MAUAJI YA KUTISHA NDANI YA OFISI YA SERIKALI/MTENDAJI AUAWA KINYAMA ASHAMBULIWA KWA PANDA
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 459
Subhana ALLAH tunaishi kwa Rehma zake Allah atuhifadh wanaadam wamekua kam Wanyama kuna muda afadhal ata ya Wanyama Allah atupe mwisho mwema Amiin
@mohamedmuhajiri4690
2 жыл бұрын
Amini
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Amyn
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Sikuhizi jamani Tz imechafuka Dam.. Mauwaji mengi mpaka unaogopa kiyama kinakuja kwa ukali
@Awatee
2 жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 Tunaishi kwa Rehma zake Allah mamy hatujui mbele yet tunaenda nao maadui na kucheka nao
@fatumamuya2139
2 жыл бұрын
Amiiin
Tunaombaa Toba narehema kwa ajili ya damu ya Kevin iliyomwagika isiyo na hatia Mungu mwenyezi akupokee kamanda wetu. Pumzika kwa amani Kevin Mo
@malingazeboss9351
2 жыл бұрын
Watendaji hao ndo waliiba kura kuipa CCM hii ni laana ya kuiba haki ya watanzania,, kwahiyo acha wafe tuuuu
@kaundasutikaunda7769
2 жыл бұрын
@@malingazeboss9351 ww ni mpuuzi sana
@mariamaunga3735
2 жыл бұрын
@@kaundasutikaunda7769 Achana naye wla usipoteze nguvu zako ndugu mwache ajivalishe viatu vya Mungu na kutoa hukumu. Mungu mwenyeWe atasimama katika hili
Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi.Aminnn
@IBRAHIMELSUBHY
2 жыл бұрын
Hatimae aliyeshuhudia mauaji hayaasimulia kzread.info/dash/bejne/n6KAqMSaoq2cnrQ.html
Wanaadamu sikuhizi wamekuwa naroho za kinyama hata wanyama wenyewe wana afadhali. Mwenyezi Mungu atunusuru Wallah
Serikali iongeze nguvu zaid katika utendaji WA kazi zao mkilala basi mtasumbuliwa Sana ushauri Tu WA bure .
Izirail hana kazi ngumu siku iz, Huu ni mwisho wa duniani Rudi kwa mola wako.
@tousihhhh6765
2 жыл бұрын
kabisa ndug yaa mtihan
@shadyakimaro3245
2 жыл бұрын
Kwa kwelii
@neemaruben5427
2 жыл бұрын
Kbsaa
@movietz3394
2 жыл бұрын
Aya matukio yapo toka mwanzo wa dunia ila kumkumbuka mungu ni muhimu kwa muda wowote sio mpaka mwisho wa dunia tu ukumbuke kumludia
@marrowog8975
2 жыл бұрын
@@movietz3394 ilimradi useme tu au sio?? Hajanielewa tu kama ungenielewa ungekaa kimya.. mimi nakusudia *watu kwa sababu ya kumsahau mumgu ndio wanafanya ayo*
Kwenye maisha kila kitu inabidi ufanye kwa kiasi usije kutengeneza Uadui na watu mungu akupokee ishaalah
Innalillahi wainnaililaihi Raajiuuun dah watu wana Roho za kiunyama sana Mwenyezimungu ajaalie wakamatwe na Wapewe Adhabu kali saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana
Mama rais wetu kemea basi hata mauaji yanayotokea kama unavyosisitiza COVID-19
😭Aisee inauma sana.. allah akupe kauli thabiti damu ya mtu n mtihan
mungu amlaze mahala pema peponi 🙏
Inalillah wainailahi rajuun. Allah anamlipa zurma ya kilaaina napia watakufatu kivyovyote na Azabu watapewa lnshallah
@topranking013
2 жыл бұрын
Bora kukaa kimya tu coz hujui kuna nn nyuma yake ad amefanyiwa ivo
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
@@topranking013 kumtoa tu roho hatakama kakufanya kitu mfanye kama alivyokufanya usizidishe kisasi
Ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga ....Mungu kutana Na watu hao waliofanya tukio hili
SubhanAllah
Poleni saan wafiwa Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli
Ifike mahal cctv ziwe mandatory kwenye ofisi zote na maeneo ya biashara, inge rahisisha kupata footage za wauwaji 🙏🙏
@jessykadaraja2691
2 жыл бұрын
Serikali haiwezi kuziweka. Unajua kwa Nini?
@ibrahimmagere5545
2 жыл бұрын
Cctv bila close monitoring ni bure, watu wataficha sura. Nchi za wenzetu ndo hata ukificha uso wanatumia teknolojia na kupata sura halisi
@mishikikoti2948
2 жыл бұрын
@@ibrahimmagere5545 weee kweli
@spreadlove5300
2 жыл бұрын
Kwanza kabla ya hizo CCTV kuwekwa kila mtu hasa mamlaka zitende haki sababu CCTV pekee hazifui dafu
@fatmaabdallah7709
2 жыл бұрын
@@jessykadaraja2691 sijui tujuze
Kila cku mauaji Ee Mungu baba tuhurumie sasahiv watu hawaogop kuua 😭😭Nahix laana ya Magufur inatutafuna toka huyu mama aingie madarakani mauaji yamekuwa Mengi mno na hatuskii hata cku moja mama akikemea hayo mauaji yanayotokea yy na corona bac hayo matukio cjui hayaoni
Watendaji mnawindwa,msiwe mnakaribisha wateja bila mgambo,inauma , poleni sana.
Sema huyu Mtangazaji ana sura nzuri 😘
@modenhosouza5925
2 жыл бұрын
Oyaaaaaa nakubal kamanda tupo wawili tuloona hii pisi
@jumaselemani2720
2 жыл бұрын
@@modenhosouza5925 nakubalii mwamba 😄
@thobiasbukali9008
2 жыл бұрын
@@jumaselemani2720 mimi sijaiona hata
@fainajaffary4070
2 жыл бұрын
Saut yake nzur pia
@jumaselemani2720
2 жыл бұрын
@@fainajaffary4070 sanaaa
Kuna watu hawana huruma kabisa yaan mpaka naogopa kulala 😭😭😭😭😭
Viongozi mjitahidi kua waadilifu hakuna marehemu mwenye sifa mbaya
Subhan'Allah 😭😭😭
Mungu saidia hawa waliofanya ili tukio wote wakamatwe.
@flova7022
2 жыл бұрын
Na wanyongwe
@rahmaabdulla4949
2 жыл бұрын
Amiin nawakipatikana nawao watiwe mapanga mpaka wauwawe ukiuA kwaupanga utakufa kwa upanga
Poleni kwa msiba watanzania wote😭😭😭😭
Kama kweli issues inahusiana na migogoro basi ni wakati sasa kwa hawa viongozi wa serikali za mitaaa nchi nzima.. 1 wajiepushe saana na kutoa majibu rahisi, 2 wasifanye migogoro inchukuwe muda mrefu mikononi mwao.. wasiwe ving'ang'anizi.. wakiona issues ni ngumu haraka waidikishe wizarani or mahakamani.. Ila na cc wananchi c busara kutoa uhai wa mtu.. Sehemu sahihi ya kupata haki ni mahakamani kama ukiona uongozi wa mtaa unasuasua.. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala salama.
@iddymbuma2856
2 жыл бұрын
Kabisa huaga wanarahisisha Sana mambo
@kanazibabu3983
2 жыл бұрын
Mungu ampe kaur thabiti
@rosejordan5391
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
Nikweri viongozi inatakiwa wawe making maana muaji yamezidi kipimo Kira kunavyokucha nimatukiotu mungu atusaidie tupo wakati mgumu sana mungu airase roho ya marehem mahari pema peponi amen
Mungu ayipunzishe logo ya malehem mahari pema
Subhanallah
Inauma Sana, pia Viongozi wetu tutende haki sahihi kwa watu bila kujali hana kitu au anakitu Pia tushauri Jeshi la police kuwa makini kufundusha jamii na kutenda haki ili twende swahi katika Taifa letu watu wamekuwa na visasi katika miyoni mwao
viongoz wetu tatzo hawatoi haki kistahiki kwa kila mtu wanapenda Sana rushwa
Inasikitisha saana bora ukutane na mnyama wa mwituni kuliko binadamu ni zaidi ya wanyama poleni saana watanzania wenzangu
yaaan ukiingia kwenye mtandao tu unapokea vifo vyaukatili had bc😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@nyotawauniquem7462
2 жыл бұрын
Yaaanii😭😭😭
Hakuna marehemu mwenye sifa mbaya, swala tumieni akili kuishi na watu ukiwa Kama kiongozi, ifanyejamii ako kuwa Kama familia ako mungu atakuepusha na haya muda wote,
@millionairejeffreysunofbez3766
2 жыл бұрын
Umeongea point, inahitaji utulize akili sana kukuelewa
😥😥😥😰😰😰😢😢😢hivi unamchinjajee mtu jmn wat tunakosa hisan kabisa hatumuogopì mola wetu inaumaa sana jmn inalilah wainalilah rojiun Allah atusaidie
Subhannallah 😭😭
Hao watu watajulikana tu damu ya mtu akwendagi bure . Dah inauma 😭😭
@ndembwamponda7674
2 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe mia kwa mia.
@alexrichard4597
Жыл бұрын
Sawa
Mungu saidia aya mauaji yanayotokea mara kwa mara yasiyo na hatia ...
Innalilah wainaillah ragiun
Innalilalh wainalilaah rajun 😭😭😭😭😭😭
Subhanaallah
@modestersalmon7764
2 жыл бұрын
SEMA watendaji mbona anakuwepo mgambo jaman mpaka wanamkuta peke take! Da
Innalillah wainnalillah Raji'uwn.
Sisi sote ni wa mungu na kwake tunarejea
Siyo panda SEMA PANGA
@ummycheedy2809
2 жыл бұрын
Afazal maaan nlikua sielew
Mungu tusaidie haya majanga tusamehe tuliposababisha adui apate nafasi hivi pole kwa wafiwa
Jmn.mungu inusuru inchi yetu
Tatzoo izii office za kata kuna mdaa wanashirk v2 ambavyoo vinawaleteaa shdaa badae
M/mungu ilazeroho yamarehem mahalipema waliofanya hivo munguatawahukumu atakama alikosea mambo flani haikustahili kufanyiwa hivo
Tafuteni chanzo tatizo zulma nyingi hao Wana jifanya ma mungu watu ndo shida
It's more than pain😢😢kweli mauaji ya saa tano asubuhi?duh!mungu yupo wala hajaenda likizo na damu ya mtu haipotei bure
@hajratramadhani3584
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
Mm nmewah kuwa k/Afisa mtendaj kijij huko nyumban Tabora. Hii kazi ina majarbu mengi sana. Kama huna hekima&busara ukatumia elimu tyu ya darasan mmnh hii kazi ngumu.anyways polen wafiwa
Kuna kila sababu ya jeshi la polisi kutumia nguvu ya ziada kukomesha haya mauaji ya kinyama yaliyo kisili hapa nchini!
Mungu anawaona
Heli maisha yakutokuwa na pesa ya magu kuliko uwe na pesa lundo alafu hali inakuwa hivi,dah!!!
@lilianestephanie7881
2 жыл бұрын
Me naogopa Jamani
Migogoro mingi sana ya ardhi inasababishwa na hawa viongozi wa mitaa. Wao ndio wanaotoa hizi deal kwa hawa wadhurumishi ili wapate cha juu. Labda sasa mtajifunza. Kapumnzike kwa Amani.
@ukweliunauma4570
2 жыл бұрын
Kama unajua , vibaka kwenye serekali
@magrethmeela2519
2 жыл бұрын
Mimi nafikiri kutakua na sababu tu. Kwasababu watendaji wanatabia za ajabu sana na wapenda rushwa hatari.
Poleni sana wafiwa wote
Daah.!! Polen sana wafiw
Congratulation to the channel
Naombeni Bendera nusu mlingoti Mungu ailaze roho ya marehu Salama Amin
Inna lillah wainna ilayh rajiun.
inna lilah wainna ilahi rajiun pumzika kwaamani kaka etu mungu atawadhalilisha 2
Innalillah wain illah rajiun
@modestersalmon7764
2 жыл бұрын
Hakuwepo hats mgambo jaman?
Duuh Mungu wangu wa mbingunii eeh turehem waja wako,,,
Tumuogope mungu jamani sisi wote niwapitaji
Innalillah wainna ilaih rajiun
Pole sana ,,,mtangazaji Punguza jaziba kwenye Mic
@caddyacky913
2 жыл бұрын
Umegundua ana kitete
Damu ya mtu ni nzito kuliko maji.
Innalillahi wainnailayhi rajiuun Tanzania yetu imeingiliwa na ibris gani wa mauaji kila dakika 😭😭yaa Allah tuondolee roho hii ya mauti inayomwaga dam kila kukicha
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Amyn🤲
@jamesmassawe5561
2 жыл бұрын
Magu anajibu maombi
Kwakweli inasikitisha na inauma sana yaani mpaka inaogopesha naona kama amani haipo tena nchi hii MUNGU tunusuru kwa haya
Kazi iyendeleee
Duuuuh nmelia kwa kwel, juzi yenyew nlkuwa hom kumuona babaangu jaman kapigwa vbaya mno, maana yeye baba n mwenyekit wa kitongoji nyie nilie kwanza nmalzie stor,,, ila uongozi huuu duuuh Mungu ndo anaejua kdg babaangu apoteze uhai wahuska wamekimbia
@fatinaabdul2392
2 жыл бұрын
Dah jmn Poole duh😪😪😪😪😪
@madamjoyce5441
2 жыл бұрын
Pole
@leokamil6284
2 жыл бұрын
Poleni sana
Jamani tumuogope Mungu!
😭😭😭dah aisee nouma Sana watu tunaenda wap sie
Polesana waliopta msiba huo poleni sana
Kazi iendelee
Naangalia mpka dakika ya 3 sijajua tukio limefanyika mkoa gani. Waandishi wa wasafi Mjitafakari.
Hatr sna
Innalillah wainnalillah ruji,uwn.
Pole sana
Pole Sana familia ya mtendaji inauma Sana
@jumawaziri5053
Жыл бұрын
Sawa kimtu ataishi mwisho atakufa 2
Kazi yoyote inayo husu haki ya mwanadamu ni ngumu sana ikiwemo police nanyingine kamaizo huwezi kuwa sawa kwa mwanadamu wote kila mtu anajiona sawa hata akiwa na kosa
So so sad
Mungu amraze pemapepon
Dahh tumepata pigo Wakazi wa Msumi
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun
Alizingua Acha afe wanazngua Sana hao mading
Watendaji tuwe makini
Innalillah wainnalillah rajiuun
Mh😭😭😭 Mungu atalipa
Ukiuwaa kwaupanga utauliwa kwaupanga au zaidi ya upanga dam yamtu haipotei kirahisi sio maji hayo nilazima alama ibakie sasa muuwaji jiandae
Duh iyo noma
Poleni,Msumi Mbezi ipi jamani??
Eee mungu wangu
Mungu atusaidie serikali itafute hao watu wapatikane hii siyo sawa
@aminajuma5623
2 жыл бұрын
Sili,mtungi
Kuna mtu kasika akisema asiongee kuhusu siri zake za kazi
Subhannallah, mtihani kwakweli
Naskia mama anadai usiongee siri zangu za kazini apo😂😂
@ramadhanikingi3553
2 жыл бұрын
Keep sober
Afisa huyu tumuobee kwa mwenyezi mungu
Eti usiongee Siri zangu za KAZINI Kunasiri Gani Kwani hiyo inayofichwa..
@mussahussein183
2 жыл бұрын
Hata mimi mwenyewe nimesikia lakini sijaelewa hapo aulizwe vizuri
@rukiakhamsin9220
2 жыл бұрын
Hapo ndiyo pamenishangaza pia mimi🙄
Kumbe jamaa wamepiga show mchana Duuh 😭😭
Poleni