HADI HURUMA: MAMA MZAZI wa ASKARI ALIYEMCHINJA BABA YAKE AKISIMULIA KILICHOTOKEA!
Mama Mzazi wa Mussa Edward Ndonde Askari wa JWTZ MT.109772 Kikosi cha Ruvu JKT mkoani Pwani Bi Renatha Ndonde ameeleza hali Ilivyo kua nyumbani kabla mwanae kumuua baba yake.
Bi Renatha Ndonde amesema Mwanae imefika nyumbani mapema leo asubuhi na baada ya kuwasili Jambo la kwanza aliuliza alipo baba yake Mzazi Ambaye Kwa wakati huo alikua kuoga.
HADI HURUMA: MAMA MZAZI wa ASKARI ALIYEMCHINJA BABA YAKE AKISIMULIA KILICHOTOKEA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 767
📌ASKARI 'ADAIWA' KUMCHINJA BABA YAKE >> kzread.info/dash/bejne/lYmGubWGdMe3gbA.html
@ZipoOnline4289
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kZOC2K5whti3Z5M.html
Ee BABA wa mbinguni kwa uluma yako naomba nikiamini utatenda kawaondolee raho ya ukatili vijana ili wawe na hofu na wewe siku zote za maisha yao🙏🙏Apumzike kwa amani mzee wetu, Poleni sana
Mungu bariki vizazi vyetu naogopa naogopa uchungu wako unakupa uchungu🙌🙌🙌🙌 Mungu tuhurumie wanawake sisi
@johasaeed391
2 ай бұрын
Kanywa pombe na bangi huyo kamix maana siyo pombe tu imvuruge akili ivyo
Hii dunia jaman inageuka watoto ndo wanauwa tu wazazi .Mungu tunakuomba ondoa hili roho la mauti 🙏🏽🙏🏽
@amosmichael487
2 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@lovenessedson385
2 жыл бұрын
Amen
mwisho wa dunia umeshafika tumrejee mungu wetu ,,,pole Sana mama na familia kwa ujumla kwa kumpoteza mpendwa wetu ,,,😭😭😭😭😭 eeh mwenyezi mungu tujaalie mwisho mwema
@iptisamahmed7135
2 жыл бұрын
Amiin
😭😭😭Pole mama Hawa watoto wetu wanatuua wazazi jamani Mungu utuongoze watoto wetu wanahitaji hekima yako
@wendyeliezer6419
2 жыл бұрын
Mama amenihuzinisha jamani😭😭
Tanzania serikali tunaomba tuweke japo siku2 yakufunga mashekhe na mapadre jmni imekua to murch sis pekeyetu hatuwez bila msaada WA mungu
@richvetty3243
2 жыл бұрын
Umeongea point
@mamachris6811
2 жыл бұрын
Mambo makuu matatu ya kuombea 1.Serikali 2.Hali ya hewa 3 Mauaji Mungu tusimamie
@vitabuvyamahesabu5275
2 жыл бұрын
Jmn n kweli kabisa ndg yang...maombi y pmj yahitajika
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
@@mamachris6811 kweli maana sasa tunaanza kuuawa nawatoto wetu,wazaz nao kuua watoto mtihani
Yaaan nimeumia sana yaan wazazi watulee kwa wema leo wamuua Allahu akbar subhanallah
@saidichilyenga2847
2 жыл бұрын
Hatar sana aisee
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
Yaani Allah atunusuru hali hii inatisha
Inasikitisha sana,mungu atunusuru na tumuombe sana haya matatizo yakome ya kuuana..
Pole Sana mama maumivu Mara mbili mume na mtoto kiukweli kiatu chako sikiwez na hakinitoshi hata sekunde moja pole Sana mama angu
Mungu atusaidie jamani inaumiza mnooo pole sana mama
Tumrudie Mungu vijana shetani anacheza na sisi 😭😭 matukio ya watoto kuuwa mzazi yamezidi jamani nyie Ee Mungu tusamehe Waja wako 🙏🏼
@lizzynkifu4179
2 жыл бұрын
Hakika
Innalillaah wainna ilaihi Raajiun Pole sana Mama yangu umempoteza Mumeo Kichwa cha familia na unampoteza mtoto wako pia. 😭😭😭😭
Pole Mwanamke mwenzangu kwa kuzaa kizazi hichi cha Nyoka, Mungu atunusuru woote maana hatujui saangapi hizi Nyoka zita tugonga. Tuombe Mungu atunusuru nao
@gracedanfrod2318
2 жыл бұрын
Mungu atutetee
Duuuuuhhh😭😭polen bha kukaja mweeeeh pepo gani hili Mungu awatie nguvu,tunamhitaji Sana Mungu kipindi hiki tulichonacho n kigumu Sana.
Pole sana mama yangu jmn hadi naumia eti!!! Kweli maisha bila Yesu ni matatizo.
@husseinhamis1428
2 жыл бұрын
yeah ndo alokuumba wewe watu wengine bhana sijui mnasizigi af ndio mnakuja Ku comments
@Sheba4651
2 жыл бұрын
Huyo Yesu mwenyewe ndio naye mnasema kauawa, ndio dhambi ya kuuwana inaendelea hiyo. We Mica Mathew vipi
@user-gi4ls3bh3l
2 жыл бұрын
Sasa yesu nini kaigiaje
Poleni sana wafiwa , jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl
@emmanuelletema6165
2 жыл бұрын
Ww nawe na makolokolo yako😔 ..wenzako wana msiba huko ww umekomaa na makuruani utafikir ww ndo malaika kweli
@aishaally4912
2 жыл бұрын
Mungu akusamehe... Maana unavyosema makolokolo ... Unafananisha na nn hy quraan
@betterlifehouseholds1016
2 жыл бұрын
@@aishaally4912 /Poleni Lakini tafuteni maombi Kuna mtu hapo Mwindani wenyu anawamaliza Kima Pepo Nenda mama kwa maombi
Huu mwaka umeanza vibaya Mungu aingilie kati atuhurumie 😭 poleni sana wafiwa
😭😭😭😭😭 mwenzenu mpaka naogopa kuingia kwenye mtandao maana kila nikiingia ni matukio Tu mungu tuhulumie 😭😭😭 we mtoto Baba amekukosea nini nimeumia sana
Pole Mama M/Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu mnoo kwako yaani umepoteza mume wako pia kijana wako atafungwa kwa kosa la kuua 😭😭😭😭😭
Poleni Sana mamaangu ( Mwalimu wangu ) kwa kuondokewa na baba yetu 😭 😭 Mungu akupe ujasili
@marynyambura4147
2 жыл бұрын
Unamfahamu
Mama awe pole sana. Shetani ni kumbe mbaya sana, hafurahi kuona mkimaliza maisha haya salama usalimini. Tumpige vita kwa nguvu zetu zote, na tukiondoa vile viashiria vyake, pombe, chuki sisi kwa sisi, na hata utumwa mbovu utakao kua chanzo cha kuponza akili zetu kujidhuru ama kudhuru mwengine.
Dah.! Pole Mama. Yani wazazi wakulee na kukusomesha kwa shida upate kazi badala uwasaidie unakuja kuuwa hata hawajakula matunda ya mafanikio yako.Mungu atuhurumie R.i.p Baba,umemlea mwanao kishujaa na umekufa kishujaa,inauma sana
Bongo kumechafuka😪so sad.Allah atulinde na kutuongoza🙏watching from Kenya🔥
Hakika Mwenyezi Mungu ndio anajua hukumu ya mwenye dhambi, RIP
Yani nimelia jamanii..Mungu tuondolee hili pepo la kuua wazazi
@faridanurdin4910
2 жыл бұрын
Yaani 😭😭😭
@queenishaa9832
2 жыл бұрын
Wallah allah atunusur jmn
Pole sana mama angu mwenyezi mungu akutie nguvu mama ... ivi kwann hii nchi isingeweka utaratibu ule ukifanya kosa la mauaji na wewe unyongwe🤔mbona nchi nyingine wanaiyo taratibu,wakiweka iyo taratibu nadhani watu watakuwa na akili maana tunaendekeza sana roho za umauti
Allah yaallah , poleni Sana wazazi tuombe Dua Sana, watu wa mkoa wa pwani , inauma sana
ile nyimbo ya marioo bia tamu ifungiwe na isiwe ruhusa kupigwa sehemu yoyote
@calvinsilayo2052
2 жыл бұрын
Wew kwa upeo wako Ni kuw alikuw amelew au
@FadyFs
2 жыл бұрын
@@calvinsilayo2052 ndio... Kwani hauna masikio??
@calvinsilayo2052
2 жыл бұрын
@@FadyFs ttz siyo ilo bro ishu n kwamb wew unaon n pombe imefny ivyo
@FadyFs
2 жыл бұрын
@@calvinsilayo2052 amna jipya zaidi ni kwamba wew jamaa unatetea vileo..
@calvinsilayo2052
2 жыл бұрын
@@FadyFs ningekuw natumia saw lkn Mimi nimelet hoj nyingine mezan coz huwez kuniaminish moja kwa moja ety akili y pmb ndo imefany ivyo.
Daaaaaaah Nyakati Za Mwisho Hizi, Wanajeshi Mungu Anawaona.
@sponsor7882
2 жыл бұрын
Ahaa wapi
@user-rl5gf6tj4n
9 ай бұрын
Sio wote wenye roho ya kikatili
Walahi Mama umeniliza sana! Mama Pole sana sana!
Uturehem Ee Bwana kwakua tumetenda dhambi, waondolee vijana wetu roho ya shetani ilio wavamia na kuwaletea kutenda yasio faa katika family na jamii nzima 🙏🙏🙏
@jonathanmtwigu9264
2 жыл бұрын
Nayeye. Auliwe
So sad sana Mama analia MAMA (Pepo ipo chini ya nyayo za wazazi wawili) how you can kill them 😭😭😭
@ericklaura7511
2 жыл бұрын
Umenena vyema 😭
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
😭😭😭😭
Pole Sana mama mungu akutie nhuvu mama kwa pito gumu lakumpoteza mwenzako,
Pole sana mama na familia kwa ujumla Mungu awafariji kipindi hiki kigumu cha msiba
Watu wa aina hii mimi napeleka moja kwa moja kwenye kitanzi hakuna mahakamani wala haki za binadamu hapo ondoa takataka hii hapa duniani
@gracepius9762
2 жыл бұрын
Nikweli kabisa jamaniii uwiiii baba kajifunga mkanda kumsomesha Leo anamtoa uhai wake??? Inauma ...
@mariammwendakazungu5783
2 жыл бұрын
Kweli ht dini inasema ukimshuhudia mtu kauwa basi inpaswa umuuwe nawe inauma sana
@ahz6907
2 жыл бұрын
@@mariammwendakazungu5783 dini ipi?
@abdulazizmwipi9295
2 жыл бұрын
Haki za bnadamu ndy wNazngua kbsa maana polis wakitaka kumuua ila haqi za bnadamu wanazuia kuua
@abdulazizmwipi9295
2 жыл бұрын
@@mariammwendakazungu5783 kwel kbsa rafk angu Yan ingekua uarabuni na yy vlevle anachnjwa
Utaona kwanini mwenyezimungu ameharamisha pombe, kila kilicho haramishwa na mwenyezimungu kina madhara, Sawa Sawa tuyajue au tusiyajue. Lakusikitisha ni kua baadhi ya wanadamu wanahalalisha viliyoharamishwa kwa kuvipa majina mbali mbali na mazuri, nakujifanya kutoa faida za kisayansi nk, katika hivyo viliyoharamishwa. Tufahamu alietuumba anatujua zaidi na anaju kila kilicho na faida nasi na kisichokua na faida. Hivyo tusimame alipotuamrisha.
@coazoneone1174
2 жыл бұрын
kwahiyo ukichukua statistics za mauaji kama hayo wengi ni pombe kuliko yaliyofanywa na wasio kunywapombe? au wanagapi wanakunywa pombe na ni wastaarabu hawana matukio mabaya? watu kila siku wanauana,wanabaka na pombe hawanywi
@Yu-jr9uf
2 жыл бұрын
Walevi watateteana tu!! Hakuna shaka pombe inamadhara makubwa sana
@juliethhouseofdesigns147
2 жыл бұрын
@@coazoneone1174 ata magomvi mengi kati ya wanandoa uletwa na pombe
@mimiraia2531
2 жыл бұрын
Al-Qaida, Al-Shababu, Boko Haramu hawanywi pombe na ni wauaji wakubwa! Unasemaji Bwana Abuuuuu!!
@Yu-jr9uf
2 жыл бұрын
@@mimiraia2531 Hata kama mauaji mengi yanafanywa na wasokunywa pombe lakini pombe pia inamchango wake mkubwa na kuna vifo vinatokana na unywaji wa pombe kama hichi!!! Inshort pombe ina madhara makubwa, sema kweli atakama ni chungu
Spirit of death 🥺Polee mama na MUNGU akutie nguvu, pia omba something is not right
@lusekelocharles8066
2 жыл бұрын
Hakika hiyo ni roho ya umauti mungu awasaidie
@gabriellafaith6128
2 жыл бұрын
@@lusekelocharles8066 Amen 🙏
@muddymdigo5164
2 жыл бұрын
Pole mm kwa mazito yaliyokufika
Pole sana sana Mama! 🙏🏾
Mungu Mungu Mungu 🙏🙏🙏🙏
Pole mama pole
R.i.p Baba!
Pole sana mama...M/Mungu akupe nguvu katika wkt huu mgumu wa Majonzi!
Poleni sanaaa
Duuuu! Mwenyez Mungu atusaidie kuufikia mwisho mwema na tunapoyaona haya yanatokea mahalimahali tujue yesu yu karbu jaman tuache maisha ya anasa tumugeukie Mungu mathayo 24:1........
Pole sana Mama na Family nzima. Mwenyezi Mungu Mwenye Rehema Awatiye nguvu inshallaAh 🙏🏻🙏🏻😭😭😭😭
Pole mama
Wasokua na watt wanajuta na wenye watoto wanajuta je ni wapi pakukanyaga ama pa kukimbilia?!?? Uwe na mtt ama usiwe na mtt 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@arafaomari1832
2 жыл бұрын
Kweli mtihani
pole mama🥺 pole sana mamaangu
Poleni sana pole mamaaetu
Mama yangu umenilizaa sana😭😭😭jamn tunaenda wapiii
@jamiecarragher8560
2 жыл бұрын
Hi
Aaaaaa kumbe ni mlevii basi analaana la baba na mama yake loo pole mama uchungu wa mmeo
Poleni sana. Mungu aturehem.Amen.
Poleni sana wafiwa inauma sana 😭😭😭😭
Eeeeh mungu wa mbinguni tuondolee hizi roho za kinyama 😭😭😭bila huruma yako mungu hatutaweza baba wa rehema tuhurumie sisi wanadamu maana mioyo yetu imejaa kisasi cha damu😭😭😭😭okoa taifa lako bwana mungu roho ya mauti imetawala ndan ya roho zetu eeh mungu tunavunja kwa damau ya yesu kristo maana taifa la sasa ni kisasi na chuki ndo vimetawala mioyon mwetu 😭😭😭😭BABA WA MBINGUNI MUNGU UTIHURUMIE BIKIRA MTAKATIFU MAMA WA WENGI UTUOMBEE😭😭😭
Pole sana mama imeniuma sana nimelia kwa uchungu unavyosimulia tukio la mwanao kumuua baba yake
😭😭😭😭daah yn umuuwe mzazi wako kisa wasema mchawi 😳😳🙆🏾🙆🏾km angekuwa mchawi nadhn Asinge kukuza hd ukubwa huo mungu atulinde cc na vizazi vyetu
Daah!!! Mungu kaa nasi.Nikiasi gani Mungu umetuacha.Utatuacha mpaka lini Baba.Tunakuhitaji katika taifa letu nawatu wake.Hali imekuwa mbaya sana sana sana.
Innalilah wainnaillah rajiuun pole sana mama angu Allah akupe subra na akufariji nafsi yako Yarabiy tusitir waja wako katika hii dunia
Pole sana mamaangu ,Mungu akutie nguvu sana pamoja na wafiwa wote
Pombe tu hiyo na ndo mana Allah ameiharamisha pombe ni baba Wa maasi unaweza kufanya chochote ambacho huwezi kufanya ikiwa hujalewa sasa ikiruka unajutia lakini inakuwa umeshachelewa pombe ni mbaya na ndo mana ikaharamishwa
@mikemasala5754
2 жыл бұрын
Acha uongo..mi vaccine izo
@reubenkissinga5802
2 жыл бұрын
Kwa hiyo unataka kutuaminisha ya kwamba watu wanaofanya vitendo vya mauaji wanakuwa wamekunywa pombe???
@abdulrazakhassanor498
2 жыл бұрын
@@mikemasala5754 aliyekuambia nani?unadhani tukio hilo ni moja tu hata kabla ya vaccine matukio kama hayo yapo kibao ya kumwaga tu
@abdulrazakhassanor498
2 жыл бұрын
@@reubenkissinga5802sio pombe tu chochote kile kitakachoweza kumtoa MTU akili
@reubenkissinga5802
2 жыл бұрын
@@abdulrazakhassanor498 Akili ni Nini??
Jaman Dunia hii jaman hii subhannah Allah yarab tunusuru viumbe wako jaman mbona mauaji mengi kila siku 😭😭😭nimelia walah
@yusuphwm
2 жыл бұрын
Siku za mwisho hizi ndugu
Hilp n pepo hilo bib hap panahitaji maombi. Nae hakujijua n pepo tuu lilimvaa. Familia yak inahitaji maombi kwakwer sio bule. Mungu awatete kwakwer! Pole bibi Mungu akufunge mkanda eeh!
Pole Sanaa sana Mama
Ni Mental fact, Kuna Six week na vitu kibao vinawafanya askari wawe vichaa 30% of all soldiers
@Sheba4651
2 жыл бұрын
Duh ! Kumbe. Ndio maana zikifika zile siku huwa wana hasira na sisi njaa tupu kama wao.
Poleni sana mama. Nimesikitishwa sana na kitendo alichokifanya huyo kijana Kwa kukatisha maisha ya mzazi wake
Si pombe tu huyo pombe+ bangi+jeshi🙌 , Allah atustilie watt wetu jmn, umzae mwenyewe mlee, mwenyewe, kaz umpambanie, leo shukran yake ndio hiyo?🙄🤔innah lillah wainnah illah rajiuna, Iman ya mungu hamna kifuan pia.
Pole sana mama angu mungu akutiye nguvu
Poleni sana ndg zetu daaah mwenyezi mungu akupe amani na uvumilivu kwenye ili mama
anaeendelea kusema bia tamu matako yake
@mbotwambotwa2186
2 жыл бұрын
Ndio walewale nafikili tungeanza naye iwe fundisho na kwawengine maana haoni uchungu et bia tamu
Sisi kama Taifa inabidi tuwe na mjadala maalumu kuhusu Afya ya akili
@kiri5807
2 жыл бұрын
ukisema habari ya mental health waTzn wengi wanakataa .
@sarahtaste2876
2 жыл бұрын
Kabisa kabisa mm nimepambana sana na afya yangu ya akili mpka nimetoka huko nashkuru Mungu inaweza ikafanya uwe kichaa ety
@kiri5807
2 жыл бұрын
@@sarahtaste2876watu wengi wako depressed kutokana na maisha zaidi vijana nayo hii inapelekea kuwa mental illness lakini wenyewe husema depression ni maradhi ya wazungu basi hatujui tutasaidika vipi ?
Pole sana mamaa
Mama pole mungu atakupa subra dah inaumiza sana mtoto unamlea unasomesha leo anakuja kukupotezea maisha kwa kweli tuzid kuwaombea Dua watt wetu waondokone na mabilisi haya
Poleni sana wafiwa wote. Hakika DUNIA IMEKUWA TAMBARA BOVU. EE MUNGU UTUEPUSHE NA JANGA LA VIJANA KUWAUA WAZAZI WAO? R.I.P MWL MZEE NDONDE. KAZI UMEIMALIZA VITA IMESHINDA. KIFARANGA CHAKO UMEKILEA MA KUKISOMESHA, KIMEPATA KAZI. LEO ETI KINAKUCHINJA????MWEMWE. EE MUNGU UTUREHEMU. .
Mmmmhhhh imeniuma .mnooo. Daliliza mwisho zimeshaaza kuonekana kipokitu siyo buree mungu tusamehe wajawako.ppleni sana polesana mamaangu tumwachie mungu yeyendio anajua zaidi
Pole Sana mama damu ya Yesu Kristo ikufariji, Baba alikuwa na haki ya kumeonya mtoto wake, poleni sana
Pole sana mamaangu kiukweli nimetokwa machozi 😭😭😭
Unaeza ukasema basi ni watoto wa kiume ndo wakatili jaman lakini nimekumbuka ya yule wakike aliemuua mamaake nachoka jamani tuzae tu lakini tumuombe sana mungu vijana wameharibika jamani,, pole sana mama mungu akutie nguvu nimejaribu kuvuta taswira wakati unamwambia mbona unampiga babaako nimelia😥 pole sana mama
Hiviii dunia hii tunaelekea wapiiii eeeeh Mungu😭😭😭😭 so sad jamaniii
Pole sana mama 😩😩😩
Aaaah dah inauma hatakuzaa inakatishatamaaa
Pole Sana mama
Pole mama angu mungu akutie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu pole yaani hdi choz limenitoka
Nyie dunia imeisha wallah tena hivi tunataka tuone nini ili tugundue kuwa dunia imeisha?????😭nna mtt mmoja wakiume lakin naogop kuzaa tena watt wamekazana kuuwa wazazi wakike aua mama wakiume Baba yaaan jamani Mungu tunusuru
Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 🤲 umeniliza mama ,nilitamani Sana kupata japo usia WA Baba Ila Baba alinika taa nimelelewa Tu na mama ☹️wengine mmejaaliwa wazazi wote wawili na mnausiwa mazuri lakini mnawaowa?!?!shetani yupi kazini tuweni makini Sana ndugu zangu
Inauma sana. Pole sana Mama na Mwalimu wangu tokea darasa la kwanza na la pili. Vijana tunatakiwa tujitathmini sana, maana inakuwa inapitiliza sasa.
Pole sana
Mtoto wazazi wamekulea kwa shida Leo unamuua baba yako!umesomeshwa na umepata kazi,shukrani yako ndo hiyo kwa baba yako!
Doooh! Inasikitisha sana kwa kweli..... Tumwombe Mwenyezi Mungu atujaalie watoto wema
Mama pole sana, muombe Mungu pepo la mauti hilo ktk ukoo na familia,lishindwe kwa jina la yesu.
Huu ni mtihani Allah atunusuru na watoto wetu
Hapana kabisa una kifungo cha maisha naona hakisaidi coz kule gerezani anapokuwa anakuwa anaishi bado na anakuwa anakula na kukaa kwa amani wakati yeye ni muaji kwann na yeye asinyongwe ? Roho inaniuma sana daah
Innalilah wainna ilayihi rajiun
Lakini ufahamu neno hili siku za mwisho kutakuwa na nyakati za hatari!!!! Ee Mungu tuhurumie.
Innalilah wainna ilahy rajioun.... dah inauma sanaa
Wengine tunatamani baba zetu wangekuwa hai wengine wanawauwa😭😭
Mungu Wetu Wa Rehema Turehemu sisi.
Pole sana mamaangu pole sana inaumaaa jamani MTT umzae mwenyewe umlee kwafurahaaa leo aje kukutoa roho dah
Watanzania kesi za mauji,Zimezidi,Mungu awabadilishe
Daah pole saana mama Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu 🙏