Kilimo cha maharage kinalipa. Zingatia kanuni bora za kilimo hasa kwenye matumizi ya mbolea
Жүктеу.....
Пікірлер: 305
@anellyilomo27993 жыл бұрын
Asante kwa somo Zuri nmelielewa sana, naomba kuuliza katika shimo Moja unaweka Mbegu ngapi za maharage
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Tunashukuru kwa ushirikiano wako bt katika shimo ni mbegu 1 hadi 2 . Barikiwa🙏🙏🙏
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Kwa uzoefu wangu na utaalamu ni vema kuweka mbegu 2 katika shimo
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Pamoja🤝
@JohnJohn-sb5lv
Жыл бұрын
Somo la leo ni zuri sana Niko pa1 nanyi had mwisho wa kipind
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@Truth4lite3 жыл бұрын
Asante, very beneficial.
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pa 1 bt kama hujasubscribe naomba ufanye ivyo usipitwe na masomo yajayo
@ezekieljob86796 ай бұрын
Asante Kwa maelekezo Mazuri sana ninaswali namna ya kuweka mbolea ya matunda maana umesema unaziweka zote Kwa pamoja ya kupandia na kuzalishia zote tatu
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Na za matunda utakua umeweka pale pale. Maharage ni zao la muda mfupi saana ndugu so itafanya tu Kaz Wala ucjali
@ezekieljob8679
6 ай бұрын
Asante sana ndugu nimekuelewa
@rosesesala9131 Жыл бұрын
Asante sanaa Kaka angu ,,mungu akubariki sanaa
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Amina ndugu 🙏🏿
@shanimbaraka26003 жыл бұрын
Great great somo ,
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪
@odethaneema10 күн бұрын
Waoo nimependa mnavoreply kwa kila mmoja mmoja,,mbarikiwe mnoo,, sorry namm niko na swal kdg et,, vip mbegu n lazima ninunue kwenye maduka ya kilimo au hata mbegu za nyumbni zaweza kutumika na mavuno yakawa mengi??? Asant nasubiria jibu lako
@AGALUSTV
10 күн бұрын
Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri
@AGALUSTV
10 күн бұрын
Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri
@LimbuMasunga-ds2tjАй бұрын
Nashukuru kwa somo zuri,lakini naomba kujua namna ya kutambua magonjwa kwenye maharage na mazaoengine pia
@AGALUSTV
Ай бұрын
Video ya magonjwa kwenye maharage na dawa zake kzread.info/dash/bejne/fXium7ZsdMune8o.html
@fidelfidel-jz4iw5 ай бұрын
Kilimo cha maharage haswa katavi kuna udongo mzuri sanaa nafikili waliwahi fika katavi watanielewa
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Hakika sana ndugu
@allynaas863 жыл бұрын
Asante unatoa elimu nzur
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pamoja bro
@peterndella9536 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Barikiwa pia
@ezebiuskoni832110 ай бұрын
Asante kwasomo rako sas minikama umeniacha nyuma kido Koo inatakiwa upande vyote kwawakati mmoja marage uchanganye namborea uwezi kuweka mborea wakati marake yameotaa arafu ukatumia mborea mojaa tuu can kunatatizo
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Maharage ni zao la muda mfupi Sana. Ukipanda uje UWEKE mbolea apo lazima utaachana na ukuaji. Pia mbolea za Chumvi izi zitaunguza mche wako. Ndyo maaana kama mbolea tutatumia za maji yaaani booster. Ivyo ni vizur uchanganye mbolea na uo ni uzoefu ndugu
@ezebiuskoni8321
10 ай бұрын
@@AGALUSTV saw Koo zamaji unaweza kutumia naizo nikama zipii
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Ndugu yangu majina ni mengi Sana ya mbolea sasa naona Kama tutakuchanganya tu. Ni vizur ukaenda duka LA Pembe jeo lililo karibu nalo atakupa alizo nazo maana zipo za matunda, majani n. K
@user-pv9hq3mi4w2 ай бұрын
Mbegu nzuri nitapataje ? Mm Niko Arusha!! je sehrmu za kabuku (Tanga) maharage yatakubali?
@AGALUSTV
2 ай бұрын
Mbegu Ata sokoni. Ila YAWE ya mwaka jana. Uko waweza lima
Hapo kwenye mbolea ya kuku nakubali mwamba duh yaani shina moja unaweza toa kilo moja
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Oooh sawa sawa Tupo pa1🙏🏿👏🤝
@jafarijuma73763 ай бұрын
Mbole unaweka weka je maana watu wengine wanasema usichanganye mbolea na mbegu
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Kwa maharage haina shida. Mbona mahindi tunaweka
@PiusThadeo-li9oe Жыл бұрын
Safi sana
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu
@ElishaDamas4 ай бұрын
Ikiwa tayar mmea umeota nitumie mblea gan kwa ajili ya mavuno bora
@AGALUSTV
4 ай бұрын
Mbolea y matunda ya majani
@user-kn8tc6hk7y6 ай бұрын
Hakuna mbolea za maji unaZoweza kuzitumia Kwa Kupulizia kwenye majani ya maharage kama hukutumia mbolea hapo awali
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Zipo ndugu
@user-wp2nt8lc5w
3 ай бұрын
Ni kama zipi mtaalam@@AGALUSTV
@petertemu9572 жыл бұрын
Naomba kujua kama eneo la tarime litafaa kwa ajili ya maharage
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Yes linafaa tu ni huduma tu
@SHUKRANISTAPHORD4 ай бұрын
Tunaomba kujua vipimo kiasi gani Cha mbolea wakati wa kuchanganya kati ya Dap na can
@AGALUSTV
4 ай бұрын
1:1
@MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df8 ай бұрын
Nimbengu gan ambayo inaweza kunipa faida
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Mbegu zipo nyingi ndugu. Tembelea tu duka la pembejeo
@MosesDavid-zo7ui6 ай бұрын
Dawa zinazohitajika katika kilimo cha maharage ambazo unaweza kutumia ?
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Ni za wadudu na ukungu hizo ndyo muhim
@mugabemigani7484 Жыл бұрын
Katika kila shimo unaweka mbegu ngapi na kutoka shina moja kwenda jingine ni umbali gani
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mbegu 1/2 umbali ni sm 15/15 ni shimo kw shimo na 40 AU 60 mtari kwa mstar
@user-dz1tt6gk5z4 ай бұрын
Umbali wakupana na ni weke punje ngapi kwa kila shimo
@AGALUSTV
4 ай бұрын
Sm 15 kwa 40
@user-sf6rj9jy5n Жыл бұрын
Mbolea gani inatumika kuzalisha maua kwenye zao la maharage
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mbolea kama CAN ni nzuri kwa matunda,pia zipo mbolea ZA MAJI NYINGI TU KWA AJIRI ZA MAUA Na mtunda
@user-ut7xd3en6r7 ай бұрын
Me na swali umesema tunaweza kuweka mbolea zote kwenye mahalage yaani shimo moja swali langu ni kwamba nawaka mbolea za dokana peke take au nachanganya zote na za asili
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Wewe tu kulingana na rutuba ya shamba lako. Kama Unatumia za dukani peke Yake sawa tu
@joharijj21643 жыл бұрын
Je maharagwe yatafanya vizuri maeneo ya bungu, bungu ipo pwani waweza itizama kwa map, halafu soko la maharagwe lipo?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Nashukuru kwa taarifa 🙏🙏
@revocatusmartine71593 ай бұрын
Mbole aina ya DAP na CAN ukishachanganya unaweka kiasi gani katika shimo la mbegu moja na pia kwa shimo la mbegu mbili
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Kifuniko cha maji/soda
@januarykiraba16053 ай бұрын
Umbali wa kupanda shina Hadi shina, mstsri hamstari ni centimita ngapi?
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Sm 15 ni shina kw shin na sm 40 ni mstar kw mstar
@AlienVoice_tz3 ай бұрын
He kwa Dar es Salaam naweza kulima maharage
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Ndio waweza
@robertkisiri12733 жыл бұрын
Asante kwa video nzuri. Ukilima kwa kufuata hatua zote za kitaalamu, mavuno yanaweza kufika gunia ngapi kwa eka moja???
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Gunia 3 hadi 5 ni gunia za debe 6
@arenyutenga1052 Жыл бұрын
Jee ni Mbegu ghani ya Maharage iliyozuri kwa kupata mavuno mengi? Jee maharage napaswa kupanda mwezi wangapi na kuvuna mwezi wangapi ??? By Utenga naomba unijibu
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Kwa eneo la wapi yaan upo wapi
@lynnharry7359 Жыл бұрын
Kiasigani cha mbolea ya matunda kinatosha kwenye hecre 1?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Nusu mfuko yaaani 0.5 kg japo Itategemea jinsi ya KIPIMO chako kwa njia ya mistari mbolea hadi mfuko 1 waweza tumika
@jacksonbasenile-nu8bf Жыл бұрын
Ogera sana
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Barikiwa pia
@ElishaDamas4 ай бұрын
Ni mbolea gan ya matunda kwa maharage inafaa
@AGALUSTV
4 ай бұрын
YA, CHUMVI CHUMVI AU YA MAJI KWENYE MAJANI
@AGALUSTV
Ай бұрын
Mbolea za maji jinsi ya kuchagua kzread.info/dash/bejne/m3h_vMVpXdC1Yqw.html
@AGALUSTV
Ай бұрын
Mbolea za maji zote kzread.info/dash/bejne/m3h_vMVpXdC1Yqw.html
@user-fq8dv8fd6v Жыл бұрын
Je unaweza kutumia mbolea ya samadi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Iwe ya kuku AU nguruwe. Maaana Samad ya ng'ombe Inachelewa kufanya Kaz wkt maharage yanakua kwa haraka sana
@imeldanashon63472 жыл бұрын
Vp naomba kujua mbolea ya n, gombe yanafaa naomba mwenyekujua anjb jmn
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Inafaa japo iwe imevunda vizuri🙏
@MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df8 ай бұрын
Je udongo ukiwa mwekudu unaweza kutumaia mbolea gani vile
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Udongo haupimwi kwa rangi yake. Ukiitaji kupima udongo na Aina y mbolea Muone mtaalam wa Kilimo aliye karibu nawe
@winifridalugembe25282 жыл бұрын
Je umewahi kutumia mkojo wa sungura kama mbolea na kukinga wadudu?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Yes ndugu
@princebuganzilut20473 жыл бұрын
Nimependa naomba kujua backup ya Serikali inatusaidiaje wannachi tuweze kuingia shambani
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Sijajua
@princebuganzilut2047
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV kuna kipindi kile wanakamata kamata wacheza pool ilipendeza sana wangeandaliwa mashamba yanayohodhiwa na wanakijiji bila kuyaendeleza hata kwa kilimo wapewe hawa wasiokua na kazi wayalime. Hivyo kwakua hawakuwafanyia hivyo tungefikiriwa wengine wenye nia ya dhati ya kulima kwa condition ya misimu si chini ya mitatu palimwe mbona tanzania tungelisha mataifa ya nnje
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@happytitus89213 жыл бұрын
Samahani naweza nikapanda maharage halafu mbolea nikaweka baada ya zao kuota au kuna madhara
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mbolea za chumvi chumvi zina tabia za kuunguza miche Ni vzuri kuoandia zote au kama utaweka baadae kua makini weka kw kiwango kidogo na uweke mbali na mche kdogo miche isiungue
@user-yq4bf9wy1v9 ай бұрын
Endapo ukifuata kanun vizur mapato yake yanakuwaje lakn nataka kujua juu ya matumiz ya viwatilifu
@AGALUSTV
9 ай бұрын
Fuatilia video hii apa mchanganuo wote Mtaji na faida ndani yake kzread.info/dash/bejne/iImmprV7o8K3c7w.html
@user-fr6ml5pu3h7 ай бұрын
Hekali moja ya shamba la maharage ikitunzwa vema inatoa kilo ngapi?
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Zaidi ya gunia 15++
@WiliamObedi-mv3fr8 ай бұрын
niaina gan ya mbegu inatoa mavuno kwa wingi
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Mbegu zote ni nzuri hutegemea na eneo na matunzo yako
@charityezekiel35253 жыл бұрын
Kwenye shimo moja unaweza kuweka mbegu ngapi??
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mbegu 2 tu
@robertnyelele9896 Жыл бұрын
hekamoja ya mahalange unaweza kutoa.junia ngap
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Utegemea vitu vingi ndugu
@gracebenjaminnapokeakatika95652 жыл бұрын
Samahan naomba ushauri nataka nipande kilimo mseto yaan maharage na alizeti je inawezekana?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Yaaah japo mahindi weka mbali mbali 🙏🙏
@emanueladam74422 жыл бұрын
Naomba kipimo
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Sm 10 kwa sm 50
@mwajumayunus4193 жыл бұрын
Hivi hekarr moja ya maharage inatoa kipato cha kiasi gani
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Debe 15 had 30
@stominluvanda4638
Жыл бұрын
Shina na shina na msita kwa msitali kiss gani?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
15 shina kw shina na 30 AU 40 mstar kw mstar
@flevouronlinetv1333 жыл бұрын
Samahan ndg je hekal moja unaweza ukapata gunia ngap kitaalamu
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kwa mazingira mengi kiuzoefu ni Kati ya 7 hadi 12 za debe 6 pia wa weza pata hata zaidi ya 15, japo hutegemea vitu vingi
@dhinatsimbano88543 жыл бұрын
Je ardhi inayofaa kwa kilimo cha maharage inaweza kufaa kwa kilimo cha soya?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ndyo inafaa
@dhinatsimbano8854
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Na kipindi cha kuotesha maharage ndo kipindi sahihi cha kuotesha soya? Na je mbolea za maharage ndo hizohizo za soya?
@user-tq1kt4je4p9 ай бұрын
Wakati una weka mbolea pamoja na mbegu unatakiwa kuweka mbolea kiasi gani kwenye shimo mfano dap
@AGALUSTV
9 ай бұрын
Kifuniko 1 cha maji AU soda AU juice
@JosephatSarwat3 ай бұрын
Umbali kati ya mstari na mstari halafu shimo na shimo ni ngapi?.
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Shimo kw shimo sm 15 na kw umbali ni 30 had 40
@JosephatSarwat
3 ай бұрын
@@AGALUSTV asante
@abrahamsingano53722 жыл бұрын
Spacing kati ya mche na mche
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Sm 3/5 mche kw mche kwa sm 15 mstari kwa mstari🙏
@kapasimoses982 жыл бұрын
Je? Mbolea za booster za kupinga kwenye majani za resho ya 19:19 10 Npk
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
, apo Sasa twende tu dukani ndugu🙏
@user-es7tf7gd3u8 ай бұрын
Je mbolea ya kubebea inawekwa wakati fan?
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Apo wkt w kupanda
@emanueladam74422 жыл бұрын
Ni kipimo gani cha mbolea kili shimo
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Kisoda 1 kwa mbolea za kisasa mikono miwili
@yothampetro6755 Жыл бұрын
Kwahiyi minjingu ndo sahihi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Hutegemea na eneo yaani Aina ya udongo C kila sehemu utumika iyo. Kwa hiyo angalia eneo lako mbolea ipi utumika kupandia
@shabanngonwe46423 жыл бұрын
Nifahamishe umbali kati ya shimo hadi shimo na mstari hadi mstari
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Unavyo tumia njia y kuchora mistar uwa tunakadiria tu bt mstar kw mstar sm 30 adi 40 shimo kw shimo apa hatupigi mashimo uwa tunarusha mbegu 2 au 1 kw kadirio la umbali sm 2 adi 5
@abdallahmzuzuri3527
3 жыл бұрын
Kama tutapanda kwa mstari hivyo. Je mbolea zinazo takiwa tutaweka kwa mfumo gani?
@tukaiadventures37822 жыл бұрын
Je urea inafaa kukorogea kwenye maji alafu utumie kwa Bomba kunyunyuzia shambani?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Inafaa japo c njia nzuri. Ni vizur ukatumia mboles za maji
@laureenlumumba98193 жыл бұрын
Mbolea ya jamii ya keni, no mbolea kama gani hio? Usaidizi hapo kidogo kiswahili imenipitia. From Kenya.
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kwa Tanzania 🇹🇿 ni mbolea ina itwa CAN cjajua kwa uko Kenya 🇰🇪 ndugu
@salimLempakany
2 жыл бұрын
Kenya pia ni CAN
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Hatujajua kwa uko ila iyo ni mbolea ya Matunda tusaidiane jina la iyo mbolea kwa uko🙏
@jumagide73842 жыл бұрын
Je namna ya upandaji wa mbegu upo VP??
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Upandaji na mbolea somo ni hili kzread.info/dash/bejne/dphop6Wqqae-e5c.html
@MohamedHassan-zs4jx3 жыл бұрын
Mm nimexhambanda tayar nina kama wk naweza kuweka mbolea?,na kama uwezo wng mdogo naweza kuweka mbolea moja t ya keni
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kama ulipanda mbalimbali waweza weka lakini kama ni karibu sana kua makini waweza umguza miche yako
@joharijj2164
3 жыл бұрын
*mohamed* umewahi panda Tena? Je soko lipo?
@hussenmishamo19633 жыл бұрын
Mbengu gan nzur za mahalage
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Zote nzuri hutegemea na uhitaji wa soko lako . soko lako wanapenda aina gani ya maharge
@jakobmjungu1773 жыл бұрын
Je ukiotesha maharage ndo ukaweka mbolea inakuwaje?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kwa mbolea za kupiga kwenye majani unaweza fanya. Ivyo ila kwa zile za chumvi chumvi unaweka zote kwenye mashimo na mbegu
@hereethswai43513 жыл бұрын
Naomba namba zako za whtsap
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
0765467484
@anethluvanga2439 Жыл бұрын
Shimo moja unaweka mbegu ngapi za mahalage?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
2
@hamzaalawy66942 жыл бұрын
Suala langu: kwa hali ya hewa Zanzibar inawezekana kilimo cha maharege?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Inawezekana tu🙏🤝
@hamzaalawy6694
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV nashukuru Na kipindi gani kinaweza kuwa bora kwa upandaji wa maharage huku kwetu Zanzibar?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Mmmmh kwa uko ngoja tuzid kufutilia maana sisi tupo mbeya 🙏
@laureenlumumba98193 жыл бұрын
Tafadhali elezea ukulima ya maharage ya Aina ya Jesca. Mavuno yake inakuaje na inavunwa baada ya miezi mingapi?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@bairesmchape3763 жыл бұрын
Napima vp udongo ili kujua aina ya mbolea inayoitajika?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kuna senta zipo kw ajir y kaz iyo lakini wasiliana na mtalaam wa kilimo w karibu nawe🙏
@stevenmbilinyi45263 жыл бұрын
Je Mimi nalima kwenye harizi ya kichanga manyara je harizi I inakubali maharage na kitaka kupima udogo napeleka wapi kuupima
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Tumekujibu kwenye swali lako la awali
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Tumekujibu kwenye swali lako la awali
@fidelayubu21753 жыл бұрын
Ekari moja inaweza kutoa magunia mangapi ya kilo 100
@ibrahimfarouq8339
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Acha masihara mjomba
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝
@yusufusudusudu3173
3 жыл бұрын
2/3 nikias kidogo sana nawakati sisi tunalima bila utaalm wowote tunapata gunia 5/6 we mtihan
@user-mq5ly7kr8x
2 ай бұрын
Ata mimi nililima Hekari moja Nkapata Gunia 7 na sijaweka mbolea@@yusufusudusudu3173
@stevenmbilinyi45263 жыл бұрын
Napeleka wapi udongo Kwa jili ya kupima Niko mbuyu wa mjerumani manyara babati
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Apo jitahidi kuwasiliana na Afisa Kilimo wa eneo ulilopo maarufu kama bwana shamba. Zipo center zinazopima udogo. Maana hatuna uzoefu na mazingira uliyopo
@joharijj21643 жыл бұрын
Khaaa nguruwe Tena? Wataka tulishwe haramu jamani
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Aaaah. Sory Ndugu Ila si unajua kwenye Elimu tena🙏🙏
@isayahilary14462 жыл бұрын
Hekamoja mbegu kiasi gani? Na mavuno kiasi gani kwaheka
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Fuatilia somo hili👇 mtaji na faida ktk heka 1 kzread.info/dash/bejne/iImmprV7o8K3c7w.html
@boniphacebone59863 жыл бұрын
Mmea kama umeshaota mbolea ya dap unaweza kuweka imbali gani
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mmea ukiwa umeota DAP haitumiki tena
@muhamuha-6965 Жыл бұрын
Je maharage ya soya yanapatikana kugoma?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Ngoja tuulize zaidi
@johnnditi90792 жыл бұрын
Kwa wilaya ya NJOMBE ni kijiji gani wanalima zao la maharage
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Kiukweli kwa uko hatufahamu ngoja tuzidi kufutilia Kujua zaidi
@fadhilitweve73052 жыл бұрын
Naomba kuuliza hizo mbolea nachanganya kwa ratio gani (ya matunda na ya kawaida)
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Kupandia kg 50. Matunda kg25 na kuku zia kg 12.5
@richardmsuya2645
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV hizi zote tatu zinawekwa wakati wakupanda?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ndyo zinachanganywa ndudu 🙏
@richardmsuya2645
2 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Pa1🙏🤝
@karimjuma7442 Жыл бұрын
Mbolea nishingap
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Aina gani ya mbolea ndugu
@djredtiger10882 жыл бұрын
Kipatochakekwahekamoja ni kipi
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Mchanganuo wa mtaji na faida yake👇🙏 fuatilia somo hili kzread.info/dash/bejne/iImmprV7o8K3c7w.html
@bernarddavid63 жыл бұрын
Heka 1 ya maharage ikitunzwa vixuri inatia gunia ngapi
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ngunia 6 hadi 10 au zaidi kwa ngunia la debe 6
@VEVO-africa3 жыл бұрын
Inachukua mda gan toka kupanda hadi kuvuna
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Miez 4
@VEVO-africa
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV xawa xhukran
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pa 1
@winstonkachema17313 жыл бұрын
Heka moja ya maharagwe Una uwezo wa kuvuna gunia ngapi endapo utazingatia hatua zote
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
10, hadi 13
@revocatusmartine7159
3 ай бұрын
10 had 13 mara 3 had 5 za debe sita kipi n kip?
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Ndugu izo ni idadi za gunia Kuna kadirio la chini kabisa....
@mchaehebuka40283 жыл бұрын
Je ni dawa zipi zinaweza kunisaidia kwa palizi na jinsi ya kutumia
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Hatujakupa vzuri ndugu palizi kwenye maharage unaulizia dawa za palizi au kwa mazao mengine?
@mchaehebuka4028
3 жыл бұрын
Ni kwa palizi ya mahalage
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
mmmh apo ndugu kwa mimi uwa natumia vijembe vidogo kupalilia na kutifulia ctumiiagi dawa bt tuzid kujifunza zaid tutapata jibu🙏🙏
@emmanuelmkinga4804 Жыл бұрын
Mbolea za maharage umesema zinawekwa zote wakati wa kupanda yaani samadi ya kuku, npk na CAN. Ni kwa kipimo gani??
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Apo sasa hutegemea na ukubwa wa shamba ndugu lako ila Kuna somo letu Kuhusu bajet ya kilimo cha maharage itakusadia pia
@emmanuelmkinga4804
Жыл бұрын
Nilimaanisha kipimo kwenye kila shimo yaani CAN gram ngapi, NPK gram ngapi na hiyo samadi ya kuku
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Kifuniko 1 cha soda AU maji kwa kila shimo
@shadrackjacob8002 жыл бұрын
Sawa muelimishaji , naombakueleweshwa dawa ya ukungu kwenye maharage.
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Izi dawa Zipo nyingi sana. Ushauri ni vizur tu ukaenda Duka la karibu nawe ukamwambia atakupatia haina shida ndugu
Пікірлер: 305
Asante kwa somo Zuri nmelielewa sana, naomba kuuliza katika shimo Moja unaweka Mbegu ngapi za maharage
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Tunashukuru kwa ushirikiano wako bt katika shimo ni mbegu 1 hadi 2 . Barikiwa🙏🙏🙏
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Kwa uzoefu wangu na utaalamu ni vema kuweka mbegu 2 katika shimo
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Pamoja🤝
@JohnJohn-sb5lv
Жыл бұрын
Somo la leo ni zuri sana Niko pa1 nanyi had mwisho wa kipind
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Barikiwa Sana ndugu
Asante, very beneficial.
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pa 1 bt kama hujasubscribe naomba ufanye ivyo usipitwe na masomo yajayo
Asante Kwa maelekezo Mazuri sana ninaswali namna ya kuweka mbolea ya matunda maana umesema unaziweka zote Kwa pamoja ya kupandia na kuzalishia zote tatu
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Na za matunda utakua umeweka pale pale. Maharage ni zao la muda mfupi saana ndugu so itafanya tu Kaz Wala ucjali
@ezekieljob8679
6 ай бұрын
Asante sana ndugu nimekuelewa
Asante sanaa Kaka angu ,,mungu akubariki sanaa
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Amina ndugu 🙏🏿
Great great somo ,
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪
Waoo nimependa mnavoreply kwa kila mmoja mmoja,,mbarikiwe mnoo,, sorry namm niko na swal kdg et,, vip mbegu n lazima ninunue kwenye maduka ya kilimo au hata mbegu za nyumbni zaweza kutumika na mavuno yakawa mengi??? Asant nasubiria jibu lako
@AGALUSTV
10 күн бұрын
Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri
@AGALUSTV
10 күн бұрын
Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri
Nashukuru kwa somo zuri,lakini naomba kujua namna ya kutambua magonjwa kwenye maharage na mazaoengine pia
@AGALUSTV
Ай бұрын
Video ya magonjwa kwenye maharage na dawa zake kzread.info/dash/bejne/fXium7ZsdMune8o.html
Kilimo cha maharage haswa katavi kuna udongo mzuri sanaa nafikili waliwahi fika katavi watanielewa
@AGALUSTV
5 ай бұрын
Hakika sana ndugu
Asante unatoa elimu nzur
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pamoja bro
Asante sana kwa somo
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Barikiwa pia
Asante kwasomo rako sas minikama umeniacha nyuma kido Koo inatakiwa upande vyote kwawakati mmoja marage uchanganye namborea uwezi kuweka mborea wakati marake yameotaa arafu ukatumia mborea mojaa tuu can kunatatizo
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Maharage ni zao la muda mfupi Sana. Ukipanda uje UWEKE mbolea apo lazima utaachana na ukuaji. Pia mbolea za Chumvi izi zitaunguza mche wako. Ndyo maaana kama mbolea tutatumia za maji yaaani booster. Ivyo ni vizur uchanganye mbolea na uo ni uzoefu ndugu
@ezebiuskoni8321
10 ай бұрын
@@AGALUSTV saw Koo zamaji unaweza kutumia naizo nikama zipii
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Ndugu yangu majina ni mengi Sana ya mbolea sasa naona Kama tutakuchanganya tu. Ni vizur ukaenda duka LA Pembe jeo lililo karibu nalo atakupa alizo nazo maana zipo za matunda, majani n. K
Mbegu nzuri nitapataje ? Mm Niko Arusha!! je sehrmu za kabuku (Tanga) maharage yatakubali?
@AGALUSTV
2 ай бұрын
Mbegu Ata sokoni. Ila YAWE ya mwaka jana. Uko waweza lima
Naomba kuuliza je naweza kupanda mahalage pamaja namahindi nikapata mavuno mazuli
@AGALUSTV
Ай бұрын
Hapana Usifanye ivyo
@JafaryMatiasi
Ай бұрын
@@AGALUSTV shimo moja la inafaa kuweka punje ngapi za mahalage
asanteeeee
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Barikiwa sana
Barikiwa kwa maelekezo
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Amina ndugu nawe pia
Tqfadhal naomba kujua tarehe nzuri za kuanza kupandaa
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Utegemea na eneo ulilopo maaana Hali ya hewa hutofautiana eneo moja na lingine
@devothakiwola6461
6 ай бұрын
@@AGALUSTV iringa
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Apo uliza wenyeji mara nyingi uwa tuna panda mvua zinapo enda kuisha
Yani Kaka nawapenda Sanaa bando langu litakua linaisha vizuli
@AGALUSTV
Жыл бұрын
🤝😁😁🙏🏿Pamoja ndugu
Naomba kujua mbegu za maharage ambazo ni zenye mavuno bora nazpataje
@AGALUSTV
Ай бұрын
Maduka ya pembejeo
@user-vt8qq3vj7e
Ай бұрын
Mie natakakupanda maharage kwakuanda vituta .nifahamishwe umbali wa tuta natuta
Kwa ukunda wa pwani kama wilaya ya kisalawe inafaa kupanda mwezi Gani?
@AGALUSTV
13 күн бұрын
Mvua inaanza kuisha tu ule UNYEVU nyevu. Sasa apo waweza fuatilia ni mwez gani
Asante Kwa SoMo nzuri Mimi nmepanda Kwa kurusha natayali yameota naomba kuuliza vp naweza kurusha mborea ya dapu
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Hapana tumia Mbolea za kwenye majani
Ekari moja inahitaji mbegu kg ngapi
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Debe 2 ivi uwe nazo
Jambo Mimi ni mkulima inchini Congo mupakani n'a Uganda hatuna mbolea uku
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Okay poleni sana Tuzid wasiliana
Kwa makadirio heka moja inaweza toa kilograms ngapi za maharage???
@AGALUSTV
3 күн бұрын
Waweza vuna zaidi ya Kg 400
Asante
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Barikiwa sana
Naomba kujua mbolea hizo zoteyaani ya kupandia na ya matunda zote kwa pamoja
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Yes kwa pamoja maana maharage yana chukua siku 3 tu kuanza kuota hivyo mbolea inabid iwepo mapema
Good idea for agriculture
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Your welcome
@victorodhiambo5757
Жыл бұрын
@@AGALUSTV mbegu gani nzuri ambapo Ina chukua muda fupi,sehemu yenye vua chache
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mfano mikoa ipi
@hadiazuberi4961
8 ай бұрын
@@AGALUSTV kaka naomba kuuliza shamba lenye.harithi.ya.mchanga.linafa.kulima maharage?.
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Linafaa TU .ni huduma TU
Hapo kwenye mbolea ya kuku nakubali mwamba duh yaani shina moja unaweza toa kilo moja
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Oooh sawa sawa Tupo pa1🙏🏿👏🤝
Mbole unaweka weka je maana watu wengine wanasema usichanganye mbolea na mbegu
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Kwa maharage haina shida. Mbona mahindi tunaweka
Safi sana
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu
Ikiwa tayar mmea umeota nitumie mblea gan kwa ajili ya mavuno bora
@AGALUSTV
4 ай бұрын
Mbolea y matunda ya majani
Hakuna mbolea za maji unaZoweza kuzitumia Kwa Kupulizia kwenye majani ya maharage kama hukutumia mbolea hapo awali
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Zipo ndugu
@user-wp2nt8lc5w
3 ай бұрын
Ni kama zipi mtaalam@@AGALUSTV
Naomba kujua kama eneo la tarime litafaa kwa ajili ya maharage
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Yes linafaa tu ni huduma tu
Tunaomba kujua vipimo kiasi gani Cha mbolea wakati wa kuchanganya kati ya Dap na can
@AGALUSTV
4 ай бұрын
1:1
Nimbengu gan ambayo inaweza kunipa faida
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Mbegu zipo nyingi ndugu. Tembelea tu duka la pembejeo
Dawa zinazohitajika katika kilimo cha maharage ambazo unaweza kutumia ?
@AGALUSTV
6 ай бұрын
Ni za wadudu na ukungu hizo ndyo muhim
Katika kila shimo unaweka mbegu ngapi na kutoka shina moja kwenda jingine ni umbali gani
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mbegu 1/2 umbali ni sm 15/15 ni shimo kw shimo na 40 AU 60 mtari kwa mstar
Umbali wakupana na ni weke punje ngapi kwa kila shimo
@AGALUSTV
4 ай бұрын
Sm 15 kwa 40
Mbolea gani inatumika kuzalisha maua kwenye zao la maharage
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mbolea kama CAN ni nzuri kwa matunda,pia zipo mbolea ZA MAJI NYINGI TU KWA AJIRI ZA MAUA Na mtunda
Me na swali umesema tunaweza kuweka mbolea zote kwenye mahalage yaani shimo moja swali langu ni kwamba nawaka mbolea za dokana peke take au nachanganya zote na za asili
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Wewe tu kulingana na rutuba ya shamba lako. Kama Unatumia za dukani peke Yake sawa tu
Je maharagwe yatafanya vizuri maeneo ya bungu, bungu ipo pwani waweza itizama kwa map, halafu soko la maharagwe lipo?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Nashukuru kwa taarifa 🙏🙏
Mbole aina ya DAP na CAN ukishachanganya unaweka kiasi gani katika shimo la mbegu moja na pia kwa shimo la mbegu mbili
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Kifuniko cha maji/soda
Umbali wa kupanda shina Hadi shina, mstsri hamstari ni centimita ngapi?
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Sm 15 ni shina kw shin na sm 40 ni mstar kw mstar
He kwa Dar es Salaam naweza kulima maharage
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Ndio waweza
Asante kwa video nzuri. Ukilima kwa kufuata hatua zote za kitaalamu, mavuno yanaweza kufika gunia ngapi kwa eka moja???
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Gunia 3 hadi 5 ni gunia za debe 6
Jee ni Mbegu ghani ya Maharage iliyozuri kwa kupata mavuno mengi? Jee maharage napaswa kupanda mwezi wangapi na kuvuna mwezi wangapi ??? By Utenga naomba unijibu
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Kwa eneo la wapi yaan upo wapi
Kiasigani cha mbolea ya matunda kinatosha kwenye hecre 1?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Nusu mfuko yaaani 0.5 kg japo Itategemea jinsi ya KIPIMO chako kwa njia ya mistari mbolea hadi mfuko 1 waweza tumika
Ogera sana
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Barikiwa pia
Ni mbolea gan ya matunda kwa maharage inafaa
@AGALUSTV
4 ай бұрын
YA, CHUMVI CHUMVI AU YA MAJI KWENYE MAJANI
@AGALUSTV
Ай бұрын
Mbolea za maji jinsi ya kuchagua kzread.info/dash/bejne/m3h_vMVpXdC1Yqw.html
@AGALUSTV
Ай бұрын
Mbolea za maji zote kzread.info/dash/bejne/m3h_vMVpXdC1Yqw.html
Je unaweza kutumia mbolea ya samadi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Iwe ya kuku AU nguruwe. Maaana Samad ya ng'ombe Inachelewa kufanya Kaz wkt maharage yanakua kwa haraka sana
Vp naomba kujua mbolea ya n, gombe yanafaa naomba mwenyekujua anjb jmn
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Inafaa japo iwe imevunda vizuri🙏
Je udongo ukiwa mwekudu unaweza kutumaia mbolea gani vile
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Udongo haupimwi kwa rangi yake. Ukiitaji kupima udongo na Aina y mbolea Muone mtaalam wa Kilimo aliye karibu nawe
Je umewahi kutumia mkojo wa sungura kama mbolea na kukinga wadudu?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Yes ndugu
Nimependa naomba kujua backup ya Serikali inatusaidiaje wannachi tuweze kuingia shambani
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Sijajua
@princebuganzilut2047
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV kuna kipindi kile wanakamata kamata wacheza pool ilipendeza sana wangeandaliwa mashamba yanayohodhiwa na wanakijiji bila kuyaendeleza hata kwa kilimo wapewe hawa wasiokua na kazi wayalime. Hivyo kwakua hawakuwafanyia hivyo tungefikiriwa wengine wenye nia ya dhati ya kulima kwa condition ya misimu si chini ya mitatu palimwe mbona tanzania tungelisha mataifa ya nnje
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
Samahani naweza nikapanda maharage halafu mbolea nikaweka baada ya zao kuota au kuna madhara
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mbolea za chumvi chumvi zina tabia za kuunguza miche Ni vzuri kuoandia zote au kama utaweka baadae kua makini weka kw kiwango kidogo na uweke mbali na mche kdogo miche isiungue
Endapo ukifuata kanun vizur mapato yake yanakuwaje lakn nataka kujua juu ya matumiz ya viwatilifu
@AGALUSTV
9 ай бұрын
Fuatilia video hii apa mchanganuo wote Mtaji na faida ndani yake kzread.info/dash/bejne/iImmprV7o8K3c7w.html
Hekali moja ya shamba la maharage ikitunzwa vema inatoa kilo ngapi?
@AGALUSTV
7 ай бұрын
Zaidi ya gunia 15++
niaina gan ya mbegu inatoa mavuno kwa wingi
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Mbegu zote ni nzuri hutegemea na eneo na matunzo yako
Kwenye shimo moja unaweza kuweka mbegu ngapi??
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mbegu 2 tu
hekamoja ya mahalange unaweza kutoa.junia ngap
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Utegemea vitu vingi ndugu
Samahan naomba ushauri nataka nipande kilimo mseto yaan maharage na alizeti je inawezekana?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Yaaah japo mahindi weka mbali mbali 🙏🙏
Naomba kipimo
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Sm 10 kwa sm 50
Hivi hekarr moja ya maharage inatoa kipato cha kiasi gani
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Debe 15 had 30
@stominluvanda4638
Жыл бұрын
Shina na shina na msita kwa msitali kiss gani?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
15 shina kw shina na 30 AU 40 mstar kw mstar
Samahan ndg je hekal moja unaweza ukapata gunia ngap kitaalamu
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kwa mazingira mengi kiuzoefu ni Kati ya 7 hadi 12 za debe 6 pia wa weza pata hata zaidi ya 15, japo hutegemea vitu vingi
Je ardhi inayofaa kwa kilimo cha maharage inaweza kufaa kwa kilimo cha soya?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ndyo inafaa
@dhinatsimbano8854
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Na kipindi cha kuotesha maharage ndo kipindi sahihi cha kuotesha soya? Na je mbolea za maharage ndo hizohizo za soya?
Wakati una weka mbolea pamoja na mbegu unatakiwa kuweka mbolea kiasi gani kwenye shimo mfano dap
@AGALUSTV
9 ай бұрын
Kifuniko 1 cha maji AU soda AU juice
Umbali kati ya mstari na mstari halafu shimo na shimo ni ngapi?.
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Shimo kw shimo sm 15 na kw umbali ni 30 had 40
@JosephatSarwat
3 ай бұрын
@@AGALUSTV asante
Spacing kati ya mche na mche
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Sm 3/5 mche kw mche kwa sm 15 mstari kwa mstari🙏
Je? Mbolea za booster za kupinga kwenye majani za resho ya 19:19 10 Npk
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
, apo Sasa twende tu dukani ndugu🙏
Je mbolea ya kubebea inawekwa wakati fan?
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Apo wkt w kupanda
Ni kipimo gani cha mbolea kili shimo
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Kisoda 1 kwa mbolea za kisasa mikono miwili
Kwahiyi minjingu ndo sahihi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Hutegemea na eneo yaani Aina ya udongo C kila sehemu utumika iyo. Kwa hiyo angalia eneo lako mbolea ipi utumika kupandia
Nifahamishe umbali kati ya shimo hadi shimo na mstari hadi mstari
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Unavyo tumia njia y kuchora mistar uwa tunakadiria tu bt mstar kw mstar sm 30 adi 40 shimo kw shimo apa hatupigi mashimo uwa tunarusha mbegu 2 au 1 kw kadirio la umbali sm 2 adi 5
@abdallahmzuzuri3527
3 жыл бұрын
Kama tutapanda kwa mstari hivyo. Je mbolea zinazo takiwa tutaweka kwa mfumo gani?
Je urea inafaa kukorogea kwenye maji alafu utumie kwa Bomba kunyunyuzia shambani?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Inafaa japo c njia nzuri. Ni vizur ukatumia mboles za maji
Mbolea ya jamii ya keni, no mbolea kama gani hio? Usaidizi hapo kidogo kiswahili imenipitia. From Kenya.
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kwa Tanzania 🇹🇿 ni mbolea ina itwa CAN cjajua kwa uko Kenya 🇰🇪 ndugu
@salimLempakany
2 жыл бұрын
Kenya pia ni CAN
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Hatujajua kwa uko ila iyo ni mbolea ya Matunda tusaidiane jina la iyo mbolea kwa uko🙏
Je namna ya upandaji wa mbegu upo VP??
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Upandaji na mbolea somo ni hili kzread.info/dash/bejne/dphop6Wqqae-e5c.html
Mm nimexhambanda tayar nina kama wk naweza kuweka mbolea?,na kama uwezo wng mdogo naweza kuweka mbolea moja t ya keni
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kama ulipanda mbalimbali waweza weka lakini kama ni karibu sana kua makini waweza umguza miche yako
@joharijj2164
3 жыл бұрын
*mohamed* umewahi panda Tena? Je soko lipo?
Mbengu gan nzur za mahalage
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Zote nzuri hutegemea na uhitaji wa soko lako . soko lako wanapenda aina gani ya maharge
Je ukiotesha maharage ndo ukaweka mbolea inakuwaje?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kwa mbolea za kupiga kwenye majani unaweza fanya. Ivyo ila kwa zile za chumvi chumvi unaweka zote kwenye mashimo na mbegu
Naomba namba zako za whtsap
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
0765467484
Shimo moja unaweka mbegu ngapi za mahalage?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
2
Suala langu: kwa hali ya hewa Zanzibar inawezekana kilimo cha maharege?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Inawezekana tu🙏🤝
@hamzaalawy6694
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV nashukuru Na kipindi gani kinaweza kuwa bora kwa upandaji wa maharage huku kwetu Zanzibar?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Mmmmh kwa uko ngoja tuzid kufutilia maana sisi tupo mbeya 🙏
Tafadhali elezea ukulima ya maharage ya Aina ya Jesca. Mavuno yake inakuaje na inavunwa baada ya miezi mingapi?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
Napima vp udongo ili kujua aina ya mbolea inayoitajika?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kuna senta zipo kw ajir y kaz iyo lakini wasiliana na mtalaam wa kilimo w karibu nawe🙏
Je Mimi nalima kwenye harizi ya kichanga manyara je harizi I inakubali maharage na kitaka kupima udogo napeleka wapi kuupima
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Tumekujibu kwenye swali lako la awali
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Tumekujibu kwenye swali lako la awali
Ekari moja inaweza kutoa magunia mangapi ya kilo 100
@ibrahimfarouq8339
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Acha masihara mjomba
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝
@yusufusudusudu3173
3 жыл бұрын
2/3 nikias kidogo sana nawakati sisi tunalima bila utaalm wowote tunapata gunia 5/6 we mtihan
@user-mq5ly7kr8x
2 ай бұрын
Ata mimi nililima Hekari moja Nkapata Gunia 7 na sijaweka mbolea@@yusufusudusudu3173
Napeleka wapi udongo Kwa jili ya kupima Niko mbuyu wa mjerumani manyara babati
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Apo jitahidi kuwasiliana na Afisa Kilimo wa eneo ulilopo maarufu kama bwana shamba. Zipo center zinazopima udogo. Maana hatuna uzoefu na mazingira uliyopo
Khaaa nguruwe Tena? Wataka tulishwe haramu jamani
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Aaaah. Sory Ndugu Ila si unajua kwenye Elimu tena🙏🙏
Hekamoja mbegu kiasi gani? Na mavuno kiasi gani kwaheka
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Fuatilia somo hili👇 mtaji na faida ktk heka 1 kzread.info/dash/bejne/iImmprV7o8K3c7w.html
Mmea kama umeshaota mbolea ya dap unaweza kuweka imbali gani
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mmea ukiwa umeota DAP haitumiki tena
Je maharage ya soya yanapatikana kugoma?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Ngoja tuulize zaidi
Kwa wilaya ya NJOMBE ni kijiji gani wanalima zao la maharage
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Kiukweli kwa uko hatufahamu ngoja tuzidi kufutilia Kujua zaidi
Naomba kuuliza hizo mbolea nachanganya kwa ratio gani (ya matunda na ya kawaida)
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Kupandia kg 50. Matunda kg25 na kuku zia kg 12.5
@richardmsuya2645
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV hizi zote tatu zinawekwa wakati wakupanda?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ndyo zinachanganywa ndudu 🙏
@richardmsuya2645
2 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Pa1🙏🤝
Mbolea nishingap
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Aina gani ya mbolea ndugu
Kipatochakekwahekamoja ni kipi
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Mchanganuo wa mtaji na faida yake👇🙏 fuatilia somo hili kzread.info/dash/bejne/iImmprV7o8K3c7w.html
Heka 1 ya maharage ikitunzwa vixuri inatia gunia ngapi
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ngunia 6 hadi 10 au zaidi kwa ngunia la debe 6
Inachukua mda gan toka kupanda hadi kuvuna
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Miez 4
@VEVO-africa
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV xawa xhukran
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pa 1
Heka moja ya maharagwe Una uwezo wa kuvuna gunia ngapi endapo utazingatia hatua zote
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
10, hadi 13
@revocatusmartine7159
3 ай бұрын
10 had 13 mara 3 had 5 za debe sita kipi n kip?
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Ndugu izo ni idadi za gunia Kuna kadirio la chini kabisa....
Je ni dawa zipi zinaweza kunisaidia kwa palizi na jinsi ya kutumia
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Hatujakupa vzuri ndugu palizi kwenye maharage unaulizia dawa za palizi au kwa mazao mengine?
@mchaehebuka4028
3 жыл бұрын
Ni kwa palizi ya mahalage
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
mmmh apo ndugu kwa mimi uwa natumia vijembe vidogo kupalilia na kutifulia ctumiiagi dawa bt tuzid kujifunza zaid tutapata jibu🙏🙏
Mbolea za maharage umesema zinawekwa zote wakati wa kupanda yaani samadi ya kuku, npk na CAN. Ni kwa kipimo gani??
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Apo sasa hutegemea na ukubwa wa shamba ndugu lako ila Kuna somo letu Kuhusu bajet ya kilimo cha maharage itakusadia pia
@emmanuelmkinga4804
Жыл бұрын
Nilimaanisha kipimo kwenye kila shimo yaani CAN gram ngapi, NPK gram ngapi na hiyo samadi ya kuku
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Kifuniko 1 cha soda AU maji kwa kila shimo
Sawa muelimishaji , naombakueleweshwa dawa ya ukungu kwenye maharage.
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Izi dawa Zipo nyingi sana. Ushauri ni vizur tu ukaenda Duka la karibu nawe ukamwambia atakupatia haina shida ndugu