HADI HURUMA: MAMA MZAZI wa ASKARI ALIYEMCHINJA BABA YAKE AKISIMULIA KILICHOTOKEA!

Mama Mzazi wa Mussa Edward Ndonde Askari wa JWTZ MT.109772 Kikosi cha Ruvu JKT mkoani Pwani Bi Renatha Ndonde ameeleza hali Ilivyo kua nyumbani kabla mwanae kumuua baba yake.
Bi Renatha Ndonde amesema Mwanae imefika nyumbani mapema leo asubuhi na baada ya kuwasili Jambo la kwanza aliuliza alipo baba yake Mzazi Ambaye Kwa wakati huo alikua kuoga.
HADI HURUMA: MAMA MZAZI wa ASKARI ALIYEMCHINJA BABA YAKE AKISIMULIA KILICHOTOKEA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 767

  • @Wasafi_Media
    @Wasafi_Media2 жыл бұрын

    📌ASKARI 'ADAIWA' KUMCHINJA BABA YAKE >> kzread.info/dash/bejne/lYmGubWGdMe3gbA.html

  • @ZipoOnline4289

    @ZipoOnline4289

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kZOC2K5whti3Z5M.html

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala99512 жыл бұрын

    Ee BABA wa mbinguni kwa uluma yako naomba nikiamini utatenda kawaondolee raho ya ukatili vijana ili wawe na hofu na wewe siku zote za maisha yao🙏🙏Apumzike kwa amani mzee wetu, Poleni sana

  • @havyanine9430
    @havyanine94302 жыл бұрын

    Mungu bariki vizazi vyetu naogopa naogopa uchungu wako unakupa uchungu🙌🙌🙌🙌 Mungu tuhurumie wanawake sisi

  • @johasaeed391

    @johasaeed391

    2 ай бұрын

    Kanywa pombe na bangi huyo kamix maana siyo pombe tu imvuruge akili ivyo

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna20582 жыл бұрын

    Hii dunia jaman inageuka watoto ndo wanauwa tu wazazi .Mungu tunakuomba ondoa hili roho la mauti 🙏🏽🙏🏽

  • @amosmichael487

    @amosmichael487

    2 жыл бұрын

    Mungu atusaidie

  • @lovenessedson385

    @lovenessedson385

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @salmaabdulabdul1057
    @salmaabdulabdul10572 жыл бұрын

    mwisho wa dunia umeshafika tumrejee mungu wetu ,,,pole Sana mama na familia kwa ujumla kwa kumpoteza mpendwa wetu ,,,😭😭😭😭😭 eeh mwenyezi mungu tujaalie mwisho mwema

  • @iptisamahmed7135

    @iptisamahmed7135

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @happykajeli5453
    @happykajeli54532 жыл бұрын

    😭😭😭Pole mama Hawa watoto wetu wanatuua wazazi jamani Mungu utuongoze watoto wetu wanahitaji hekima yako

  • @wendyeliezer6419

    @wendyeliezer6419

    2 жыл бұрын

    Mama amenihuzinisha jamani😭😭

  • @annahchaz5537
    @annahchaz55372 жыл бұрын

    Tanzania serikali tunaomba tuweke japo siku2 yakufunga mashekhe na mapadre jmni imekua to murch sis pekeyetu hatuwez bila msaada WA mungu

  • @richvetty3243

    @richvetty3243

    2 жыл бұрын

    Umeongea point

  • @mamachris6811

    @mamachris6811

    2 жыл бұрын

    Mambo makuu matatu ya kuombea 1.Serikali 2.Hali ya hewa 3 Mauaji Mungu tusimamie

  • @vitabuvyamahesabu5275

    @vitabuvyamahesabu5275

    2 жыл бұрын

    Jmn n kweli kabisa ndg yang...maombi y pmj yahitajika

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    2 жыл бұрын

    @@mamachris6811 kweli maana sasa tunaanza kuuawa nawatoto wetu,wazaz nao kuua watoto mtihani

  • @oman7710
    @oman77102 жыл бұрын

    Yaaan nimeumia sana yaan wazazi watulee kwa wema leo wamuua Allahu akbar subhanallah

  • @saidichilyenga2847

    @saidichilyenga2847

    2 жыл бұрын

    Hatar sana aisee

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    2 жыл бұрын

    Yaani Allah atunusuru hali hii inatisha

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana72892 жыл бұрын

    Inasikitisha sana,mungu atunusuru na tumuombe sana haya matatizo yakome ya kuuana..

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin89852 жыл бұрын

    Pole Sana mama maumivu Mara mbili mume na mtoto kiukweli kiatu chako sikiwez na hakinitoshi hata sekunde moja pole Sana mama angu

  • @siaedward5305
    @siaedward53052 жыл бұрын

    Mungu atusaidie jamani inaumiza mnooo pole sana mama

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela39262 жыл бұрын

    Tumrudie Mungu vijana shetani anacheza na sisi 😭😭 matukio ya watoto kuuwa mzazi yamezidi jamani nyie Ee Mungu tusamehe Waja wako 🙏🏼

  • @lizzynkifu4179

    @lizzynkifu4179

    2 жыл бұрын

    Hakika

  • @mansourjuma3731
    @mansourjuma37312 жыл бұрын

    Innalillaah wainna ilaihi Raajiun Pole sana Mama yangu umempoteza Mumeo Kichwa cha familia na unampoteza mtoto wako pia. 😭😭😭😭

  • @umibana6759
    @umibana67592 жыл бұрын

    Pole Mwanamke mwenzangu kwa kuzaa kizazi hichi cha Nyoka, Mungu atunusuru woote maana hatujui saangapi hizi Nyoka zita tugonga. Tuombe Mungu atunusuru nao

  • @gracedanfrod2318

    @gracedanfrod2318

    2 жыл бұрын

    Mungu atutetee

  • @subiraadam2322
    @subiraadam23222 жыл бұрын

    Duuuuuhhh😭😭polen bha kukaja mweeeeh pepo gani hili Mungu awatie nguvu,tunamhitaji Sana Mungu kipindi hiki tulichonacho n kigumu Sana.

  • @micamathew2595
    @micamathew25952 жыл бұрын

    Pole sana mama yangu jmn hadi naumia eti!!! Kweli maisha bila Yesu ni matatizo.

  • @husseinhamis1428

    @husseinhamis1428

    2 жыл бұрын

    yeah ndo alokuumba wewe watu wengine bhana sijui mnasizigi af ndio mnakuja Ku comments

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    2 жыл бұрын

    Huyo Yesu mwenyewe ndio naye mnasema kauawa, ndio dhambi ya kuuwana inaendelea hiyo. We Mica Mathew vipi

  • @user-gi4ls3bh3l

    @user-gi4ls3bh3l

    2 жыл бұрын

    Sasa yesu nini kaigiaje

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv26742 жыл бұрын

    Poleni sana wafiwa , jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl

  • @emmanuelletema6165

    @emmanuelletema6165

    2 жыл бұрын

    Ww nawe na makolokolo yako😔 ..wenzako wana msiba huko ww umekomaa na makuruani utafikir ww ndo malaika kweli

  • @aishaally4912

    @aishaally4912

    2 жыл бұрын

    Mungu akusamehe... Maana unavyosema makolokolo ... Unafananisha na nn hy quraan

  • @betterlifehouseholds1016

    @betterlifehouseholds1016

    2 жыл бұрын

    @@aishaally4912 /Poleni Lakini tafuteni maombi Kuna mtu hapo Mwindani wenyu anawamaliza Kima Pepo Nenda mama kwa maombi

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa28782 жыл бұрын

    Huu mwaka umeanza vibaya Mungu aingilie kati atuhurumie 😭 poleni sana wafiwa

  • @yunismahanga2871
    @yunismahanga28712 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭 mwenzenu mpaka naogopa kuingia kwenye mtandao maana kila nikiingia ni matukio Tu mungu tuhulumie 😭😭😭 we mtoto Baba amekukosea nini nimeumia sana

  • @veronicatweve8908
    @veronicatweve89082 жыл бұрын

    Pole Mama M/Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu mnoo kwako yaani umepoteza mume wako pia kijana wako atafungwa kwa kosa la kuua 😭😭😭😭😭

  • @dianangailo9878
    @dianangailo98782 жыл бұрын

    Poleni Sana mamaangu ( Mwalimu wangu ) kwa kuondokewa na baba yetu 😭 😭 Mungu akupe ujasili

  • @marynyambura4147

    @marynyambura4147

    2 жыл бұрын

    Unamfahamu

  • @Sheba4651
    @Sheba46512 жыл бұрын

    Mama awe pole sana. Shetani ni kumbe mbaya sana, hafurahi kuona mkimaliza maisha haya salama usalimini. Tumpige vita kwa nguvu zetu zote, na tukiondoa vile viashiria vyake, pombe, chuki sisi kwa sisi, na hata utumwa mbovu utakao kua chanzo cha kuponza akili zetu kujidhuru ama kudhuru mwengine.

  • @dickymediapro4179
    @dickymediapro41792 жыл бұрын

    Dah.! Pole Mama. Yani wazazi wakulee na kukusomesha kwa shida upate kazi badala uwasaidie unakuja kuuwa hata hawajakula matunda ya mafanikio yako.Mungu atuhurumie R.i.p Baba,umemlea mwanao kishujaa na umekufa kishujaa,inauma sana

  • @002RYE
    @002RYE2 жыл бұрын

    Bongo kumechafuka😪so sad.Allah atulinde na kutuongoza🙏watching from Kenya🔥

  • @benskissy8238
    @benskissy82382 жыл бұрын

    Hakika Mwenyezi Mungu ndio anajua hukumu ya mwenye dhambi, RIP

  • @KesheMedia
    @KesheMedia2 жыл бұрын

    Yani nimelia jamanii..Mungu tuondolee hili pepo la kuua wazazi

  • @faridanurdin4910

    @faridanurdin4910

    2 жыл бұрын

    Yaani 😭😭😭

  • @queenishaa9832

    @queenishaa9832

    2 жыл бұрын

    Wallah allah atunusur jmn

  • @cautharyally5584
    @cautharyally55842 жыл бұрын

    Pole sana mama angu mwenyezi mungu akutie nguvu mama ... ivi kwann hii nchi isingeweka utaratibu ule ukifanya kosa la mauaji na wewe unyongwe🤔mbona nchi nyingine wanaiyo taratibu,wakiweka iyo taratibu nadhani watu watakuwa na akili maana tunaendekeza sana roho za umauti

  • @fatumaabdala4697
    @fatumaabdala46972 жыл бұрын

    Allah yaallah , poleni Sana wazazi tuombe Dua Sana, watu wa mkoa wa pwani , inauma sana

  • @FadyFs
    @FadyFs2 жыл бұрын

    ile nyimbo ya marioo bia tamu ifungiwe na isiwe ruhusa kupigwa sehemu yoyote

  • @calvinsilayo2052

    @calvinsilayo2052

    2 жыл бұрын

    Wew kwa upeo wako Ni kuw alikuw amelew au

  • @FadyFs

    @FadyFs

    2 жыл бұрын

    @@calvinsilayo2052 ndio... Kwani hauna masikio??

  • @calvinsilayo2052

    @calvinsilayo2052

    2 жыл бұрын

    @@FadyFs ttz siyo ilo bro ishu n kwamb wew unaon n pombe imefny ivyo

  • @FadyFs

    @FadyFs

    2 жыл бұрын

    @@calvinsilayo2052 amna jipya zaidi ni kwamba wew jamaa unatetea vileo..

  • @calvinsilayo2052

    @calvinsilayo2052

    2 жыл бұрын

    @@FadyFs ningekuw natumia saw lkn Mimi nimelet hoj nyingine mezan coz huwez kuniaminish moja kwa moja ety akili y pmb ndo imefany ivyo.

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema86312 жыл бұрын

    Daaaaaaah Nyakati Za Mwisho Hizi, Wanajeshi Mungu Anawaona.

  • @sponsor7882

    @sponsor7882

    2 жыл бұрын

    Ahaa wapi

  • @user-rl5gf6tj4n

    @user-rl5gf6tj4n

    9 ай бұрын

    Sio wote wenye roho ya kikatili

  • @subirajohn728
    @subirajohn7282 жыл бұрын

    Walahi Mama umeniliza sana! Mama Pole sana sana!

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi51962 жыл бұрын

    Uturehem Ee Bwana kwakua tumetenda dhambi, waondolee vijana wetu roho ya shetani ilio wavamia na kuwaletea kutenda yasio faa katika family na jamii nzima 🙏🙏🙏

  • @jonathanmtwigu9264

    @jonathanmtwigu9264

    2 жыл бұрын

    Nayeye. Auliwe

  • @mansourjuma3731
    @mansourjuma37312 жыл бұрын

    So sad sana Mama analia MAMA (Pepo ipo chini ya nyayo za wazazi wawili) how you can kill them 😭😭😭

  • @ericklaura7511

    @ericklaura7511

    2 жыл бұрын

    Umenena vyema 😭

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @alicembaga6350
    @alicembaga63502 жыл бұрын

    Pole Sana mama mungu akutie nhuvu mama kwa pito gumu lakumpoteza mwenzako,

  • @deopamedia
    @deopamedia2 жыл бұрын

    Pole sana mama na familia kwa ujumla Mungu awafariji kipindi hiki kigumu cha msiba

  • @carolinejulius3913
    @carolinejulius39132 жыл бұрын

    Watu wa aina hii mimi napeleka moja kwa moja kwenye kitanzi hakuna mahakamani wala haki za binadamu hapo ondoa takataka hii hapa duniani

  • @gracepius9762

    @gracepius9762

    2 жыл бұрын

    Nikweli kabisa jamaniii uwiiii baba kajifunga mkanda kumsomesha Leo anamtoa uhai wake??? Inauma ...

  • @mariammwendakazungu5783

    @mariammwendakazungu5783

    2 жыл бұрын

    Kweli ht dini inasema ukimshuhudia mtu kauwa basi inpaswa umuuwe nawe inauma sana

  • @ahz6907

    @ahz6907

    2 жыл бұрын

    @@mariammwendakazungu5783 dini ipi?

  • @abdulazizmwipi9295

    @abdulazizmwipi9295

    2 жыл бұрын

    Haki za bnadamu ndy wNazngua kbsa maana polis wakitaka kumuua ila haqi za bnadamu wanazuia kuua

  • @abdulazizmwipi9295

    @abdulazizmwipi9295

    2 жыл бұрын

    @@mariammwendakazungu5783 kwel kbsa rafk angu Yan ingekua uarabuni na yy vlevle anachnjwa

  • @abubakariomari4660
    @abubakariomari46602 жыл бұрын

    Utaona kwanini mwenyezimungu ameharamisha pombe, kila kilicho haramishwa na mwenyezimungu kina madhara, Sawa Sawa tuyajue au tusiyajue. Lakusikitisha ni kua baadhi ya wanadamu wanahalalisha viliyoharamishwa kwa kuvipa majina mbali mbali na mazuri, nakujifanya kutoa faida za kisayansi nk, katika hivyo viliyoharamishwa. Tufahamu alietuumba anatujua zaidi na anaju kila kilicho na faida nasi na kisichokua na faida. Hivyo tusimame alipotuamrisha.

  • @coazoneone1174

    @coazoneone1174

    2 жыл бұрын

    kwahiyo ukichukua statistics za mauaji kama hayo wengi ni pombe kuliko yaliyofanywa na wasio kunywapombe? au wanagapi wanakunywa pombe na ni wastaarabu hawana matukio mabaya? watu kila siku wanauana,wanabaka na pombe hawanywi

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    2 жыл бұрын

    Walevi watateteana tu!! Hakuna shaka pombe inamadhara makubwa sana

  • @juliethhouseofdesigns147

    @juliethhouseofdesigns147

    2 жыл бұрын

    @@coazoneone1174 ata magomvi mengi kati ya wanandoa uletwa na pombe

  • @mimiraia2531

    @mimiraia2531

    2 жыл бұрын

    Al-Qaida, Al-Shababu, Boko Haramu hawanywi pombe na ni wauaji wakubwa! Unasemaji Bwana Abuuuuu!!

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    2 жыл бұрын

    @@mimiraia2531 Hata kama mauaji mengi yanafanywa na wasokunywa pombe lakini pombe pia inamchango wake mkubwa na kuna vifo vinatokana na unywaji wa pombe kama hichi!!! Inshort pombe ina madhara makubwa, sema kweli atakama ni chungu

  • @gabriellafaith6128
    @gabriellafaith61282 жыл бұрын

    Spirit of death 🥺Polee mama na MUNGU akutie nguvu, pia omba something is not right

  • @lusekelocharles8066

    @lusekelocharles8066

    2 жыл бұрын

    Hakika hiyo ni roho ya umauti mungu awasaidie

  • @gabriellafaith6128

    @gabriellafaith6128

    2 жыл бұрын

    @@lusekelocharles8066 Amen 🙏

  • @muddymdigo5164

    @muddymdigo5164

    2 жыл бұрын

    Pole mm kwa mazito yaliyokufika

  • @mwanrique
    @mwanrique2 жыл бұрын

    Pole sana sana Mama! 🙏🏾

  • @danielmwamahonje9852
    @danielmwamahonje98522 жыл бұрын

    Mungu Mungu Mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum71562 жыл бұрын

    Pole mama pole

  • @subirajohn728
    @subirajohn7282 жыл бұрын

    R.i.p Baba!

  • @selinamashoko2490
    @selinamashoko24902 жыл бұрын

    Pole sana mama...M/Mungu akupe nguvu katika wkt huu mgumu wa Majonzi!

  • @amosmichael487
    @amosmichael4872 жыл бұрын

    Poleni sanaaa

  • @enithanelson8418
    @enithanelson84182 жыл бұрын

    Duuuu! Mwenyez Mungu atusaidie kuufikia mwisho mwema na tunapoyaona haya yanatokea mahalimahali tujue yesu yu karbu jaman tuache maisha ya anasa tumugeukie Mungu mathayo 24:1........

  • @mourinebey_kenya7027
    @mourinebey_kenya70272 жыл бұрын

    Pole sana Mama na Family nzima. Mwenyezi Mungu Mwenye Rehema Awatiye nguvu inshallaAh 🙏🏻🙏🏻😭😭😭😭

  • @yassiraliy8174
    @yassiraliy81742 жыл бұрын

    Pole mama

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat1652 жыл бұрын

    Wasokua na watt wanajuta na wenye watoto wanajuta je ni wapi pakukanyaga ama pa kukimbilia?!?? Uwe na mtt ama usiwe na mtt 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @arafaomari1832

    @arafaomari1832

    2 жыл бұрын

    Kweli mtihani

  • @giftramadhani9275
    @giftramadhani92752 жыл бұрын

    pole mama🥺 pole sana mamaangu

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed41242 жыл бұрын

    Poleni sana pole mamaaetu

  • @raveenagasper8491
    @raveenagasper84912 жыл бұрын

    Mama yangu umenilizaa sana😭😭😭jamn tunaenda wapiii

  • @jamiecarragher8560

    @jamiecarragher8560

    2 жыл бұрын

    Hi

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn74342 жыл бұрын

    Aaaaaa kumbe ni mlevii basi analaana la baba na mama yake loo pole mama uchungu wa mmeo

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.35392 жыл бұрын

    Poleni sana. Mungu aturehem.Amen.

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo2 жыл бұрын

    Poleni sana wafiwa inauma sana 😭😭😭😭

  • @priscamussa4672
    @priscamussa46722 жыл бұрын

    Eeeeh mungu wa mbinguni tuondolee hizi roho za kinyama 😭😭😭bila huruma yako mungu hatutaweza baba wa rehema tuhurumie sisi wanadamu maana mioyo yetu imejaa kisasi cha damu😭😭😭😭okoa taifa lako bwana mungu roho ya mauti imetawala ndan ya roho zetu eeh mungu tunavunja kwa damau ya yesu kristo maana taifa la sasa ni kisasi na chuki ndo vimetawala mioyon mwetu 😭😭😭😭BABA WA MBINGUNI MUNGU UTIHURUMIE BIKIRA MTAKATIFU MAMA WA WENGI UTUOMBEE😭😭😭

  • @hamisayusuph5966
    @hamisayusuph59662 жыл бұрын

    Pole sana mama imeniuma sana nimelia kwa uchungu unavyosimulia tukio la mwanao kumuua baba yake

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya42832 жыл бұрын

    😭😭😭😭daah yn umuuwe mzazi wako kisa wasema mchawi 😳😳🙆🏾🙆🏾km angekuwa mchawi nadhn Asinge kukuza hd ukubwa huo mungu atulinde cc na vizazi vyetu

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas43562 жыл бұрын

    Daah!!! Mungu kaa nasi.Nikiasi gani Mungu umetuacha.Utatuacha mpaka lini Baba.Tunakuhitaji katika taifa letu nawatu wake.Hali imekuwa mbaya sana sana sana.

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora11802 жыл бұрын

    Innalilah wainnaillah rajiuun pole sana mama angu Allah akupe subra na akufariji nafsi yako Yarabiy tusitir waja wako katika hii dunia

  • @marrynyagawa6997
    @marrynyagawa69972 жыл бұрын

    Pole sana mamaangu ,Mungu akutie nguvu sana pamoja na wafiwa wote

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1432 жыл бұрын

    Pombe tu hiyo na ndo mana Allah ameiharamisha pombe ni baba Wa maasi unaweza kufanya chochote ambacho huwezi kufanya ikiwa hujalewa sasa ikiruka unajutia lakini inakuwa umeshachelewa pombe ni mbaya na ndo mana ikaharamishwa

  • @mikemasala5754

    @mikemasala5754

    2 жыл бұрын

    Acha uongo..mi vaccine izo

  • @reubenkissinga5802

    @reubenkissinga5802

    2 жыл бұрын

    Kwa hiyo unataka kutuaminisha ya kwamba watu wanaofanya vitendo vya mauaji wanakuwa wamekunywa pombe???

  • @abdulrazakhassanor498

    @abdulrazakhassanor498

    2 жыл бұрын

    @@mikemasala5754 aliyekuambia nani?unadhani tukio hilo ni moja tu hata kabla ya vaccine matukio kama hayo yapo kibao ya kumwaga tu

  • @abdulrazakhassanor498

    @abdulrazakhassanor498

    2 жыл бұрын

    @@reubenkissinga5802sio pombe tu chochote kile kitakachoweza kumtoa MTU akili

  • @reubenkissinga5802

    @reubenkissinga5802

    2 жыл бұрын

    @@abdulrazakhassanor498 Akili ni Nini??

  • @aminakunja277
    @aminakunja2772 жыл бұрын

    Jaman Dunia hii jaman hii subhannah Allah yarab tunusuru viumbe wako jaman mbona mauaji mengi kila siku 😭😭😭nimelia walah

  • @yusuphwm

    @yusuphwm

    2 жыл бұрын

    Siku za mwisho hizi ndugu

  • @subirasanga5276
    @subirasanga52762 жыл бұрын

    Hilp n pepo hilo bib hap panahitaji maombi. Nae hakujijua n pepo tuu lilimvaa. Familia yak inahitaji maombi kwakwer sio bule. Mungu awatete kwakwer! Pole bibi Mungu akufunge mkanda eeh!

  • @abubakaryally8797
    @abubakaryally87972 жыл бұрын

    Pole Sanaa sana Mama

  • @swahiliforex
    @swahiliforex2 жыл бұрын

    Ni Mental fact, Kuna Six week na vitu kibao vinawafanya askari wawe vichaa 30% of all soldiers

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    2 жыл бұрын

    Duh ! Kumbe. Ndio maana zikifika zile siku huwa wana hasira na sisi njaa tupu kama wao.

  • @zakarialuhemeja444
    @zakarialuhemeja4442 жыл бұрын

    Poleni sana mama. Nimesikitishwa sana na kitendo alichokifanya huyo kijana Kwa kukatisha maisha ya mzazi wake

  • @missmoona4497
    @missmoona44972 жыл бұрын

    Si pombe tu huyo pombe+ bangi+jeshi🙌 , Allah atustilie watt wetu jmn, umzae mwenyewe mlee, mwenyewe, kaz umpambanie, leo shukran yake ndio hiyo?🙄🤔innah lillah wainnah illah rajiuna, Iman ya mungu hamna kifuan pia.

  • @tofautinamalengo5035
    @tofautinamalengo50352 жыл бұрын

    Pole sana mama angu mungu akutiye nguvu

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce65592 жыл бұрын

    Poleni sana ndg zetu daaah mwenyezi mungu akupe amani na uvumilivu kwenye ili mama

  • @mayungampanduzimo9533
    @mayungampanduzimo95332 жыл бұрын

    anaeendelea kusema bia tamu matako yake

  • @mbotwambotwa2186

    @mbotwambotwa2186

    2 жыл бұрын

    Ndio walewale nafikili tungeanza naye iwe fundisho na kwawengine maana haoni uchungu et bia tamu

  • @JohnDoe19xx
    @JohnDoe19xx2 жыл бұрын

    Sisi kama Taifa inabidi tuwe na mjadala maalumu kuhusu Afya ya akili

  • @kiri5807

    @kiri5807

    2 жыл бұрын

    ukisema habari ya mental health waTzn wengi wanakataa .

  • @sarahtaste2876

    @sarahtaste2876

    2 жыл бұрын

    Kabisa kabisa mm nimepambana sana na afya yangu ya akili mpka nimetoka huko nashkuru Mungu inaweza ikafanya uwe kichaa ety

  • @kiri5807

    @kiri5807

    2 жыл бұрын

    @@sarahtaste2876watu wengi wako depressed kutokana na maisha zaidi vijana nayo hii inapelekea kuwa mental illness lakini wenyewe husema depression ni maradhi ya wazungu basi hatujui tutasaidika vipi ?

  • @morombotv
    @morombotv2 жыл бұрын

    Pole sana mamaa

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid20552 жыл бұрын

    Mama pole mungu atakupa subra dah inaumiza sana mtoto unamlea unasomesha leo anakuja kukupotezea maisha kwa kweli tuzid kuwaombea Dua watt wetu waondokone na mabilisi haya

  • @kelvinmtavangu7701
    @kelvinmtavangu77012 жыл бұрын

    Poleni sana wafiwa wote. Hakika DUNIA IMEKUWA TAMBARA BOVU. EE MUNGU UTUEPUSHE NA JANGA LA VIJANA KUWAUA WAZAZI WAO? R.I.P MWL MZEE NDONDE. KAZI UMEIMALIZA VITA IMESHINDA. KIFARANGA CHAKO UMEKILEA MA KUKISOMESHA, KIMEPATA KAZI. LEO ETI KINAKUCHINJA????MWEMWE. EE MUNGU UTUREHEMU. .

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22272 жыл бұрын

    Mmmmhhhh imeniuma .mnooo. Daliliza mwisho zimeshaaza kuonekana kipokitu siyo buree mungu tusamehe wajawako.ppleni sana polesana mamaangu tumwachie mungu yeyendio anajua zaidi

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi50532 жыл бұрын

    Pole Sana mama damu ya Yesu Kristo ikufariji, Baba alikuwa na haki ya kumeonya mtoto wake, poleni sana

  • @happynesmakuru8371
    @happynesmakuru83712 жыл бұрын

    Pole sana mamaangu kiukweli nimetokwa machozi 😭😭😭

  • @jamilaabdallahsalim9284
    @jamilaabdallahsalim92842 жыл бұрын

    Unaeza ukasema basi ni watoto wa kiume ndo wakatili jaman lakini nimekumbuka ya yule wakike aliemuua mamaake nachoka jamani tuzae tu lakini tumuombe sana mungu vijana wameharibika jamani,, pole sana mama mungu akutie nguvu nimejaribu kuvuta taswira wakati unamwambia mbona unampiga babaako nimelia😥 pole sana mama

  • @jullietumutesi2937
    @jullietumutesi29372 жыл бұрын

    Hiviii dunia hii tunaelekea wapiiii eeeeh Mungu😭😭😭😭 so sad jamaniii

  • @christinemangaza6303
    @christinemangaza63032 жыл бұрын

    Pole sana mama 😩😩😩

  • @simonraphaeli1426
    @simonraphaeli14262 жыл бұрын

    Aaaah dah inauma hatakuzaa inakatishatamaaa

  • @bettykarimi9267
    @bettykarimi92672 жыл бұрын

    Pole Sana mama

  • @josephinerclemence7804
    @josephinerclemence78042 жыл бұрын

    Pole mama angu mungu akutie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu pole yaani hdi choz limenitoka

  • @estherjustine5266
    @estherjustine52662 жыл бұрын

    Nyie dunia imeisha wallah tena hivi tunataka tuone nini ili tugundue kuwa dunia imeisha?????😭nna mtt mmoja wakiume lakin naogop kuzaa tena watt wamekazana kuuwa wazazi wakike aua mama wakiume Baba yaaan jamani Mungu tunusuru

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g2 жыл бұрын

    Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 🤲 umeniliza mama ,nilitamani Sana kupata japo usia WA Baba Ila Baba alinika taa nimelelewa Tu na mama ☹️wengine mmejaaliwa wazazi wote wawili na mnausiwa mazuri lakini mnawaowa?!?!shetani yupi kazini tuweni makini Sana ndugu zangu

  • @joshuamchiwa861
    @joshuamchiwa8612 жыл бұрын

    Inauma sana. Pole sana Mama na Mwalimu wangu tokea darasa la kwanza na la pili. Vijana tunatakiwa tujitathmini sana, maana inakuwa inapitiliza sasa.

  • @gatichacha4708
    @gatichacha47082 жыл бұрын

    Pole sana

  • @reubenismail3672
    @reubenismail36722 жыл бұрын

    Mtoto wazazi wamekulea kwa shida Leo unamuua baba yako!umesomeshwa na umepata kazi,shukrani yako ndo hiyo kwa baba yako!

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha26252 жыл бұрын

    Doooh! Inasikitisha sana kwa kweli..... Tumwombe Mwenyezi Mungu atujaalie watoto wema

  • @saniakisinga3645
    @saniakisinga36452 жыл бұрын

    Mama pole sana, muombe Mungu pepo la mauti hilo ktk ukoo na familia,lishindwe kwa jina la yesu.

  • @ayshasulaiman5026
    @ayshasulaiman50262 жыл бұрын

    Huu ni mtihani Allah atunusuru na watoto wetu

  • @cautharyally5584
    @cautharyally55842 жыл бұрын

    Hapana kabisa una kifungo cha maisha naona hakisaidi coz kule gerezani anapokuwa anakuwa anaishi bado na anakuwa anakula na kukaa kwa amani wakati yeye ni muaji kwann na yeye asinyongwe ? Roho inaniuma sana daah

  • @matatomlik1846
    @matatomlik18462 жыл бұрын

    Innalilah wainna ilayihi rajiun

  • @kakulukatikilo9814
    @kakulukatikilo98142 жыл бұрын

    Lakini ufahamu neno hili siku za mwisho kutakuwa na nyakati za hatari!!!! Ee Mungu tuhurumie.

  • @tamashanuhu2668
    @tamashanuhu26682 жыл бұрын

    Innalilah wainna ilahy rajioun.... dah inauma sanaa

  • @jamaalsaleem2926
    @jamaalsaleem29262 жыл бұрын

    Wengine tunatamani baba zetu wangekuwa hai wengine wanawauwa😭😭

  • @heriethjoram3298
    @heriethjoram32982 жыл бұрын

    Mungu Wetu Wa Rehema Turehemu sisi.

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif472 жыл бұрын

    Pole sana mamaangu pole sana inaumaaa jamani MTT umzae mwenyewe umlee kwafurahaaa leo aje kukutoa roho dah

  • @judithmakuto3612
    @judithmakuto36122 жыл бұрын

    Watanzania kesi za mauji,Zimezidi,Mungu awabadilishe

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay18942 жыл бұрын

    Daah pole saana mama Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu 🙏

Келесі