Asante sana kwa somo. Sijawahi kuwa first viewer KZread ni Leo. Acha nikupe like ya kwanza pia❤
@AGALUSTV3 сағат бұрын
Waaaaaooo♥️♥️🔥🔥👊 Barikiwa sana ndugu
@user-ll9dw3wy3m4 сағат бұрын
kuku wang leo siku ya 41 yupo kwenye kiota nifanye nn
@AGALUSTV4 сағат бұрын
Kama unauhakika. Izo siku ........Basi MAYAI yamesha haribika....kagua MAYAI yaani yatikise kama Yana cheza ujue yameharibika tayari ondoa kiota vuruga kabisa.kuku mloeke kwenye maji kupunguza joto mwilini Kisha mtoe nje
@PascalLugonda14 сағат бұрын
MIMI PASCHAL LUGONDA NAOMBA KUWA MWANACHAMA KATIKA CHANNER NAMI NIFUGAJI WA KUKU WAKIENYEJI
@AGALUSTV5 сағат бұрын
Karibu Sana ndugu endelea kufuatilia channel hii
@EmmyMagunda16 сағат бұрын
Nitawapata wapi kuku bora hao .nijibu
@AGALUSTV5 сағат бұрын
Upo wapi ndugu
@EmmyMagunda16 сағат бұрын
Naomba kupata hii video .na kupata mitetea kwa ajili ya kufuga
@AGALUSTV5 сағат бұрын
Video hii itakupa mbinu za kupata kuku bora kwa ajiri ya mbegu kzread.info/dash/bejne/gGF4pLGzkcaeoLg.html
@user-ed8nt9xy4w20 сағат бұрын
samahani tafazali sana munitumiye video zenu mafunzo yana ni vutia ; aksanti kwa yote
@AGALUSTV5 сағат бұрын
Enendelea kufuatilia video ktk channel hii zipo nyingi Sana
@user-ed8nt9xy4w21 сағат бұрын
kuku zangu za gonjwa macho ni fanye nini hasa muni saidiye . naishi Congo Democratic
@AGALUSTV5 сағат бұрын
Pole Sana ndugu Macho yapoje? Fuatilila video hii Ina magonjwa yote ya Macho na dawa zake kzread.info/dash/bejne/iJOD1ambf9HQl6Q.html
@rukiahamad-v6jКүн бұрын
Wanasumbuliwa sana nahitaji kujua
@AGALUSTVКүн бұрын
Tiba ya ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html
@SalimKombo-xo4pqКүн бұрын
Asante sana bro
@AGALUSTVКүн бұрын
Tupo pamoja ndugu
@CreofasBenedictoКүн бұрын
Nawezaje kupata mbegu nipande katika eneo langu hapa Mkoa wa Rukwa?
@AGALUSTVКүн бұрын
Tuwasiliana wasp +255765467484
@BekaBoy-h4gКүн бұрын
Nina kuku wang ambao hawakui tang watotolewe n mamayo je Kuna miti gan ambay yawez ungez ukuaj wao tafadhal naomba kujuzwa
@AGALUSTVКүн бұрын
Miti hapana ila boresha lishe na Hali ya joto
@MaryNyoni-n7jКүн бұрын
Asante sana kwa somo hili la ufugaji wa kuku. Mungu Awabariki Sana.
@AGALUSTVКүн бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@BadoneMuhindoКүн бұрын
Nina hitaji mbegu ya alizeti chotara
@AGALUSTVКүн бұрын
Zipo kwenye MADUKA ya kilimo
@magdalenalaban8895Күн бұрын
Asante
@AGALUSTVКүн бұрын
Tupo pamoja ndugu
@MickdadChowoКүн бұрын
Naomba kujua ni vyakula gani vyenye calcium kwa kuku, pia naomba video ya mchangayo wa chakula cha kuku
@AGALUSTVКүн бұрын
Vyakula vyenye calcium ni Madini ya mifupa na chokaa, weka ktk chakula chako.. Pia waweza andika apo you Chakula cha kuku by agalus TV zitakuja video
@MerinaJoseph-gf8uy2 күн бұрын
Kuku wangu wanataga mayai madogo
@AGALUSTV2 күн бұрын
Wana umri gani? Na ni wa Aina gani? Nitago w ngapi
@AzinaKitery2 күн бұрын
Nashukuru sana Kwa somo lako nitalifsnyia kaz
@AGALUSTV2 күн бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@KADALAtv2552 күн бұрын
Napenda hii editing yako kaka video zinavutia mimi nitaweza kweli? Natamani sana🥰🥰🥰🥰
@AGALUSTV2 күн бұрын
Aaaaah unaweza Ata sasa shida unajiona huwez
@ErickNdunguru-i8f2 күн бұрын
Axante kwaelimu kukukwa mwaka anataga malangapi
@AGALUSTV2 күн бұрын
Kuku wa Aina gani
@AllenEdward-wk6wo3 күн бұрын
Kwan lazima kutumia iyo mifuko meusi
@AGALUSTV2 күн бұрын
Hapana si lazima. Ata viloba vgodo, ila iyo uzuri Ina dumu maana mifuko ya cement itawah haribika
@AllenEdward-wk6wo2 күн бұрын
@@AGALUSTV je nikitumia makopo ya mani kana uhai na hill water
@AGALUSTV2 күн бұрын
@AllenEdward-wk6wo Sawa ILa uyakate kw chini ili mizizi iende. Kukua
@JeldaKayoka-w8b3 күн бұрын
Uko vizuri mwalimu wa ufugaji nashukuru sana
@AGALUSTV2 күн бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
@LEONARDMwakamwelo3 күн бұрын
Nashukuru kwa kuniongezea elimu hii tukopamoj
@AGALUSTV2 күн бұрын
Karibu ktk ufugaji
@user-td2qt3km9h3 күн бұрын
Haya mambo mengine ni ngumu sana kuyafanya hebu fikiria una heka moja ya.matango na matango yakiamua kuzaa yanazaa haswa utweka matandazo mangapi sasa
@AGALUSTV3 күн бұрын
Hakika ila kila kazi inaugumu wake. Na matango nayo ugumu wake upo apo yataka Moyo kwa kweli
@estherkadzo81433 күн бұрын
Asante sana kaka
@AGALUSTV3 күн бұрын
Barikiwa pia
@shabanimasoud72773 күн бұрын
Lete
@AGALUSTV3 күн бұрын
Nini ndugu
@RamadhanKombo-qo6zi3 күн бұрын
Mtaj wa kias gn nawez kuwanz ufugaji wa kuku wa mayai
@AGALUSTV3 күн бұрын
Hutegemea na idadi ya kuku unataka kuanza nao pia banda unalo tayar
@MzeeMWINUKA3 күн бұрын
Nimepata maarifa ya matumizi ya mkaa
@AGALUSTV3 күн бұрын
Hakika ndugu 🙏🏿 ✍️
@rozambuba3 күн бұрын
Asante
@AGALUSTV3 күн бұрын
Tupo pamoja ndugu
@MshamMadaraka3 күн бұрын
Hongera Kwa elimu
@AGALUSTV3 күн бұрын
Asante sana 🙏🏿 Barikiwa pia
@zahrakidunda55723 күн бұрын
Nko na kuku 600 nawapate kwa siku kilo ngap na pia kwa kuku hao natakiwa kununua starter ngap na jua grower ni nying hapo ktk starter ngap
@AGALUSTV3 күн бұрын
Utegemea na umri wao
@MuzneMohammed-t6n3 күн бұрын
Ukifika limao kwenye jicho itakuwaje?
@AGALUSTV3 күн бұрын
Haina shida
@MuzneMohammed-t6n3 күн бұрын
Ukifika limao kwenye jicho itakuwaje?
@AGALUSTV3 күн бұрын
Si shida ndugu
@MuzneMohammed-t6n3 күн бұрын
Ahsante kwa somo zuri. Nauliza; kama ndui ipo kwenye macho utafanyaje?
@AGALUSTV3 күн бұрын
Njia ni ivyo ivyo ndugu
@SillyNjila3 күн бұрын
Huo mkaa unauchanganya kwenye Nini, maji , chakula, au mkaa mtupu?
@AGALUSTV3 күн бұрын
Kwenye Chakula lakini pia ktk maji ya kunywa
@tatumanguro6494 күн бұрын
Naomba kujulishwa dawa ya kuku kuvimba usoni kama kijipu
@AGALUSTV3 күн бұрын
Ni Dalili ya mafua. Kachukue dawa za mafua
@YonaEzekiel4 күн бұрын
Inachukua muda kukawia au kuwahi baada ya kufukiwa?
@AGALUSTV3 күн бұрын
Miez 2 Hadi mitatu utegemea maji
@EliZedek4 күн бұрын
Uko wapi tadhali nipe no yako mm niko Dodoma
@AGALUSTV4 күн бұрын
Mchek uyu yupo morogoro +255 744 110 892
@EmmanuelTamosha4 күн бұрын
Jaman nidawa ipi niwape kuku anaevimba mwili
@AGALUSTV4 күн бұрын
Mwili umevimba sehem gani
@harithshafii44394 күн бұрын
Jamani mm kuku wangu wanaumwq na ugonjwa wa macho ila wana vipel vya ndui nifanyaje
@AGALUSTV4 күн бұрын
Tiba ya asili Ndui video hii apa kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html
@DavidNgonyani4 күн бұрын
Jambo zuri Kwa kusaidia jamii
@AGALUSTV4 күн бұрын
Hakika ndugu
@EmmanuelTamosha4 күн бұрын
Jamani masoko yao yako wap??
@AGALUSTV4 күн бұрын
Masoko ya nini ndugu kuku AU bata
@EmmanuelTamosha4 күн бұрын
Bata wangu kalemaa miguu niwape nn??
@AGALUSTV4 күн бұрын
Vitamin na madini
@RoyalvillageSaunakatavi4 күн бұрын
Great we appriciate
@AGALUSTV4 күн бұрын
Thank you for that
@abinelywillson4 күн бұрын
Keji napata je bei iko je..?.
@AGALUSTV4 күн бұрын
Ngoja tufuatilie
@teresanyaboga65974 күн бұрын
Tiba ya asili wa ndui
@AGALUSTV4 күн бұрын
Tiba ya asili ya ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html
@teresanyaboga65974 күн бұрын
Tiba ya asili
@AGALUSTV4 күн бұрын
Tiba ya asili ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html
@AGALUSTV4 күн бұрын
Tiba ya asili ya ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html
@robertoyoussouf76794 күн бұрын
Asante kwakutujuza mtalaam wetu na mwalimu, sasa matumizi umesema nikiwa siku tano ama nne, sasa sali langu ni gili : ukiwapa dawa hizi, utawapa tena baada y'a mwezi ama miezi mi ngapi ili uhakukishe kuku wako wa naenda vizuri, tiba nikila baada y'a mda gani
@AGALUSTV4 күн бұрын
Angalau kila mwez
@AGALUSTV4 күн бұрын
Kama kuku haumwi angalau Kila mwezi mara 1
@NasibuSarumbo4 күн бұрын
Nashukuru Kwa taarifa hizi nzuri Kwa sisi wafugaji endelea KUFANYA UTAFITI uje na dawa ya kideri
@AGALUSTV4 күн бұрын
Sawa ndugu 🙏🏿 Tuombeane
@LilianKayoka4 күн бұрын
Asanteh Kwa masomo mazuri, , msaada juu ya ujenzi wa Banda la kuku
@AGALUSTV4 күн бұрын
Ujenzi wa Banda bora la kuku kzread.info/head/PL8xez8Eh4s0HzgJrqmWI7cB7pfGKt2sxd
Пікірлер
Good
Your welcome
Asante sana kwa somo. Sijawahi kuwa first viewer KZread ni Leo. Acha nikupe like ya kwanza pia❤
Waaaaaooo♥️♥️🔥🔥👊 Barikiwa sana ndugu
kuku wang leo siku ya 41 yupo kwenye kiota nifanye nn
Kama unauhakika. Izo siku ........Basi MAYAI yamesha haribika....kagua MAYAI yaani yatikise kama Yana cheza ujue yameharibika tayari ondoa kiota vuruga kabisa.kuku mloeke kwenye maji kupunguza joto mwilini Kisha mtoe nje
MIMI PASCHAL LUGONDA NAOMBA KUWA MWANACHAMA KATIKA CHANNER NAMI NIFUGAJI WA KUKU WAKIENYEJI
Karibu Sana ndugu endelea kufuatilia channel hii
Nitawapata wapi kuku bora hao .nijibu
Upo wapi ndugu
Naomba kupata hii video .na kupata mitetea kwa ajili ya kufuga
Video hii itakupa mbinu za kupata kuku bora kwa ajiri ya mbegu kzread.info/dash/bejne/gGF4pLGzkcaeoLg.html
samahani tafazali sana munitumiye video zenu mafunzo yana ni vutia ; aksanti kwa yote
Enendelea kufuatilia video ktk channel hii zipo nyingi Sana
kuku zangu za gonjwa macho ni fanye nini hasa muni saidiye . naishi Congo Democratic
Pole Sana ndugu Macho yapoje? Fuatilila video hii Ina magonjwa yote ya Macho na dawa zake kzread.info/dash/bejne/iJOD1ambf9HQl6Q.html
Wanasumbuliwa sana nahitaji kujua
Tiba ya ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html
Asante sana bro
Tupo pamoja ndugu
Nawezaje kupata mbegu nipande katika eneo langu hapa Mkoa wa Rukwa?
Tuwasiliana wasp +255765467484
Nina kuku wang ambao hawakui tang watotolewe n mamayo je Kuna miti gan ambay yawez ungez ukuaj wao tafadhal naomba kujuzwa
Miti hapana ila boresha lishe na Hali ya joto
Asante sana kwa somo hili la ufugaji wa kuku. Mungu Awabariki Sana.
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
Nina hitaji mbegu ya alizeti chotara
Zipo kwenye MADUKA ya kilimo
Asante
Tupo pamoja ndugu
Naomba kujua ni vyakula gani vyenye calcium kwa kuku, pia naomba video ya mchangayo wa chakula cha kuku
Vyakula vyenye calcium ni Madini ya mifupa na chokaa, weka ktk chakula chako.. Pia waweza andika apo you Chakula cha kuku by agalus TV zitakuja video
Kuku wangu wanataga mayai madogo
Wana umri gani? Na ni wa Aina gani? Nitago w ngapi
Nashukuru sana Kwa somo lako nitalifsnyia kaz
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
Napenda hii editing yako kaka video zinavutia mimi nitaweza kweli? Natamani sana🥰🥰🥰🥰
Aaaaah unaweza Ata sasa shida unajiona huwez
Axante kwaelimu kukukwa mwaka anataga malangapi
Kuku wa Aina gani
Kwan lazima kutumia iyo mifuko meusi
Hapana si lazima. Ata viloba vgodo, ila iyo uzuri Ina dumu maana mifuko ya cement itawah haribika
@@AGALUSTV je nikitumia makopo ya mani kana uhai na hill water
@AllenEdward-wk6wo Sawa ILa uyakate kw chini ili mizizi iende. Kukua
Uko vizuri mwalimu wa ufugaji nashukuru sana
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
Nashukuru kwa kuniongezea elimu hii tukopamoj
Karibu ktk ufugaji
Haya mambo mengine ni ngumu sana kuyafanya hebu fikiria una heka moja ya.matango na matango yakiamua kuzaa yanazaa haswa utweka matandazo mangapi sasa
Hakika ila kila kazi inaugumu wake. Na matango nayo ugumu wake upo apo yataka Moyo kwa kweli
Asante sana kaka
Barikiwa pia
Lete
Nini ndugu
Mtaj wa kias gn nawez kuwanz ufugaji wa kuku wa mayai
Hutegemea na idadi ya kuku unataka kuanza nao pia banda unalo tayar
Nimepata maarifa ya matumizi ya mkaa
Hakika ndugu 🙏🏿 ✍️
Asante
Tupo pamoja ndugu
Hongera Kwa elimu
Asante sana 🙏🏿 Barikiwa pia
Nko na kuku 600 nawapate kwa siku kilo ngap na pia kwa kuku hao natakiwa kununua starter ngap na jua grower ni nying hapo ktk starter ngap
Utegemea na umri wao
Ukifika limao kwenye jicho itakuwaje?
Haina shida
Ukifika limao kwenye jicho itakuwaje?
Si shida ndugu
Ahsante kwa somo zuri. Nauliza; kama ndui ipo kwenye macho utafanyaje?
Njia ni ivyo ivyo ndugu
Huo mkaa unauchanganya kwenye Nini, maji , chakula, au mkaa mtupu?
Kwenye Chakula lakini pia ktk maji ya kunywa
Naomba kujulishwa dawa ya kuku kuvimba usoni kama kijipu
Ni Dalili ya mafua. Kachukue dawa za mafua
Inachukua muda kukawia au kuwahi baada ya kufukiwa?
Miez 2 Hadi mitatu utegemea maji
Uko wapi tadhali nipe no yako mm niko Dodoma
Mchek uyu yupo morogoro +255 744 110 892
Jaman nidawa ipi niwape kuku anaevimba mwili
Mwili umevimba sehem gani
Jamani mm kuku wangu wanaumwq na ugonjwa wa macho ila wana vipel vya ndui nifanyaje
Tiba ya asili Ndui video hii apa kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html
Jambo zuri Kwa kusaidia jamii
Hakika ndugu
Jamani masoko yao yako wap??
Masoko ya nini ndugu kuku AU bata
Bata wangu kalemaa miguu niwape nn??
Vitamin na madini
Great we appriciate
Thank you for that
Keji napata je bei iko je..?.
Ngoja tufuatilie
Tiba ya asili wa ndui
Tiba ya asili ya ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html
Tiba ya asili
Tiba ya asili ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html
Tiba ya asili ya ndui kzread.info/dash/bejne/paJtz9ycmdysZpc.html
Asante kwakutujuza mtalaam wetu na mwalimu, sasa matumizi umesema nikiwa siku tano ama nne, sasa sali langu ni gili : ukiwapa dawa hizi, utawapa tena baada y'a mwezi ama miezi mi ngapi ili uhakukishe kuku wako wa naenda vizuri, tiba nikila baada y'a mda gani
Angalau kila mwez
Kama kuku haumwi angalau Kila mwezi mara 1
Nashukuru Kwa taarifa hizi nzuri Kwa sisi wafugaji endelea KUFANYA UTAFITI uje na dawa ya kideri
Sawa ndugu 🙏🏿 Tuombeane
Asanteh Kwa masomo mazuri, , msaada juu ya ujenzi wa Banda la kuku
Ujenzi wa Banda bora la kuku kzread.info/head/PL8xez8Eh4s0HzgJrqmWI7cB7pfGKt2sxd