WANAFUNZI WIGAMBA SEC WAFUNGUKA KIFO CHA MWEZAO "HATUAMINI, ALITUAGA HATUKUJUA"
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 481
Yapo Mambo Mengi Yakujifunza. Moja Nakubwa Ni Tujitahidi Kumuabudu MOLA Kwakadri Ya Imani Yadini Yako. Bila Umri Namuda Kwamaana Muda Mwingi Nikujitahidi Kwaibada Kwanini Twasema Nahatumaanishi Yakuwa Sisi Niwacha MUNGU Lakini Kiilivyo Ukweli Nikwamba Hakuna Namna Yakuukimbia Umauti Isipokuwa Namna Yakujiandaa Naumauti. Nahakuna Maandalizi Zaidi Yakufanya Ibada. Kwasababu Hakichagui' Hakina Taarifa" Wala Muda Maalumu. ILLAH KARIM Atusaidie Sisi Najamaa Zetu Namarafiki Juu Yakukumbuka Umauti. Pamoja Namipango Yetu. Kifo Nacho Kinamipango Yake. WABILLAH TAUFIQ
@rechoinnosent5578
2 жыл бұрын
Jmna inaumiza sana
@yusufuheri6524
2 жыл бұрын
Inauma sana
@ngoshatv1438
Жыл бұрын
Base
@mwamuyerajab2767
Жыл бұрын
Rip
@user-ps4oc3nt3u
Ай бұрын
Inauma sana jamani kweli umaut tuna tembeya nao inalilah wa inalilah rajun
Maskini pole sana wanafunzi hasa wewe uliokua wataniana nae nakukaa nae dawati moja lazima uuumie sana mwanangu
Poleni sana wapendwa kwa msiba wa mwanafunzi Frasins Mwakayoka nimeumia sana kwa kusikia kifo chake.Mungu awe faraja yenu.
Tunakushukuru Mungu si kwa kumtwaa Francisco Mwakajoka, bali KWA kumleta kwetu na kuendelea kutupa Fundisho kubwa kupitia Fumbo la kifo. Pumzika Francis.. mwenyezi Mungu akufanye Uwe kasisi wake Uko Mbinguni
@sylviatesha4663
2 жыл бұрын
Hakika katuachia ujumbe.
Dah inahuzunisha sana, RIP Francis poleni sana wanafamilia
Inauma Sana😭 poleni Sana,hapa kunafundisho juu yakuwa tayari muda wotewote kuwa na Mungu wetu
Mungu mwingi wa rehema awafariji wanaigamba sote pamoja nafamilia Walimu na wanafunzi wote .mwanga wa milele umpe Ebwana.
Polen Jaman Mungu ampokee na apumzishe roho yake mahali pema 😭😭😭😭 🙏🙏🙏❣️
Pole Kwa walim na wanafunz mung awatie moyo wanafunz wot pia na wazaz wa marehem bwan ametoa na bwan ametwaa Jin la bwan lihimidiw amin
Imeniuma nalia jmani huyu alikuwa Padre wetu...mtarajiwa....Mungu ampokee kwenye mji wake wa milele.
Nimejikuta nalia japo simjui aisee rest in peace Francis mwendo umeumaliza mtoto wetu
Rest easy uncle. Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo umeumaliza. Amen
@sarahsimon7041
2 жыл бұрын
Do you know him
Poleni sana wana familia na wanafunzi wote inasikitisha sana lakini ndo mipango ya mungu cha muhimu ni maombi kwa kijana wetu mungu awape nguvu wazazi wake
Daah kiukweli inaumiza mnoo.Rest in peace a faithfull stident franciss
Yani France nimeongea nawewe baada ya wiki mdogo wangu naambiwa umetutoka kweli inauma bora ungeumwa hii ghafla inauma sana 😭😭😭😭
Hii ni ixara kwamb dunian sisi ni wapitaji tu haijalishi una umri mdogo kiasi gan kikubwa ni kuwa tayar any time,poleni sana😭😭😭 na Mungu awatie nguvu
Poleni sana wazazi wanafamilia wa wigamba sekondari ndugu jamaa na marafiki wote...R.i.p Francisco Mwakajoka
@jenyyusuph4973
2 жыл бұрын
Unajua sijaelewa kwahoyo mtoto huyu kafaje ni usrikina sumu au ni vopi
Dah nashindwa hata Cha kusema huruma Sana watt wanavyolia 😭😭😭😭pumzika kwa Aman mwanangu
Nikiangalia hii na mm nakumbuka chuoni ivoivo du😥😭😭😢mungu atawatia nguvu kipindi hichi kugumu wazazi,walimu,na wanafunzi pia
@fainajaffary4070
2 жыл бұрын
Ilikuwaje
Uchungu Sana Sasa hivi nashindwa kuyazuia machozi 😭😭😭😭😭 Rip Francis May you dance with the angles. Eeehh mwenyezi Mungu watie nguvu wanafunzi Hawa.
Poleni sana wafiwa wote, ilachooni sikuzuri hatakidogo madudu yana kaaa sana vyooni ndiomana tunatakiwa tukiingia tusome dua nakutoka pia toseme Ili Mungu atukinge nayo
So sad kwakweli nimeumia ingawa simjuwi mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.
@priestkingagrey
2 жыл бұрын
Tumrudie Mungu aliyetuumba maana wakati hautoshi kwakweli...tumtukuze katika maisha yetu tusidharau neno la Mungu bali tulisikie na kulitenda...sawa tunafanya kazi,biashara, tunasoma na tunatafuta pesa lakini tusimsahau Mungu kwamaana yeye ndo kila kitu maishani mwetu...
Mungu mkali jamani roho Inauma Sana ,,,,ni kijana ambae alikuwa na ndoto kubwa janani kumbe mungu nae kaweka mipange yake ,,fransi ndoto zako zitatimia uko uwendapo utakuwa pastar mzuli kwenye ufalme wa mungu ,,na utojutia kuwepo uko maana utokuwa na mawazo wa strees Tena ,,,,japo uliowaacha na kuskia ndo tutapa shida pare tunapokukumbuka
Du inauma sana kiukweli amenimwaga machozi. Mungu amlaze mahali pema peponi
Poleni sana wafiwa wote! Inaumiza sana hasa kwa mzazi
Dah R.I.P mwanangu sote tu njia moja tangulia baba hii imenipa huzuni nmekumbuka watoto wangu wawili wamenitoka mmoja mwaka jana mmoja mwaka huu eeh MUNGU watie nguvu wanafunzi hawa na wazazi wa marehem piah🙏 ilaze roho ya marehem mahala pema peponi Amen
@zuweinaalhabsya8773
2 жыл бұрын
Pole Sana dear Mungu akupe subra
@mjukuuumachoz1599
2 жыл бұрын
Pole sana😢
@cathyimma7797
2 жыл бұрын
@@zuweinaalhabsya8773 asante my nishapoa
@cathyimma7797
2 жыл бұрын
@@mjukuuumachoz1599 asante sana
@zuweinaalhabsya8773
2 жыл бұрын
@@cathyimma7797 ❤️❤️
Pole sana!! ndugu ndugu na jamaa mifikwa na msiba!!mungu alitwaa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe!😭
R.I.P France poleni sana nduguzetu wigamba 😢😢
Poleni sana watoto Mwenyezimungu awafariji watoto wetu kwa kumpoteza rafiki yenu mwanafunzi mwenzenu! R.I.P Francisco Emmanuel!
Aisee inauma sana jaman polen wafiwa 😭😭
Poleni sana, mungu ametowa na ametwaa!
Dah! Inauma kwel. Poleni sana wafiwa
Pole Kwa wazazi na walimu na wanafunzi
Pole sana wanafunzi,walimu na wazazi inauma kwa kweli 😭😭😭😭😭
Kwa Mungu tumetoka na kwake tutalejea Pole sana ndugu zangu
ee mungu Tulindie watoto wetu ma shuleni duu Imeniuma sana shetani alijua kesho yake yaani Katunyongea mtoto jamani tena huko Chooni Hakufai Wazazi we zangu Tukumbuke kuwaweka watoto wetu mikononi mwanangu Jehovah
Soon painful when a young soul leaves....my dear condolences to the family of the believed .......take hearts...God has reasons for everything...
@janetnyabende217
2 жыл бұрын
So painful rip
Innalilah wynalilah rajiuun 😭😭😭
Pole saana wenzangu
It's been long since I felt this kind of pain and sadness I feel broken and saddened tears can't express. That's painful at a very young age. May God rest his soul in peace.
@tumainisheban6541
2 жыл бұрын
Sorry dear
Duh poleeeee xaana Mungu awatie nguv wot marafik zak piah na walimuu 😭😭😭😭ni uzun kubwa
May fransic soul rest in eternal peace
Kipenzi Cha wanafunzi wote,R.I.P.
Poleni Sana wafiwa wote mhngu amlaze pema peponi eeh yarabi utujahalie mwishomwema waja wako
Polen xan kwa msiba wagafla nami pia n mwanafuz w kidato cha tatu nimesikitika tumempoteza mwenzetu n huzun! (bwana ametoa~bwana ametwaa~jina lake lihimidiwe amin) nawaomba wanafunz wanafunz wenzang tujipe moyo kipindi hiki kigumu cha majonz niko Mwanza ilemela
@Happizo
Ай бұрын
Wewe ni mwanafunzi unafanya nini huku KZread
Poleni sana wanafunzi walimu na wazang Mungu awasaidiye sana
Poleni sana kwakipindi hiki kigimu mungu awatie nguvu ndugu na family kwaujumla
Poleni Sana wanafunzi wote huko aliko mungu amlaze pema Francisco ..
@angellephard7263
2 жыл бұрын
Du Pole sana wana family RIP France
My confidences to you all. May Francisco Rest In Peace 🙏🏾🙏🏾
@nguyatito8121
2 жыл бұрын
Polen wazaz pamoja na ndug
Rest in Peace Fransis. So sad
Mungu ailaze Roho take Manali Pema pake
kwakweli inaumasana napiya mungu awalinde nakuwapa moyo wafiwawote meke nivituvingi vyakujifunza kwayote tunayoyaona okay God bless my family
Poleni sana wanafunzi, walimu na wazazi wa Francis.
Innalillah wainalillah rajuun 😭😭
Polen sana wanafunzi na walim wa shule ya sekondary Wigamba
Shetan ni mpumbavu sana kwan lkn eeeh mungu wasaidie na kuwatetea watoto wetu shetan asipate nafasi kwao
Munguwatotowetu.. Tunawawekamikononimwako.. Pole. Mamamzazi
Rest in peace student our might lord receive your spirit
Nguvu za giza bado zinatutesa binadamu Kuna mkasa mmoja wa mtu mchawi alitoa ushuuda alivyo jitoa uchawin alisema Hawa watu wanaokufa galfa ndio wanawachukuwa kwa mwaka wanachukua watu elfu10....dah inauma Sana jmn😭😭😭😭😭😭😭😭r.i.p
@lilyrose7983
2 жыл бұрын
Huo mkasa uko chanel ipi?Hebu nijuze niusikilize
@neemaruben5427
2 жыл бұрын
@@lilyrose7983 andika tu simkumbuki Chanel gn Ila andika mama aliekuwa mchawi ajitoa utaiyona mweusi ivi Kuna part 1 mpk part3 niliskitika Sana na Kuna ya mkaka
Polenii sanaa wogamba sec R.I.P FRANCIS.... 😭😭😭😭😭
Daah sawa francee nakumbuka tulionana jioni amby kesho yak ndo ilikuw siku ya kifo chako kesh ako ulikuwa ukinielekeza jinsi ya kutembea na ukanambh utaanguka jithd uwe unatembea vzr as si ungesema rafiki angu kam ndo ulikuwa unaniaga daaah😭😭😭😭ndakukumbuka daimaaaa
Polen na msiba mmeonesha upendo wenu Kwa franc lakini mungu amempenda Zaid bwana ametoa na bwana ametoa jina la bwana ribalikiwe amin
Inauma xna hakika mungu amlaze mahala pema pepon amina
Daaaaaaahhh inahuzunisha kwakweli 😭😭
Jamn mbon nammi nalia nawakat at simjui huyo flancis inaumiza kwakweli hivi viatu nivigumu kivivaa eemungu wape ujasili wazazi wake
Poleni sana.mungu awaited nguvu
So saad. May God guide his family and all friends.... #RIP_Francis
Rest In Peace Frans...inauma sana kwakweli....kifo chako kinasikitisha mno...Rest Easy Frans...Rest in etrnal Peace young bro
@frankkomba1244
2 жыл бұрын
Polen jaman mungu amuweke maaripem😭😭😭😭😭
Rest in peace my young bro
mungu awape nguvu waliopatwa na msiba huu mzito daa
inatia uchungu sana japo safari ya wote maan unaona km story tu mtu anasimulia kumbe RIP ninda mdg wetu mwendo umeumaliza ndoto imezima km mshumaa😭😭🤚tutaonana baadae.
Innallillah wainnaillaih rajuun polen Sanaa Jmn
JE UNAFAHAM Njia Rahisi Ya Kuondoa changamoto ya kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo ndani ya siku 7 tu! Hakuna kitu kinakera kwa mwanaume kama kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo Tatizo hili limewafanya wanaume wengi kushindwa kufurahia maisha Ya ndoa na kuaibika kwa wenza wao Mbaya Zaidi limewaondolea amani na ujasili kwenye mahusiano yao Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili usipolitibu mapema linaweza kukuondolea uwezo wa kushiriki tendo la ndoa milele.na mahusiano yako kuharibika kabisa Habari mbaya zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio. Kama na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo Basi Nina habari Nzuri kwako. Nimekuandalia PROGRAM Maalum BURE, itakayokuelekeza hatua kwa hatua … Namna sahihi ya kuondoa tatizo hilo bila kutumia madawa yenye madhara Kupata PROGRAM yako BURE save namba yangu 0627970873(AFYA_HEALTH_CARE) kisha ntumie ujumbe (NGUVU) Kwenda whatsApp kisha nitakutumia PROGRAM yako BURE. N.B: Ujumbe hautokuwepo Online Muda wote Chukua hatua kabla ujumbe huu KARIBUNI SANA🤝🤝💪
Poleni sana sana. Huzuni kubwa kwa kweli. Mwl Hilda Shoo nn kilitokea??
Pole sana
Mungu wafape faraja wafiwa
Rest in peace God be with you
Pole sana😭
Inauma sana poleni sana wapendwa.. kweli kifo ni popote na Wala hakina taarifa
polen sana inauma sana kumpoteza mwanafunz mwenzenu, bwana ametoa bwana ametwaa jina lake litukuzwe
Polee wanafamilia wotee wa marehem jmn mungu awatie nguvu😭😭😭😭😭😭😭😭
So sad 😢
Poreni sana wanafunzi Wa WIGAMBA S.C poren wazaz na ndgu na Jamaa kwa ujumla kwa kuondokewa na kijana wenu mpendwa.
Inauma sana mungu awatie nguvu
Eeeh mungu wangu wewe umetuumba sisi kwa makusudi yko umpokee uyo kijana aliyekuwa anahofu na mungu amewazidi hta watu wenye umri mkubwa kwakweli inauma sana jaman daaah
Pole
My sincere condolences to Francis's family & relatives, the school and friends.
Rest in peace 😭
Aiseeeeeh inna lilahi wainna ilahi rajuuni
Poleni sana Mungu awatie nguvu
Poleni sana
Mungu alaze roho Yake mahali pema pepon
Poleni sana mungu awatie nguvu
Poleni Sana yaani Hawa vijana wanajua kujieleza
😭😭😭😭 Polen sana wanafunzi wote R I P
poleni sana wigamba secondary school
Wanafunzi wote hao nimewafundusha katka shule hiyo nikiwa field mwaka huu...poleni sana 😭
@innocentjoseph805
2 жыл бұрын
Iko mkoa gani hiyo shule,?
Poleni sana kwa msiba huwo
Sir God be with all students, R.I.P mr
Pest in peace mdg Wang oooh .😭😭😭 Tutubun jaman hatujui saa Wala wakati