MAANDALIZI YA KILIMO CHA MAHARAGE KWA NJIA YA UMWAGILIAJI

Kilimo cha maharage kwa njia ya umwagiliaji Kinafaida. Endapo utalima kipindi cha Kiangazi
1. Mimea ukua kwa haraka
2. Magonjwa upungua
3. Gharama uwa nafuu kwenye Dawa za wa wadudu
4. Soko la uhakika
#maharage#kilimo
👉Kilimo cha maharage Upandaji, matumizi ya mbolea • KILIMO CHA MAHARAGE: U...
👉Jinsi ya kuweka mbolea kwenye Kilimo cha maharage
• KILIMO CHA MAHARAGE:...
👉Mchanganuo wa uwekezaji kwenye kikimo cha maharage katika Hekari 1 mtaji na faida yake
• MCHANGANUO KWENYE KILI...
Kwa ushauri Kuhusu kilimo na ufugaji
kwa wasap pekee +255765467484

Пікірлер: 12

  • @SalsabeelLtd
    @SalsabeelLtd2 жыл бұрын

    me huwa nasubilig tu hiz darasa La kilimo cha maharage Ahsante♥️

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Oooooh kumbe tunashukuru. Tutajitahidi na za kilimo pia ziwepo 🙏🙏🤝

  • @jumaomari223
    @jumaomari223 Жыл бұрын

    Kilimo cha mahage nakipenda sana

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Karibu Sana ndugu

  • @jumarajabu6902
    @jumarajabu6902 Жыл бұрын

    Good

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Welcome

  • @abdallahhuseinkabale7534
    @abdallahhuseinkabale7534 Жыл бұрын

    Naomba kujua nafasi hadi nafasi katika upandaji maharage....shimo hadi shimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Shimo kwa Shimo ni 15 cm na mstari kwa. Mstari ni 40cm

  • @lewisleonard9886
    @lewisleonard98866 ай бұрын

    Hujatuambia tunapanda kwa kipimo gani shimo hadi shimo baada ya maarage kuota tunamwagilia kila baada ya siku ngapi nitaweka mbolea siku ngapi baada ya kupanda kuna muda gani tangu kupanda mpaka kuvuna

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    6 ай бұрын

    Apo fuatilila video zetu Kuhusu upandaji wa maharage

  • @jeannshimirimana3955
    @jeannshimirimana39552 жыл бұрын

    poa kabisa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Amen