KILIMO CHA MAHARAGE: UPANDAJI, MBOLEA NA UTUNZAJI

Kilimo cha maharage kinalipa. Zingatia kanuni bora za kilimo hasa kwenye matumizi ya mbolea

Пікірлер: 305

  • @anellyilomo2799
    @anellyilomo27993 жыл бұрын

    Asante kwa somo Zuri nmelielewa sana, naomba kuuliza katika shimo Moja unaweka Mbegu ngapi za maharage

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Tunashukuru kwa ushirikiano wako bt katika shimo ni mbegu 1 hadi 2 . Barikiwa🙏🙏🙏

  • @abbyadams8691

    @abbyadams8691

    Жыл бұрын

    Kwa uzoefu wangu na utaalamu ni vema kuweka mbegu 2 katika shimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Pamoja🤝

  • @JohnJohn-sb5lv

    @JohnJohn-sb5lv

    Жыл бұрын

    Somo la leo ni zuri sana Niko pa1 nanyi had mwisho wa kipind

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Barikiwa Sana ndugu

  • @Truth4lite
    @Truth4lite3 жыл бұрын

    Asante, very beneficial.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Pa 1 bt kama hujasubscribe naomba ufanye ivyo usipitwe na masomo yajayo

  • @ezekieljob8679
    @ezekieljob86796 ай бұрын

    Asante Kwa maelekezo Mazuri sana ninaswali namna ya kuweka mbolea ya matunda maana umesema unaziweka zote Kwa pamoja ya kupandia na kuzalishia zote tatu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    6 ай бұрын

    Na za matunda utakua umeweka pale pale. Maharage ni zao la muda mfupi saana ndugu so itafanya tu Kaz Wala ucjali

  • @ezekieljob8679

    @ezekieljob8679

    6 ай бұрын

    Asante sana ndugu nimekuelewa

  • @rosesesala9131
    @rosesesala9131 Жыл бұрын

    Asante sanaa Kaka angu ,,mungu akubariki sanaa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Amina ndugu 🙏🏿

  • @shanimbaraka2600
    @shanimbaraka26003 жыл бұрын

    Great great somo ,

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪

  • @odethaneema
    @odethaneema10 күн бұрын

    Waoo nimependa mnavoreply kwa kila mmoja mmoja,,mbarikiwe mnoo,, sorry namm niko na swal kdg et,, vip mbegu n lazima ninunue kwenye maduka ya kilimo au hata mbegu za nyumbni zaweza kutumika na mavuno yakawa mengi??? Asant nasubiria jibu lako

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    10 күн бұрын

    Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    10 күн бұрын

    Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri

  • @LimbuMasunga-ds2tj
    @LimbuMasunga-ds2tjАй бұрын

    Nashukuru kwa somo zuri,lakini naomba kujua namna ya kutambua magonjwa kwenye maharage na mazaoengine pia

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Ай бұрын

    Video ya magonjwa kwenye maharage na dawa zake kzread.info/dash/bejne/fXium7ZsdMune8o.html

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw5 ай бұрын

    Kilimo cha maharage haswa katavi kuna udongo mzuri sanaa nafikili waliwahi fika katavi watanielewa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    5 ай бұрын

    Hakika sana ndugu

  • @allynaas86
    @allynaas863 жыл бұрын

    Asante unatoa elimu nzur

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Pamoja bro

  • @peterndella9536
    @peterndella9536 Жыл бұрын

    Asante sana kwa somo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Barikiwa pia

  • @ezebiuskoni8321
    @ezebiuskoni832110 ай бұрын

    Asante kwasomo rako sas minikama umeniacha nyuma kido Koo inatakiwa upande vyote kwawakati mmoja marage uchanganye namborea uwezi kuweka mborea wakati marake yameotaa arafu ukatumia mborea mojaa tuu can kunatatizo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    10 ай бұрын

    Maharage ni zao la muda mfupi Sana. Ukipanda uje UWEKE mbolea apo lazima utaachana na ukuaji. Pia mbolea za Chumvi izi zitaunguza mche wako. Ndyo maaana kama mbolea tutatumia za maji yaaani booster. Ivyo ni vizur uchanganye mbolea na uo ni uzoefu ndugu

  • @ezebiuskoni8321

    @ezebiuskoni8321

    10 ай бұрын

    @@AGALUSTV saw Koo zamaji unaweza kutumia naizo nikama zipii

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    10 ай бұрын

    Ndugu yangu majina ni mengi Sana ya mbolea sasa naona Kama tutakuchanganya tu. Ni vizur ukaenda duka LA Pembe jeo lililo karibu nalo atakupa alizo nazo maana zipo za matunda, majani n. K

  • @user-pv9hq3mi4w
    @user-pv9hq3mi4w2 ай бұрын

    Mbegu nzuri nitapataje ? Mm Niko Arusha!! je sehrmu za kabuku (Tanga) maharage yatakubali?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 ай бұрын

    Mbegu Ata sokoni. Ila YAWE ya mwaka jana. Uko waweza lima

  • @JafaryMatiasi
    @JafaryMatiasiАй бұрын

    Naomba kuuliza je naweza kupanda mahalage pamaja namahindi nikapata mavuno mazuli

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Ай бұрын

    Hapana Usifanye ivyo

  • @JafaryMatiasi

    @JafaryMatiasi

    Ай бұрын

    @@AGALUSTV shimo moja la inafaa kuweka punje ngapi za mahalage

  • @user-wp2nt8lc5w
    @user-wp2nt8lc5w3 ай бұрын

    asanteeeee

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Barikiwa sana

  • @janemgimba2168
    @janemgimba216810 ай бұрын

    Barikiwa kwa maelekezo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    10 ай бұрын

    Amina ndugu nawe pia

  • @devothakiwola6461
    @devothakiwola64616 ай бұрын

    Tqfadhal naomba kujua tarehe nzuri za kuanza kupandaa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    6 ай бұрын

    Utegemea na eneo ulilopo maaana Hali ya hewa hutofautiana eneo moja na lingine

  • @devothakiwola6461

    @devothakiwola6461

    6 ай бұрын

    @@AGALUSTV iringa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    6 ай бұрын

    Apo uliza wenyeji mara nyingi uwa tuna panda mvua zinapo enda kuisha

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Жыл бұрын

    Yani Kaka nawapenda Sanaa bando langu litakua linaisha vizuli

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    🤝😁😁🙏🏿Pamoja ndugu

  • @DiraMedadi
    @DiraMedadiАй бұрын

    Naomba kujua mbegu za maharage ambazo ni zenye mavuno bora nazpataje

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Ай бұрын

    Maduka ya pembejeo

  • @user-vt8qq3vj7e

    @user-vt8qq3vj7e

    Ай бұрын

    Mie natakakupanda maharage kwakuanda vituta .nifahamishwe umbali wa tuta natuta

  • @HamisFengu-lz7hq
    @HamisFengu-lz7hq13 күн бұрын

    Kwa ukunda wa pwani kama wilaya ya kisalawe inafaa kupanda mwezi Gani?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    13 күн бұрын

    Mvua inaanza kuisha tu ule UNYEVU nyevu. Sasa apo waweza fuatilia ni mwez gani

  • @JacksonMwangi-bf8bz
    @JacksonMwangi-bf8bz Жыл бұрын

    Asante Kwa SoMo nzuri Mimi nmepanda Kwa kurusha natayali yameota naomba kuuliza vp naweza kurusha mborea ya dapu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Hapana tumia Mbolea za kwenye majani

  • @januarykiraba1605
    @januarykiraba16053 ай бұрын

    Ekari moja inahitaji mbegu kg ngapi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Debe 2 ivi uwe nazo

  • @mumberematsundo5780
    @mumberematsundo5780 Жыл бұрын

    Jambo Mimi ni mkulima inchini Congo mupakani n'a Uganda hatuna mbolea uku

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Okay poleni sana Tuzid wasiliana

  • @jdecorations8222
    @jdecorations82224 күн бұрын

    Kwa makadirio heka moja inaweza toa kilograms ngapi za maharage???

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 күн бұрын

    Waweza vuna zaidi ya Kg 400

  • @samwelgaspar7361
    @samwelgaspar73612 жыл бұрын

    Asante

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Barikiwa sana

  • @witnessbonaventura8755
    @witnessbonaventura87553 жыл бұрын

    Naomba kujua mbolea hizo zoteyaani ya kupandia na ya matunda zote kwa pamoja

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Yes kwa pamoja maana maharage yana chukua siku 3 tu kuanza kuota hivyo mbolea inabid iwepo mapema

  • @petertemu957
    @petertemu9572 жыл бұрын

    Good idea for agriculture

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Your welcome

  • @victorodhiambo5757

    @victorodhiambo5757

    Жыл бұрын

    @@AGALUSTV mbegu gani nzuri ambapo Ina chukua muda fupi,sehemu yenye vua chache

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Mfano mikoa ipi

  • @hadiazuberi4961

    @hadiazuberi4961

    8 ай бұрын

    @@AGALUSTV kaka naomba kuuliza shamba lenye.harithi.ya.mchanga.linafa.kulima maharage?.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    8 ай бұрын

    Linafaa TU .ni huduma TU

  • @suzanmgaya7460
    @suzanmgaya74602 жыл бұрын

    Hapo kwenye mbolea ya kuku nakubali mwamba duh yaani shina moja unaweza toa kilo moja

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Oooh sawa sawa Tupo pa1🙏🏿👏🤝

  • @jafarijuma7376
    @jafarijuma73763 ай бұрын

    Mbole unaweka weka je maana watu wengine wanasema usichanganye mbolea na mbegu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Kwa maharage haina shida. Mbona mahindi tunaweka

  • @PiusThadeo-li9oe
    @PiusThadeo-li9oe Жыл бұрын

    Safi sana

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Tupo pamoja ndugu

  • @ElishaDamas
    @ElishaDamas4 ай бұрын

    Ikiwa tayar mmea umeota nitumie mblea gan kwa ajili ya mavuno bora

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    4 ай бұрын

    Mbolea y matunda ya majani

  • @user-kn8tc6hk7y
    @user-kn8tc6hk7y6 ай бұрын

    Hakuna mbolea za maji unaZoweza kuzitumia Kwa Kupulizia kwenye majani ya maharage kama hukutumia mbolea hapo awali

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    6 ай бұрын

    Zipo ndugu

  • @user-wp2nt8lc5w

    @user-wp2nt8lc5w

    3 ай бұрын

    Ni kama zipi mtaalam​@@AGALUSTV

  • @petertemu957
    @petertemu9572 жыл бұрын

    Naomba kujua kama eneo la tarime litafaa kwa ajili ya maharage

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Yes linafaa tu ni huduma tu

  • @SHUKRANISTAPHORD
    @SHUKRANISTAPHORD4 ай бұрын

    Tunaomba kujua vipimo kiasi gani Cha mbolea wakati wa kuchanganya kati ya Dap na can

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    4 ай бұрын

    1:1

  • @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df
    @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df8 ай бұрын

    Nimbengu gan ambayo inaweza kunipa faida

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    8 ай бұрын

    Mbegu zipo nyingi ndugu. Tembelea tu duka la pembejeo

  • @MosesDavid-zo7ui
    @MosesDavid-zo7ui6 ай бұрын

    Dawa zinazohitajika katika kilimo cha maharage ambazo unaweza kutumia ?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    6 ай бұрын

    Ni za wadudu na ukungu hizo ndyo muhim

  • @mugabemigani7484
    @mugabemigani7484 Жыл бұрын

    Katika kila shimo unaweka mbegu ngapi na kutoka shina moja kwenda jingine ni umbali gani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Mbegu 1/2 umbali ni sm 15/15 ni shimo kw shimo na 40 AU 60 mtari kwa mstar

  • @user-dz1tt6gk5z
    @user-dz1tt6gk5z4 ай бұрын

    Umbali wakupana na ni weke punje ngapi kwa kila shimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    4 ай бұрын

    Sm 15 kwa 40

  • @user-sf6rj9jy5n
    @user-sf6rj9jy5n Жыл бұрын

    Mbolea gani inatumika kuzalisha maua kwenye zao la maharage

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Mbolea kama CAN ni nzuri kwa matunda,pia zipo mbolea ZA MAJI NYINGI TU KWA AJIRI ZA MAUA Na mtunda

  • @user-ut7xd3en6r
    @user-ut7xd3en6r7 ай бұрын

    Me na swali umesema tunaweza kuweka mbolea zote kwenye mahalage yaani shimo moja swali langu ni kwamba nawaka mbolea za dokana peke take au nachanganya zote na za asili

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    7 ай бұрын

    Wewe tu kulingana na rutuba ya shamba lako. Kama Unatumia za dukani peke Yake sawa tu

  • @joharijj2164
    @joharijj21643 жыл бұрын

    Je maharagwe yatafanya vizuri maeneo ya bungu, bungu ipo pwani waweza itizama kwa map, halafu soko la maharagwe lipo?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Nashukuru kwa taarifa 🙏🙏

  • @revocatusmartine7159
    @revocatusmartine71593 ай бұрын

    Mbole aina ya DAP na CAN ukishachanganya unaweka kiasi gani katika shimo la mbegu moja na pia kwa shimo la mbegu mbili

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Kifuniko cha maji/soda

  • @januarykiraba1605
    @januarykiraba16053 ай бұрын

    Umbali wa kupanda shina Hadi shina, mstsri hamstari ni centimita ngapi?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Sm 15 ni shina kw shin na sm 40 ni mstar kw mstar

  • @AlienVoice_tz
    @AlienVoice_tz3 ай бұрын

    He kwa Dar es Salaam naweza kulima maharage

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Ndio waweza

  • @robertkisiri1273
    @robertkisiri12733 жыл бұрын

    Asante kwa video nzuri. Ukilima kwa kufuata hatua zote za kitaalamu, mavuno yanaweza kufika gunia ngapi kwa eka moja???

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Gunia 3 hadi 5 ni gunia za debe 6

  • @arenyutenga1052
    @arenyutenga1052 Жыл бұрын

    Jee ni Mbegu ghani ya Maharage iliyozuri kwa kupata mavuno mengi? Jee maharage napaswa kupanda mwezi wangapi na kuvuna mwezi wangapi ??? By Utenga naomba unijibu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Kwa eneo la wapi yaan upo wapi

  • @lynnharry7359
    @lynnharry7359 Жыл бұрын

    Kiasigani cha mbolea ya matunda kinatosha kwenye hecre 1?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Nusu mfuko yaaani 0.5 kg japo Itategemea jinsi ya KIPIMO chako kwa njia ya mistari mbolea hadi mfuko 1 waweza tumika

  • @jacksonbasenile-nu8bf
    @jacksonbasenile-nu8bf Жыл бұрын

    Ogera sana

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Barikiwa pia

  • @ElishaDamas
    @ElishaDamas4 ай бұрын

    Ni mbolea gan ya matunda kwa maharage inafaa

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    4 ай бұрын

    YA, CHUMVI CHUMVI AU YA MAJI KWENYE MAJANI

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Ай бұрын

    Mbolea za maji jinsi ya kuchagua kzread.info/dash/bejne/m3h_vMVpXdC1Yqw.html

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Ай бұрын

    Mbolea za maji zote kzread.info/dash/bejne/m3h_vMVpXdC1Yqw.html

  • @user-fq8dv8fd6v
    @user-fq8dv8fd6v Жыл бұрын

    Je unaweza kutumia mbolea ya samadi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Iwe ya kuku AU nguruwe. Maaana Samad ya ng'ombe Inachelewa kufanya Kaz wkt maharage yanakua kwa haraka sana

  • @imeldanashon6347
    @imeldanashon63472 жыл бұрын

    Vp naomba kujua mbolea ya n, gombe yanafaa naomba mwenyekujua anjb jmn

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Inafaa japo iwe imevunda vizuri🙏

  • @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df
    @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df8 ай бұрын

    Je udongo ukiwa mwekudu unaweza kutumaia mbolea gani vile

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    8 ай бұрын

    Udongo haupimwi kwa rangi yake. Ukiitaji kupima udongo na Aina y mbolea Muone mtaalam wa Kilimo aliye karibu nawe

  • @winifridalugembe2528
    @winifridalugembe25282 жыл бұрын

    Je umewahi kutumia mkojo wa sungura kama mbolea na kukinga wadudu?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Yes ndugu

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut20473 жыл бұрын

    Nimependa naomba kujua backup ya Serikali inatusaidiaje wannachi tuweze kuingia shambani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Sijajua

  • @princebuganzilut2047

    @princebuganzilut2047

    3 жыл бұрын

    @@AGALUSTV kuna kipindi kile wanakamata kamata wacheza pool ilipendeza sana wangeandaliwa mashamba yanayohodhiwa na wanakijiji bila kuyaendeleza hata kwa kilimo wapewe hawa wasiokua na kazi wayalime. Hivyo kwakua hawakuwafanyia hivyo tungefikiriwa wengine wenye nia ya dhati ya kulima kwa condition ya misimu si chini ya mitatu palimwe mbona tanzania tungelisha mataifa ya nnje

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @happytitus8921
    @happytitus89213 жыл бұрын

    Samahani naweza nikapanda maharage halafu mbolea nikaweka baada ya zao kuota au kuna madhara

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Mbolea za chumvi chumvi zina tabia za kuunguza miche Ni vzuri kuoandia zote au kama utaweka baadae kua makini weka kw kiwango kidogo na uweke mbali na mche kdogo miche isiungue

  • @user-yq4bf9wy1v
    @user-yq4bf9wy1v9 ай бұрын

    Endapo ukifuata kanun vizur mapato yake yanakuwaje lakn nataka kujua juu ya matumiz ya viwatilifu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    9 ай бұрын

    Fuatilia video hii apa mchanganuo wote Mtaji na faida ndani yake kzread.info/dash/bejne/iImmprV7o8K3c7w.html

  • @user-fr6ml5pu3h
    @user-fr6ml5pu3h7 ай бұрын

    Hekali moja ya shamba la maharage ikitunzwa vema inatoa kilo ngapi?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    7 ай бұрын

    Zaidi ya gunia 15++

  • @WiliamObedi-mv3fr
    @WiliamObedi-mv3fr8 ай бұрын

    niaina gan ya mbegu inatoa mavuno kwa wingi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    8 ай бұрын

    Mbegu zote ni nzuri hutegemea na eneo na matunzo yako

  • @charityezekiel3525
    @charityezekiel35253 жыл бұрын

    Kwenye shimo moja unaweza kuweka mbegu ngapi??

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Mbegu 2 tu

  • @robertnyelele9896
    @robertnyelele9896 Жыл бұрын

    hekamoja ya mahalange unaweza kutoa.junia ngap

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Utegemea vitu vingi ndugu

  • @gracebenjaminnapokeakatika9565
    @gracebenjaminnapokeakatika95652 жыл бұрын

    Samahan naomba ushauri nataka nipande kilimo mseto yaan maharage na alizeti je inawezekana?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Yaaah japo mahindi weka mbali mbali 🙏🙏

  • @emanueladam7442
    @emanueladam74422 жыл бұрын

    Naomba kipimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Sm 10 kwa sm 50

  • @mwajumayunus419
    @mwajumayunus4193 жыл бұрын

    Hivi hekarr moja ya maharage inatoa kipato cha kiasi gani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Debe 15 had 30

  • @stominluvanda4638

    @stominluvanda4638

    Жыл бұрын

    Shina na shina na msita kwa msitali kiss gani?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    15 shina kw shina na 30 AU 40 mstar kw mstar

  • @flevouronlinetv133
    @flevouronlinetv1333 жыл бұрын

    Samahan ndg je hekal moja unaweza ukapata gunia ngap kitaalamu

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Kwa mazingira mengi kiuzoefu ni Kati ya 7 hadi 12 za debe 6 pia wa weza pata hata zaidi ya 15, japo hutegemea vitu vingi

  • @dhinatsimbano8854
    @dhinatsimbano88543 жыл бұрын

    Je ardhi inayofaa kwa kilimo cha maharage inaweza kufaa kwa kilimo cha soya?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Ndyo inafaa

  • @dhinatsimbano8854

    @dhinatsimbano8854

    3 жыл бұрын

    @@AGALUSTV Na kipindi cha kuotesha maharage ndo kipindi sahihi cha kuotesha soya? Na je mbolea za maharage ndo hizohizo za soya?

  • @user-tq1kt4je4p
    @user-tq1kt4je4p9 ай бұрын

    Wakati una weka mbolea pamoja na mbegu unatakiwa kuweka mbolea kiasi gani kwenye shimo mfano dap

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    9 ай бұрын

    Kifuniko 1 cha maji AU soda AU juice

  • @JosephatSarwat
    @JosephatSarwat3 ай бұрын

    Umbali kati ya mstari na mstari halafu shimo na shimo ni ngapi?.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Shimo kw shimo sm 15 na kw umbali ni 30 had 40

  • @JosephatSarwat

    @JosephatSarwat

    3 ай бұрын

    @@AGALUSTV asante

  • @abrahamsingano5372
    @abrahamsingano53722 жыл бұрын

    Spacing kati ya mche na mche

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Sm 3/5 mche kw mche kwa sm 15 mstari kwa mstari🙏

  • @kapasimoses98
    @kapasimoses982 жыл бұрын

    Je? Mbolea za booster za kupinga kwenye majani za resho ya 19:19 10 Npk

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    , apo Sasa twende tu dukani ndugu🙏

  • @user-es7tf7gd3u
    @user-es7tf7gd3u8 ай бұрын

    Je mbolea ya kubebea inawekwa wakati fan?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    8 ай бұрын

    Apo wkt w kupanda

  • @emanueladam7442
    @emanueladam74422 жыл бұрын

    Ni kipimo gani cha mbolea kili shimo

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Kisoda 1 kwa mbolea za kisasa mikono miwili

  • @yothampetro6755
    @yothampetro6755 Жыл бұрын

    Kwahiyi minjingu ndo sahihi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Hutegemea na eneo yaani Aina ya udongo C kila sehemu utumika iyo. Kwa hiyo angalia eneo lako mbolea ipi utumika kupandia

  • @shabanngonwe4642
    @shabanngonwe46423 жыл бұрын

    Nifahamishe umbali kati ya shimo hadi shimo na mstari hadi mstari

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Unavyo tumia njia y kuchora mistar uwa tunakadiria tu bt mstar kw mstar sm 30 adi 40 shimo kw shimo apa hatupigi mashimo uwa tunarusha mbegu 2 au 1 kw kadirio la umbali sm 2 adi 5

  • @abdallahmzuzuri3527

    @abdallahmzuzuri3527

    3 жыл бұрын

    Kama tutapanda kwa mstari hivyo. Je mbolea zinazo takiwa tutaweka kwa mfumo gani?

  • @tukaiadventures3782
    @tukaiadventures37822 жыл бұрын

    Je urea inafaa kukorogea kwenye maji alafu utumie kwa Bomba kunyunyuzia shambani?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Inafaa japo c njia nzuri. Ni vizur ukatumia mboles za maji

  • @laureenlumumba9819
    @laureenlumumba98193 жыл бұрын

    Mbolea ya jamii ya keni, no mbolea kama gani hio? Usaidizi hapo kidogo kiswahili imenipitia. From Kenya.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Kwa Tanzania 🇹🇿 ni mbolea ina itwa CAN cjajua kwa uko Kenya 🇰🇪 ndugu

  • @salimLempakany

    @salimLempakany

    2 жыл бұрын

    Kenya pia ni CAN

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Hatujajua kwa uko ila iyo ni mbolea ya Matunda tusaidiane jina la iyo mbolea kwa uko🙏

  • @jumagide7384
    @jumagide73842 жыл бұрын

    Je namna ya upandaji wa mbegu upo VP??

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Upandaji na mbolea somo ni hili kzread.info/dash/bejne/dphop6Wqqae-e5c.html

  • @MohamedHassan-zs4jx
    @MohamedHassan-zs4jx3 жыл бұрын

    Mm nimexhambanda tayar nina kama wk naweza kuweka mbolea?,na kama uwezo wng mdogo naweza kuweka mbolea moja t ya keni

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Kama ulipanda mbalimbali waweza weka lakini kama ni karibu sana kua makini waweza umguza miche yako

  • @joharijj2164

    @joharijj2164

    3 жыл бұрын

    *mohamed* umewahi panda Tena? Je soko lipo?

  • @hussenmishamo1963
    @hussenmishamo19633 жыл бұрын

    Mbengu gan nzur za mahalage

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Zote nzuri hutegemea na uhitaji wa soko lako . soko lako wanapenda aina gani ya maharge

  • @jakobmjungu177
    @jakobmjungu1773 жыл бұрын

    Je ukiotesha maharage ndo ukaweka mbolea inakuwaje?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Kwa mbolea za kupiga kwenye majani unaweza fanya. Ivyo ila kwa zile za chumvi chumvi unaweka zote kwenye mashimo na mbegu

  • @hereethswai4351
    @hereethswai43513 жыл бұрын

    Naomba namba zako za whtsap

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    0765467484

  • @anethluvanga2439
    @anethluvanga2439 Жыл бұрын

    Shimo moja unaweka mbegu ngapi za mahalage?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    2

  • @hamzaalawy6694
    @hamzaalawy66942 жыл бұрын

    Suala langu: kwa hali ya hewa Zanzibar inawezekana kilimo cha maharege?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Inawezekana tu🙏🤝

  • @hamzaalawy6694

    @hamzaalawy6694

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV nashukuru Na kipindi gani kinaweza kuwa bora kwa upandaji wa maharage huku kwetu Zanzibar?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Mmmmh kwa uko ngoja tuzid kufutilia maana sisi tupo mbeya 🙏

  • @laureenlumumba9819
    @laureenlumumba98193 жыл бұрын

    Tafadhali elezea ukulima ya maharage ya Aina ya Jesca. Mavuno yake inakuaje na inavunwa baada ya miezi mingapi?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @bairesmchape376
    @bairesmchape3763 жыл бұрын

    Napima vp udongo ili kujua aina ya mbolea inayoitajika?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Kuna senta zipo kw ajir y kaz iyo lakini wasiliana na mtalaam wa kilimo w karibu nawe🙏

  • @stevenmbilinyi4526
    @stevenmbilinyi45263 жыл бұрын

    Je Mimi nalima kwenye harizi ya kichanga manyara je harizi I inakubali maharage na kitaka kupima udogo napeleka wapi kuupima

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Tumekujibu kwenye swali lako la awali

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Tumekujibu kwenye swali lako la awali

  • @fidelayubu2175
    @fidelayubu21753 жыл бұрын

    Ekari moja inaweza kutoa magunia mangapi ya kilo 100

  • @ibrahimfarouq8339

    @ibrahimfarouq8339

    3 жыл бұрын

    @@AGALUSTV Acha masihara mjomba

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    🤝🤝🤝🤝

  • @yusufusudusudu3173

    @yusufusudusudu3173

    3 жыл бұрын

    2/3 nikias kidogo sana nawakati sisi tunalima bila utaalm wowote tunapata gunia 5/6 we mtihan

  • @user-mq5ly7kr8x

    @user-mq5ly7kr8x

    2 ай бұрын

    Ata mimi nililima Hekari moja Nkapata Gunia 7 na sijaweka mbolea​@@yusufusudusudu3173

  • @stevenmbilinyi4526
    @stevenmbilinyi45263 жыл бұрын

    Napeleka wapi udongo Kwa jili ya kupima Niko mbuyu wa mjerumani manyara babati

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Apo jitahidi kuwasiliana na Afisa Kilimo wa eneo ulilopo maarufu kama bwana shamba. Zipo center zinazopima udogo. Maana hatuna uzoefu na mazingira uliyopo

  • @joharijj2164
    @joharijj21643 жыл бұрын

    Khaaa nguruwe Tena? Wataka tulishwe haramu jamani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Aaaah. Sory Ndugu Ila si unajua kwenye Elimu tena🙏🙏

  • @isayahilary1446
    @isayahilary14462 жыл бұрын

    Hekamoja mbegu kiasi gani? Na mavuno kiasi gani kwaheka

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Fuatilia somo hili👇 mtaji na faida ktk heka 1 kzread.info/dash/bejne/iImmprV7o8K3c7w.html

  • @boniphacebone5986
    @boniphacebone59863 жыл бұрын

    Mmea kama umeshaota mbolea ya dap unaweza kuweka imbali gani

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Mmea ukiwa umeota DAP haitumiki tena

  • @muhamuha-6965
    @muhamuha-6965 Жыл бұрын

    Je maharage ya soya yanapatikana kugoma?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Ngoja tuulize zaidi

  • @johnnditi9079
    @johnnditi90792 жыл бұрын

    Kwa wilaya ya NJOMBE ni kijiji gani wanalima zao la maharage

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Kiukweli kwa uko hatufahamu ngoja tuzidi kufutilia Kujua zaidi

  • @fadhilitweve7305
    @fadhilitweve73052 жыл бұрын

    Naomba kuuliza hizo mbolea nachanganya kwa ratio gani (ya matunda na ya kawaida)

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Kupandia kg 50. Matunda kg25 na kuku zia kg 12.5

  • @richardmsuya2645

    @richardmsuya2645

    2 жыл бұрын

    @@AGALUSTV hizi zote tatu zinawekwa wakati wakupanda?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Ndyo zinachanganywa ndudu 🙏

  • @richardmsuya2645

    @richardmsuya2645

    2 жыл бұрын

    Ahsante kwa somo zuri

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Pa1🙏🤝

  • @karimjuma7442
    @karimjuma7442 Жыл бұрын

    Mbolea nishingap

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Aina gani ya mbolea ndugu

  • @djredtiger1088
    @djredtiger10882 жыл бұрын

    Kipatochakekwahekamoja ni kipi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Mchanganuo wa mtaji na faida yake👇🙏 fuatilia somo hili kzread.info/dash/bejne/iImmprV7o8K3c7w.html

  • @bernarddavid6
    @bernarddavid63 жыл бұрын

    Heka 1 ya maharage ikitunzwa vixuri inatia gunia ngapi

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Ngunia 6 hadi 10 au zaidi kwa ngunia la debe 6

  • @VEVO-africa
    @VEVO-africa3 жыл бұрын

    Inachukua mda gan toka kupanda hadi kuvuna

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Miez 4

  • @VEVO-africa

    @VEVO-africa

    3 жыл бұрын

    @@AGALUSTV xawa xhukran

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Pa 1

  • @winstonkachema1731
    @winstonkachema17313 жыл бұрын

    Heka moja ya maharagwe Una uwezo wa kuvuna gunia ngapi endapo utazingatia hatua zote

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    10, hadi 13

  • @revocatusmartine7159

    @revocatusmartine7159

    3 ай бұрын

    10 had 13 mara 3 had 5 za debe sita kipi n kip?

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 ай бұрын

    Ndugu izo ni idadi za gunia Kuna kadirio la chini kabisa....

  • @mchaehebuka4028
    @mchaehebuka40283 жыл бұрын

    Je ni dawa zipi zinaweza kunisaidia kwa palizi na jinsi ya kutumia

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    Hatujakupa vzuri ndugu palizi kwenye maharage unaulizia dawa za palizi au kwa mazao mengine?

  • @mchaehebuka4028

    @mchaehebuka4028

    3 жыл бұрын

    Ni kwa palizi ya mahalage

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    3 жыл бұрын

    mmmh apo ndugu kwa mimi uwa natumia vijembe vidogo kupalilia na kutifulia ctumiiagi dawa bt tuzid kujifunza zaid tutapata jibu🙏🙏

  • @emmanuelmkinga4804
    @emmanuelmkinga4804 Жыл бұрын

    Mbolea za maharage umesema zinawekwa zote wakati wa kupanda yaani samadi ya kuku, npk na CAN. Ni kwa kipimo gani??

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Apo sasa hutegemea na ukubwa wa shamba ndugu lako ila Kuna somo letu Kuhusu bajet ya kilimo cha maharage itakusadia pia

  • @emmanuelmkinga4804

    @emmanuelmkinga4804

    Жыл бұрын

    Nilimaanisha kipimo kwenye kila shimo yaani CAN gram ngapi, NPK gram ngapi na hiyo samadi ya kuku

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    Жыл бұрын

    Kifuniko 1 cha soda AU maji kwa kila shimo

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob8002 жыл бұрын

    Sawa muelimishaji , naombakueleweshwa dawa ya ukungu kwenye maharage.

  • @AGALUSTV

    @AGALUSTV

    2 жыл бұрын

    Izi dawa Zipo nyingi sana. Ushauri ni vizur tu ukaenda Duka la karibu nawe ukamwambia atakupatia haina shida ndugu