MAGONJWA YA MAHARAGE NA TIBA ZAKE
Magonjwa Katika zao la maharage ni changamoto kwa wakulima. Katika kilimo cha maharange Ili upate mavuno mengi ya kupasa kudhibiti magonjwa. Ukungu, unjano na wadudu mbalimbali uwa athari kubwa sana.
#kikimochatangawizi#tangawizi#kilimo
✍️Jifunze zaidi kuhusu kilimo cha maharage. Jinsi ya kupanda,mbolea na mavuno ya zao hili. Bonyeza apa
• Kilimo cha maharage
Пікірлер: 54
Msaada naomba kujuwa ni wadudu gn Wanao shambulia Jani la harage kwa kukata na kutoboa kama ulivyo onyesha kwenye video hpo
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Jina La mdudu au
Nidawa ipi au Gani hutibu na kuthibiti wadudu wanao tobowa majani ya maharage?
@AGALUSTV
2 ай бұрын
Tembelea duka LA kilimo utapata dawa, waliyo nayo ndugu
Mm nahitaji mbegu mzuri ya maharage
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Zipo dukani ndugu
sijaelewa vizur kwenye myauko ni dawa gan nitumie
@AGALUSTV
2 ай бұрын
Apo HADI dukani ndugu WATAKUPA dawa waliyonayo
Bro kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayoifanya.mimi ni mkulima wa maharage ya kumwagilia,changamoto ni kuwa nikimwagilia maharage huwa yanaanza kunyauka huku yakionyesha dalili ya kuoza mizizi na shina kwa chini yaani karibu na mizizi,namba msaada wako
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu.shida ipo kwenye shamba lilikua Lina wadudu.apo ni dawa upige
Naomba Dawa hiyo jiana lake la dawa
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Dawa ya UGONJWA Gani apo maana magonjwa ni MENGI tumetaja
@oriethkimaro333
Жыл бұрын
Majani kutobolewa pamoja na maharage yanatobolewa yanapo Anza kutoa matunda nipigie Dawa gani?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Zipo NYINGI SANA ndugu Cha KUFANYA tembelea duka la pembe jeo watakupa waliyo na yo ndugu
Shida kuongea sana
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Sawa ndugu 🙏🏿 ✍️
Kwakweli mnamafunzo ambayo yanatusaidia sana sisi wakulima. Ninaomba ushauri, mazingira niliyopo hakuna mbegu za maharage zilizothibitishwa. Nilikuwa ninaomba ushauri KATI YA MBEGU KUUKUU NA MPYA ZIPI NI BORA KWA KUPANDIA?
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu nahisi tumeshawasiliana
Udongo wa tope na mfinyazi maharage yanakubali?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Yes ni mzuri pia ila kumbuka kuweka mbolea
@asaakaim
Жыл бұрын
Mbolea ya kupndia au ya kukuzia?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Aina zote za mbolea
Nitumie dawa gani kupalilia maharage
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Zipo nyingi Sana ndugu apo tembelea duka LA Pembe jeo WATAKUPA waliyonayo
Eka ya maharage hutoa gunia ngapi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Zaidi ya gunia 10 utegemea na matunzo yako na ubora w shamba na Hali ya hewa pia
@JosephKadeha-gm5ut
Жыл бұрын
@@AGALUSTV vp kuhusu dawa nidawa gani ni ya mala kw mala
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Dawa za ukungu, na wadudu kama Kuna barid
Maharage yangu mvua nyingi sana majani yanapiga njano
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Piga mbolea ya maji
@asaakaim
Жыл бұрын
Nishapiga marambili buster
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Ishu ipo kwenye udongo mbolea imepotea na Mvua. Ni zao gani kwanza
@asaakaim
Жыл бұрын
Udongo wa mfinyazi
@asaakaim
Жыл бұрын
Maharage
Vp kilimo Cha nyanya
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Unahitaji Kujua nini kwenye kilimo cha Nyanya masomo yapo kwenye Channel hii mengi tu mfano magonjwa ya nyanya n. K video ni Zipo apa kzread.info/head/PL8xez8Eh4s0H7UnL1W2MsOqohuc0owITS
@cosmaslisu837
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV sumu za kuua wadudu wanaoshambulia nyanya Kama vile vipepeo
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
OK Zipo nyingi ndugu. Pia Kuna vipila au Raba pia Zipo Kaz ya hivi viraba vinakusanya vipepeo vya karibu na kuviua. Ushauri ndugu Chek Duka la pembe jeo lililokaribu ndugu🙏🏿🙏🏿
@cosmaslisu837
2 жыл бұрын
Vp kuhusu mbegu zinazofanya vizuri za nyanya au tuseme Aina gan za mbegu zinazofanya vizuri?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Mbegu hutegemea na msimu,yaani mvua nyingi au kiangaz, pia eneo lako unalotaka kulima, ni vizur ukajua ivyo kwanza ndugu
Tutumieni namba za Whatsapp
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Sawa ndugu 🙏🏿 ✍️ 🤝
@Binanceforextradertanzania
7 ай бұрын
@@AGALUSTV umetuacha tu
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Wapi ndugu. Yaani shida ipo wapi ndugu 🙏🏿
@davidletee
2 ай бұрын
Nitumie dawa Gani kutibu na kuthibiti wadudu wanao tobowa majani ya maharage namba mniambie jina ladawa