MCHANGANUO KWENYE KILIMO CHA MAHARAGE :MTAJI NA FAIDA KATIKA HEKA

👉Kilimo cha maharage aina ya Soya kina faida kubwa. Fuatilia somo hili kwa mtaji wa Tsh. 667, 000 upate faifa ya 3, 083, 000 ndani ya miezi 4/5 katika heka 1.

Пікірлер: 135

  • @rechoshop4094
    @rechoshop4094Ай бұрын

    Nashukuru

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Ай бұрын

    Tupo pamoja ndugu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Ай бұрын

    Tupo PAMOJA NDUGU

  • @erickclaudio2978
    @erickclaudio2978 Жыл бұрын

    Ahsante ndg kwa post zako za faida,naomba kujua hayo maharage ya soya yanafananaje.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Ya njano

  • @MagenLucas
    @MagenLucas4 ай бұрын

    Njinsiya upandaji nzuri WA maharage

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    4 ай бұрын

    Fuatilila video za upandaji wa maharage

  • @user-br3sc8bm4t
    @user-br3sc8bm4t2 жыл бұрын

    Asante sana ubarikiwe ila nungependa kujua kilimo hiki kinategemea mvua au umwagiliaji maana nimeona Kama shamba liko ktk mwinuko kidogo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Kote kote kina kubali umwagiliaji na mvua pia🙏

  • @majabangili1779
    @majabangili1779 Жыл бұрын

    Axant xan kwa kutuelimisha kuhux kilimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Barikiwa Sana ndugu

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 Жыл бұрын

    Makala nzuri lakn natoaushauri kupunguza kengere zenu. Mnamtoa mtu kwenye mood.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Asante ndugu✍️🤝

  • @rinaamour1796

    @rinaamour1796

    Жыл бұрын

    Yani mi nimeacha kuangalia sababu ya hio kengere it’s annoying

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Very sorry ndugu. Tutajihidi kurekebisha Hilo tatzo na tuna haidi kwa video zingine halitatokea🙏🏿🤝✍️

  • @Shaksi434

    @Shaksi434

    4 ай бұрын

    Wanaboa Sanna

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    4 ай бұрын

    Samahani ndugu 🙏🏿 ✍️ 🤝

  • @janethsevin3336
    @janethsevin3336 Жыл бұрын

    Asante sana kwa somo zuri nime be inspired kwa kweli 🙏

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Karibu ndugu

  • @julianaboniphace7351

    @julianaboniphace7351

    8 ай бұрын

    0 Ip

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    8 ай бұрын

    Nini ndugu

  • @morrismwita8868
    @morrismwita88682 жыл бұрын

    Kilimo cha maharage aina ya Soya kina faida kubwa. Fuatilia somo hili kwa mtaji wa Tsh. 667, 000 upate faifa ya 3, 083, 000 ndani ya miezi 4/5 katika heka 1. ---------------------------------------------------------- ___ hesabu hiyo hapo juu unaifikiaje ?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Umejieleza kwa vdeo

  • @OmarkhamisOmar-cj2qz
    @OmarkhamisOmar-cj2qz Жыл бұрын

    🎉kpindi gani cha kilimo hichi bwanna shamba naona umesahau kutuambiy

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Mvua zinapo isha TU tunapanda maharage yaani unyevu nyevu uwepo shamba

  • @adamjumbe4390
    @adamjumbe43903 жыл бұрын

    Je mbolea ya supergro Haifai kwa maharage!nakamainafaa nipe faida yake tafadhali

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Sorry. Naomba ukamwone mtaalam au wakala wa izo mbolea anaweza akawa na mengi. Ya kukwambia🙏🙏🙏 kwa zaidi nichek 0786097274

  • @RamadhanNgereza-md2sq
    @RamadhanNgereza-md2sq10 ай бұрын

    habar ;naomb nijue faida ya kufungasha na kuyaweka store maharage ipoje

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    10 ай бұрын

    Ni pale utakapo kua unasubiri soko la maharage Lipande

  • @user-oe1es2in2y
    @user-oe1es2in2y5 ай бұрын

    Jambo ndugu.nomba kujua naweza kulima handeni pozo. naweza kulima maharage ya soya ?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Yaah inawezekana tu

  • @user13375
    @user13375 Жыл бұрын

    Kengere inakeraaaaaaaaa,kuweni wasomi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Sory mkuu tujajitahidi

  • @nicksonkimaro3202
    @nicksonkimaro32022 жыл бұрын

    Kaaaaaaa izo gharama

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Upate tu picha japo zitatofautiana kat y eneo 1 na lingine japo kidogo sana

  • @magrethmkoga7340
    @magrethmkoga73403 ай бұрын

    Mbolea gani inafa kwa maharage

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Ya kupandia, kukuzia AU matunda. Maana zote ni muhimu so unahitaji kujua kwa ajiri y Kaz gani apo

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei56585 ай бұрын

    Kilimo cha daftari 😂😂😂😂 hicho ingia shambani ndiyo utajua kuwa kilimo kinasemaje

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Ok

  • @vannjunior_tz9903
    @vannjunior_tz99032 жыл бұрын

    Namba ya simu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Okay

  • @user-hy3qk9em3e
    @user-hy3qk9em3e5 ай бұрын

    bolea unawekaje kwenye maharage kama ya meota

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Fuatilila video hii y upandaji w maharage kzread.info/dash/bejne/dphop6Wqqae-e5c.html

  • @user-ny7bu6ur4p
    @user-ny7bu6ur4p4 ай бұрын

    Jee! Kila shimo Moja unapanda mbegu ngapi?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    4 ай бұрын

    2

  • @masoudismsil4802
    @masoudismsil48022 жыл бұрын

    Mm natakaa kujuaa mbolea yamatundaa nitumiee mboleaa ganii

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Mbolea zipo nyingi ndugu tuzitaja Majina apa Ata sehem haitatosha ila kwa ushaur muone mtaalam w kilimo aliyekaribu nawe atakwambia eneo unalolima ni mbolea gani itafaa🙏kama utaitaji msaada zaidi tuzid kuwasiliana

  • @chalaboys175
    @chalaboys1752 жыл бұрын

    Upandaji cm ngp mche hd mche?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Sm13/15 kwa sm 50/70

  • @azilathabdul1557
    @azilathabdul15577 ай бұрын

    Mimi niko kagera napenda sana kilimo na mungu akipenda mwaka ujao nataka nijaribu na mm maharage na mahindi kwenye shamba moja itawezekana? Na je una group la WhatsApp

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    7 ай бұрын

    Karibu Sana ktk kilimo. Kwa kilimo chenye tija si vizuri kupanda ayo Mazao mawili ktk shamba 1 maana maharage ya nahitaji Sana Mwanga w jua so itakua ngumu. Pia mahindi ya nahitaji Sana rutuba. Labda uhakikishe shamba lako Lina rutuba y kutosha. Ila kwa kulima kwa lengo la kupata ugali na mboga tu waweza fanya hivyo. Group hatuna bado tunatafuta njia nzuri ya kuliendesha group. Ukiwa na shida waweza ku comment tu AU ukitingwa Sana ntakutumia namba y wasap

  • @azilathabdul1557

    @azilathabdul1557

    7 ай бұрын

    Ahsante sana. Kwa mm ninaeanza ni vzr ninunue shamba au nikodishe kwanza? Nipo Bukoba Ila nataka kutafuta shamba karagwe kama unapafaham au unamtu unamjua unaweza kuniunganisha nae

  • @user-dy3gq3qf4h

    @user-dy3gq3qf4h

    5 ай бұрын

    @@azilathabdul1557 ndungu,yuko,wengi,tunaanza maisha,kilimo,ALLA,atuongoze,

  • @user-je3ye8vk7m
    @user-je3ye8vk7m7 ай бұрын

    Blaza inakuaje man. Ivi kwa Tanzania wapi panafaa zaidi kwa mtu anaeanza kilomo Cha maaalage. Yani no mkoa gani kuliko wote wenye lutuba. Afu mini Tena ujue kilimo nimekikubali japo naishi town man. Niambie bloo nianze mishe

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    7 ай бұрын

    Maharage ya nakubali tu sehemu kubwa nchini ni wewe tu hesabu zako piga

  • @peterndella9536
    @peterndella9536 Жыл бұрын

    Nimejifunza kitu mbarikiwe sana

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Pamoja ndugu 🙏🏿🤝✍️

  • @user-vb3rt3ln9c

    @user-vb3rt3ln9c

    Ай бұрын

    Kigoma vijijin hasa wilaya ya uvinza watu wakilima heka akipata sana ni gunia tatu tu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Ай бұрын

    Poleni Sana ndugu. Anza kulima kilimo bora

  • @joycenchimbi9892
    @joycenchimbi98922 жыл бұрын

    Je kilimo cha soya tunatumia mbolea?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ndyo Zina tumika ndugu

  • @bettysetty4567
    @bettysetty45679 ай бұрын

    Mkoa wa mara kilimo hichi kinakubali?maana ni ardhi ya mchanga

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    9 ай бұрын

    Inakubali vzur tu

  • @salehabdallah2737
    @salehabdallah2737 Жыл бұрын

    Sawa lakin hiki kilimo kinafaa sana wap dodoma morogoro au singida au mkoa upi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Mikoa yote Kilimo hiki kinafaa

  • @user-mq5ly7kr8x

    @user-mq5ly7kr8x

    2 ай бұрын

    ​@@AGALUSTVNi mwezi gan unafaa kulima Maharage

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 ай бұрын

    Mvua zinapo enda kuishia

  • @isaimlongesanga6203
    @isaimlongesanga62032 жыл бұрын

    Vipimo vya upandaji shimo hadi shimo ni cm ngapi?na mstari hadi mstari ni cm ngapi?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Sm 10 hadi 15 shimo kwa shimo na sm30hadi 45 mstari kwa mstari

  • @gracebenjamin6564
    @gracebenjamin6564 Жыл бұрын

    Tunaomba majina ya mbolea za viwandani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    ZA kupandia au

  • @feychipa3054
    @feychipa30542 жыл бұрын

    Naomba namba zenu za simu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ok 🙏

  • @rosesesala9131
    @rosesesala9131 Жыл бұрын

    Nimelima heka 2 ngoja niangalie faida Kama itakuwa nzurii

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Baraka za Mungu ziwe ktk Kaz yako🙏🏿✍️🔥

  • @PatrickGatabazi-oi1po
    @PatrickGatabazi-oi1po Жыл бұрын

    Ooooo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Karibu

  • @mohdswahili7219
    @mohdswahili72192 жыл бұрын

    Naomba no ya sim

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ok

  • @mohdswahili7219

    @mohdswahili7219

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV nahitaji harage sio makavu yani mabichi yanatikana guniya kwa bei gani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Tuwasiliane +255765467484 wasap na. Telegram pekee

  • @bennojoely3433
    @bennojoely3433 Жыл бұрын

    vipi mbolea ya kumwagilia aka booster..

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Nzuri Sana izo

  • @bznznbznjznz1147
    @bznznbznjznz11473 жыл бұрын

    Hayo mahage yanastawi zaidi sehem gani(mkoa gani)???

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Mikoa ya nyanda za juu kusini

  • @laurentdau753

    @laurentdau753

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV napenda saana kuanziasha kilimo Cha maharage , napenda kuuliza kwamba maharage ya msimu na Yale ya kumwagilia yapi Yana faaa zaidi katika kuvuna mavuno mengi?

  • @laurentdau753

    @laurentdau753

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV napenda saana kuanziasha kilimo Cha maharage , napenda kuuliza kwamba maharage ya msimu na Yale ya kumwagilia yapi Yana faaa zaidi katika kuvuna mavuno mengi?

  • @salehabdallah2737
    @salehabdallah2737 Жыл бұрын

    Hamna namba za WhatsApp kwa maswali na masomo zaid

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Kwa sasa haipo ila soon itakuwepo 🙏🏿✍️Endelea kubak na AGALUS online TV

  • @gilbertmwitula2875
    @gilbertmwitula28752 жыл бұрын

    Kwa mkoa wa manyara au singida maharage Yale ya njano hukaa muda gan?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ngoja tufuatilie hali y hewa kw uko ipoje

  • @monysulloo5904

    @monysulloo5904

    Жыл бұрын

    @@AGALUSTV samahani mpendwa hivi nikipanda maharage Yale ya njano mwezi huu wa kumi na moja katikati yataweza kustawi vizuri na kuiva vizuri,? Asante nipo mkoani Arusha

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Inawezekana kabisa ila mvua sisichelewe au utakua unamwagilia?

  • @feychipa3054
    @feychipa30542 жыл бұрын

    Mashamba yanapatikana wapi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Upo wapi

  • @goodlucksokoni1915
    @goodlucksokoni19152 жыл бұрын

    Naitaji namba yako mm ni mkulima

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Wasap +255765467484

  • @ifirooidinga-ms6ql
    @ifirooidinga-ms6ql Жыл бұрын

    Nimkoa gani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Karibu mikoa yote zao hili linakubali

  • @nasibubiyaka7275
    @nasibubiyaka7275 Жыл бұрын

    maharage yanachukua mda gani kukomaa?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Miez 3/4

  • @davidayungashukuru7870
    @davidayungashukuru7870 Жыл бұрын

    Aina gani mzuri ya maharage?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Maharage yote ni mazuri ndugu cjui eneo lako yapi ni mazuri zaidi

  • @davidayungashukuru7870

    @davidayungashukuru7870

    Жыл бұрын

    @@AGALUSTV kuna yale ya rangi ya njano ndo yanaitwaje kitahalamu?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Ivyo ivyo maharage ya njano

  • @user-dy3gq3qf4h
    @user-dy3gq3qf4h5 ай бұрын

    Kulima ni,kuanzia,mwezi gani?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Kila eneo utofautiana ila pale mvua zinapo enda kukatika tu

  • @user-dy3gq3qf4h

    @user-dy3gq3qf4h

    5 ай бұрын

    @@AGALUSTV eno TABORA,nililima,Karanga,nategemea,nikizitoa,niweke,maharage,niombe,mungu,Mandal,mwez,wa,3

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    BARIKIWA SANA NDUGU

  • @user-dy3gq3qf4h

    @user-dy3gq3qf4h

    5 ай бұрын

    @@AGALUSTV Amiina Kwa sote,no, yako ya, WhatsAp, Kama nitaanza nntakutafuta unipe maelekezo zaid inshallah

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Sawa ntakutumia ndugu

  • @jumamseti8217
    @jumamseti82173 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Pa1

  • @muhsinhamis191

    @muhsinhamis191

    3 жыл бұрын

    sawa

  • @obethmdeka4222

    @obethmdeka4222

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV thjt

  • @marianachristophory5239
    @marianachristophory52399 ай бұрын

    hii imeakaaje mbona Mimi nikilima napata gunia 5 kwa heka 1

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    9 ай бұрын

    Pole sana ndugu mavuno hutegemea mambo mengi Sana. Rutuba shambani, mbegu uzaaji, Hali ya hewa n. K

  • @ShamteKisoma

    @ShamteKisoma

    8 ай бұрын

    Mambo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    8 ай бұрын

    Poa poa ndugu 🙏🏿

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani34282 жыл бұрын

    kaka naomba mamba zenu nakufatilia kila zao

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Tunashukuru sana Na ubarikiwe sana🙏

  • @rehemahramadhani3428

    @rehemahramadhani3428

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV kak nahitaj shamb nitapata. huk

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Mengi tena mazur sana

  • @asaakaim7359

    @asaakaim7359

    2 жыл бұрын

    Mm naomba nipatieni namba zenu Ili niweze kuuliza maswali elimu nzuri sana

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    +255765467484 wasp tu

  • @Aminaamina-cg8sf
    @Aminaamina-cg8sf2 жыл бұрын

    Maharage yamsimu yanapandwa mwezi gani?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Hatujakuelewa kdogo swali lako🙏

  • @Aminaamina-cg8sf

    @Aminaamina-cg8sf

    2 жыл бұрын

    Kuna maharage yakumwagilia nakunamaharage yanayotegemea mvua Sasa unasemahayahitaji mvua nyingi Sana ndo nauliza mfano sehemu mvua zinaanza mwezi WA 12 zinakata kuanzia wanne hadi watano Sasa hapa inabidi nipande mwezi wangapi ili kuepukamvua nyingi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ok miez y 10/11 kwa maeneo maeneo mengi Tz

  • @Aminaamina-cg8sf

    @Aminaamina-cg8sf

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV oky shukrani sana

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Pa1🤝🤝

  • @abelichacha7208
    @abelichacha7208 Жыл бұрын

    Nina swali kidog

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Karibu Sana ndugu

  • @SurprisedBorderCollie-ls2mq
    @SurprisedBorderCollie-ls2mq5 ай бұрын

    Eka tunapandia kilo ngapi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Nini? Mbegu AU mbolea