kilimo cha mahindi kinapatwa changamoto kubwa hasa kushambuliwa na viwavi. Zipo njia kadhaa zitakazo kusaidia kukabiliana na mdudu uyu
Жүктеу.....
Пікірлер: 67
@ShedrackTifa2 ай бұрын
Nashukuru kwa elimu Yako ila Nina swali. Hiyo sumu ya select plus Ukipiga mara Moja hurudii Tena, ndo watakuwa wamekufa jumla au utarudia kwa awam nyingine Tena wakijitokeza.
@AGALUSTV
2 ай бұрын
Tutarudia baada ya wiki 3/4
@shemelaruhinda61134 ай бұрын
Asante
@AGALUSTV
4 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@RajabuSaid-pb5uj Жыл бұрын
Safi sana kaka kwa elimu ako asante kwa kunipa elim
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Barikiwa pia ndugu
@ruhumbikabaraka82593 жыл бұрын
Shukrani
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Barikiwa
@khaldn7409 Жыл бұрын
Inspiring
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Surely ✍️🙏🏿🤝welcome
@danielmwakatumaakimu105010 ай бұрын
Tunashukuru kwa ushauri wa kitaalam.kwenye kilimo cha mahindi.
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Barikiwa pia
@elisanteakyoo-ei3id Жыл бұрын
Somo zuri sana
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Pamoja ndugu
@karthihb95293 жыл бұрын
👍
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
100
@user-yb4zl6nf8e8 ай бұрын
Hilo tatizo la huyu mdudu limenipata na kwa kweli lilielekeya kuwa zito kwangu, nikamualika mkulima mwenzangu nae akanipa ushauri nitumie sumu ya wadudu inaitwa "cutter", matokeo yalikuwa mazuri sana. Nawashauri wakulima wanaoweza kuipata sumu hii waitumie. Kipimo chake ni mls 15 hadi 20 kwa mtungi wa Lita 16.
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@wacukajanny54963 жыл бұрын
Mafunfisho poa
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Asante
@geraldmhali467410 ай бұрын
good
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Welcome
@lionceaudoudou88123 жыл бұрын
Nice
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pamoja ndugu
@jamiladeus23963 жыл бұрын
Wanaudhi Hawa wadudu
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Sanaaaa ndugu
@eyksaz36773 жыл бұрын
Tuko pamoja
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@jamiladeus23963 жыл бұрын
Wamewahi kunitia hasara
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pole sana bt si wewe tu hata mimi pia ndyo baada y ufumbuzi nikaona tupeane elimu
@wilsonihungu5343 Жыл бұрын
Sumu inayo ua viwavi.
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Kama Jina lake imetajwa kwenye video hii
@salminijuma56652 жыл бұрын
Majani haya yanayoitwa kigugu .je yanambegu dukan ila yaote au
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Hapana ni majani yenyewe tu unapanda
@mtishibimwajanga7337 Жыл бұрын
Inatakiwa kupiga kwa awamu ngapi na Bada ya siku ngapi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mara 1 tu kw mwez mzima. Na ukipiga Mara 3 basi HADI kuvuna
@davislyimo69842 жыл бұрын
Haya majani ya kinga jina rasmi ni lipi? (Elephant grass au malale kwa wachagga, au steria kwa wengine, wengine bokoboko) ni lipi?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ngoja tufuatilie nasi Jina sahihi. Ila tunashukuru kwa USHIRIKIANO wako🙏
@petermaniche1009
Жыл бұрын
Mchaichai
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Pamoja ndugu 🙏🏿
@gracebenjaminnapokeakatika95652 жыл бұрын
Dawa ya kuwaua hao wadudu tunaomba tuelezee
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Kwenye iyo video zimetajwa
@jeremiabahati54732 жыл бұрын
Nyasi zinapatika wapi
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Tafuta tu eneo unalo ishi hasa kama Kuna wafugaji wa ng'ombe kwani upo wapi
@hereethswai43513 жыл бұрын
Naomba no yako bos
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
0786097274
@rehemamulokozi79892 жыл бұрын
Kama mahindi yangu hayajaathirika na huyu kiwavi je naweza kuyapiga dawa hii ya Select Plus ili kuyakinga yasishambuliwe na ni pige mara ngapi? Kwa wiki au mwezi?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Hapana usipige🙏🤝 iyo si kinga ni tiba tu kw uliyeathirika
@rehemamulokozi7989
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV Nashukuru sana.Mungu awabariki kwa masomo na mafundisho mazuri sana
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Amina KUBWA🙏🙏🙏
@thisworld6522
Жыл бұрын
Naomba kufahamu dawa ambayo ni kinga kabla ya muhindi kuathiriwa?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
NGOJA TUKIPATA TUTAKUJUZA NDUGU✍️🤝🙏🏿
@miriammalugu974 Жыл бұрын
Please stop rounding so much around the bush and go straight to the point, it becomes boring and costing at the same time unnecessarily.
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Thank you for your notes✍️🙏🏿👏
@rabanibrahim65763 жыл бұрын
Jina LA hayo majani plz
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Yametajwa kwenye somo
@rabanibrahim6576
3 жыл бұрын
Nimeyafahamu
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pa 1
@mlongojane86713 жыл бұрын
Naomba ulitaje jina la hizo nyasi za kupanda ili kuzuia uvamizi wa viwavi jeshi. Ama ni nyasi zozote tu?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mimi nalijua nyasi izo kwa jina la KIGUGU uwa utumika kama chakula cha ng"ombe cjajua kwa eneo unaloishi zinaitwaje lakini kama hutajielewa zaidi naweza kukupigia picha zaidi nikakutumia 🙏🙏🙏🙏barikiwa ndugu
@mlongojane8671
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Nadhani ni Napier grass. Asante sana nitazipanda kwa shamba langu la mahindi
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Yes upo sahihi sema sikutaka kutumia ilo jina kwenye hii video
@mlongojane8671
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Asante kwa ushauri wako
@rehemamulokozi7989
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV Hizi NAPIER GRASS Zinapatikana wapi kwa sisi tulio Dar. Naomba msaada please.
Пікірлер: 67
Nashukuru kwa elimu Yako ila Nina swali. Hiyo sumu ya select plus Ukipiga mara Moja hurudii Tena, ndo watakuwa wamekufa jumla au utarudia kwa awam nyingine Tena wakijitokeza.
@AGALUSTV
2 ай бұрын
Tutarudia baada ya wiki 3/4
Asante
@AGALUSTV
4 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
Safi sana kaka kwa elimu ako asante kwa kunipa elim
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Barikiwa pia ndugu
Shukrani
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Barikiwa
Inspiring
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Surely ✍️🙏🏿🤝welcome
Tunashukuru kwa ushauri wa kitaalam.kwenye kilimo cha mahindi.
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Barikiwa pia
Somo zuri sana
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Pamoja ndugu
👍
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
100
Hilo tatizo la huyu mdudu limenipata na kwa kweli lilielekeya kuwa zito kwangu, nikamualika mkulima mwenzangu nae akanipa ushauri nitumie sumu ya wadudu inaitwa "cutter", matokeo yalikuwa mazuri sana. Nawashauri wakulima wanaoweza kuipata sumu hii waitumie. Kipimo chake ni mls 15 hadi 20 kwa mtungi wa Lita 16.
@AGALUSTV
8 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
Mafunfisho poa
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Asante
good
@AGALUSTV
10 ай бұрын
Welcome
Nice
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pamoja ndugu
Wanaudhi Hawa wadudu
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Sanaaaa ndugu
Tuko pamoja
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wamewahi kunitia hasara
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pole sana bt si wewe tu hata mimi pia ndyo baada y ufumbuzi nikaona tupeane elimu
Sumu inayo ua viwavi.
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Kama Jina lake imetajwa kwenye video hii
Majani haya yanayoitwa kigugu .je yanambegu dukan ila yaote au
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Hapana ni majani yenyewe tu unapanda
Inatakiwa kupiga kwa awamu ngapi na Bada ya siku ngapi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mara 1 tu kw mwez mzima. Na ukipiga Mara 3 basi HADI kuvuna
Haya majani ya kinga jina rasmi ni lipi? (Elephant grass au malale kwa wachagga, au steria kwa wengine, wengine bokoboko) ni lipi?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Ngoja tufuatilie nasi Jina sahihi. Ila tunashukuru kwa USHIRIKIANO wako🙏
@petermaniche1009
Жыл бұрын
Mchaichai
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Pamoja ndugu 🙏🏿
Dawa ya kuwaua hao wadudu tunaomba tuelezee
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Kwenye iyo video zimetajwa
Nyasi zinapatika wapi
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Tafuta tu eneo unalo ishi hasa kama Kuna wafugaji wa ng'ombe kwani upo wapi
Naomba no yako bos
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
0786097274
Kama mahindi yangu hayajaathirika na huyu kiwavi je naweza kuyapiga dawa hii ya Select Plus ili kuyakinga yasishambuliwe na ni pige mara ngapi? Kwa wiki au mwezi?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Hapana usipige🙏🤝 iyo si kinga ni tiba tu kw uliyeathirika
@rehemamulokozi7989
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV Nashukuru sana.Mungu awabariki kwa masomo na mafundisho mazuri sana
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Amina KUBWA🙏🙏🙏
@thisworld6522
Жыл бұрын
Naomba kufahamu dawa ambayo ni kinga kabla ya muhindi kuathiriwa?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
NGOJA TUKIPATA TUTAKUJUZA NDUGU✍️🤝🙏🏿
Please stop rounding so much around the bush and go straight to the point, it becomes boring and costing at the same time unnecessarily.
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Thank you for your notes✍️🙏🏿👏
Jina LA hayo majani plz
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Yametajwa kwenye somo
@rabanibrahim6576
3 жыл бұрын
Nimeyafahamu
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Pa 1
Naomba ulitaje jina la hizo nyasi za kupanda ili kuzuia uvamizi wa viwavi jeshi. Ama ni nyasi zozote tu?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mimi nalijua nyasi izo kwa jina la KIGUGU uwa utumika kama chakula cha ng"ombe cjajua kwa eneo unaloishi zinaitwaje lakini kama hutajielewa zaidi naweza kukupigia picha zaidi nikakutumia 🙏🙏🙏🙏barikiwa ndugu
@mlongojane8671
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Nadhani ni Napier grass. Asante sana nitazipanda kwa shamba langu la mahindi
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Yes upo sahihi sema sikutaka kutumia ilo jina kwenye hii video
@mlongojane8671
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV Asante kwa ushauri wako
@rehemamulokozi7989
2 жыл бұрын
@@AGALUSTV Hizi NAPIER GRASS Zinapatikana wapi kwa sisi tulio Dar. Naomba msaada please.