI GOLD MKUU
Hivi ni sahihi kupiga booster kwenye maharagwe!?
@mafunzokuhusukilimo5375
4 ай бұрын
Kabxa ni Sahihi