Пікірлер

  • @elibarikishukya-lf3sk
    @elibarikishukya-lf3sk2 сағат бұрын

    Good

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV2 сағат бұрын

    Your welcome

  • @RebecaMackenzi
    @RebecaMackenzi3 сағат бұрын

    Asante sana kwa somo. Sijawahi kuwa first viewer KZread ni Leo. Acha nikupe like ya kwanza pia❤

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 сағат бұрын

    Waaaaaooo♥️♥️🔥🔥👊 Barikiwa sana ndugu

  • @user-ll9dw3wy3m
    @user-ll9dw3wy3m4 сағат бұрын

    kuku wang leo siku ya 41 yupo kwenye kiota nifanye nn

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 сағат бұрын

    Kama unauhakika. Izo siku ........Basi MAYAI yamesha haribika....kagua MAYAI yaani yatikise kama Yana cheza ujue yameharibika tayari ondoa kiota vuruga kabisa.kuku mloeke kwenye maji kupunguza joto mwilini Kisha mtoe nje

  • @PascalLugonda
    @PascalLugonda14 сағат бұрын

    MIMI PASCHAL LUGONDA NAOMBA KUWA MWANACHAMA KATIKA CHANNER NAMI NIFUGAJI WA KUKU WAKIENYEJI

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV5 сағат бұрын

    Karibu Sana ndugu endelea kufuatilia channel hii

  • @EmmyMagunda
    @EmmyMagunda16 сағат бұрын

    Nitawapata wapi kuku bora hao .nijibu

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV5 сағат бұрын

    Upo wapi ndugu

  • @EmmyMagunda
    @EmmyMagunda16 сағат бұрын

    Naomba kupata hii video .na kupata mitetea kwa ajili ya kufuga

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV5 сағат бұрын

    Video hii itakupa mbinu za kupata kuku bora kwa ajiri ya mbegu kzread.info/dash/bejne/gGF4pLGzkcaeoLg.html

  • @user-ed8nt9xy4w
    @user-ed8nt9xy4w20 сағат бұрын

    samahani tafazali sana munitumiye video zenu mafunzo yana ni vutia ; aksanti kwa yote

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV5 сағат бұрын

    Enendelea kufuatilia video ktk channel hii zipo nyingi Sana

  • @user-ed8nt9xy4w
    @user-ed8nt9xy4w21 сағат бұрын

    kuku zangu za gonjwa macho ni fanye nini hasa muni saidiye . naishi Congo Democratic

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV5 сағат бұрын

    Pole Sana ndugu Macho yapoje? Fuatilila video hii Ina magonjwa yote ya Macho na dawa zake kzread.info/dash/bejne/iJOD1ambf9HQl6Q.html

  • @rukiahamad-v6j
    @rukiahamad-v6jКүн бұрын

    Wanasumbuliwa sana nahitaji kujua

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTVКүн бұрын

    Tiba ya ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pqКүн бұрын

    Asante sana bro

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTVКүн бұрын

    Tupo pamoja ndugu

  • @CreofasBenedicto
    @CreofasBenedictoКүн бұрын

    Nawezaje kupata mbegu nipande katika eneo langu hapa Mkoa wa Rukwa?

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTVКүн бұрын

    Tuwasiliana wasp +255765467484

  • @BekaBoy-h4g
    @BekaBoy-h4gКүн бұрын

    Nina kuku wang ambao hawakui tang watotolewe n mamayo je Kuna miti gan ambay yawez ungez ukuaj wao tafadhal naomba kujuzwa

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTVКүн бұрын

    Miti hapana ila boresha lishe na Hali ya joto

  • @MaryNyoni-n7j
    @MaryNyoni-n7jКүн бұрын

    Asante sana kwa somo hili la ufugaji wa kuku. Mungu Awabariki Sana.

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTVКүн бұрын

    Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako

  • @BadoneMuhindo
    @BadoneMuhindoКүн бұрын

    Nina hitaji mbegu ya alizeti chotara

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTVКүн бұрын

    Zipo kwenye MADUKA ya kilimo

  • @magdalenalaban8895
    @magdalenalaban8895Күн бұрын

    Asante

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTVКүн бұрын

    Tupo pamoja ndugu

  • @MickdadChowo
    @MickdadChowoКүн бұрын

    Naomba kujua ni vyakula gani vyenye calcium kwa kuku, pia naomba video ya mchangayo wa chakula cha kuku

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTVКүн бұрын

    Vyakula vyenye calcium ni Madini ya mifupa na chokaa, weka ktk chakula chako.. Pia waweza andika apo you Chakula cha kuku by agalus TV zitakuja video

  • @MerinaJoseph-gf8uy
    @MerinaJoseph-gf8uy2 күн бұрын

    Kuku wangu wanataga mayai madogo

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV2 күн бұрын

    Wana umri gani? Na ni wa Aina gani? Nitago w ngapi

  • @AzinaKitery
    @AzinaKitery2 күн бұрын

    Nashukuru sana Kwa somo lako nitalifsnyia kaz

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV2 күн бұрын

    Karibu Sana ndugu ktk ufugaji

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv2552 күн бұрын

    Napenda hii editing yako kaka video zinavutia mimi nitaweza kweli? Natamani sana🥰🥰🥰🥰

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV2 күн бұрын

    Aaaaah unaweza Ata sasa shida unajiona huwez

  • @ErickNdunguru-i8f
    @ErickNdunguru-i8f2 күн бұрын

    Axante kwaelimu kukukwa mwaka anataga malangapi

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV2 күн бұрын

    Kuku wa Aina gani

  • @AllenEdward-wk6wo
    @AllenEdward-wk6wo3 күн бұрын

    Kwan lazima kutumia iyo mifuko meusi

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV2 күн бұрын

    Hapana si lazima. Ata viloba vgodo, ila iyo uzuri Ina dumu maana mifuko ya cement itawah haribika

  • @AllenEdward-wk6wo
    @AllenEdward-wk6wo2 күн бұрын

    @@AGALUSTV je nikitumia makopo ya mani kana uhai na hill water

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV2 күн бұрын

    @AllenEdward-wk6wo Sawa ILa uyakate kw chini ili mizizi iende. Kukua

  • @JeldaKayoka-w8b
    @JeldaKayoka-w8b3 күн бұрын

    Uko vizuri mwalimu wa ufugaji nashukuru sana

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV2 күн бұрын

    Barikiwa pia ndugu 🙏🏿

  • @LEONARDMwakamwelo
    @LEONARDMwakamwelo3 күн бұрын

    Nashukuru kwa kuniongezea elimu hii tukopamoj

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV2 күн бұрын

    Karibu ktk ufugaji

  • @user-td2qt3km9h
    @user-td2qt3km9h3 күн бұрын

    Haya mambo mengine ni ngumu sana kuyafanya hebu fikiria una heka moja ya.matango na matango yakiamua kuzaa yanazaa haswa utweka matandazo mangapi sasa

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Hakika ila kila kazi inaugumu wake. Na matango nayo ugumu wake upo apo yataka Moyo kwa kweli

  • @estherkadzo8143
    @estherkadzo81433 күн бұрын

    Asante sana kaka

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Barikiwa pia

  • @shabanimasoud7277
    @shabanimasoud72773 күн бұрын

    Lete

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Nini ndugu

  • @RamadhanKombo-qo6zi
    @RamadhanKombo-qo6zi3 күн бұрын

    Mtaj wa kias gn nawez kuwanz ufugaji wa kuku wa mayai

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Hutegemea na idadi ya kuku unataka kuanza nao pia banda unalo tayar

  • @MzeeMWINUKA
    @MzeeMWINUKA3 күн бұрын

    Nimepata maarifa ya matumizi ya mkaa

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Hakika ndugu 🙏🏿 ✍️

  • @rozambuba
    @rozambuba3 күн бұрын

    Asante

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Tupo pamoja ndugu

  • @MshamMadaraka
    @MshamMadaraka3 күн бұрын

    Hongera Kwa elimu

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Asante sana 🙏🏿 Barikiwa pia

  • @zahrakidunda5572
    @zahrakidunda55723 күн бұрын

    Nko na kuku 600 nawapate kwa siku kilo ngap na pia kwa kuku hao natakiwa kununua starter ngap na jua grower ni nying hapo ktk starter ngap

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Utegemea na umri wao

  • @MuzneMohammed-t6n
    @MuzneMohammed-t6n3 күн бұрын

    Ukifika limao kwenye jicho itakuwaje?

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Haina shida

  • @MuzneMohammed-t6n
    @MuzneMohammed-t6n3 күн бұрын

    Ukifika limao kwenye jicho itakuwaje?

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Si shida ndugu

  • @MuzneMohammed-t6n
    @MuzneMohammed-t6n3 күн бұрын

    Ahsante kwa somo zuri. Nauliza; kama ndui ipo kwenye macho utafanyaje?

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Njia ni ivyo ivyo ndugu

  • @SillyNjila
    @SillyNjila3 күн бұрын

    Huo mkaa unauchanganya kwenye Nini, maji , chakula, au mkaa mtupu?

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Kwenye Chakula lakini pia ktk maji ya kunywa

  • @tatumanguro649
    @tatumanguro6494 күн бұрын

    Naomba kujulishwa dawa ya kuku kuvimba usoni kama kijipu

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Ni Dalili ya mafua. Kachukue dawa za mafua

  • @YonaEzekiel
    @YonaEzekiel4 күн бұрын

    Inachukua muda kukawia au kuwahi baada ya kufukiwa?

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV3 күн бұрын

    Miez 2 Hadi mitatu utegemea maji

  • @EliZedek
    @EliZedek4 күн бұрын

    Uko wapi tadhali nipe no yako mm niko Dodoma

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Mchek uyu yupo morogoro +255 744 110 892

  • @EmmanuelTamosha
    @EmmanuelTamosha4 күн бұрын

    Jaman nidawa ipi niwape kuku anaevimba mwili

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Mwili umevimba sehem gani

  • @harithshafii4439
    @harithshafii44394 күн бұрын

    Jamani mm kuku wangu wanaumwq na ugonjwa wa macho ila wana vipel vya ndui nifanyaje

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Tiba ya asili Ndui video hii apa kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html

  • @DavidNgonyani
    @DavidNgonyani4 күн бұрын

    Jambo zuri Kwa kusaidia jamii

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Hakika ndugu

  • @EmmanuelTamosha
    @EmmanuelTamosha4 күн бұрын

    Jamani masoko yao yako wap??

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Masoko ya nini ndugu kuku AU bata

  • @EmmanuelTamosha
    @EmmanuelTamosha4 күн бұрын

    Bata wangu kalemaa miguu niwape nn??

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Vitamin na madini

  • @RoyalvillageSaunakatavi
    @RoyalvillageSaunakatavi4 күн бұрын

    Great we appriciate

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Thank you for that

  • @abinelywillson
    @abinelywillson4 күн бұрын

    Keji napata je bei iko je..?.

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Ngoja tufuatilie

  • @teresanyaboga6597
    @teresanyaboga65974 күн бұрын

    Tiba ya asili wa ndui

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Tiba ya asili ya ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html

  • @teresanyaboga6597
    @teresanyaboga65974 күн бұрын

    Tiba ya asili

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Tiba ya asili ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Tiba ya asili ya ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html

  • @robertoyoussouf7679
    @robertoyoussouf76794 күн бұрын

    Asante kwakutujuza mtalaam wetu na mwalimu, sasa matumizi umesema nikiwa siku tano ama nne, sasa sali langu ni gili : ukiwapa dawa hizi, utawapa tena baada y'a mwezi ama miezi mi ngapi ili uhakukishe kuku wako wa naenda vizuri, tiba nikila baada y'a mda gani

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Angalau kila mwez

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Kama kuku haumwi angalau Kila mwezi mara 1

  • @NasibuSarumbo
    @NasibuSarumbo4 күн бұрын

    Nashukuru Kwa taarifa hizi nzuri Kwa sisi wafugaji endelea KUFANYA UTAFITI uje na dawa ya kideri

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Sawa ndugu 🙏🏿 Tuombeane

  • @LilianKayoka
    @LilianKayoka4 күн бұрын

    Asanteh Kwa masomo mazuri, , msaada juu ya ujenzi wa Banda la kuku

  • @AGALUSTV
    @AGALUSTV4 күн бұрын

    Ujenzi wa Banda bora la kuku kzread.info/head/PL8xez8Eh4s0HzgJrqmWI7cB7pfGKt2sxd