MAANDALIZI YA KILIMO CHA MAHARAGE KWA NJIA YA UMWAGILIAJI
Kilimo cha maharage kwa njia ya umwagiliaji Kinafaida. Endapo utalima kipindi cha Kiangazi
1. Mimea ukua kwa haraka
2. Magonjwa upungua
3. Gharama uwa nafuu kwenye Dawa za wa wadudu
4. Soko la uhakika
#maharage#kilimo
👉Kilimo cha maharage Upandaji, matumizi ya mbolea • KILIMO CHA MAHARAGE: U...
👉Jinsi ya kuweka mbolea kwenye Kilimo cha maharage
• KILIMO CHA MAHARAGE:...
👉Mchanganuo wa uwekezaji kwenye kikimo cha maharage katika Hekari 1 mtaji na faida yake
• MCHANGANUO KWENYE KILI...
Kwa ushauri Kuhusu kilimo na ufugaji
kwa wasap pekee +255765467484
Пікірлер: 12
me huwa nasubilig tu hiz darasa La kilimo cha maharage Ahsante♥️
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Oooooh kumbe tunashukuru. Tutajitahidi na za kilimo pia ziwepo 🙏🙏🤝
Kilimo cha mahage nakipenda sana
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Karibu Sana ndugu
Good
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Welcome
Naomba kujua nafasi hadi nafasi katika upandaji maharage....shimo hadi shimo
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Shimo kwa Shimo ni 15 cm na mstari kwa. Mstari ni 40cm
Hujatuambia tunapanda kwa kipimo gani shimo hadi shimo baada ya maarage kuota tunamwagilia kila baada ya siku ngapi nitaweka mbolea siku ngapi baada ya kupanda kuna muda gani tangu kupanda mpaka kuvuna
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Apo fuatilila video zetu Kuhusu upandaji wa maharage
poa kabisa
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Amen