MAUAJI YA KUTISHA DSM! MUME AMUUA MKEWE KWA KISU/PESA NDIYO CHANZO
Ойын-сауық
MAUAJI YA KUTISHA DSM! MUME AMUUA MKEWE KWA KISU/PESA NDIYO CHANZO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 289
Mama ulokuwa unatetea hao watoto,Mungu akuweke sana,una busara,Embu Mungu akakupe kacheo cha utetezi.
@mamiimelakiti5259
2 жыл бұрын
Kbsaa amejitahid kuzingumza Kwa hekima mnoooo
Mwenyekiti hongera sana.washindwe hao ndugu na walegee kwa jina la Yesu.mnakimbilia mali ni yenu?
Yaani mume kaua mke kachukua pesa yake halafu ndugu wa mume wanawahi kuchukua vyombo halafu watoto wabakie bila kitu chochote yaani bongo ubinamu umekwisha yaani mtu kaua kwa laki sita tu na watoto wamebaki yatima nawaonea huruma hao watoto maana wataanza maisha mapya bila wazazi
Huyo sio mwanaume ila khanithi barazuli mjinga mshenzi hajitambui yaani mwanamme mzima anamuua mke wake kwa pesa tena pesa katafuta mke!!!
Poleni sana. Mheshimiwa waziri anayeshughulikia matatizo ya wanawake na jamii ,nakuomba utafute ufumbuzi wa tatizo la mauaji ya wanawake kila siku nchini Tanzania.
Bunge linacha kuongelea mambo kama haya ya kikatili wanamaliza ya kupiga sarakasi bungeni na kuimba nyimbo ya mama amina
@clementiddi5708
2 жыл бұрын
Kweli. Ni uozo toka juu mpaka chini. Serikali hovyo sana hii
@annakadamanja2196
2 жыл бұрын
😔😔😔😔
@khadijakdj8640
2 жыл бұрын
Yaani naona Serekali ndo inasababisha haya matukio kwanini wasichukue uwamuzi wa nae uwa auwawe
Hii hali inayo endlea kwa sasa siyo ya kawaida shetani amesha mwaga miroho michafu watu wanauana ovyo tuombe sana🙏
@maryjonh311
2 жыл бұрын
Hawa akina juma Abdala na Saidi mmmh
@aishahazary4097
2 жыл бұрын
@@maryjonh311 Hata kina John na Frank nao hawajapoa.Ni kumuomba MUNGU tu.
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
@@aishahazary4097 umeonaee akunamajina ni kuuwanatu
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
AMIIIN
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
AMIIIN
Pole sana mdogo wangu baraka wazazi wasio jielewa ni tatizo kubwa
@sazanahussen6715
2 жыл бұрын
Kbsaaa yanii wanaleta uchungu kwa watoto sijui itakuwaje jmn 💔
Mmmh jamani wanaume tuwaogope haki
😭😭😭kila ck Joyce kiria anayasema jmn kwenye mahusiano ukiona unapigwa ujue hpo sipo kuna baadhi ya watu wanampiga hy sasa mauwaji kila kukicha mume kuuwa mke mke kuuwa mume 😭😭😭mungu atufanyie wepesi inshallah
@mamachris6811
2 жыл бұрын
Nikiwa mdogo,nilisema " sitapigwa mara tatu" ni mara mbili naondoka
@ruqaiamohammed345
2 жыл бұрын
@@mamachris6811 🤝🤝
@ayshamahariq6665
2 жыл бұрын
@@mamachris6811 🤝🤝🤝
Mngenyonga wachache wa mfano na watu wakaona, basi hayo manunda yangejifikiria kabla ya kuua binaadamu mwenzao.
Mtakuja kuelewa tu kuwa nchi hii saizi iko chini ya shetani! Ila kwa vile hatuna macho ya kiroho tuendelee! Viongozi waliopo hawana baraka za Mungu!
@allyjux7497
2 жыл бұрын
P1 sana
Mwenyekiti Yuko sahihi kwanini wanawahi kuchukua mizigo
Dua zinaitajika kwa sana Tanzania yetu viongozi wa dini wakae wapitishe dua Maana hali inatisha
@birayan6823
2 жыл бұрын
]
@ynyynyyny
2 жыл бұрын
DDC Mlimani park, mnanionyesha njia yakwetu
@rechokb1972
2 жыл бұрын
Jmn mauwaji ni meng sana ckuhz
@gulfomanbb2119
2 жыл бұрын
Sana m mmoja naogopa ata kuolewa au kuwa na mausiano kwa ss ngj nisubili kdg
Hujazikwa watu washakuja kubeba kila kitu chako😭😭
Pesa yake imemtoa uhai, Hilo janaume si lingeenda kuuza vidole vyake apate pesa, poleni watoto na ndugu za marehemu.
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
😭😭😭😭
@hamisimohamedhamisi3241
2 жыл бұрын
Wez hao waupande wa mwanaume
@prosmacharius7074
2 жыл бұрын
Wanaume jamani.yaan wake tutafte ela mzitake.tukae tu eti tunajza choo.sa tuwafanyeje nyie viumbe
@neemamaiko1342
Жыл бұрын
Umeonaaa wenzie wanauzaa hata vodoree wapate pesaa Sasa yeye anamuua mkeee kisaa raki sitaaa mjinga kabisaaa huyoooo
Biiiiiig up mwenyekiti.hao ndg wana tamaa ya mali tu. Hata hawaoni uchungu na uhai wa mtu aliyepotea kikatili. Tena na wao mngewakamata wawekwe ndani. Nimeipenda sana mama aliyekuwa anawatetea watoto. Hii dunia kweli inahitaji maombi.
@jamalamon5846
2 жыл бұрын
Tena ni wapuuz kweli kweli
Unamtoa mtu roho kisa laki sita kweli jamani
Jamn na cc wanawake hebu tujiongezage jaman yaan unapigwaa maalama,upo tuu ona Sasa unakufa unaacha watoto wako,Kama angejiongeza mapema mwanamke mwenzetu si ajabu yasingemkuta hayaa,ewe mwanamke ukiona jitu halisomeki sepaaa mapemaaaaa
Hongera mwenyekiti kwa kuwasaidia hao watoto wapate haki Yao vikienda kwa hao ndugu wenye tamaa watoto hawatapata
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu
@willylaizer3761
2 жыл бұрын
Poleni sanà
@willylaizer3761
2 жыл бұрын
Poleni sanà
Tumuombe sana mungu shetani yupo kazini
Asante mwk wa mtaa hao ndugu mazuzu sana bila kuwaza msiba wanawaza vitu wanataka hao watoto wataishije
Inalillah wainnaillah rajion maskini watt watateseka baba atafungwa maisha mama yao hayupo Tena duniani
Inalillahi wainailahi rajuun poleni watoto Allah atawakuza lnshaallah 😭😭inauma lakini hakuna jinsi.
Hao ndugu wa mume waliokuwa wanaamisha vyombo nao wangekamatwa watoe ushirikiano itakuwa ndugu yao alipo wanapajua na ndio maana kuwatuma waamishe vyombo
Maandiko Matakatifu yanasema siku za Mwisho mtu ataomba akutane na Simba lakini sio Binadamu, maana watakuwa wabaya zaidi kuliko wanyama. Ndicho tunachoshudia leo. Taifa liingie kwenye Toba, Mungu atuondolee laana hii inayoendelea. Mungu atusamehe.
@muzdatsuleiman3186
2 жыл бұрын
Jmn dunia imeisha
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
AMIIIN
Ndugu wanafikria mali tu badala ya kufikria watoto ambao hawajui hatima yao Mungu wape nguvu ktk kipindi hichi kijana komaa na mdogo wako usiruhusu ndugu wamchukue kama una mashaka nao
@lucymwalisu5160
2 жыл бұрын
Poleni sana watoto wa marehemu Mungu akawakumbuke wanangu
@nguyatito8121
2 жыл бұрын
Pole xana na mungu awaxaidie
Ambona tangu magufuli atangulie mauwaji mengi sana raisi na vyombo salama inabidi wawe makini sana nchi inachafuka msifurahie mabarabara na mijengo mkajuwa ndio maendeleo
Duuh hawa wanaume imekuwa too much sasa!! Shuwain wahed
@obeydmwemezi3663
2 жыл бұрын
Wahed hv inamaana gan😀
@vanessalaizer4363
2 жыл бұрын
@@obeydmwemezi3663 wahed ni mmoja😂😂
@paulinashembilu6122
2 жыл бұрын
Yan tunaishi nao Kwa hofu kubwa
Polenì sana 😭
Mama asante sana unaongea ukweli wengine wanaona mteremko
@heyumi2340
2 жыл бұрын
ndugu wa mme wanataka vyombo 🙄🙄🙄🙄
I still don't understand why women entertain their abusive relationships
Wakinamama oyeeee ,,,,majirani oyeeeee
Nimeumia sana 600000 inaoia roho ya mama ambaye watoto wake bado wanamuhitaji kwa malezi eee Mungu tusaidie sijui tunakwenda wapi
Na hiyofamilia ni waroho wa Mali wanajuaje kama Mali za ndugu yao
Hawa ndugu wa mume hawana hata haya. Rohooo
Mbona wanaume tunakuwa makatili namna hii , ehee mungu atuepushie haya maahsira sisi wanaume
@user-yj5zw8yi5i
4 ай бұрын
Sana Mungu awasaidie
Naliomba jeshi la polisi Tanzania liangalie hii hali iliopo Kwa ss mauaji ya mezid na piah Bunge liongelee haya mambo bungen sio mnaongelea kuhusu kosata tu
Yaani nikiskia hizi habari zawanaume kuuwa wakezao hapa bongo nachoka kwanini mutudhulumu sisi wanawake ambao sisi pia ndio mamawawatotowenu 😭😭😭naumia kilakukicha lkn kaa ukijua mbiza sakafuni uishia ukingoni labda wende marekani lkn hapa bongo utapatikanatu tena wanafaa wapewe kifungo chakazi ngumu maisha jela maanakunyongwa itakuwa ajapitia maumivu mamamzazi wamke anapitia
Ewe mwenyezi ilaze roho ya malehemu amina
Inalilah waina Lilah la juun mungu amlaze Mahalia pena Pepon Amin
Jamani watoto wasaidiwe na ustawi wa jamii kwa sababu naona hali siyo nzuri ndugu mara hii wanataka vyombo hata uchungu kwa watoto hakuna hii ni hatar sana kwa kweli
😭😭😭😭😭Ee Mungu tuonekanie taifa la Tanzania Baba
Mwenyekiti hngera sana
Mungu abariki hawa wamama ..hizo vitu singeenda hivo..Mungu uwalinde watoto wa marehemu🙏
Hao ndugu wa mume hawana hata haya lo!! Hawana uchungu kabisa na watoto utazani wanafurahia ndugu yao kutoa roho ya mama wa watu! Mijitu sijui ikoje sikuizi daah
@sophiamirambo9656
2 жыл бұрын
Kama ndugu yao Wana roho za tamaa hao
Mwenyekiti yupo sawa
Kipind nimeolewa nilipingwa kofi moja nilitoka adi leo ni miaka 8 niliona nisije kuumia
Wanwake tunakutana na mengi sana na mbaya baazi ya jamiii azituamini wanaamini wanawake waongea sana awana eshima bila kujua mungu atusiaide wanawake sana jamani tunapitia mengi sana mungu wangu mungu atusaidie sana jamani uwiiii
Wanawake sisi wenyewe tunapenda kupigwa hivi unapigwa maharama kibao Bado upo tyu kisa umezaa inasikitisha kwakweli hata Kama unaofia kurudi kwenu kisa Kuna maisha magumu kwani huyo bwana si alikukuta umekuzwa kwenu manyanyaso yakizidi ondoka maisha yamebadilika mtu aofii kuuwa
@gloriachristian1470
2 жыл бұрын
Sirudi kwetu naenda kuanza maishamwenywe
Daaa poren sanaa watoto kuondokewa na mamaaa
Jeshi la Polisi Tanzania lilishatoa maelekezo kua ukiona sintofaham ktk mazingira yoyote yale toa taarifa Kituo chochote cha Polisi kilicho karibu yako ili kuepusha haya yanayotokea
Hiyo Familia ya Mme wanaroho mbaya Sana,,,yaani waue alafu wachukue vitu
Mmm hatar kila kikicha mauaji
Mwanamke mwenzangu ukiisha ona mmepishana kauli halafu tabia ya mumeo unaijua anza kuondoka
Loooh Pesa zake zimemua😭😭😭mume Mario huyo atafutwe afungwe Mtoto nae anaonekana mkavuu sijui ndio hana uchungu
Nikweliii wasivipeleke nihaki ya watoto
@jovanafidelis2802
2 жыл бұрын
Watu Wana roho ngumu khaa,mtu hata hajazikwa wameanza kuhamisha vitu? Mmhh
Watu wazima akili ndogo Kama ya mtoto 😓😢,watoto wameathirika vibaya sana ,wanahitaji watu kuwaliwaza,sio kuanza huo UPUZI WA kuhamisha vyombo🤔😓😢, Doo,wanadamu kweli hamna roho za huruma,WATANZANIA mlio mahali hapo pa mkasa,mmenishangaza SANA,kwa roho zisizo na huruma,kwa akili zisizofikiria, wallahi MWENYEZI MUNGU hajafurahishwa na mnayoyafanya,maamuzi yenu yamenisikitisha sana😢😢😢(WATCHING FROM KENYA)
Mwenyeki safi sana 👍
Hivi wanaume nyinyi mnajielewa kweli wakati mnaua wake zenu huwa mnafikiria watakaoteseka ni watoto kwa sababu huyo kashakufa
Uundio ugaidi wa Tz tunako elekea nikubaya zaidi
@nyamwinukankwera3749
2 жыл бұрын
Sana duuh 😭😭
Mwenyekiti uko vizuri ao wanataka kumficha ndugu yao
poleni sana yaani watoto wapelekwe upande wa mama yake marehemu
Kaka zangu mlio oa kwani mnaferi wapi kuua wake zenu bila huruma inaniumiza mno hasa nikifikilia awo watoto 😭😭
@hamzamahanyu5794
2 жыл бұрын
Ndugu wa mume wanajua nini kuhusu mauaji hayo mbona wanawahiya vyombo vya marehemu? Waisaidie polisi kupatikana muuwaji ambae ni ndugu yao sivinginevo
Wakamatwe wamtaje ndugu yao alipo sio wanachukua vitu
Uko sahihi mama na wewe kaka uko sahihi viandikwe..my poleni sana wafiwa..innalillah wainna ilaih rajiun
Sasa we muandishi unauliza swali gani lakiseng eti kwabini mnataka vitu viandikwe ?? 🙄
Daa
Ninaomba mawasiliyano ya hao Watoto ili niweze kutoa pole Nichangie kidogo Poleni sana Watoto
Mbona watanzania mwauwana ivo astaghafiruuu hivi samia yuko wp jmani ama muute mashekhe mfanye baraza la kiislam 🤔🤔🤔
Inalilah. 😭mtangazaji sauti kma ya zamaradi mketema❤
Eeh Mungu
Pesa utafute kwa jasho limtu lije lichukue kiurahs tu ukute mizigo wa kulea familia kakuachia
Mwenyekiti safi sana
Yaani mwenzao Amekufa wao wanakimbilia kuchukua vitu hawana ata huruma dunia imekwisha
Sasa Kwanini hamjawapigia simu polisi
wamama nimewaelewa sana, hakika mukiamua mnaweza, hawa jamaa wanaohamisha vitu waisaidie polisi kumpata mtuhumiwa
@armaanmaryam4645
Жыл бұрын
Qmenitoa machozi
Duniani inaenda kasi sana duh pesa ni shetani kweli
@lucymwalisu5160
2 жыл бұрын
Mwenyekit hongera sana kwa msimamo uliouchukua baba yaan wangeondoka na vyombo watt wasingepata hata kijiko na ukizingatia asilimia kubwa vyombo hununuliwa na wanawake Mungu akurinde mwenyeti bigup sana kwako
@shillahsamwel7727
2 жыл бұрын
Mungu wasaidie watot o katika Uwezavyo Maana wewe NI Mungu wa Pekee
Hili jamaa ni senge si akauze vidole Zimbabwe.
Wanaume wanaume Mungu anawaona. Mtapata laana kwakutowa roho za watoto wawatu.
Safi kabisa mwenyekiti
Pesa yenyewe laki 6 mtihani kwakweli
Watanzania wenzangu huyu akikamatwa ahukumiwe kwa kunyongwa live hii mbona imekuwa Kama mazoea.
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Wengne wanaukumiwa vp
@simonzelote5998
2 жыл бұрын
@@samwelimoshi5614 anyongwe live
Mhm😭😭😭
Alikuwa anafanya kazi gani
Wanachukuaje vyombo Tena wawachie watoto na jamaa atafutwe asije kumalizia awo watoto pia
Mungu atusaidie sana laki sita inaua mtu!
Watanganyika, hatar kwa pesa, sioi bongo noma laki sita ameua mkewe noma
😢😢
Wanaume tufanye kazi, tusipende kitonga.. wanaume wengi siku hz wanahudumiwa badala ya kuhudumia familia.
@gulfomanbb2119
2 жыл бұрын
Kumbe munalijua ilo ndio maana muna2uwa
@josephlorri431
2 жыл бұрын
@@gulfomanbb2119 pesa na mali zote za mwanaume...piga kazi,lete hesabu yote mezani, matumizi napanga mimi,pamoja na kuhudumia mchepuko
@gulfomanbb2119
2 жыл бұрын
@@josephlorri431 subu2
@josephlorri431
2 жыл бұрын
@@gulfomanbb2119 hahaa huogopi gunia la moto
Sasa tuseme nn eeeh mana yamezid inafika kipind huruma zinatuishia na tunapoelekea haya mauaji tutaona jambo la kawaida sana,, viongozi husika fanyeni kazi kulingana na muongo wa kaz unavyosema na cyo mpaka muambiwe na kiongozi mkuu wa nchi. Mungu akurehemu 🙏🙏🙏
@rahmahussein4288
2 жыл бұрын
Hizi ndio zama za mwisho🙌
uyo dada bonge mweusi nimekuelewa saaana,,,heko kwake
Duh ninja imeisha poleni sana
Jamani tuthamini uhai WA MTU
Yani nashindwa cha kuongea, Mungu nisaidie nikae kimnya tuu mana dunia inatisha jamani
Dunia! imejaa ushezi,kutoa roho ya mtu kwa sh laki sita na ambazo hata sio zako ni unyama na kuhamisha vitu vya marehemu hata msiba haujaisha na bila makubaliano ni uhuni pia.
Mwenyekiti apewe ulinzi
Inna lillah wainna ilayh rajiuun 😭😭 ivi niwapi tunaelekea
Anakwambia eti vitu vyakawaida duuh sasa unaskitika nn nawewe umesema zakawaida