MAUAJI YA KUTISHA DSM! MUME AMUUA MKEWE KWA KISU/PESA NDIYO CHANZO

Ойын-сауық

MAUAJI YA KUTISHA DSM! MUME AMUUA MKEWE KWA KISU/PESA NDIYO CHANZO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 289

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92392 жыл бұрын

    Mama ulokuwa unatetea hao watoto,Mungu akuweke sana,una busara,Embu Mungu akakupe kacheo cha utetezi.

  • @mamiimelakiti5259

    @mamiimelakiti5259

    2 жыл бұрын

    Kbsaa amejitahid kuzingumza Kwa hekima mnoooo

  • @gililwise
    @gililwise2 жыл бұрын

    Mwenyekiti hongera sana.washindwe hao ndugu na walegee kwa jina la Yesu.mnakimbilia mali ni yenu?

  • @happynelson1136
    @happynelson11362 жыл бұрын

    Yaani mume kaua mke kachukua pesa yake halafu ndugu wa mume wanawahi kuchukua vyombo halafu watoto wabakie bila kitu chochote yaani bongo ubinamu umekwisha yaani mtu kaua kwa laki sita tu na watoto wamebaki yatima nawaonea huruma hao watoto maana wataanza maisha mapya bila wazazi

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa99362 жыл бұрын

    Huyo sio mwanaume ila khanithi barazuli mjinga mshenzi hajitambui yaani mwanamme mzima anamuua mke wake kwa pesa tena pesa katafuta mke!!!

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny20652 жыл бұрын

    Poleni sana. Mheshimiwa waziri anayeshughulikia matatizo ya wanawake na jamii ,nakuomba utafute ufumbuzi wa tatizo la mauaji ya wanawake kila siku nchini Tanzania.

  • @omaryally1532
    @omaryally15322 жыл бұрын

    Bunge linacha kuongelea mambo kama haya ya kikatili wanamaliza ya kupiga sarakasi bungeni na kuimba nyimbo ya mama amina

  • @clementiddi5708

    @clementiddi5708

    2 жыл бұрын

    Kweli. Ni uozo toka juu mpaka chini. Serikali hovyo sana hii

  • @annakadamanja2196

    @annakadamanja2196

    2 жыл бұрын

    😔😔😔😔

  • @khadijakdj8640

    @khadijakdj8640

    2 жыл бұрын

    Yaani naona Serekali ndo inasababisha haya matukio kwanini wasichukue uwamuzi wa nae uwa auwawe

  • @dianarobert3989
    @dianarobert39892 жыл бұрын

    Hii hali inayo endlea kwa sasa siyo ya kawaida shetani amesha mwaga miroho michafu watu wanauana ovyo tuombe sana🙏

  • @maryjonh311

    @maryjonh311

    2 жыл бұрын

    Hawa akina juma Abdala na Saidi mmmh

  • @aishahazary4097

    @aishahazary4097

    2 жыл бұрын

    @@maryjonh311 Hata kina John na Frank nao hawajapoa.Ni kumuomba MUNGU tu.

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    2 жыл бұрын

    @@aishahazary4097 umeonaee akunamajina ni kuuwanatu

  • @paulinacherement2534

    @paulinacherement2534

    2 жыл бұрын

    AMIIIN

  • @paulinacherement2534

    @paulinacherement2534

    2 жыл бұрын

    AMIIIN

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu102 жыл бұрын

    Pole sana mdogo wangu baraka wazazi wasio jielewa ni tatizo kubwa

  • @sazanahussen6715

    @sazanahussen6715

    2 жыл бұрын

    Kbsaaa yanii wanaleta uchungu kwa watoto sijui itakuwaje jmn 💔

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan52412 жыл бұрын

    Mmmh jamani wanaume tuwaogope haki

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed3452 жыл бұрын

    😭😭😭kila ck Joyce kiria anayasema jmn kwenye mahusiano ukiona unapigwa ujue hpo sipo kuna baadhi ya watu wanampiga hy sasa mauwaji kila kukicha mume kuuwa mke mke kuuwa mume 😭😭😭mungu atufanyie wepesi inshallah

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    2 жыл бұрын

    Nikiwa mdogo,nilisema " sitapigwa mara tatu" ni mara mbili naondoka

  • @ruqaiamohammed345

    @ruqaiamohammed345

    2 жыл бұрын

    @@mamachris6811 🤝🤝

  • @ayshamahariq6665

    @ayshamahariq6665

    2 жыл бұрын

    @@mamachris6811 🤝🤝🤝

  • @jayjay4313
    @jayjay43132 жыл бұрын

    Mngenyonga wachache wa mfano na watu wakaona, basi hayo manunda yangejifikiria kabla ya kuua binaadamu mwenzao.

  • @sambulugu9988
    @sambulugu99882 жыл бұрын

    Mtakuja kuelewa tu kuwa nchi hii saizi iko chini ya shetani! Ila kwa vile hatuna macho ya kiroho tuendelee! Viongozi waliopo hawana baraka za Mungu!

  • @allyjux7497

    @allyjux7497

    2 жыл бұрын

    P1 sana

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango58412 жыл бұрын

    Mwenyekiti Yuko sahihi kwanini wanawahi kuchukua mizigo

  • @aminakunja277
    @aminakunja2772 жыл бұрын

    Dua zinaitajika kwa sana Tanzania yetu viongozi wa dini wakae wapitishe dua Maana hali inatisha

  • @birayan6823

    @birayan6823

    2 жыл бұрын

    ]

  • @ynyynyyny

    @ynyynyyny

    2 жыл бұрын

    DDC Mlimani park, mnanionyesha njia yakwetu

  • @rechokb1972

    @rechokb1972

    2 жыл бұрын

    Jmn mauwaji ni meng sana ckuhz

  • @gulfomanbb2119

    @gulfomanbb2119

    2 жыл бұрын

    Sana m mmoja naogopa ata kuolewa au kuwa na mausiano kwa ss ngj nisubili kdg

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan38452 жыл бұрын

    Hujazikwa watu washakuja kubeba kila kitu chako😭😭

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu28872 жыл бұрын

    Pesa yake imemtoa uhai, Hilo janaume si lingeenda kuuza vidole vyake apate pesa, poleni watoto na ndugu za marehemu.

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @hamisimohamedhamisi3241

    @hamisimohamedhamisi3241

    2 жыл бұрын

    Wez hao waupande wa mwanaume

  • @prosmacharius7074

    @prosmacharius7074

    2 жыл бұрын

    Wanaume jamani.yaan wake tutafte ela mzitake.tukae tu eti tunajza choo.sa tuwafanyeje nyie viumbe

  • @neemamaiko1342

    @neemamaiko1342

    Жыл бұрын

    Umeonaaa wenzie wanauzaa hata vodoree wapate pesaa Sasa yeye anamuua mkeee kisaa raki sitaaa mjinga kabisaaa huyoooo

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba29812 жыл бұрын

    Biiiiiig up mwenyekiti.hao ndg wana tamaa ya mali tu. Hata hawaoni uchungu na uhai wa mtu aliyepotea kikatili. Tena na wao mngewakamata wawekwe ndani. Nimeipenda sana mama aliyekuwa anawatetea watoto. Hii dunia kweli inahitaji maombi.

  • @jamalamon5846

    @jamalamon5846

    2 жыл бұрын

    Tena ni wapuuz kweli kweli

  • @Mazoea
    @Mazoea2 жыл бұрын

    Unamtoa mtu roho kisa laki sita kweli jamani

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama11992 жыл бұрын

    Jamn na cc wanawake hebu tujiongezage jaman yaan unapigwaa maalama,upo tuu ona Sasa unakufa unaacha watoto wako,Kama angejiongeza mapema mwanamke mwenzetu si ajabu yasingemkuta hayaa,ewe mwanamke ukiona jitu halisomeki sepaaa mapemaaaaa

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah77092 жыл бұрын

    Hongera mwenyekiti kwa kuwasaidia hao watoto wapate haki Yao vikienda kwa hao ndugu wenye tamaa watoto hawatapata

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli7492 жыл бұрын

    Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu

  • @willylaizer3761

    @willylaizer3761

    2 жыл бұрын

    Poleni sanà

  • @willylaizer3761

    @willylaizer3761

    2 жыл бұрын

    Poleni sanà

  • @rhobywerema6996
    @rhobywerema69962 жыл бұрын

    Tumuombe sana mungu shetani yupo kazini

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya98902 жыл бұрын

    Asante mwk wa mtaa hao ndugu mazuzu sana bila kuwaza msiba wanawaza vitu wanataka hao watoto wataishije

  • @sumayafissoo2192
    @sumayafissoo21922 жыл бұрын

    Inalillah wainnaillah rajion maskini watt watateseka baba atafungwa maisha mama yao hayupo Tena duniani

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72582 жыл бұрын

    Inalillahi wainailahi rajuun poleni watoto Allah atawakuza lnshaallah 😭😭inauma lakini hakuna jinsi.

  • @zawadihassan2324
    @zawadihassan23242 жыл бұрын

    Hao ndugu wa mume waliokuwa wanaamisha vyombo nao wangekamatwa watoe ushirikiano itakuwa ndugu yao alipo wanapajua na ndio maana kuwatuma waamishe vyombo

  • @danielmanase7735
    @danielmanase77352 жыл бұрын

    Maandiko Matakatifu yanasema siku za Mwisho mtu ataomba akutane na Simba lakini sio Binadamu, maana watakuwa wabaya zaidi kuliko wanyama. Ndicho tunachoshudia leo. Taifa liingie kwenye Toba, Mungu atuondolee laana hii inayoendelea. Mungu atusamehe.

  • @muzdatsuleiman3186

    @muzdatsuleiman3186

    2 жыл бұрын

    Jmn dunia imeisha

  • @paulinacherement2534

    @paulinacherement2534

    2 жыл бұрын

    AMIIIN

  • @bujimuluhanga1804
    @bujimuluhanga18042 жыл бұрын

    Ndugu wanafikria mali tu badala ya kufikria watoto ambao hawajui hatima yao Mungu wape nguvu ktk kipindi hichi kijana komaa na mdogo wako usiruhusu ndugu wamchukue kama una mashaka nao

  • @lucymwalisu5160

    @lucymwalisu5160

    2 жыл бұрын

    Poleni sana watoto wa marehemu Mungu akawakumbuke wanangu

  • @nguyatito8121

    @nguyatito8121

    2 жыл бұрын

    Pole xana na mungu awaxaidie

  • @Chapesatv
    @Chapesatv2 жыл бұрын

    Ambona tangu magufuli atangulie mauwaji mengi sana raisi na vyombo salama inabidi wawe makini sana nchi inachafuka msifurahie mabarabara na mijengo mkajuwa ndio maendeleo

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer43632 жыл бұрын

    Duuh hawa wanaume imekuwa too much sasa!! Shuwain wahed

  • @obeydmwemezi3663

    @obeydmwemezi3663

    2 жыл бұрын

    Wahed hv inamaana gan😀

  • @vanessalaizer4363

    @vanessalaizer4363

    2 жыл бұрын

    @@obeydmwemezi3663 wahed ni mmoja😂😂

  • @paulinashembilu6122

    @paulinashembilu6122

    2 жыл бұрын

    Yan tunaishi nao Kwa hofu kubwa

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera37492 жыл бұрын

    Polenì sana 😭

  • @jacklinejacklinejonh6530
    @jacklinejacklinejonh65302 жыл бұрын

    Mama asante sana unaongea ukweli wengine wanaona mteremko

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    ndugu wa mme wanataka vyombo 🙄🙄🙄🙄

  • @liciouscharles3370
    @liciouscharles33702 жыл бұрын

    I still don't understand why women entertain their abusive relationships

  • @ashurayasini7085
    @ashurayasini70852 жыл бұрын

    Wakinamama oyeeee ,,,,majirani oyeeeee

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi62442 жыл бұрын

    Nimeumia sana 600000 inaoia roho ya mama ambaye watoto wake bado wanamuhitaji kwa malezi eee Mungu tusaidie sijui tunakwenda wapi

  • @halimarahma7450
    @halimarahma74502 жыл бұрын

    Na hiyofamilia ni waroho wa Mali wanajuaje kama Mali za ndugu yao

  • @kisalaTV
    @kisalaTV2 жыл бұрын

    Hawa ndugu wa mume hawana hata haya. Rohooo

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu41572 жыл бұрын

    Mbona wanaume tunakuwa makatili namna hii , ehee mungu atuepushie haya maahsira sisi wanaume

  • @user-yj5zw8yi5i

    @user-yj5zw8yi5i

    4 ай бұрын

    Sana Mungu awasaidie

  • @salehrashidshekidele1039
    @salehrashidshekidele10392 жыл бұрын

    Naliomba jeshi la polisi Tanzania liangalie hii hali iliopo Kwa ss mauaji ya mezid na piah Bunge liongelee haya mambo bungen sio mnaongelea kuhusu kosata tu

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Жыл бұрын

    Yaani nikiskia hizi habari zawanaume kuuwa wakezao hapa bongo nachoka kwanini mutudhulumu sisi wanawake ambao sisi pia ndio mamawawatotowenu 😭😭😭naumia kilakukicha lkn kaa ukijua mbiza sakafuni uishia ukingoni labda wende marekani lkn hapa bongo utapatikanatu tena wanafaa wapewe kifungo chakazi ngumu maisha jela maanakunyongwa itakuwa ajapitia maumivu mamamzazi wamke anapitia

  • @thadeiandrea877
    @thadeiandrea877 Жыл бұрын

    Ewe mwenyezi ilaze roho ya malehemu amina

  • @mwanahamisi-yu6dv
    @mwanahamisi-yu6dv3 ай бұрын

    Inalilah waina Lilah la juun mungu amlaze Mahalia pena Pepon Amin

  • @linamacha7686
    @linamacha76862 жыл бұрын

    Jamani watoto wasaidiwe na ustawi wa jamii kwa sababu naona hali siyo nzuri ndugu mara hii wanataka vyombo hata uchungu kwa watoto hakuna hii ni hatar sana kwa kweli

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia13812 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭Ee Mungu tuonekanie taifa la Tanzania Baba

  • @halimachambuso9985
    @halimachambuso9985 Жыл бұрын

    Mwenyekiti hngera sana

  • @joycewanjiru4160
    @joycewanjiru41602 жыл бұрын

    Mungu abariki hawa wamama ..hizo vitu singeenda hivo..Mungu uwalinde watoto wa marehemu🙏

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer43632 жыл бұрын

    Hao ndugu wa mume hawana hata haya lo!! Hawana uchungu kabisa na watoto utazani wanafurahia ndugu yao kutoa roho ya mama wa watu! Mijitu sijui ikoje sikuizi daah

  • @sophiamirambo9656

    @sophiamirambo9656

    2 жыл бұрын

    Kama ndugu yao Wana roho za tamaa hao

  • @tunsumemwajumba7149
    @tunsumemwajumba71492 жыл бұрын

    Mwenyekiti yupo sawa

  • @joyce55727
    @joyce557272 жыл бұрын

    Kipind nimeolewa nilipingwa kofi moja nilitoka adi leo ni miaka 8 niliona nisije kuumia

  • @user-yj5zw8yi5i
    @user-yj5zw8yi5i4 ай бұрын

    Wanwake tunakutana na mengi sana na mbaya baazi ya jamiii azituamini wanaamini wanawake waongea sana awana eshima bila kujua mungu atusiaide wanawake sana jamani tunapitia mengi sana mungu wangu mungu atusaidie sana jamani uwiiii

  • @salmaabdulabdul777
    @salmaabdulabdul7772 жыл бұрын

    Wanawake sisi wenyewe tunapenda kupigwa hivi unapigwa maharama kibao Bado upo tyu kisa umezaa inasikitisha kwakweli hata Kama unaofia kurudi kwenu kisa Kuna maisha magumu kwani huyo bwana si alikukuta umekuzwa kwenu manyanyaso yakizidi ondoka maisha yamebadilika mtu aofii kuuwa

  • @gloriachristian1470

    @gloriachristian1470

    2 жыл бұрын

    Sirudi kwetu naenda kuanza maishamwenywe

  • @neemamaiko1342
    @neemamaiko1342 Жыл бұрын

    Daaa poren sanaa watoto kuondokewa na mamaaa

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris30002 жыл бұрын

    Jeshi la Polisi Tanzania lilishatoa maelekezo kua ukiona sintofaham ktk mazingira yoyote yale toa taarifa Kituo chochote cha Polisi kilicho karibu yako ili kuepusha haya yanayotokea

  • @irenewile
    @irenewile2 жыл бұрын

    Hiyo Familia ya Mme wanaroho mbaya Sana,,,yaani waue alafu wachukue vitu

  • @zikenims6167
    @zikenims61672 жыл бұрын

    Mmm hatar kila kikicha mauaji

  • @priscaphedrick5970
    @priscaphedrick5970 Жыл бұрын

    Mwanamke mwenzangu ukiisha ona mmepishana kauli halafu tabia ya mumeo unaijua anza kuondoka

  • @zamzamhassan8643
    @zamzamhassan86432 жыл бұрын

    Loooh Pesa zake zimemua😭😭😭mume Mario huyo atafutwe afungwe Mtoto nae anaonekana mkavuu sijui ndio hana uchungu

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan52412 жыл бұрын

    Nikweliii wasivipeleke nihaki ya watoto

  • @jovanafidelis2802

    @jovanafidelis2802

    2 жыл бұрын

    Watu Wana roho ngumu khaa,mtu hata hajazikwa wameanza kuhamisha vitu? Mmhh

  • @mentionedU
    @mentionedU2 жыл бұрын

    Watu wazima akili ndogo Kama ya mtoto 😓😢,watoto wameathirika vibaya sana ,wanahitaji watu kuwaliwaza,sio kuanza huo UPUZI WA kuhamisha vyombo🤔😓😢, Doo,wanadamu kweli hamna roho za huruma,WATANZANIA mlio mahali hapo pa mkasa,mmenishangaza SANA,kwa roho zisizo na huruma,kwa akili zisizofikiria, wallahi MWENYEZI MUNGU hajafurahishwa na mnayoyafanya,maamuzi yenu yamenisikitisha sana😢😢😢(WATCHING FROM KENYA)

  • @rajabumasanja5049
    @rajabumasanja50492 жыл бұрын

    Mwenyeki safi sana 👍

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Жыл бұрын

    Hivi wanaume nyinyi mnajielewa kweli wakati mnaua wake zenu huwa mnafikiria watakaoteseka ni watoto kwa sababu huyo kashakufa

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson96632 жыл бұрын

    Uundio ugaidi wa Tz tunako elekea nikubaya zaidi

  • @nyamwinukankwera3749

    @nyamwinukankwera3749

    2 жыл бұрын

    Sana duuh 😭😭

  • @saleemass9690
    @saleemass96902 жыл бұрын

    Mwenyekiti uko vizuri ao wanataka kumficha ndugu yao

  • @sarahkapange252
    @sarahkapange2522 жыл бұрын

    poleni sana yaani watoto wapelekwe upande wa mama yake marehemu

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura57632 жыл бұрын

    Kaka zangu mlio oa kwani mnaferi wapi kuua wake zenu bila huruma inaniumiza mno hasa nikifikilia awo watoto 😭😭

  • @hamzamahanyu5794

    @hamzamahanyu5794

    2 жыл бұрын

    Ndugu wa mume wanajua nini kuhusu mauaji hayo mbona wanawahiya vyombo vya marehemu? Waisaidie polisi kupatikana muuwaji ambae ni ndugu yao sivinginevo

  • @zubedalema6634
    @zubedalema66342 жыл бұрын

    Wakamatwe wamtaje ndugu yao alipo sio wanachukua vitu

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25342 жыл бұрын

    Uko sahihi mama na wewe kaka uko sahihi viandikwe..my poleni sana wafiwa..innalillah wainna ilaih rajiun

  • @vanessadahnilly8551
    @vanessadahnilly85512 жыл бұрын

    Sasa we muandishi unauliza swali gani lakiseng eti kwabini mnataka vitu viandikwe ?? 🙄

  • @SilobdanMwenda
    @SilobdanMwenda5 ай бұрын

    Daa

  • @josephinenyakato8372
    @josephinenyakato83722 жыл бұрын

    Ninaomba mawasiliyano ya hao Watoto ili niweze kutoa pole Nichangie kidogo Poleni sana Watoto

  • @najmaaa6548
    @najmaaa65482 жыл бұрын

    Mbona watanzania mwauwana ivo astaghafiruuu hivi samia yuko wp jmani ama muute mashekhe mfanye baraza la kiislam 🤔🤔🤔

  • @kimcash3079
    @kimcash30792 жыл бұрын

    Inalilah. 😭mtangazaji sauti kma ya zamaradi mketema❤

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro46862 жыл бұрын

    Eeh Mungu

  • @halimarahma7450
    @halimarahma74502 жыл бұрын

    Pesa utafute kwa jasho limtu lije lichukue kiurahs tu ukute mizigo wa kulea familia kakuachia

  • @khayratmhina3735
    @khayratmhina37352 жыл бұрын

    Mwenyekiti safi sana

  • @gbhxghxhhv7890
    @gbhxghxhhv78902 жыл бұрын

    Yaani mwenzao Amekufa wao wanakimbilia kuchukua vitu hawana ata huruma dunia imekwisha

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline65752 жыл бұрын

    Sasa Kwanini hamjawapigia simu polisi

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau72202 жыл бұрын

    wamama nimewaelewa sana, hakika mukiamua mnaweza, hawa jamaa wanaohamisha vitu waisaidie polisi kumpata mtuhumiwa

  • @armaanmaryam4645

    @armaanmaryam4645

    Жыл бұрын

    Qmenitoa machozi

  • @wardw3022
    @wardw30222 жыл бұрын

    Duniani inaenda kasi sana duh pesa ni shetani kweli

  • @lucymwalisu5160

    @lucymwalisu5160

    2 жыл бұрын

    Mwenyekit hongera sana kwa msimamo uliouchukua baba yaan wangeondoka na vyombo watt wasingepata hata kijiko na ukizingatia asilimia kubwa vyombo hununuliwa na wanawake Mungu akurinde mwenyeti bigup sana kwako

  • @shillahsamwel7727

    @shillahsamwel7727

    2 жыл бұрын

    Mungu wasaidie watot o katika Uwezavyo Maana wewe NI Mungu wa Pekee

  • @joachimompesh7387
    @joachimompesh73872 жыл бұрын

    Hili jamaa ni senge si akauze vidole Zimbabwe.

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn83252 жыл бұрын

    Wanaume wanaume Mungu anawaona. Mtapata laana kwakutowa roho za watoto wawatu.

  • @zainabissa7986
    @zainabissa79862 жыл бұрын

    Safi kabisa mwenyekiti

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry69962 жыл бұрын

    Pesa yenyewe laki 6 mtihani kwakweli

  • @simonzelote5998
    @simonzelote59982 жыл бұрын

    Watanzania wenzangu huyu akikamatwa ahukumiwe kwa kunyongwa live hii mbona imekuwa Kama mazoea.

  • @samwelimoshi5614

    @samwelimoshi5614

    2 жыл бұрын

    Wengne wanaukumiwa vp

  • @simonzelote5998

    @simonzelote5998

    2 жыл бұрын

    @@samwelimoshi5614 anyongwe live

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka72782 жыл бұрын

    Mhm😭😭😭

  • @helgahussein1413
    @helgahussein14132 жыл бұрын

    Alikuwa anafanya kazi gani

  • @jamilayahya9723
    @jamilayahya9723 Жыл бұрын

    Wanachukuaje vyombo Tena wawachie watoto na jamaa atafutwe asije kumalizia awo watoto pia

  • @angeljoakim6583
    @angeljoakim65832 жыл бұрын

    Mungu atusaidie sana laki sita inaua mtu!

  • @khubeybjandal7435
    @khubeybjandal74352 жыл бұрын

    Watanganyika, hatar kwa pesa, sioi bongo noma laki sita ameua mkewe noma

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72792 жыл бұрын

    😢😢

  • @josephlorri431
    @josephlorri4312 жыл бұрын

    Wanaume tufanye kazi, tusipende kitonga.. wanaume wengi siku hz wanahudumiwa badala ya kuhudumia familia.

  • @gulfomanbb2119

    @gulfomanbb2119

    2 жыл бұрын

    Kumbe munalijua ilo ndio maana muna2uwa

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    2 жыл бұрын

    @@gulfomanbb2119 pesa na mali zote za mwanaume...piga kazi,lete hesabu yote mezani, matumizi napanga mimi,pamoja na kuhudumia mchepuko

  • @gulfomanbb2119

    @gulfomanbb2119

    2 жыл бұрын

    @@josephlorri431 subu2

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    2 жыл бұрын

    @@gulfomanbb2119 hahaa huogopi gunia la moto

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn49292 жыл бұрын

    Sasa tuseme nn eeeh mana yamezid inafika kipind huruma zinatuishia na tunapoelekea haya mauaji tutaona jambo la kawaida sana,, viongozi husika fanyeni kazi kulingana na muongo wa kaz unavyosema na cyo mpaka muambiwe na kiongozi mkuu wa nchi. Mungu akurehemu 🙏🙏🙏

  • @rahmahussein4288

    @rahmahussein4288

    2 жыл бұрын

    Hizi ndio zama za mwisho🙌

  • @mamamwajei8789
    @mamamwajei8789 Жыл бұрын

    uyo dada bonge mweusi nimekuelewa saaana,,,heko kwake

  • @peterjames4669
    @peterjames46692 жыл бұрын

    Duh ninja imeisha poleni sana

  • @mamakidunda4511
    @mamakidunda45112 жыл бұрын

    Jamani tuthamini uhai WA MTU

  • @joycenuhu1566
    @joycenuhu15662 жыл бұрын

    Yani nashindwa cha kuongea, Mungu nisaidie nikae kimnya tuu mana dunia inatisha jamani

  • @abuhas1523
    @abuhas15232 жыл бұрын

    Dunia! imejaa ushezi,kutoa roho ya mtu kwa sh laki sita na ambazo hata sio zako ni unyama na kuhamisha vitu vya marehemu hata msiba haujaisha na bila makubaliano ni uhuni pia.

  • @omnsultan383
    @omnsultan3832 жыл бұрын

    Mwenyekiti apewe ulinzi

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura57632 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilayh rajiuun 😭😭 ivi niwapi tunaelekea

  • @roggerskilongozi1195
    @roggerskilongozi1195 Жыл бұрын

    Anakwambia eti vitu vyakawaida duuh sasa unaskitika nn nawewe umesema zakawaida

Келесі