DAKTARI 'FEKI' anaswa NA DAMU ZA WATU, VIFAA VYA KUTOLEA MIMBA, AKUTWA BAR AKINYWA POMBE

DAKTARI 'FEKI' anaswa NA DAMU ZA WATU, VIFAA VYA KUTOLEA MIMBA, AKUTWA BAR AKINYWA POMBE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 500

  • @user-zb6qu7og4n
    @user-zb6qu7og4n Жыл бұрын

    Mtu anayo taaluma ya doctor apewe ajira kwa nini akamatwe Tanzania ya ovyo kweli😢

  • @tegemeakyangenyenka6111

    @tegemeakyangenyenka6111

    Жыл бұрын

    Huwezi ukafanya hudums bila kibali na cheti je likitokea tatizo kwa mgonjwa watamlaumu nani,basi aprleke vyeti vyake na aende kujitolea kwenye mahospital

  • @crownpress5512

    @crownpress5512

    Жыл бұрын

    Tanzania hapo imeongia vipi ????

  • @haragitabrytoin6411

    @haragitabrytoin6411

    Жыл бұрын

    Anataluma gan , ss maana ata vifaa havijuii majina

  • @chakuboyofficial9720

    @chakuboyofficial9720

    Жыл бұрын

    Wala ihina Aja yaku mfunga apo ina itajika elimu tuu

  • @estherboniphace9695

    @estherboniphace9695

    Жыл бұрын

    Shakira hakuna kajifungulia dispensary yake kosa lake hakufuata taratibu za afya

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 Жыл бұрын

    Kumbe ni daktari mzuri kabisa nawatu Wana pona inabd wampe kibali tu

  • @DrJosephNyakigali
    @DrJosephNyakigali Жыл бұрын

    Ushauru wangu kwa wenye mamlaka watu kama Hawa wenye vipaji waonywe kisha wasaidiwe kukuza vipaji vyao maana ni tunu kubwa kwa taifa

  • @mwesachristopher2785

    @mwesachristopher2785

    Жыл бұрын

    Bora wee dakitari umesema vizuri, kweli jamaa anakipaji Kama ukisikia mgonjwa Yule wa mguu anasema walimpima wakamwambia ata akienda mwimbili Bado ata pona Sasa uyu jamaa anaweza kusaidia .

  • @Reheme-bd2tj
    @Reheme-bd2tj Жыл бұрын

    Watuwengi sana wamepona kupitia yeye mi pia ni shuhuda

  • @jacklinemhagama5372

    @jacklinemhagama5372

    Жыл бұрын

    Wengine ni wataaramu sema walitumbuliwa au vyeti vlichukuliwa

  • @irenegudluck1214
    @irenegudluck1214 Жыл бұрын

    Mpeni kibali baba wa watu mbona mtaalamu mzuri tu 😅

  • @officialkamdudu

    @officialkamdudu

    Жыл бұрын

    huyo ni mwenyewe kabisa sema tu bongo tunaamini makaratasi

  • @yasminjuma9146

    @yasminjuma9146

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @officialkamdudu

    @officialkamdudu

    Жыл бұрын

    @@yasminjuma9146 hapo hatta Mganga mkuu hafui dafu. si unaona cha kusafishia vidonda Mganga mkuu anasema cha kutolea mimba ? sasa hapo Daktari mkuu na Daktari nani Daktari ?🤔😀

  • @happyalicko8571

    @happyalicko8571

    Жыл бұрын

    Huyu ni dr bwana achen kuamini makaratasi

  • @Sxllxvio_wrld
    @Sxllxvio_wrld Жыл бұрын

    Uyu jamaa aachiwe,asa we fikiria hospital mtu anakatishwa mpaka tamaa kwamba hata aende muhimbili haponi lakin kapona,sawa hana kibali lakin anastahili hii nchi tubadilike.people love him,we love him.❤

  • @gogybushi9736
    @gogybushi9736 Жыл бұрын

    Ma daktari proffesional wapo na kazi hawafanyi uyoo katibia watu na wanashuhudia wamepona kama uyo aliyeambiwa ata akienda muhimbil hatoboi. Lakin bado mnamkamata kwel nchi hii kikubwa uhai tu

  • @abbtsa3060
    @abbtsa3060 Жыл бұрын

    Jamani ndio kafanya makosa kwa kufanya kitu bila utaratibu lakini uyu mtu anaonyesha anauzoefu na mtaalamu na anasaidia watu. Mpeni elimu aendeleze ki paji chake kwenye iyo kazi .mmekalia vyeti tu na kujaza watu wasio na uzoefu wowote wa kazi , huyu mtu ni muhimù katika jamii tafadhali mpeni mafunzo na muendelezeni ana kipaji atasaidia baadae uko .ndio maana kuna wakunga wa jadi .sisi watu weusi akisha fundiswa na mzungu basi kamaliza

  • @johnurio1900

    @johnurio1900

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa hii serikali imekalia vyeti tu ,Sasa huyo jamaa Hana cheti lakini anapiga mzigo kuliko hata dk mkuu wa ikonda mpeni mafunzo acheni roho mbaya

  • @isaachayes9783

    @isaachayes9783

    Жыл бұрын

    Nyie mfagilieni tuu, mtakapo fikwa na madhara juu ya hawa watu ndio mtaona madhara yake.

  • @gustavompemba1781

    @gustavompemba1781

    Жыл бұрын

    @@isaachayes9783 ata mm nashangaa

  • @janethkomba4485

    @janethkomba4485

    Жыл бұрын

    kabisaaaa

  • @zuzuutv8782

    @zuzuutv8782

    Жыл бұрын

    ukweli kabisa

  • @putotamu7044
    @putotamu7044 Жыл бұрын

    Watu wametoka sehemu za mbali inamaana huyo anaweza kufanya kazi huyo mganga mkuu ni wivu watu hawaendi hosptal zao serikali huyo asaidiwe

  • @zehrahaji1566

    @zehrahaji1566

    Жыл бұрын

    Lkn kwanini vifaa haoshi anaviweka vichafu anaweza kuwaambukiza magonjwa

  • @everinamhagama2961

    @everinamhagama2961

    Жыл бұрын

    Yaani hii nchi yetu yahovyo sana ,wanahacha kudili na mashoga na wasagaji ,wanamkamata watu wanao toa msahada kwa jamii

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Жыл бұрын

    Apewe kazi yupo vzriii kabisaaa

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Жыл бұрын

    Huyu anaweza kuwa Ana elimu ndogo saana ya hayo mambo ila Ana kipaji ndani yake.watu kama hawa kwenye nchi za wenzetu wanaendelezwa kwa faida za wananchi.ila huku ataenda magereza.

  • @simbabayeAbibu

    @simbabayeAbibu

    10 ай бұрын

    Tanzania nihatari kuna vitoko kila kukicha watu nwanashuhudiya wamepona nabado wana mupeleka

  • @jasminetesha8225
    @jasminetesha8225 Жыл бұрын

    Serikali muna hospital kila kona ila huduma zenu mbovu tena mnakera kazi yakujaza maforeni ata chamaana akuna ndio maana akitokea mtu anasaidia wananchi wanaenda kujazana

  • @mirajijumbe6568

    @mirajijumbe6568

    Жыл бұрын

    Sasa folen Ni kwaajili ya wagonjwa ulitaka wajaze wanajeshi badala ya wagonjwa chuki sio kitu kizuri

  • @jasminetesha8225

    @jasminetesha8225

    Жыл бұрын

    @@mirajijumbe6568 ivi ushawahi kwenda hospital yaserikali ukaona wanavyojizungusha au unajiongeresha ufala kama mkundu unakuwasha katafute wafilaji mbere usilete usenge kwenye mambo yamsingi

  • @putotamu7044
    @putotamu7044 Жыл бұрын

    Huyu serikali wamsaidie sio wamfunge kwakweli anasaidi serikali yetu viongozi walivyokuwa na roho mbaya watamuweka ndani baada ya kufanya asaidie watu

  • @andrewjulius6796
    @andrewjulius6796 Жыл бұрын

    Jamaa anapiga kazi nzuri angalieni namna ya kum-suport tu serikali Kuna vijiji havina madaktar wenye uwezo kama Hawa,,,,lkn pia wapo wenye vibari na wanatoa watu mimba na hawakamatwi... halafu jamaa anatoa maelezo vzr kabisa,pia wagonjwa wanapewa huduma nzuri tu

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo187 Жыл бұрын

    Jamaa yuko vizuri Serikali kama ni sikivu watakaa nae waone jinsi ya kuendelea kuwasaidia wayu maana inaonekana anatoa huduma safi kabisa

  • @panafricanmawesa2555
    @panafricanmawesa2555 Жыл бұрын

    Mpeni Nafasi na ikiwezekana mkamsomeshe kabisa asee,mliowaajiri wakipew operetaion wafanye ya kichwa wanafany ya mguuu huyo jamaa ajafata sheria lakn ni Dokta hakika

  • @kulwanzobe7657

    @kulwanzobe7657

    Жыл бұрын

    Nakuunga mkono

  • @fatmaally7252

    @fatmaally7252

    Жыл бұрын

    Wampe mtu nafasi anaonèkana anajua

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 Жыл бұрын

    Huyu anatakiwa aachiwe na apewe vibali aendelee na kazi yake

  • @petromsomba4523
    @petromsomba4523 Жыл бұрын

    Tatiz kibali mbon watu wanatoa shuhuda kwamba wamepona kupitia huyo mtu wakati osipitarin wameshindwa mpeni maua yake huyo jamaa

  • @beautyglam6746

    @beautyglam6746

    Жыл бұрын

    AaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAaaaaaAaaaaaaaAaaaaaaaaaaaaAaaaaaaaaaaaaaaaaaaAA🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉AaàaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaàaaaÀaaaàaaaaaaaaa🎉aaààaaàààaaaaaàaaààaaaaaàààaaaaaa🎉aaaa🎉🎉aaaàaaaaàaaaàaaaaàaaaààaaaaaaaaaàààaaaàaaaaaaaààaàaaaààaaaaaaaàààaaaàaààaaaaaaaaaaààaaàaaaaaaaaàaaaààààaaaààaaaaaaaàaaààaàaàaaaàaaaààaàaààààaàaaaaaaaaàààaàaàààaàaàààaàaaaàaaaaààaàaaaaàaAàààaaà🎉àaaàààaààààaàaaa🎉aàaaaaàaaaàaàaaàààaaaaàaaaaaàààaaaàààà🎉aàaaaaaaaaààaàaa🎉🎉🎉

  • @janethkahenza9809
    @janethkahenza9809 Жыл бұрын

    Hana cheti lakini ana uwezo ,Kuna mwenye cheti lakini uwezo ni hafifu ,Kuna anafanya kazi kwasababu kasomea lkin this man it shows has something hidden na akipatiwa mafunzo ipasavyo atakuwa tunu kwetu He's talent an inborn ability obviously needs to be recognized

  • @hajimohamed6093

    @hajimohamed6093

    Жыл бұрын

    Mpeni sapoti anasaidia watu

  • @mwasamiramedics2666
    @mwasamiramedics2666 Жыл бұрын

    Ugumu wa maisha ndiyo chanzo cha yote hayo.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂mzee baba kajikaza sana.. Vifaa vyote anavyo😂😂😂alinunua pharmacy😂😂😂na kajipanga hatari😂😂

  • @jamesgustav196
    @jamesgustav196 Жыл бұрын

    Daaa mimi nina maoni binafsi. Japo ni kweli mtuhumiwa amekamatwa lakini kitendo cha kutoa maelezo ya kila kitu ni kujitia mwenyewe kitanzi, kuomba msaada wa mwanasheria wakati wa sehem kama hio ni jambo la msingi sana, japo kutokana na mazingira halisi ya hapa nyumbani ni ngumu. Ila nadhani nimeeleweka kwa kiasi kidogo. Asanteni

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Жыл бұрын

    Ukiwa na stress somo comments. Zinaondoka zenyewe🤣🤣🤣

  • @loycealute8283
    @loycealute8283 Жыл бұрын

    Mpen kibali sasa angekuwa anauwa sawa mpen maua yake 🌹🌹🌹🌹🔥🔥🔥 doctor mpen kibali tuuuu

  • @greatest_of_africa
    @greatest_of_africa Жыл бұрын

    Serikar yetu unakuta wanamkamata huyo af ilo eneo halina hospital

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Жыл бұрын

    Yuko vizur kama watu wanashuhudia kuwa wanapona!

  • @janethmnubi8117
    @janethmnubi8117 Жыл бұрын

    😢😢😢 sasa wakiumwa naniawasaidia na Doctor wao kaswekwa rumande sasa mleteni huyu mweye Vyeti😂😂😂

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Жыл бұрын

    Anatia huruma japo kafanya makosa na anapenda kazi ya udoctor angeenda kusomea hayo mambo bahati mbaya kachelewa

  • @Mary-fs4mc

    @Mary-fs4mc

    Жыл бұрын

    Ni kweli anatia huruma sana😢,ugumu wa maisha kweli ndio chanzo cha yote haya.

  • @mosule9262

    @mosule9262

    Жыл бұрын

    Kuna waliosomea lakin hawamfikii Kwa huduma zake .

  • @liboriusbabile1197

    @liboriusbabile1197

    Жыл бұрын

    Haja chelewa kabisaa

  • @mariawanjiru1275

    @mariawanjiru1275

    Жыл бұрын

    Saidieni huyo dactari ako na utu sio mu uaji mpeni kazi

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Жыл бұрын

    Bwana eeeh hebu muendelezeni ili aweze kufikia mbali,huko hospitali za kawaida zenyewe madaktari wengine hawaelewi chochote sa si Bora huyu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Duh 🙄 Mwaka wa 18 anahudumia wananchi duh mtihani 😢💔

  • @DaheerK

    @DaheerK

    7 күн бұрын

    Ajaua duh nn naww muache atibu hao wamahospitali siyo waxur mnakula san pesa

  • @iggiejames-dg4ow
    @iggiejames-dg4ow Жыл бұрын

    Msaidieni yuko na talent

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Жыл бұрын

    Huyo mtu anatoa tiba nzuri mno asiwaambie mtu .. hospital zetu za serikali hazimfikii ..ni makaratasi tu Hana (vyeti) mwananchi anahitaji tiba sio sheria ... siasa mavi za hii nchi.

  • @raybby9291
    @raybby9291 Жыл бұрын

    Sasa izo dam si kwaajili ya vipimo acheni roho mbaya km anasaidia apewe kibali hospital za vijijini huduma ni mbaya mno

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 Жыл бұрын

    Hivi Dr wa kwanza kabisa,alisomea wapi?Huyu inaonyesha alikuwa anafanya kazi yake vizuri. Kuna watu wenye wivu wamemchomea.

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Жыл бұрын

    TATIZO KUBWA SELIKALI IMEZIDI GARAMA ZA HUDUMA NDO MANA WANAWAFATA WATU KAMA HAWA

  • @natashachao2862
    @natashachao2862 Жыл бұрын

    This gives me a flash back of a kenyan pilot who got a D in school,never went to an aviation collage.Been flying passengers and never had any accident so if he is good at it grant him documents

  • @Ruu974

    @Ruu974

    Жыл бұрын

    Guessing power with people lives naaaah😂

  • @ruthogungo

    @ruthogungo

    Жыл бұрын

    How is he a thief.. People are attesting that he has helped them

  • @ZTsix
    @ZTsix Жыл бұрын

    Umeona hii nchi yangu sasa inavyo warudisha watu nyuma..?😢😢😢

  • @Hajri188

    @Hajri188

    Жыл бұрын

    Hii nchi yako bwana hamna kitu😅😅

  • @ScolaMasanja-fg7hi

    @ScolaMasanja-fg7hi

    10 ай бұрын

    Huyu anamakosa ila ndani yake anasaidia apewe erimu naapatiwe ajila mana waliosomea nao ukienda skuhiz zalau nying bolahuyu

  • @BONGOINMOTION

    @BONGOINMOTION

    10 ай бұрын

    Kosa lake hajafuata taratibu ,,,muelewesheni afuate taratibu aendelee kusaidia watu

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 Жыл бұрын

    Jamaaa yuko smart sana...amewambia twendeni polis ntaeleza ukweri basi

  • @lawagustino1887
    @lawagustino1887 Жыл бұрын

    Huyo mkaguzi mwembamba alivyo chachamaa utasema jamaa kaua MTU. Mpeni saport dr anafanya kazi vizuri

  • @gorethkalembo8177
    @gorethkalembo8177 Жыл бұрын

    Uyo itakua kuna watu wamemuonea wivu anapata wateja Wakaamua kumletea polisi, 😂😂

  • @ChipugeLaulian-fz1mv
    @ChipugeLaulian-fz1mv Жыл бұрын

    Atakama Hana vet anaweza

  • @YONAPALANGYO-qn5rh
    @YONAPALANGYO-qn5rh Жыл бұрын

    Ni kweli tusitetehe ujinga ila tuombe serekali iwasaidie awa watu wenye vipaji maalumu uyo sio mtu wa kufunga ni mtu wa kuweka sekita maalumu kama makofuli alivyo kuwa anarasimisha watu walio patia vipaji pembeni

  • @nabillalli

    @nabillalli

    Жыл бұрын

    Serikali ina cha kujifunza hapa kupitia wizara yao ya afya.(poor service kwa mahospitali ya serikali ndio yapelekea haya) hao hao madaktar ukienda wanakuelekeza sehem nyingine private ya kupat huduma)Shame

  • @ruthogungo
    @ruthogungo Жыл бұрын

    This man is gifted

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Жыл бұрын

    😂😂😂, mwamba anasema anajitambua nusu

  • @Ruu974

    @Ruu974

    Жыл бұрын

    Uku anawatibu😂

  • @jeromemremi9550
    @jeromemremi9550 Жыл бұрын

    Ahaaa watu wanamsifu Tena balaa hii

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Жыл бұрын

    Km ana vyeti hastahili adhabu kuubwa. Muendelezeni mumuajiri. Huyu daktari bingwa mbona kabisa. Msimdhalilishe jmn. Afuatiliwe tu kama anafaa asamehewe na aendelezwe. Mngewauliza wananchi kwnn wanaenda huko wasiende panapojulikana!

  • @sixmundandrew381
    @sixmundandrew381 Жыл бұрын

    jamaa apelekwe shule kabisa ,,kama kaweza kutoa huduma ya afya miaka 18 na watu wako fresh anaweza kuwa dk

  • @stellah3844

    @stellah3844

    Жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @annwanjiru8897

    @annwanjiru8897

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Жыл бұрын

    Ushauliwangu naomba mpeni kibalu haendelee na KAZI wengine wapo kazini lakini awanaujuzi

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 Жыл бұрын

    Kumbe na watu wanamsifia Kabisa Apewe Elimu Zaidi Ili azidi Kufanya Vizuri ni kipaji Kutoka Kwa Mungu

  • @fridamwamposalivemakitele2583

    @fridamwamposalivemakitele2583

    Жыл бұрын

    Huyu mtu kasoma Tena Yuko vizuri Ila Tanzania ajira hakuna jamani kajiajiri mwenyewe

  • @jumakishipa6790
    @jumakishipa6790 Жыл бұрын

    Tuache yote hayo iyo ni taaluma apewe ajilra tuache siasa hata kama Hana vibari Hana uwezo wa kufungua dispensary Tu tatizo mashert ni magumu tu kiendelezeni kipaji hicho kwa kumpa ajira wapo wengi wa Aina iyo vijijini.

  • @deliriousgentleman7369
    @deliriousgentleman7369 Жыл бұрын

    Hapa kuna mgongano wa ki maslahi ( conflict of interest ) uzoefu haupo kwenye vyetu bali upo ground na ndo maana halisi ya wasomi kuenda field. Apewe vyeti

  • @naomisamwel18
    @naomisamwel18 Жыл бұрын

    Achen kutafuta vyeo...yupo poa tu akitoka nitakuja anihudumie

  • @faustinmarko2278

    @faustinmarko2278

    Жыл бұрын

    😄😄😄😄😄

  • @graciedivyang
    @graciedivyang5 ай бұрын

    Wengine wanapewa na Mungu ( KIPAJI ) watu wame witness kua wanapona c muacheni aendelee

  • @JerinaNguto-vv1gt
    @JerinaNguto-vv1gt10 ай бұрын

    Ugumu,wa,maisha,ndio,chanzo,Cha,maalifa,amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @emmanuelcharles5613
    @emmanuelcharles5613 Жыл бұрын

    Huyo mtu tunamuombea msamaha maana Kama wananchi wenyewe kuwa anatibu vizuri na wengine wanatibiwa sehemu nyingine hawponi wanahangaika Ila kwake Wana pona msameheni msaidini apate vibali aendelee na tiba maana wananchi wa eneo hilo wamemkubali

  • @user-os2dc7hi7y
    @user-os2dc7hi7y Жыл бұрын

    Hata reonadi huwa anasema nikilewa mniache 😅,sasa na huyu muacheni kidogo ili siishe akatoe maelezo mazuri mbele,maana pombe sio chai wenzangu.

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Жыл бұрын

    Uyo jamaa ni doctor mpelekeni hospital akaanze kazi na alipwe mshahara mzuri sana

  • @joramkimario9321
    @joramkimario9321 Жыл бұрын

    Huwenda kukamatwa kwake ndo hapo anapotokea.mungu amsaidie

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 Жыл бұрын

    Yuko sawa wanamuhoji hoji ovyoovyo ...naunavyo wahi kwamba katoa mimba

  • @josephmwavangila1633
    @josephmwavangila1633 Жыл бұрын

    Usikute ..maeneo hayo hakuna hata huduma za afya 😨 All in all kujua sheria si sababu ya kuvunja sheria.. Tuongeze vituo vya huduma za afya nchini

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Жыл бұрын

    Huyo ni docter msaidieni tu kumuendeleza

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk10 ай бұрын

    Serikali hawana makosa wao wana fanya kazi yao ili atunusuru maisha ya watu na huyo daktar feki ana makosa kutibia watu kinyume na utaratibu ndio maana kuna sheria ndio maana kuna utaratibu ndio maana Kukajengwa hospitali ..ndio maana kuna katiba mimi binafsi Nawapongeza sana vyombo vya usalama Mungu awabariki sana🙏🏿

  • @stellah3844
    @stellah3844 Жыл бұрын

    Msaidien ako natalent akii😅😅😅

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Жыл бұрын

    Nipeni hicho kifaa cha kuchungulia ukeni basi.

  • @scorasticaclement6308

    @scorasticaclement6308

    Жыл бұрын

    😂

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi4 ай бұрын

    Tz nchi ya uonevu docta yupo mtaani na sisi tunapona baada mumuajiri mnakwenda mfunga

  • @ahmedkandoro9594
    @ahmedkandoro9594 Жыл бұрын

    Uswahili Tu ! Muacheni afanye kazi

  • @timothalex3249
    @timothalex3249 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anafanya kazi sahihi kwenye mazingira yasiyo sahihi ila ushuhuda upo he is good man Pia amenyooka maan makosa mengine hata waajiriwa wanafanya..

  • @barakaharrison8677
    @barakaharrison8677 Жыл бұрын

    Kumbe wananchi wenyewe wamemkubali wanapata nafuu kuliko hata huduma za wandewa 😂😂😂

  • @mussanaftari870
    @mussanaftari870 Жыл бұрын

    Apewe ajira

  • @edinahmaganga2722
    @edinahmaganga2722 Жыл бұрын

    Huyo ni Dkt mimi mwenyewe naushuhuda miaka ya 1968 kulikuaga na wakunga vijijini ambao hawajasoma ila walikuwa wanazalisha wa mama wajawazito hata chanjo hazikuwepo mimi mwenyewe sina chanjo ya ndui wala polio Mama yangu alinizaa akiwa peke yake akanikata kitovu akanifunga hadi leo Mungu ananisaidia niko poa na mama yangu yupo mzima wa afya anamiaka 80, huyo mpelekeni shule akaongeze ujuzi wala siyo kumuweka ndani endelezeni kipaji chake bana

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 Жыл бұрын

    Udaktari siyo mchezo, unahusisha afya na uhai wa watu. Siyo ufundi gereji. Achukuliwe hatua stahiki!

  • @maessanzungu1202

    @maessanzungu1202

    Жыл бұрын

    Unavyo sema dk gerej achukuliwe hatua za kisheria kwa hao unao wasifia wamefiwa na watu wangap mikonon mwao mtu anakufa huku wauguz wanachat where iz membe, jpm,mkapa hawkutibiwa na hao wenye vyet hicho n kipaj jamaa apew fursa acha kisiran

  • @respiciusmugezi8645
    @respiciusmugezi8645 Жыл бұрын

    Serikari angalieni upande wapili wa maisha ya watu, nikweli huyu ndugu anakosa la kuudumia wananchi bila kutambuliwa kialali na serika lkn je uduma yake imewadhuru watu au imewapa faraja.msaidieni afikie vigezo vyenu asaidie Jamie ya watanzania wanaoteseka nauaba wamatibabu hapa nchini

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Жыл бұрын

    Mpeni kaz huyo, mbona kahudumia miaka mingi na watu wanapona

  • @samwelilulandala2384
    @samwelilulandala2384 Жыл бұрын

    Huyu kasoma Hana kazi! Wamwachie huru na kumpasaport afanye kazi kwa utaratibu,, acheni Hila watanzania tunaona maonevu haya

  • @josephmugala1970
    @josephmugala1970 Жыл бұрын

    Mwacheni Apige kazi mahospitari ya serkari galama hatuwezi.

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Жыл бұрын

    Dah msaada unatoka wanakijj wanakosa huduma

  • @user-du2lq9ff3v
    @user-du2lq9ff3v4 ай бұрын

    Yupo vizur wananchi anatusaidia na hilo mnalijua kinacho watesa mlio waamini na kuwapa ajira, yeye amewazidi uwezo ndo maana mmemkamata kwa uzalilishaji maana kama tatizo nikabali c mnge mwita sehemu husika mumuhoji na mfunge huduma kwa muda hadi atimize vigezo, ndo maana kina nanihili wanataka katiba mpyaaa,😢😢

  • @mosule9262
    @mosule9262 Жыл бұрын

    Wamemchomekea TU watu wenye roho mbaua

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Жыл бұрын

    NCHI YETU INASHERIA ZAKE2 BADALA WAKAMPE AJIRA WANAKWENDA KUMFUNGA..😭😭😭😭

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory711610 ай бұрын

    Serikali Hugo Ni doctor Muendelezeni tu. Teena inawezekana Ana taaruma Zaid ya Madactal Wa Muhimbil

  • @janerosempeta5662
    @janerosempeta5662 Жыл бұрын

    Jamani ndo mara ya kwanza nasikia damu inatolewa hospital na anapewa mgonuwa yeye mwenyewe vituko Kwa kweli dunia imeisha!

  • @Ruu974

    @Ruu974

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @user-sy3dq6xr3i
    @user-sy3dq6xr3i Жыл бұрын

    hospitli gan za serikali azina tiba uyu bwana mimi namjuwa mda aliniponya ugonjwa niliozunguka mpak nairobi mama ummiy mwalimu mfikirie mrMohamedy

  • @marynamachanja1836
    @marynamachanja1836 Жыл бұрын

    Nawafwatilia kutoka Kenya 🇰🇪 huyu mtu yuko sawa hana makosa wacheni afanye kazi yake

  • @hilaryvalence
    @hilaryvalence Жыл бұрын

    Serikali ifikirie ni namna gani inaweza msaidia atoe huduma bora na sio kumpeleka jela

  • @Moscow924
    @Moscow9245 ай бұрын

    Waziri wa afya litazame hili seals Kwa jicho la Tati au la nne kabisa hiyo jamaa ni anafaa mtumieni mungu kaamua kuwaonyesha

  • @hajimohamedi1424
    @hajimohamedi14247 ай бұрын

    Jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Huyoooooooooo Dokta kweli kafanya makosa kutibu bila kibali ila ushauriii wangu apelekwe TU mafunzoni akasomeee kipaji hicho vizuri na apewe sapoti na vibali apige kazi

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv Жыл бұрын

    Huyu jamaa yupo vizuri,kosa lake Hana vyeti tu hivyo wamuweze apate vyeti sio kumfungulia mashtaka , waafrica tutazidi kuwa watumwa hatujali wabunifu, mwamba Ana kipaji.

  • @Josse_Msafiri
    @Josse_Msafiri Жыл бұрын

    Kaimu Mganga😁,,, hapa kwetu Kenya MGANGA ni daktari wa kienyeji 😅

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 Жыл бұрын

    Jomon kuna watu wamemchomesha wanalohoo mbaya tena unaweza wanaume wenzie jomoni🤨

  • @Aviator428
    @Aviator428 Жыл бұрын

    sio lazima uende shule ndio uwe maarufu,mshikeni mkono aendeleze kazi safi.

  • @YaGa60
    @YaGa6010 ай бұрын

    Sasa kujengewa mahospitali yasiyo kuwa na huduma na kuifuata huduma ilipo nzuli kipi bora zaidi

  • @antonyvallerian1718
    @antonyvallerian1718 Жыл бұрын

    Dokta huyu peponi ....Mimi nimekuelewa serikali mjitadhimini sana

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Жыл бұрын

    Huyu jamaa yuko vizuri.kwakuwa anasaidia watu na hajauwa .basi selekari imsaidia kumpa mafunzo ya udocta aendelee kusaidia jamii.

  • @azizahassan6803
    @azizahassan6803 Жыл бұрын

    Na wewe unawatoleaga umejuaje kama ni kifaa cha kutoka mimba mkaachaga looooo achaa mbambaa weweeee

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita94904 ай бұрын

    Mpeni kazi sasa sio mnamuweka maabusu miaka kibao mana policy wetu baazi sio watu wakujiongeza😊

  • @chazy7ya216
    @chazy7ya216 Жыл бұрын

    Hospitali zaserikali madocta zarau nyingi alafu amtibu vizuri tatizo la miguu mnapasua kichwa

  • @exitingmomentsmovie2815
    @exitingmomentsmovie2815 Жыл бұрын

    Huyu bro atakua kati ya wale waliotumbuliwa na vyeti feki, ila anaonekana ana uzoefu na anachokifanya so serikali isipoteze watu kama hawa .

  • @FransisNyandoa-hu6dk
    @FransisNyandoa-hu6dk Жыл бұрын

    Anaonekana yuposafi wampatie tu vibali jamani😊😊😊

  • @neemabaker3738
    @neemabaker3738 Жыл бұрын

    Kama watu wanapona serikali msaidieni apate kibali asaidie watu😮

  • @jacqueli18
    @jacqueli18 Жыл бұрын

    Sasa ndo kumfata na bunduki😂😂😂😂

Келесі