MCHANGANUO KWENYE KILIMO CHA MAHARAGE :MTAJI NA FAIDA KATIKA HEKA
👉Kilimo cha maharage aina ya Soya kina faida kubwa. Fuatilia somo hili kwa mtaji wa Tsh. 667, 000 upate faifa ya 3, 083, 000 ndani ya miezi 4/5 katika heka 1.
👉Kilimo cha maharage aina ya Soya kina faida kubwa. Fuatilia somo hili kwa mtaji wa Tsh. 667, 000 upate faifa ya 3, 083, 000 ndani ya miezi 4/5 katika heka 1.
Пікірлер: 135
Nashukuru
@AGALUSTV
Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@AGALUSTV
Ай бұрын
Tupo PAMOJA NDUGU
Ahsante ndg kwa post zako za faida,naomba kujua hayo maharage ya soya yanafananaje.
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Ya njano
Njinsiya upandaji nzuri WA maharage
@AGALUSTV
4 ай бұрын
Fuatilila video za upandaji wa maharage
Asante sana ubarikiwe ila nungependa kujua kilimo hiki kinategemea mvua au umwagiliaji maana nimeona Kama shamba liko ktk mwinuko kidogo
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Kote kote kina kubali umwagiliaji na mvua pia🙏
Axant xan kwa kutuelimisha kuhux kilimo
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Barikiwa Sana ndugu
Makala nzuri lakn natoaushauri kupunguza kengere zenu. Mnamtoa mtu kwenye mood.
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Asante ndugu✍️🤝
@rinaamour1796
Жыл бұрын
Yani mi nimeacha kuangalia sababu ya hio kengere it’s annoying
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Very sorry ndugu. Tutajihidi kurekebisha Hilo tatzo na tuna haidi kwa video zingine halitatokea🙏🏿🤝✍️
@Shaksi434
4 ай бұрын
Wanaboa Sanna
@AGALUSTV
4 ай бұрын
Samahani ndugu 🙏🏿 ✍️ 🤝
Asante sana kwa somo zuri nime be inspired kwa kweli 🙏
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Karibu ndugu
@julianaboniphace7351
8 ай бұрын
0 Ip
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Nini ndugu
Kilimo cha maharage aina ya Soya kina faida kubwa. Fuatilia somo hili kwa mtaji wa Tsh. 667, 000 upate faifa ya 3, 083, 000 ndani ya miezi 4/5 katika heka 1. ---------------------------------------------------------- ___ hesabu hiyo hapo juu unaifikiaje ?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Umejieleza kwa vdeo
🎉kpindi gani cha kilimo hichi bwanna shamba naona umesahau kutuambiy
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mvua zinapo isha TU tunapanda maharage yaani unyevu nyevu uwepo shamba
Je mbolea ya supergro Haifai kwa maharage!nakamainafaa nipe faida yake tafadhali
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Sorry. Naomba ukamwone mtaalam au wakala wa izo mbolea anaweza akawa na mengi. Ya kukwambia🙏🙏🙏 kwa zaidi nichek 0786097274
habar ;naomb nijue faida ya kufungasha na kuyaweka store maharage ipoje
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Ni pale utakapo kua unasubiri soko la maharage Lipande
Jambo ndugu.nomba kujua naweza kulima handeni pozo. naweza kulima maharage ya soya ?
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Yaah inawezekana tu
Kengere inakeraaaaaaaaa,kuweni wasomi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Sory mkuu tujajitahidi
Kaaaaaaa izo gharama
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Upate tu picha japo zitatofautiana kat y eneo 1 na lingine japo kidogo sana
Mbolea gani inafa kwa maharage
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Ya kupandia, kukuzia AU matunda. Maana zote ni muhimu so unahitaji kujua kwa ajiri y Kaz gani apo
Kilimo cha daftari 😂😂😂😂 hicho ingia shambani ndiyo utajua kuwa kilimo kinasemaje
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Ok
Namba ya simu
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Okay
bolea unawekaje kwenye maharage kama ya meota
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Fuatilila video hii y upandaji w maharage kzread.info/dash/bejne/dphop6Wqqae-e5c.html
Jee! Kila shimo Moja unapanda mbegu ngapi?
@AGALUSTV
4 ай бұрын
2
Mm natakaa kujuaa mbolea yamatundaa nitumiee mboleaa ganii
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Mbolea zipo nyingi ndugu tuzitaja Majina apa Ata sehem haitatosha ila kwa ushaur muone mtaalam w kilimo aliyekaribu nawe atakwambia eneo unalolima ni mbolea gani itafaa🙏kama utaitaji msaada zaidi tuzid kuwasiliana
Upandaji cm ngp mche hd mche?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Sm13/15 kwa sm 50/70
Mimi niko kagera napenda sana kilimo na mungu akipenda mwaka ujao nataka nijaribu na mm maharage na mahindi kwenye shamba moja itawezekana? Na je una group la WhatsApp
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Karibu Sana ktk kilimo. Kwa kilimo chenye tija si vizuri kupanda ayo Mazao mawili ktk shamba 1 maana maharage ya nahitaji Sana Mwanga w jua so itakua ngumu. Pia mahindi ya nahitaji Sana rutuba. Labda uhakikishe shamba lako Lina rutuba y kutosha. Ila kwa kulima kwa lengo la kupata ugali na mboga tu waweza fanya hivyo. Group hatuna bado tunatafuta njia nzuri ya kuliendesha group. Ukiwa na shida waweza ku comment tu AU ukitingwa Sana ntakutumia namba y wasap
@azilathabdul1557
7 ай бұрын
Ahsante sana. Kwa mm ninaeanza ni vzr ninunue shamba au nikodishe kwanza? Nipo Bukoba Ila nataka kutafuta shamba karagwe kama unapafaham au unamtu unamjua unaweza kuniunganisha nae
@user-dy3gq3qf4h
5 ай бұрын
@@azilathabdul1557 ndungu,yuko,wengi,tunaanza maisha,kilimo,ALLA,atuongoze,
Blaza inakuaje man. Ivi kwa Tanzania wapi panafaa zaidi kwa mtu anaeanza kilomo Cha maaalage. Yani no mkoa gani kuliko wote wenye lutuba. Afu mini Tena ujue kilimo nimekikubali japo naishi town man. Niambie bloo nianze mishe
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Maharage ya nakubali tu sehemu kubwa nchini ni wewe tu hesabu zako piga
Nimejifunza kitu mbarikiwe sana
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Pamoja ndugu 🙏🏿🤝✍️
@user-vb3rt3ln9c
Ай бұрын
Kigoma vijijin hasa wilaya ya uvinza watu wakilima heka akipata sana ni gunia tatu tu
@AGALUSTV
Ай бұрын
Poleni Sana ndugu. Anza kulima kilimo bora
Je kilimo cha soya tunatumia mbolea?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ndyo Zina tumika ndugu
Mkoa wa mara kilimo hichi kinakubali?maana ni ardhi ya mchanga
@AGALUSTV
9 ай бұрын
Inakubali vzur tu
Sawa lakin hiki kilimo kinafaa sana wap dodoma morogoro au singida au mkoa upi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mikoa yote Kilimo hiki kinafaa
@user-mq5ly7kr8x
2 ай бұрын
@@AGALUSTVNi mwezi gan unafaa kulima Maharage
@AGALUSTV
2 ай бұрын
Mvua zinapo enda kuishia
Vipimo vya upandaji shimo hadi shimo ni cm ngapi?na mstari hadi mstari ni cm ngapi?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Sm 10 hadi 15 shimo kwa shimo na sm30hadi 45 mstari kwa mstari
Tunaomba majina ya mbolea za viwandani
@AGALUSTV
Жыл бұрын
ZA kupandia au
Naomba namba zenu za simu
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ok 🙏
Nimelima heka 2 ngoja niangalie faida Kama itakuwa nzurii
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Baraka za Mungu ziwe ktk Kaz yako🙏🏿✍️🔥
Ooooo
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Karibu
Naomba no ya sim
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ok
@mohdswahili7219
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV nahitaji harage sio makavu yani mabichi yanatikana guniya kwa bei gani
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Tuwasiliane +255765467484 wasap na. Telegram pekee
vipi mbolea ya kumwagilia aka booster..
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Nzuri Sana izo
Hayo mahage yanastawi zaidi sehem gani(mkoa gani)???
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mikoa ya nyanda za juu kusini
@laurentdau753
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV napenda saana kuanziasha kilimo Cha maharage , napenda kuuliza kwamba maharage ya msimu na Yale ya kumwagilia yapi Yana faaa zaidi katika kuvuna mavuno mengi?
@laurentdau753
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV napenda saana kuanziasha kilimo Cha maharage , napenda kuuliza kwamba maharage ya msimu na Yale ya kumwagilia yapi Yana faaa zaidi katika kuvuna mavuno mengi?
Hamna namba za WhatsApp kwa maswali na masomo zaid
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Kwa sasa haipo ila soon itakuwepo 🙏🏿✍️Endelea kubak na AGALUS online TV
Kwa mkoa wa manyara au singida maharage Yale ya njano hukaa muda gan?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ngoja tufuatilie hali y hewa kw uko ipoje
@monysulloo5904
Жыл бұрын
@@AGALUSTV samahani mpendwa hivi nikipanda maharage Yale ya njano mwezi huu wa kumi na moja katikati yataweza kustawi vizuri na kuiva vizuri,? Asante nipo mkoani Arusha
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Inawezekana kabisa ila mvua sisichelewe au utakua unamwagilia?
Mashamba yanapatikana wapi
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Upo wapi
Naitaji namba yako mm ni mkulima
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Wasap +255765467484
Nimkoa gani
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Karibu mikoa yote zao hili linakubali
maharage yanachukua mda gani kukomaa?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Miez 3/4
Aina gani mzuri ya maharage?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Maharage yote ni mazuri ndugu cjui eneo lako yapi ni mazuri zaidi
@davidayungashukuru7870
Жыл бұрын
@@AGALUSTV kuna yale ya rangi ya njano ndo yanaitwaje kitahalamu?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Ivyo ivyo maharage ya njano
Kulima ni,kuanzia,mwezi gani?
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Kila eneo utofautiana ila pale mvua zinapo enda kukatika tu
@user-dy3gq3qf4h
5 ай бұрын
@@AGALUSTV eno TABORA,nililima,Karanga,nategemea,nikizitoa,niweke,maharage,niombe,mungu,Mandal,mwez,wa,3
@AGALUSTV
5 ай бұрын
BARIKIWA SANA NDUGU
@user-dy3gq3qf4h
5 ай бұрын
@@AGALUSTV Amiina Kwa sote,no, yako ya, WhatsAp, Kama nitaanza nntakutafuta unipe maelekezo zaid inshallah
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Sawa ntakutumia ndugu
🙏🙏🙏
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pa1
@muhsinhamis191
3 жыл бұрын
sawa
@obethmdeka4222
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV thjt
hii imeakaaje mbona Mimi nikilima napata gunia 5 kwa heka 1
@AGALUSTV
9 ай бұрын
Pole sana ndugu mavuno hutegemea mambo mengi Sana. Rutuba shambani, mbegu uzaaji, Hali ya hewa n. K
@ShamteKisoma
8 ай бұрын
Mambo
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Poa poa ndugu 🙏🏿
kaka naomba mamba zenu nakufatilia kila zao
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Tunashukuru sana Na ubarikiwe sana🙏
@rehemahramadhani3428
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV kak nahitaj shamb nitapata. huk
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Mengi tena mazur sana
@asaakaim7359
2 жыл бұрын
Mm naomba nipatieni namba zenu Ili niweze kuuliza maswali elimu nzuri sana
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
+255765467484 wasp tu
Maharage yamsimu yanapandwa mwezi gani?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Hatujakuelewa kdogo swali lako🙏
@Aminaamina-cg8sf
2 жыл бұрын
Kuna maharage yakumwagilia nakunamaharage yanayotegemea mvua Sasa unasemahayahitaji mvua nyingi Sana ndo nauliza mfano sehemu mvua zinaanza mwezi WA 12 zinakata kuanzia wanne hadi watano Sasa hapa inabidi nipande mwezi wangapi ili kuepukamvua nyingi
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ok miez y 10/11 kwa maeneo maeneo mengi Tz
@Aminaamina-cg8sf
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV oky shukrani sana
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
Nina swali kidog
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Karibu Sana ndugu
Eka tunapandia kilo ngapi
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Nini? Mbegu AU mbolea