FORMULA YA KUANDAA CHAKULA CHA NGURUWE/PIGS FEEDING FORMULA AT HOME
#farming #piglets #ufugajiwanguruwe
✍️ Jifunze zaidi ufugaji wa nguruwe
• Ufugaji wa nguruwe na ...
✔️ Utunzaji wa vitoto vya nguruwe
• Ufugaji wa nguruwe na ...
✔️ Pig houses • Ufugaji wa nguruwe na ...
Пікірлер: 11
Hongereni sana agluse huwa na waelewa sana endeleeni kutupa elimu ya ufugaji
@AGALUSTV
26 күн бұрын
Tupo pamoja ndugu
Asnt,naomba kupima kwa kutumia ndoo ya Lita 10
@AGALUSTV
22 күн бұрын
Ok ndugu ngoja kwa kua uhitaji ni mkubwa wa watu yaonekana wengi hawana mizani ngoja tuandae video yake kwa kutumia ndoo na visado
Naomba unielekeze debe 6 za pumbaya mahindi nachanganyaje kwenye ratio? Na je nawexa kuchanganganya pia na na pumba laini za mpunga? Na ni kiasi gani?
@AGALUSTV
26 күн бұрын
Apo swali akija kaa Sawa yaani debe sita za Pumba za mahindi unataka kujua kiasi cha kitu gani kingine? Ndio unachanganya na za mpunga laini ila kwa debe 6 basi za mpunga ziwe mara 2 yaani debe 12 za mpunga
@user-xx8xs2vi6r
26 күн бұрын
Mfano inafaa kuchanganya pumba ya mahindi na pumba laini ya mpunga? Ndio uchanganye na hivyo vingine? Mashudu nk.
@user-xx8xs2vi6r
25 күн бұрын
@@AGALUSTV kwa hyo pumba za mahindi zikiwa debe 6 nachanganya na pumba laini la mpunga debe 12 eee. Na mashudu kiasi gani, dagaa, nk
@AGALUSTV
25 күн бұрын
Mashudu utegemea ya Aina gani yapo ya Alizeti, na mawese sijui Aina ipi apo
@user-xx8xs2vi6r
25 күн бұрын
@@AGALUSTV ni.mashudu gani mazuri mkuu. Maana yanapatikana yote. Alizeti, soya, dengu