Apo ni kwa kubonyeza tu ukiona gumu ujue limekomaa , pia tango teke lina vinundu kama vipele Ivi lililo komaa inakua soft
@user-sd6kd4lx1y11 ай бұрын
Namba za cm vipi
@AGALUSTV
11 ай бұрын
TUNAKUTUMIA
@aminamohamed52513 жыл бұрын
Habar kaka nahitaji kuanza kilimo cha matango naomba mawasiliano yako tafadhali
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
0765467484
@aminamohamed5251
3 жыл бұрын
Barikiwa kaka nitakupigia
@pauloyame58822 жыл бұрын
Mimi matango yangu yanashambuliwa na wadudu. Je natakiwa nitumie dawa ngani
@pauloyame5882
2 жыл бұрын
Au ni sumu ngani mi bora
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Sumu ZOTE ni bora ndugu. Hutegemea aina ya tatzo lako. Ushauri wetu MUONE mtaalam wa pembejeo umuoneshe aina ya ugonjwa ktk Mimea yako tu naamini atakupa Tia dawa nzuri tu🙏🏿🤝✍️
@nolimittvonline6822 Жыл бұрын
Napenda kulima Sanaa natafuta shamba lakin bdo sijapata
mbegu .za. bamia. kwa. dar .es. salam. nazipata. maduka. yp
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mbegu zinapatikana maduka ya Pembe jeo. Aina ya mbegu mchek tu muuza duka
@carolinebitutu36944 жыл бұрын
Jamani ningekuwa na shamba. Ningekimbia na kuanza kilimo papo hapo.
@AGALUSTV
4 жыл бұрын
Shamba Ata la kukodi ndugu
@revinamwakalenga3050
4 жыл бұрын
Hongera sana kazi nzuri
@AGALUSTV
4 жыл бұрын
Asante Sana
@weisikorugemalila4905
3 жыл бұрын
Weka namba yako taf
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Tunapatikana pia facebook kwa page Agalus Tv
@henryallyassani40582 жыл бұрын
Habari
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Nzuri Karibu🙏🙏🙏
@abuujibriltv5233 Жыл бұрын
Vipi kama nikiweka mbegu ya chainizi Kwenye tuta moja kwa moja bila kuotesha kitalu?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Sawa tu waweza
@TEACHER.CLEOPHAS2 жыл бұрын
Shwari
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Pa1🙏🙏
@davidguantai-em4on Жыл бұрын
Kiswahili ngumu
@AGALUSTV
Жыл бұрын
🤔🙏you may ask by English where you would not understand
@jitaJackson2 жыл бұрын
Mbegu nzuri ya Tango na yenye soko ni ipi??
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Hydrid yeyote
@chichibabe846 Жыл бұрын
Naweza otesha zao gani sehemu kama SAME pls
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mazao ni mengi ndugu kwani uko hakuna wanaolima ndugu
@chichibabe846
Жыл бұрын
@@AGALUSTV mimi sikai uko ndo maana sijui ni mazao gani yatakayo vumilia ukame
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mihogo, mtama, mahindi pia wanalima ndugu
@lidyanchimbi14662 жыл бұрын
Changamoto gani unaweza kutana unapolima kipindi cha masika?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Magonjwa y ukungu, mbolea kupotea na soko uweza kua si zur maana mengi yatakua sokoni🙏🤝
@Lukamgidange3 жыл бұрын
Je Ni kwenye udongo wa Aina gani?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Tifu tifu unaopitisha maji
@mariammadebe65993 жыл бұрын
Asante sana Kwa somo
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Asante nawe Barikiwa🙏🙏🙏
@aroncharles65483 жыл бұрын
Je matango kwenye baridi yanakubali? Na daw ya ukungu napaswa kupigia kwa mda gani?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Yana kubali tena vizuri tu. Ukungu hutegemea hali ya hewa yaweza kua mara 1, baada ya wiki 2 pia mara 1 kila wiki na hata mara 2, kwa wiki
@aroncharles6548
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV asante mkuu npo manyara-mbulu kuna baridi sanaa nkahofu kuw inaweza kuyadhuru je ni mbegu gani itafaa? Kwenye ukanda huu wa manyara mbulu
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kaulize mbegu za hybrid f1, za matango zinazouzwa ukanda wa uko
@aroncharles6548
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV asante boss Je matango yana msimu kama vile eti mda fulan ukipanda yanasumbu kutoa matunda ?
@mariamm27243 жыл бұрын
Ivi masoko Yapo kaka kwa.ajili.ya tango?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Yapo ndugu yategemea mazingira unayoishi
@mariamm2724
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV iringa ndoo home kaka, na ndoo nitalima huko.
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ok 👌 good mazingira ya iringa yanaruhusu
@mariamm2724
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV na soko pia iringa lipo??
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Matango kila eneo yanaliwa kuna vitu tu utatakiwa kujua ili. Utime soko tutashirikishana ndugu
@hereethswai43513 жыл бұрын
Naomba no yako boss
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Noted
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
0765467484
@marianamontoedi1318
3 ай бұрын
Mambo sf
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Pamoja ndugu
@zakariamalambughi46394 жыл бұрын
Mazingira ya baridi je VP matango yanakubali? Mfano tukuyu
@AGALUSTV
4 жыл бұрын
Yanakubali ila zingatia dawa za ukungu
@ernestthomas38663 жыл бұрын
Je mboga za kwenye kitalu ,unafanyaje ili upate kitalu?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Sijakuelewa ndugu ili upate kitalu
@ernestthomas3866
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV kwenye video yako ya mazao matatu,kuna mboga zinazopandwa kwanza ili kupata kitalu,hivyo unafanyaje ili kupata kitalu na kwa muda gani unahisi kitalu kiko tayari?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ok mbegu kwenye kitalu mboga nyingi ni wik 3 hadi 4 then miche upelekwa shambani 🙏🙏Pia kuhusu kitalu ni mbegu za mboga husika zinauzwa ndyo unaenda kuotesha kwenye kitalu naomba kama hutaelewa jinsi ya kuwatika kitalu niambie tutaelekezana
Пікірлер: 86
Masoko ndiyo kikwazo kaka mimi issa rajab
@AGALUSTV
Ай бұрын
Ngoja tuzid kutafuta masoko zaid
Tango likiwa tiyar kulichuma utajuaj mkuu
@AGALUSTV
4 ай бұрын
Vipele vidogo vidogo itaanza potea.
Ahsante kwa video nzuri
@AGALUSTV
4 жыл бұрын
Amina
Hongera nimehelea soma
@AGALUSTV
4 жыл бұрын
Thnx kaka utekelezaji mwema
good keep it up dear
@AGALUSTV
4 жыл бұрын
Thanks
Asante maelekezo ni mazuri
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Pa 1🤝🙏
Asante nashukuru kwa ujumbe
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏🙏🙏
Good work
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Good too🙏🤝
Nawezaje kujua kama tango limekomaa
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Apo ni kwa kubonyeza tu ukiona gumu ujue limekomaa , pia tango teke lina vinundu kama vipele Ivi lililo komaa inakua soft
Namba za cm vipi
@AGALUSTV
11 ай бұрын
TUNAKUTUMIA
Habar kaka nahitaji kuanza kilimo cha matango naomba mawasiliano yako tafadhali
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
0765467484
@aminamohamed5251
3 жыл бұрын
Barikiwa kaka nitakupigia
Mimi matango yangu yanashambuliwa na wadudu. Je natakiwa nitumie dawa ngani
@pauloyame5882
2 жыл бұрын
Au ni sumu ngani mi bora
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Sumu ZOTE ni bora ndugu. Hutegemea aina ya tatzo lako. Ushauri wetu MUONE mtaalam wa pembejeo umuoneshe aina ya ugonjwa ktk Mimea yako tu naamini atakupa Tia dawa nzuri tu🙏🏿🤝✍️
Napenda kulima Sanaa natafuta shamba lakin bdo sijapata
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Upo wpi
@nolimittvonline6822
Жыл бұрын
@@AGALUSTV Niko dar pugu
@AGALUSTV
Жыл бұрын
OK tafuta kaplot tu Ata robo heka tu miche 1000
@nolimittvonline6822
Жыл бұрын
@@AGALUSTV nashukuru Leo nimepata robo heka ivyo kesho naenda kulifanyia usafi
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Karibu sana
Nzuri
@AGALUSTV
4 жыл бұрын
Asante
mbegu .za. bamia. kwa. dar .es. salam. nazipata. maduka. yp
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Mbegu zinapatikana maduka ya Pembe jeo. Aina ya mbegu mchek tu muuza duka
Jamani ningekuwa na shamba. Ningekimbia na kuanza kilimo papo hapo.
@AGALUSTV
4 жыл бұрын
Shamba Ata la kukodi ndugu
@revinamwakalenga3050
4 жыл бұрын
Hongera sana kazi nzuri
@AGALUSTV
4 жыл бұрын
Asante Sana
@weisikorugemalila4905
3 жыл бұрын
Weka namba yako taf
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Tunapatikana pia facebook kwa page Agalus Tv
Habari
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Nzuri Karibu🙏🙏🙏
Vipi kama nikiweka mbegu ya chainizi Kwenye tuta moja kwa moja bila kuotesha kitalu?
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Sawa tu waweza
Shwari
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Pa1🙏🙏
Kiswahili ngumu
@AGALUSTV
Жыл бұрын
🤔🙏you may ask by English where you would not understand
Mbegu nzuri ya Tango na yenye soko ni ipi??
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Hydrid yeyote
Naweza otesha zao gani sehemu kama SAME pls
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mazao ni mengi ndugu kwani uko hakuna wanaolima ndugu
@chichibabe846
Жыл бұрын
@@AGALUSTV mimi sikai uko ndo maana sijui ni mazao gani yatakayo vumilia ukame
@AGALUSTV
Жыл бұрын
Mihogo, mtama, mahindi pia wanalima ndugu
Changamoto gani unaweza kutana unapolima kipindi cha masika?
@AGALUSTV
2 жыл бұрын
Magonjwa y ukungu, mbolea kupotea na soko uweza kua si zur maana mengi yatakua sokoni🙏🤝
Je Ni kwenye udongo wa Aina gani?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Tifu tifu unaopitisha maji
Asante sana Kwa somo
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Asante nawe Barikiwa🙏🙏🙏
Je matango kwenye baridi yanakubali? Na daw ya ukungu napaswa kupigia kwa mda gani?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Yana kubali tena vizuri tu. Ukungu hutegemea hali ya hewa yaweza kua mara 1, baada ya wiki 2 pia mara 1 kila wiki na hata mara 2, kwa wiki
@aroncharles6548
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV asante mkuu npo manyara-mbulu kuna baridi sanaa nkahofu kuw inaweza kuyadhuru je ni mbegu gani itafaa? Kwenye ukanda huu wa manyara mbulu
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Kaulize mbegu za hybrid f1, za matango zinazouzwa ukanda wa uko
@aroncharles6548
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV asante boss Je matango yana msimu kama vile eti mda fulan ukipanda yanasumbu kutoa matunda ?
Ivi masoko Yapo kaka kwa.ajili.ya tango?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Yapo ndugu yategemea mazingira unayoishi
@mariamm2724
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV iringa ndoo home kaka, na ndoo nitalima huko.
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ok 👌 good mazingira ya iringa yanaruhusu
@mariamm2724
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV na soko pia iringa lipo??
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Matango kila eneo yanaliwa kuna vitu tu utatakiwa kujua ili. Utime soko tutashirikishana ndugu
Naomba no yako boss
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Noted
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
0765467484
@marianamontoedi1318
3 ай бұрын
Mambo sf
@AGALUSTV
3 ай бұрын
Pamoja ndugu
Mazingira ya baridi je VP matango yanakubali? Mfano tukuyu
@AGALUSTV
4 жыл бұрын
Yanakubali ila zingatia dawa za ukungu
Je mboga za kwenye kitalu ,unafanyaje ili upate kitalu?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Sijakuelewa ndugu ili upate kitalu
@ernestthomas3866
3 жыл бұрын
@@AGALUSTV kwenye video yako ya mazao matatu,kuna mboga zinazopandwa kwanza ili kupata kitalu,hivyo unafanyaje ili kupata kitalu na kwa muda gani unahisi kitalu kiko tayari?
@AGALUSTV
3 жыл бұрын
Ok mbegu kwenye kitalu mboga nyingi ni wik 3 hadi 4 then miche upelekwa shambani 🙏🙏Pia kuhusu kitalu ni mbegu za mboga husika zinauzwa ndyo unaenda kuotesha kwenye kitalu naomba kama hutaelewa jinsi ya kuwatika kitalu niambie tutaelekezana