MAUAJI YA KUTISHA NDANI YA OFISI YA SERIKALI/MTENDAJI AUAWA KINYAMA ASHAMBULIWA KWA PANDA

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 459

  • @Awatee
    @Awatee2 жыл бұрын

    Subhana ALLAH tunaishi kwa Rehma zake Allah atuhifadh wanaadam wamekua kam Wanyama kuna muda afadhal ata ya Wanyama Allah atupe mwisho mwema Amiin

  • @mohamedmuhajiri4690

    @mohamedmuhajiri4690

    2 жыл бұрын

    Amini

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    2 жыл бұрын

    Amyn

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    2 жыл бұрын

    Sikuhizi jamani Tz imechafuka Dam.. Mauwaji mengi mpaka unaogopa kiyama kinakuja kwa ukali

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    @@hanifatanzania7258 Tunaishi kwa Rehma zake Allah mamy hatujui mbele yet tunaenda nao maadui na kucheka nao

  • @fatumamuya2139

    @fatumamuya2139

    2 жыл бұрын

    Amiiin

  • @mariamaunga3735
    @mariamaunga37352 жыл бұрын

    Tunaombaa Toba narehema kwa ajili ya damu ya Kevin iliyomwagika isiyo na hatia Mungu mwenyezi akupokee kamanda wetu. Pumzika kwa amani Kevin Mo

  • @malingazeboss9351

    @malingazeboss9351

    2 жыл бұрын

    Watendaji hao ndo waliiba kura kuipa CCM hii ni laana ya kuiba haki ya watanzania,, kwahiyo acha wafe tuuuu

  • @kaundasutikaunda7769

    @kaundasutikaunda7769

    2 жыл бұрын

    @@malingazeboss9351 ww ni mpuuzi sana

  • @mariamaunga3735

    @mariamaunga3735

    2 жыл бұрын

    @@kaundasutikaunda7769 Achana naye wla usipoteze nguvu zako ndugu mwache ajivalishe viatu vya Mungu na kutoa hukumu. Mungu mwenyeWe atasimama katika hili

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma20852 жыл бұрын

    Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi.Aminnn

  • @IBRAHIMELSUBHY

    @IBRAHIMELSUBHY

    2 жыл бұрын

    Hatimae aliyeshuhudia mauaji hayaasimulia kzread.info/dash/bejne/n6KAqMSaoq2cnrQ.html

  • @daawaonlinetv4486
    @daawaonlinetv44862 жыл бұрын

    Wanaadamu sikuhizi wamekuwa naroho za kinyama hata wanyama wenyewe wana afadhali. Mwenyezi Mungu atunusuru Wallah

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos20082 жыл бұрын

    Serikali iongeze nguvu zaid katika utendaji WA kazi zao mkilala basi mtasumbuliwa Sana ushauri Tu WA bure .

  • @marrowog8975
    @marrowog89752 жыл бұрын

    Izirail hana kazi ngumu siku iz, Huu ni mwisho wa duniani Rudi kwa mola wako.

  • @tousihhhh6765

    @tousihhhh6765

    2 жыл бұрын

    kabisa ndug yaa mtihan

  • @shadyakimaro3245

    @shadyakimaro3245

    2 жыл бұрын

    Kwa kwelii

  • @neemaruben5427

    @neemaruben5427

    2 жыл бұрын

    Kbsaa

  • @movietz3394

    @movietz3394

    2 жыл бұрын

    Aya matukio yapo toka mwanzo wa dunia ila kumkumbuka mungu ni muhimu kwa muda wowote sio mpaka mwisho wa dunia tu ukumbuke kumludia

  • @marrowog8975

    @marrowog8975

    2 жыл бұрын

    @@movietz3394 ilimradi useme tu au sio?? Hajanielewa tu kama ungenielewa ungekaa kimya.. mimi nakusudia *watu kwa sababu ya kumsahau mumgu ndio wanafanya ayo*

  • @majejerashidi7035
    @majejerashidi70352 жыл бұрын

    Kwenye maisha kila kitu inabidi ufanye kwa kiasi usije kutengeneza Uadui na watu mungu akupokee ishaalah

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын

    Innalillahi wainnaililaihi Raajiuuun dah watu wana Roho za kiunyama sana Mwenyezimungu ajaalie wakamatwe na Wapewe Adhabu kali saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana

  • @tumwitikemanda7601
    @tumwitikemanda76012 жыл бұрын

    Mama rais wetu kemea basi hata mauaji yanayotokea kama unavyosisitiza COVID-19

  • @hajratramadhani3584
    @hajratramadhani35842 жыл бұрын

    😭Aisee inauma sana.. allah akupe kauli thabiti damu ya mtu n mtihan

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani27202 жыл бұрын

    mungu amlaze mahala pema peponi 🙏

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72582 жыл бұрын

    Inalillah wainailahi rajuun. Allah anamlipa zurma ya kilaaina napia watakufatu kivyovyote na Azabu watapewa lnshallah

  • @topranking013

    @topranking013

    2 жыл бұрын

    Bora kukaa kimya tu coz hujui kuna nn nyuma yake ad amefanyiwa ivo

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    2 жыл бұрын

    @@topranking013 kumtoa tu roho hatakama kakufanya kitu mfanye kama alivyokufanya usizidishe kisasi

  • @rachelthuo494
    @rachelthuo4942 жыл бұрын

    Ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga ....Mungu kutana Na watu hao waliofanya tukio hili

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman22002 жыл бұрын

    SubhanAllah

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv26742 жыл бұрын

    Poleni saan wafiwa Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli

  • @deliriousgentleman7369
    @deliriousgentleman73692 жыл бұрын

    Ifike mahal cctv ziwe mandatory kwenye ofisi zote na maeneo ya biashara, inge rahisisha kupata footage za wauwaji 🙏🙏

  • @jessykadaraja2691

    @jessykadaraja2691

    2 жыл бұрын

    Serikali haiwezi kuziweka. Unajua kwa Nini?

  • @ibrahimmagere5545

    @ibrahimmagere5545

    2 жыл бұрын

    Cctv bila close monitoring ni bure, watu wataficha sura. Nchi za wenzetu ndo hata ukificha uso wanatumia teknolojia na kupata sura halisi

  • @mishikikoti2948

    @mishikikoti2948

    2 жыл бұрын

    @@ibrahimmagere5545 weee kweli

  • @spreadlove5300

    @spreadlove5300

    2 жыл бұрын

    Kwanza kabla ya hizo CCTV kuwekwa kila mtu hasa mamlaka zitende haki sababu CCTV pekee hazifui dafu

  • @fatmaabdallah7709

    @fatmaabdallah7709

    2 жыл бұрын

    @@jessykadaraja2691 sijui tujuze

  • @hawahabibu661
    @hawahabibu6612 жыл бұрын

    Kila cku mauaji Ee Mungu baba tuhurumie sasahiv watu hawaogop kuua 😭😭Nahix laana ya Magufur inatutafuna toka huyu mama aingie madarakani mauaji yamekuwa Mengi mno na hatuskii hata cku moja mama akikemea hayo mauaji yanayotokea yy na corona bac hayo matukio cjui hayaoni

  • @amosbirusha9851
    @amosbirusha98512 жыл бұрын

    Watendaji mnawindwa,msiwe mnakaribisha wateja bila mgambo,inauma , poleni sana.

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani27202 жыл бұрын

    Sema huyu Mtangazaji ana sura nzuri 😘

  • @modenhosouza5925

    @modenhosouza5925

    2 жыл бұрын

    Oyaaaaaa nakubal kamanda tupo wawili tuloona hii pisi

  • @jumaselemani2720

    @jumaselemani2720

    2 жыл бұрын

    @@modenhosouza5925 nakubalii mwamba 😄

  • @thobiasbukali9008

    @thobiasbukali9008

    2 жыл бұрын

    @@jumaselemani2720 mimi sijaiona hata

  • @fainajaffary4070

    @fainajaffary4070

    2 жыл бұрын

    Saut yake nzur pia

  • @jumaselemani2720

    @jumaselemani2720

    2 жыл бұрын

    @@fainajaffary4070 sanaaa

  • @jacklinefocus812
    @jacklinefocus8122 жыл бұрын

    Kuna watu hawana huruma kabisa yaan mpaka naogopa kulala 😭😭😭😭😭

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын

    Viongozi mjitahidi kua waadilifu hakuna marehemu mwenye sifa mbaya

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba78902 жыл бұрын

    Subhan'Allah 😭😭😭

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77692 жыл бұрын

    Mungu saidia hawa waliofanya ili tukio wote wakamatwe.

  • @flova7022

    @flova7022

    2 жыл бұрын

    Na wanyongwe

  • @rahmaabdulla4949

    @rahmaabdulla4949

    2 жыл бұрын

    Amiin nawakipatikana nawao watiwe mapanga mpaka wauwawe ukiuA kwaupanga utakufa kwa upanga

  • @jaliaotien.o6995
    @jaliaotien.o69952 жыл бұрын

    Poleni kwa msiba watanzania wote😭😭😭😭

  • @akidamakida6092
    @akidamakida60922 жыл бұрын

    Kama kweli issues inahusiana na migogoro basi ni wakati sasa kwa hawa viongozi wa serikali za mitaaa nchi nzima.. 1 wajiepushe saana na kutoa majibu rahisi, 2 wasifanye migogoro inchukuwe muda mrefu mikononi mwao.. wasiwe ving'ang'anizi.. wakiona issues ni ngumu haraka waidikishe wizarani or mahakamani.. Ila na cc wananchi c busara kutoa uhai wa mtu.. Sehemu sahihi ya kupata haki ni mahakamani kama ukiona uongozi wa mtaa unasuasua.. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala salama.

  • @iddymbuma2856

    @iddymbuma2856

    2 жыл бұрын

    Kabisa huaga wanarahisisha Sana mambo

  • @kanazibabu3983

    @kanazibabu3983

    2 жыл бұрын

    Mungu ampe kaur thabiti

  • @rosejordan5391

    @rosejordan5391

    2 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @jofreymuhema985
    @jofreymuhema9852 жыл бұрын

    Nikweri viongozi inatakiwa wawe making maana muaji yamezidi kipimo Kira kunavyokucha nimatukiotu mungu atusaidie tupo wakati mgumu sana mungu airase roho ya marehem mahari pema peponi amen

  • @senzotatwaha4132
    @senzotatwaha41322 жыл бұрын

    Mungu ayipunzishe logo ya malehem mahari pema

  • @rayaalmamari355
    @rayaalmamari3552 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz10182 жыл бұрын

    Inauma Sana, pia Viongozi wetu tutende haki sahihi kwa watu bila kujali hana kitu au anakitu Pia tushauri Jeshi la police kuwa makini kufundusha jamii na kutenda haki ili twende swahi katika Taifa letu watu wamekuwa na visasi katika miyoni mwao

  • @jackson5866
    @jackson58662 жыл бұрын

    viongoz wetu tatzo hawatoi haki kistahiki kwa kila mtu wanapenda Sana rushwa

  • @frorencenandy2878
    @frorencenandy28782 жыл бұрын

    Inasikitisha saana bora ukutane na mnyama wa mwituni kuliko binadamu ni zaidi ya wanyama poleni saana watanzania wenzangu

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh67652 жыл бұрын

    yaaan ukiingia kwenye mtandao tu unapokea vifo vyaukatili had bc😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @nyotawauniquem7462

    @nyotawauniquem7462

    2 жыл бұрын

    Yaaanii😭😭😭

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg3072 жыл бұрын

    Hakuna marehemu mwenye sifa mbaya, swala tumieni akili kuishi na watu ukiwa Kama kiongozi, ifanyejamii ako kuwa Kama familia ako mungu atakuepusha na haya muda wote,

  • @millionairejeffreysunofbez3766

    @millionairejeffreysunofbez3766

    2 жыл бұрын

    Umeongea point, inahitaji utulize akili sana kukuelewa

  • @fadhilajamal217
    @fadhilajamal2172 жыл бұрын

    😥😥😥😰😰😰😢😢😢hivi unamchinjajee mtu jmn wat tunakosa hisan kabisa hatumuogopì mola wetu inaumaa sana jmn inalilah wainalilah rojiun Allah atusaidie

  • @Official83640
    @Official836402 жыл бұрын

    Subhannallah 😭😭

  • @monadinadi5295
    @monadinadi52952 жыл бұрын

    Hao watu watajulikana tu damu ya mtu akwendagi bure . Dah inauma 😭😭

  • @ndembwamponda7674

    @ndembwamponda7674

    2 жыл бұрын

    Nakubaliana na wewe mia kwa mia.

  • @alexrichard4597

    @alexrichard4597

    Жыл бұрын

    Sawa

  • @fransiskammassy6173
    @fransiskammassy61732 жыл бұрын

    Mungu saidia aya mauaji yanayotokea mara kwa mara yasiyo na hatia ...

  • @habibamaguru5883
    @habibamaguru58832 жыл бұрын

    Innalilah wainaillah ragiun

  • @sadikikimaro4571
    @sadikikimaro45712 жыл бұрын

    Innalilalh wainalilaah rajun 😭😭😭😭😭😭

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Subhanaallah

  • @modestersalmon7764

    @modestersalmon7764

    2 жыл бұрын

    SEMA watendaji mbona anakuwepo mgambo jaman mpaka wanamkuta peke take! Da

  • @bahatihashimu5780
    @bahatihashimu57802 жыл бұрын

    Innalillah wainnalillah Raji'uwn.

  • @yusuphkisoma7669
    @yusuphkisoma76692 жыл бұрын

    Sisi sote ni wa mungu na kwake tunarejea

  • @mochepa9191
    @mochepa91912 жыл бұрын

    Siyo panda SEMA PANGA

  • @ummycheedy2809

    @ummycheedy2809

    2 жыл бұрын

    Afazal maaan nlikua sielew

  • @pendochibwae4982
    @pendochibwae49822 жыл бұрын

    Mungu tusaidie haya majanga tusamehe tuliposababisha adui apate nafasi hivi pole kwa wafiwa

  • @thomaskeya5488
    @thomaskeya54882 жыл бұрын

    Jmn.mungu inusuru inchi yetu

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul21712 жыл бұрын

    Tatzoo izii office za kata kuna mdaa wanashirk v2 ambavyoo vinawaleteaa shdaa badae

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule53122 жыл бұрын

    M/mungu ilazeroho yamarehem mahalipema waliofanya hivo munguatawahukumu atakama alikosea mambo flani haikustahili kufanyiwa hivo

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu37832 жыл бұрын

    Tafuteni chanzo tatizo zulma nyingi hao Wana jifanya ma mungu watu ndo shida

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba2512 жыл бұрын

    It's more than pain😢😢kweli mauaji ya saa tano asubuhi?duh!mungu yupo wala hajaenda likizo na damu ya mtu haipotei bure

  • @hajratramadhani3584

    @hajratramadhani3584

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile3362 жыл бұрын

    Mm nmewah kuwa k/Afisa mtendaj kijij huko nyumban Tabora. Hii kazi ina majarbu mengi sana. Kama huna hekima&busara ukatumia elimu tyu ya darasan mmnh hii kazi ngumu.anyways polen wafiwa

  • @lyanghongekimwaga8666
    @lyanghongekimwaga86662 жыл бұрын

    Kuna kila sababu ya jeshi la polisi kutumia nguvu ya ziada kukomesha haya mauaji ya kinyama yaliyo kisili hapa nchini!

  • @yusuphmwaikimba9534
    @yusuphmwaikimba95342 жыл бұрын

    Mungu anawaona

  • @johnchale1073
    @johnchale10732 жыл бұрын

    Heli maisha yakutokuwa na pesa ya magu kuliko uwe na pesa lundo alafu hali inakuwa hivi,dah!!!

  • @lilianestephanie7881

    @lilianestephanie7881

    2 жыл бұрын

    Me naogopa Jamani

  • @helpers10
    @helpers102 жыл бұрын

    Migogoro mingi sana ya ardhi inasababishwa na hawa viongozi wa mitaa. Wao ndio wanaotoa hizi deal kwa hawa wadhurumishi ili wapate cha juu. Labda sasa mtajifunza. Kapumnzike kwa Amani.

  • @ukweliunauma4570

    @ukweliunauma4570

    2 жыл бұрын

    Kama unajua , vibaka kwenye serekali

  • @magrethmeela2519

    @magrethmeela2519

    2 жыл бұрын

    Mimi nafikiri kutakua na sababu tu. Kwasababu watendaji wanatabia za ajabu sana na wapenda rushwa hatari.

  • @pascalinapetro3732
    @pascalinapetro37322 жыл бұрын

    Poleni sana wafiwa wote

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74752 жыл бұрын

    Daah.!! Polen sana wafiw

  • @ramadhanikingi3553
    @ramadhanikingi35532 жыл бұрын

    Congratulation to the channel

  • @omarimbarakamikidadi1314
    @omarimbarakamikidadi13142 жыл бұрын

    Naombeni Bendera nusu mlingoti Mungu ailaze roho ya marehu Salama Amin

  • @bintmohamedmalevi3771
    @bintmohamedmalevi37712 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilayh rajiun.

  • @sadahamis174
    @sadahamis1742 жыл бұрын

    inna lilah wainna ilahi rajiun pumzika kwaamani kaka etu mungu atawadhalilisha 2

  • @nurahyusuph9771
    @nurahyusuph97712 жыл бұрын

    Innalillah wain illah rajiun

  • @modestersalmon7764

    @modestersalmon7764

    2 жыл бұрын

    Hakuwepo hats mgambo jaman?

  • @happyjohn5882
    @happyjohn58822 жыл бұрын

    Duuh Mungu wangu wa mbingunii eeh turehem waja wako,,,

  • @neemajoseph1821
    @neemajoseph1821 Жыл бұрын

    Tumuogope mungu jamani sisi wote niwapitaji

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25342 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilaih rajiun

  • @florianhenry7198
    @florianhenry71982 жыл бұрын

    Pole sana ,,,mtangazaji Punguza jaziba kwenye Mic

  • @caddyacky913

    @caddyacky913

    2 жыл бұрын

    Umegundua ana kitete

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa8472 жыл бұрын

    Damu ya mtu ni nzito kuliko maji.

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania49122 жыл бұрын

    Innalillahi wainnailayhi rajiuun Tanzania yetu imeingiliwa na ibris gani wa mauaji kila dakika 😭😭yaa Allah tuondolee roho hii ya mauti inayomwaga dam kila kukicha

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    2 жыл бұрын

    Amyn🤲

  • @jamesmassawe5561

    @jamesmassawe5561

    2 жыл бұрын

    Magu anajibu maombi

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf6 ай бұрын

    Kwakweli inasikitisha na inauma sana yaani mpaka inaogopesha naona kama amani haipo tena nchi hii MUNGU tunusuru kwa haya

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli26612 жыл бұрын

    Kazi iyendeleee

  • @gradnessshitindishitindi4881
    @gradnessshitindishitindi48812 жыл бұрын

    Duuuuh nmelia kwa kwel, juzi yenyew nlkuwa hom kumuona babaangu jaman kapigwa vbaya mno, maana yeye baba n mwenyekit wa kitongoji nyie nilie kwanza nmalzie stor,,, ila uongozi huuu duuuh Mungu ndo anaejua kdg babaangu apoteze uhai wahuska wamekimbia

  • @fatinaabdul2392

    @fatinaabdul2392

    2 жыл бұрын

    Dah jmn Poole duh😪😪😪😪😪

  • @madamjoyce5441

    @madamjoyce5441

    2 жыл бұрын

    Pole

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    2 жыл бұрын

    Poleni sana

  • @mathewkuya9340
    @mathewkuya93402 жыл бұрын

    Jamani tumuogope Mungu!

  • @mmassadieudonnengomoya8607
    @mmassadieudonnengomoya86072 жыл бұрын

    😭😭😭dah aisee nouma Sana watu tunaenda wap sie

  • @kidekidevula8930
    @kidekidevula89302 жыл бұрын

    Polesana waliopta msiba huo poleni sana

  • @nehemiamagaho9124
    @nehemiamagaho91242 жыл бұрын

    Kazi iendelee

  • @michaelmwalupale3354
    @michaelmwalupale33542 жыл бұрын

    Naangalia mpka dakika ya 3 sijajua tukio limefanyika mkoa gani. Waandishi wa wasafi Mjitafakari.

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz78502 жыл бұрын

    Hatr sna

  • @abachishirima9166
    @abachishirima91662 жыл бұрын

    Innalillah wainnalillah ruji,uwn.

  • @ahabunyagawa5966
    @ahabunyagawa5966 Жыл бұрын

    Pole sana

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos20082 жыл бұрын

    Pole Sana familia ya mtendaji inauma Sana

  • @jumawaziri5053

    @jumawaziri5053

    Жыл бұрын

    Sawa kimtu ataishi mwisho atakufa 2

  • @edinawilliam2943
    @edinawilliam29432 жыл бұрын

    Kazi yoyote inayo husu haki ya mwanadamu ni ngumu sana ikiwemo police nanyingine kamaizo huwezi kuwa sawa kwa mwanadamu wote kila mtu anajiona sawa hata akiwa na kosa

  • @marianhaha9012
    @marianhaha90122 жыл бұрын

    So so sad

  • @rajabusmohamedy3778
    @rajabusmohamedy37782 жыл бұрын

    Mungu amraze pemapepon

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi12232 жыл бұрын

    Dahh tumepata pigo Wakazi wa Msumi

  • @mwanaally3236
    @mwanaally32362 жыл бұрын

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun

  • @tengwapeter295
    @tengwapeter295 Жыл бұрын

    Alizingua Acha afe wanazngua Sana hao mading

  • @loysamwel6308
    @loysamwel63082 жыл бұрын

    Watendaji tuwe makini

  • @ziadakisanga1011
    @ziadakisanga10112 жыл бұрын

    Innalillah wainnalillah rajiuun

  • @innobugobola1694
    @innobugobola16942 жыл бұрын

    Mh😭😭😭 Mungu atalipa

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif472 жыл бұрын

    Ukiuwaa kwaupanga utauliwa kwaupanga au zaidi ya upanga dam yamtu haipotei kirahisi sio maji hayo nilazima alama ibakie sasa muuwaji jiandae

  • @MBATINOFILMS
    @MBATINOFILMS2 жыл бұрын

    Duh iyo noma

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku38962 жыл бұрын

    Poleni,Msumi Mbezi ipi jamani??

  • @hgcbj635
    @hgcbj6352 жыл бұрын

    Eee mungu wangu

  • @jamessanga7120
    @jamessanga71202 жыл бұрын

    Mungu atusaidie serikali itafute hao watu wapatikane hii siyo sawa

  • @aminajuma5623

    @aminajuma5623

    2 жыл бұрын

    Sili,mtungi

  • @b-creative4662
    @b-creative46622 жыл бұрын

    Kuna mtu kasika akisema asiongee kuhusu siri zake za kazi

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Subhannallah, mtihani kwakweli

  • @mishikikoti2948
    @mishikikoti29482 жыл бұрын

    Naskia mama anadai usiongee siri zangu za kazini apo😂😂

  • @ramadhanikingi3553

    @ramadhanikingi3553

    2 жыл бұрын

    Keep sober

  • @halilikucha9017
    @halilikucha9017 Жыл бұрын

    Afisa huyu tumuobee kwa mwenyezi mungu

  • @peninacharles9757
    @peninacharles97572 жыл бұрын

    Eti usiongee Siri zangu za KAZINI Kunasiri Gani Kwani hiyo inayofichwa..

  • @mussahussein183

    @mussahussein183

    2 жыл бұрын

    Hata mimi mwenyewe nimesikia lakini sijaelewa hapo aulizwe vizuri

  • @rukiakhamsin9220

    @rukiakhamsin9220

    2 жыл бұрын

    Hapo ndiyo pamenishangaza pia mimi🙄

  • @peninacharles9757
    @peninacharles97572 жыл бұрын

    Kumbe jamaa wamepiga show mchana Duuh 😭😭

  • @jescamgeni8722
    @jescamgeni87222 жыл бұрын

    Poleni

Келесі