WANAFUNZI WIGAMBA SEC WAFUNGUKA KIFO CHA MWEZAO "HATUAMINI, ALITUAGA HATUKUJUA"

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 481

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau34932 жыл бұрын

    Yapo Mambo Mengi Yakujifunza. Moja Nakubwa Ni Tujitahidi Kumuabudu MOLA Kwakadri Ya Imani Yadini Yako. Bila Umri Namuda Kwamaana Muda Mwingi Nikujitahidi Kwaibada Kwanini Twasema Nahatumaanishi Yakuwa Sisi Niwacha MUNGU Lakini Kiilivyo Ukweli Nikwamba Hakuna Namna Yakuukimbia Umauti Isipokuwa Namna Yakujiandaa Naumauti. Nahakuna Maandalizi Zaidi Yakufanya Ibada. Kwasababu Hakichagui' Hakina Taarifa" Wala Muda Maalumu. ILLAH KARIM Atusaidie Sisi Najamaa Zetu Namarafiki Juu Yakukumbuka Umauti. Pamoja Namipango Yetu. Kifo Nacho Kinamipango Yake. WABILLAH TAUFIQ

  • @rechoinnosent5578

    @rechoinnosent5578

    2 жыл бұрын

    Jmna inaumiza sana

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    2 жыл бұрын

    Inauma sana

  • @ngoshatv1438

    @ngoshatv1438

    Жыл бұрын

    Base

  • @mwamuyerajab2767

    @mwamuyerajab2767

    Жыл бұрын

    Rip

  • @user-ps4oc3nt3u

    @user-ps4oc3nt3u

    Ай бұрын

    Inauma sana jamani kweli umaut tuna tembeya nao inalilah wa inalilah rajun

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif472 жыл бұрын

    Maskini pole sana wanafunzi hasa wewe uliokua wataniana nae nakukaa nae dawati moja lazima uuumie sana mwanangu

  • @bostonnyatuo8675
    @bostonnyatuo86752 жыл бұрын

    Poleni sana wapendwa kwa msiba wa mwanafunzi Frasins Mwakayoka nimeumia sana kwa kusikia kifo chake.Mungu awe faraja yenu.

  • @raymondlaurent9403
    @raymondlaurent94032 жыл бұрын

    Tunakushukuru Mungu si kwa kumtwaa Francisco Mwakajoka, bali KWA kumleta kwetu na kuendelea kutupa Fundisho kubwa kupitia Fumbo la kifo. Pumzika Francis.. mwenyezi Mungu akufanye Uwe kasisi wake Uko Mbinguni

  • @sylviatesha4663

    @sylviatesha4663

    2 жыл бұрын

    Hakika katuachia ujumbe.

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander11702 жыл бұрын

    Dah inahuzunisha sana, RIP Francis poleni sana wanafamilia

  • @magesagamba2749
    @magesagamba27492 жыл бұрын

    Inauma Sana😭 poleni Sana,hapa kunafundisho juu yakuwa tayari muda wotewote kuwa na Mungu wetu

  • @burtonlwenje1851
    @burtonlwenje18512 жыл бұрын

    Mungu mwingi wa rehema awafariji wanaigamba sote pamoja nafamilia Walimu na wanafunzi wote .mwanga wa milele umpe Ebwana.

  • @modestajackson9425
    @modestajackson94252 жыл бұрын

    Polen Jaman Mungu ampokee na apumzishe roho yake mahali pema 😭😭😭😭 🙏🙏🙏❣️

  • @evafransis8812
    @evafransis8812 Жыл бұрын

    Pole Kwa walim na wanafunz mung awatie moyo wanafunz wot pia na wazaz wa marehem bwan ametoa na bwan ametwaa Jin la bwan lihimidiw amin

  • @joycemlwale5422
    @joycemlwale54222 жыл бұрын

    Imeniuma nalia jmani huyu alikuwa Padre wetu...mtarajiwa....Mungu ampokee kwenye mji wake wa milele.

  • @honorathakiluku7722
    @honorathakiluku77222 жыл бұрын

    Nimejikuta nalia japo simjui aisee rest in peace Francis mwendo umeumaliza mtoto wetu

  • @emmanuelmwakifuna6237
    @emmanuelmwakifuna62372 жыл бұрын

    Rest easy uncle. Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo umeumaliza. Amen

  • @sarahsimon7041

    @sarahsimon7041

    2 жыл бұрын

    Do you know him

  • @halimamasai2234
    @halimamasai22342 жыл бұрын

    Poleni sana wana familia na wanafunzi wote inasikitisha sana lakini ndo mipango ya mungu cha muhimu ni maombi kwa kijana wetu mungu awape nguvu wazazi wake

  • @waheedhamad4558
    @waheedhamad45582 жыл бұрын

    Daah kiukweli inaumiza mnoo.Rest in peace a faithfull stident franciss

  • @kaziamyself6830
    @kaziamyself68302 жыл бұрын

    Yani France nimeongea nawewe baada ya wiki mdogo wangu naambiwa umetutoka kweli inauma bora ungeumwa hii ghafla inauma sana 😭😭😭😭

  • @VanisyJonathan
    @VanisyJonathan3 ай бұрын

    Hii ni ixara kwamb dunian sisi ni wapitaji tu haijalishi una umri mdogo kiasi gan kikubwa ni kuwa tayar any time,poleni sana😭😭😭 na Mungu awatie nguvu

  • @taiceedward8167
    @taiceedward81672 жыл бұрын

    Poleni sana wazazi wanafamilia wa wigamba sekondari ndugu jamaa na marafiki wote...R.i.p Francisco Mwakajoka

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    2 жыл бұрын

    Unajua sijaelewa kwahoyo mtoto huyu kafaje ni usrikina sumu au ni vopi

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu42612 жыл бұрын

    Dah nashindwa hata Cha kusema huruma Sana watt wanavyolia 😭😭😭😭pumzika kwa Aman mwanangu

  • @selinaselin8928
    @selinaselin89282 жыл бұрын

    Nikiangalia hii na mm nakumbuka chuoni ivoivo du😥😭😭😢mungu atawatia nguvu kipindi hichi kugumu wazazi,walimu,na wanafunzi pia

  • @fainajaffary4070

    @fainajaffary4070

    2 жыл бұрын

    Ilikuwaje

  • @elizabethkhayasi8422
    @elizabethkhayasi84222 жыл бұрын

    Uchungu Sana Sasa hivi nashindwa kuyazuia machozi 😭😭😭😭😭 Rip Francis May you dance with the angles. Eeehh mwenyezi Mungu watie nguvu wanafunzi Hawa.

  • @rahmaabdulla4949
    @rahmaabdulla49492 жыл бұрын

    Poleni sana wafiwa wote, ilachooni sikuzuri hatakidogo madudu yana kaaa sana vyooni ndiomana tunatakiwa tukiingia tusome dua nakutoka pia toseme Ili Mungu atukinge nayo

  • @sharinv8864
    @sharinv88642 жыл бұрын

    So sad kwakweli nimeumia ingawa simjuwi mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.

  • @priestkingagrey

    @priestkingagrey

    2 жыл бұрын

    Tumrudie Mungu aliyetuumba maana wakati hautoshi kwakweli...tumtukuze katika maisha yetu tusidharau neno la Mungu bali tulisikie na kulitenda...sawa tunafanya kazi,biashara, tunasoma na tunatafuta pesa lakini tusimsahau Mungu kwamaana yeye ndo kila kitu maishani mwetu...

  • @rehemaathuman6669
    @rehemaathuman66692 жыл бұрын

    Mungu mkali jamani roho Inauma Sana ,,,,ni kijana ambae alikuwa na ndoto kubwa janani kumbe mungu nae kaweka mipange yake ,,fransi ndoto zako zitatimia uko uwendapo utakuwa pastar mzuli kwenye ufalme wa mungu ,,na utojutia kuwepo uko maana utokuwa na mawazo wa strees Tena ,,,,japo uliowaacha na kuskia ndo tutapa shida pare tunapokukumbuka

  • @happynessmassawe4721
    @happynessmassawe47212 жыл бұрын

    Du inauma sana kiukweli amenimwaga machozi. Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @priscajohn6090
    @priscajohn60902 жыл бұрын

    Poleni sana wafiwa wote! Inaumiza sana hasa kwa mzazi

  • @cathyimma7797
    @cathyimma77972 жыл бұрын

    Dah R.I.P mwanangu sote tu njia moja tangulia baba hii imenipa huzuni nmekumbuka watoto wangu wawili wamenitoka mmoja mwaka jana mmoja mwaka huu eeh MUNGU watie nguvu wanafunzi hawa na wazazi wa marehem piah🙏 ilaze roho ya marehem mahala pema peponi Amen

  • @zuweinaalhabsya8773

    @zuweinaalhabsya8773

    2 жыл бұрын

    Pole Sana dear Mungu akupe subra

  • @mjukuuumachoz1599

    @mjukuuumachoz1599

    2 жыл бұрын

    Pole sana😢

  • @cathyimma7797

    @cathyimma7797

    2 жыл бұрын

    @@zuweinaalhabsya8773 asante my nishapoa

  • @cathyimma7797

    @cathyimma7797

    2 жыл бұрын

    @@mjukuuumachoz1599 asante sana

  • @zuweinaalhabsya8773

    @zuweinaalhabsya8773

    2 жыл бұрын

    @@cathyimma7797 ❤️❤️

  • @rachelthomas1866
    @rachelthomas18662 жыл бұрын

    Pole sana!! ndugu ndugu na jamaa mifikwa na msiba!!mungu alitwaa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe!😭

  • @isayamalekela8884
    @isayamalekela88842 жыл бұрын

    R.I.P France poleni sana nduguzetu wigamba 😢😢

  • @subirajohn728
    @subirajohn7282 жыл бұрын

    Poleni sana watoto Mwenyezimungu awafariji watoto wetu kwa kumpoteza rafiki yenu mwanafunzi mwenzenu! R.I.P Francisco Emmanuel!

  • @habibashila5629
    @habibashila56292 жыл бұрын

    Aisee inauma sana jaman polen wafiwa 😭😭

  • @patrickkansonso4506
    @patrickkansonso45062 жыл бұрын

    Poleni sana, mungu ametowa na ametwaa!

  • @hajamaonlinetv6508
    @hajamaonlinetv65082 жыл бұрын

    Dah! Inauma kwel. Poleni sana wafiwa

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura57632 жыл бұрын

    Pole Kwa wazazi na walimu na wanafunzi

  • @olphamoraa6683
    @olphamoraa66832 жыл бұрын

    Pole sana wanafunzi,walimu na wazazi inauma kwa kweli 😭😭😭😭😭

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking33262 жыл бұрын

    Kwa Mungu tumetoka na kwake tutalejea Pole sana ndugu zangu

  • @maryjaselly7772
    @maryjaselly77722 жыл бұрын

    ee mungu Tulindie watoto wetu ma shuleni duu Imeniuma sana shetani alijua kesho yake yaani Katunyongea mtoto jamani tena huko Chooni Hakufai Wazazi we zangu Tukumbuke kuwaweka watoto wetu mikononi mwanangu Jehovah

  • @mercyraphael8387
    @mercyraphael83872 жыл бұрын

    Soon painful when a young soul leaves....my dear condolences to the family of the believed .......take hearts...God has reasons for everything...

  • @janetnyabende217

    @janetnyabende217

    2 жыл бұрын

    So painful rip

  • @zayumar2955
    @zayumar29552 жыл бұрын

    Innalilah wynalilah rajiuun 😭😭😭

  • @fauxyahasan5440
    @fauxyahasan54402 жыл бұрын

    Pole saana wenzangu

  • @stephenomondi2437
    @stephenomondi24372 жыл бұрын

    It's been long since I felt this kind of pain and sadness I feel broken and saddened tears can't express. That's painful at a very young age. May God rest his soul in peace.

  • @tumainisheban6541

    @tumainisheban6541

    2 жыл бұрын

    Sorry dear

  • @AgnessmichaelJilya
    @AgnessmichaelJilya2 ай бұрын

    Duh poleeeee xaana Mungu awatie nguv wot marafik zak piah na walimuu 😭😭😭😭ni uzun kubwa

  • @jacenorman86
    @jacenorman862 жыл бұрын

    May fransic soul rest in eternal peace

  • @christinachriss9231
    @christinachriss92312 жыл бұрын

    Kipenzi Cha wanafunzi wote,R.I.P.

  • @zulfakajanja1170
    @zulfakajanja1170 Жыл бұрын

    Poleni Sana wafiwa wote mhngu amlaze pema peponi eeh yarabi utujahalie mwishomwema waja wako

  • @mtatirosolo421
    @mtatirosolo4212 жыл бұрын

    Polen xan kwa msiba wagafla nami pia n mwanafuz w kidato cha tatu nimesikitika tumempoteza mwenzetu n huzun! (bwana ametoa~bwana ametwaa~jina lake lihimidiwe amin) nawaomba wanafunz wanafunz wenzang tujipe moyo kipindi hiki kigumu cha majonz niko Mwanza ilemela

  • @Happizo

    @Happizo

    Ай бұрын

    Wewe ni mwanafunzi unafanya nini huku KZread

  • @joshuamwanilwa7562
    @joshuamwanilwa75622 жыл бұрын

    Poleni sana wanafunzi walimu na wazang Mungu awasaidiye sana

  • @andrewpeter823
    @andrewpeter823 Жыл бұрын

    Poleni sana kwakipindi hiki kigimu mungu awatie nguvu ndugu na family kwaujumla

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba85312 жыл бұрын

    Poleni Sana wanafunzi wote huko aliko mungu amlaze pema Francisco ..

  • @angellephard7263

    @angellephard7263

    2 жыл бұрын

    Du Pole sana wana family RIP France

  • @agnesjohnson2393
    @agnesjohnson23932 жыл бұрын

    My confidences to you all. May Francisco Rest In Peace 🙏🏾🙏🏾

  • @nguyatito8121

    @nguyatito8121

    2 жыл бұрын

    Polen wazaz pamoja na ndug

  • @ethelgivamakota7143
    @ethelgivamakota71432 жыл бұрын

    Rest in Peace Fransis. So sad

  • @elshamakomba4633
    @elshamakomba46332 жыл бұрын

    Mungu ailaze Roho take Manali Pema pake

  • @januaryyolam1407
    @januaryyolam14072 жыл бұрын

    kwakweli inaumasana napiya mungu awalinde nakuwapa moyo wafiwawote meke nivituvingi vyakujifunza kwayote tunayoyaona okay God bless my family

  • @greatiq7835
    @greatiq78352 жыл бұрын

    Poleni sana wanafunzi, walimu na wazazi wa Francis.

  • @mamuonthego8993
    @mamuonthego89932 жыл бұрын

    Innalillah wainalillah rajuun 😭😭

  • @mecksondeoneclassic8635
    @mecksondeoneclassic86352 жыл бұрын

    Polen sana wanafunzi na walim wa shule ya sekondary Wigamba

  • @elinahjoseph3085
    @elinahjoseph30852 жыл бұрын

    Shetan ni mpumbavu sana kwan lkn eeeh mungu wasaidie na kuwatetea watoto wetu shetan asipate nafasi kwao

  • @elizaibrahim2835
    @elizaibrahim28352 жыл бұрын

    Munguwatotowetu.. Tunawawekamikononimwako.. Pole. Mamamzazi

  • @fajerfajer4664
    @fajerfajer46642 жыл бұрын

    Rest in peace student our might lord receive your spirit

  • @neemaruben5427
    @neemaruben54272 жыл бұрын

    Nguvu za giza bado zinatutesa binadamu Kuna mkasa mmoja wa mtu mchawi alitoa ushuuda alivyo jitoa uchawin alisema Hawa watu wanaokufa galfa ndio wanawachukuwa kwa mwaka wanachukua watu elfu10....dah inauma Sana jmn😭😭😭😭😭😭😭😭r.i.p

  • @lilyrose7983

    @lilyrose7983

    2 жыл бұрын

    Huo mkasa uko chanel ipi?Hebu nijuze niusikilize

  • @neemaruben5427

    @neemaruben5427

    2 жыл бұрын

    @@lilyrose7983 andika tu simkumbuki Chanel gn Ila andika mama aliekuwa mchawi ajitoa utaiyona mweusi ivi Kuna part 1 mpk part3 niliskitika Sana na Kuna ya mkaka

  • @lovereenmuddy9446
    @lovereenmuddy94462 жыл бұрын

    Polenii sanaa wogamba sec R.I.P FRANCIS.... 😭😭😭😭😭

  • @carollinenassoro2261
    @carollinenassoro22612 жыл бұрын

    Daah sawa francee nakumbuka tulionana jioni amby kesho yak ndo ilikuw siku ya kifo chako kesh ako ulikuwa ukinielekeza jinsi ya kutembea na ukanambh utaanguka jithd uwe unatembea vzr as si ungesema rafiki angu kam ndo ulikuwa unaniaga daaah😭😭😭😭ndakukumbuka daimaaaa

  • @deboraagizo2877
    @deboraagizo2877 Жыл бұрын

    Polen na msiba mmeonesha upendo wenu Kwa franc lakini mungu amempenda Zaid bwana ametoa na bwana ametoa jina la bwana ribalikiwe amin

  • @mudhilshaibu1895
    @mudhilshaibu18952 жыл бұрын

    Inauma xna hakika mungu amlaze mahala pema pepon amina

  • @rehemakassim4915
    @rehemakassim49152 жыл бұрын

    Daaaaaaahhh inahuzunisha kwakweli 😭😭

  • @mwajumaramadhani2677
    @mwajumaramadhani26772 жыл бұрын

    Jamn mbon nammi nalia nawakat at simjui huyo flancis inaumiza kwakweli hivi viatu nivigumu kivivaa eemungu wape ujasili wazazi wake

  • @user-eu2hn4sz6h
    @user-eu2hn4sz6h3 ай бұрын

    Poleni sana.mungu awaited nguvu

  • @yvansysko
    @yvansysko2 жыл бұрын

    So saad. May God guide his family and all friends.... #RIP_Francis

  • @khadijandege2036
    @khadijandege20362 жыл бұрын

    Rest In Peace Frans...inauma sana kwakweli....kifo chako kinasikitisha mno...Rest Easy Frans...Rest in etrnal Peace young bro

  • @frankkomba1244

    @frankkomba1244

    2 жыл бұрын

    Polen jaman mungu amuweke maaripem😭😭😭😭😭

  • @faustakawogo4539
    @faustakawogo45392 жыл бұрын

    Rest in peace my young bro

  • @diegobabalao2207
    @diegobabalao22072 жыл бұрын

    mungu awape nguvu waliopatwa na msiba huu mzito daa

  • @winfridathomas9325
    @winfridathomas93252 жыл бұрын

    inatia uchungu sana japo safari ya wote maan unaona km story tu mtu anasimulia kumbe RIP ninda mdg wetu mwendo umeumaliza ndoto imezima km mshumaa😭😭🤚tutaonana baadae.

  • @saadalacha4541
    @saadalacha45412 жыл бұрын

    Innallillah wainnaillaih rajuun polen Sanaa Jmn

  • @nophatngogo1620
    @nophatngogo16202 жыл бұрын

    JE UNAFAHAM Njia Rahisi Ya Kuondoa changamoto ya kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo ndani ya siku 7 tu! Hakuna kitu kinakera kwa mwanaume kama kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo Tatizo hili limewafanya wanaume wengi kushindwa kufurahia maisha Ya ndoa na kuaibika kwa wenza wao Mbaya Zaidi limewaondolea amani na ujasili kwenye mahusiano yao Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili usipolitibu mapema linaweza kukuondolea uwezo wa kushiriki tendo la ndoa milele.na mahusiano yako kuharibika kabisa Habari mbaya zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio. Kama na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo Basi Nina habari Nzuri kwako. Nimekuandalia PROGRAM Maalum BURE, itakayokuelekeza hatua kwa hatua … Namna sahihi ya kuondoa tatizo hilo bila kutumia madawa yenye madhara Kupata PROGRAM yako BURE save namba yangu 0627970873(AFYA_HEALTH_CARE) kisha ntumie ujumbe (NGUVU) Kwenda whatsApp kisha nitakutumia PROGRAM yako BURE. N.B: Ujumbe hautokuwepo Online Muda wote Chukua hatua kabla ujumbe huu KARIBUNI SANA🤝🤝💪

  • @hildaminja5148
    @hildaminja51482 жыл бұрын

    Poleni sana sana. Huzuni kubwa kwa kweli. Mwl Hilda Shoo nn kilitokea??

  • @mbtvmedia6827
    @mbtvmedia68272 жыл бұрын

    Pole sana

  • @user-hl4rw9xe3u
    @user-hl4rw9xe3u2 жыл бұрын

    Mungu wafape faraja wafiwa

  • @joanesmtalemwa2696
    @joanesmtalemwa26962 жыл бұрын

    Rest in peace God be with you

  • @prisiusfelcian5271
    @prisiusfelcian52712 жыл бұрын

    Pole sana😭

  • @watototunawezatuwezeshwe6126
    @watototunawezatuwezeshwe61262 жыл бұрын

    Inauma sana poleni sana wapendwa.. kweli kifo ni popote na Wala hakina taarifa

  • @bernardmaganga1572
    @bernardmaganga15722 жыл бұрын

    polen sana inauma sana kumpoteza mwanafunz mwenzenu, bwana ametoa bwana ametwaa jina lake litukuzwe

  • @latifahmoses4001
    @latifahmoses40012 жыл бұрын

    Polee wanafamilia wotee wa marehem jmn mungu awatie nguvu😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @vionahsikanga2209
    @vionahsikanga22092 жыл бұрын

    So sad 😢

  • @amosjdstivejd6976
    @amosjdstivejd69762 жыл бұрын

    Poreni sana wanafunzi Wa WIGAMBA S.C poren wazaz na ndgu na Jamaa kwa ujumla kwa kuondokewa na kijana wenu mpendwa.

  • @zarimumtausi216
    @zarimumtausi2162 жыл бұрын

    Inauma sana mungu awatie nguvu

  • @lovenessitiku6293
    @lovenessitiku62932 жыл бұрын

    Eeeh mungu wangu wewe umetuumba sisi kwa makusudi yko umpokee uyo kijana aliyekuwa anahofu na mungu amewazidi hta watu wenye umri mkubwa kwakweli inauma sana jaman daaah

  • @uwaridyjoseph3930
    @uwaridyjoseph39302 жыл бұрын

    Pole

  • @mosesaput7386
    @mosesaput73862 жыл бұрын

    My sincere condolences to Francis's family & relatives, the school and friends.

  • @sniper93999
    @sniper939992 жыл бұрын

    Rest in peace 😭

  • @magomafarasila3202
    @magomafarasila32022 жыл бұрын

    Aiseeeeeh inna lilahi wainna ilahi rajuuni

  • @lenathalukonge77
    @lenathalukonge772 жыл бұрын

    Poleni sana Mungu awatie nguvu

  • @vincentjacobo4219
    @vincentjacobo42192 жыл бұрын

    Poleni sana

  • @user-eg9yj7me9o
    @user-eg9yj7me9o4 ай бұрын

    Mungu alaze roho Yake mahali pema pepon

  • @ashaathuman1472
    @ashaathuman14722 жыл бұрын

    Poleni sana mungu awatie nguvu

  • @rayanamrsshariff5777
    @rayanamrsshariff57772 жыл бұрын

    Poleni Sana yaani Hawa vijana wanajua kujieleza

  • @jescaizengo9722
    @jescaizengo97222 жыл бұрын

    😭😭😭😭 Polen sana wanafunzi wote R I P

  • @yojoruta3379
    @yojoruta33792 жыл бұрын

    poleni sana wigamba secondary school

  • @neemakaale6509
    @neemakaale65092 жыл бұрын

    Wanafunzi wote hao nimewafundusha katka shule hiyo nikiwa field mwaka huu...poleni sana 😭

  • @innocentjoseph805

    @innocentjoseph805

    2 жыл бұрын

    Iko mkoa gani hiyo shule,?

  • @benardtimothy8719
    @benardtimothy87192 жыл бұрын

    Poleni sana kwa msiba huwo

  • @ndalelias3195
    @ndalelias31952 жыл бұрын

    Sir God be with all students, R.I.P mr

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc2 жыл бұрын

    Pest in peace mdg Wang oooh .😭😭😭 Tutubun jaman hatujui saa Wala wakati

Келесі