DAKTARI 'FEKI' anaswa NA DAMU ZA WATU, VIFAA VYA KUTOLEA MIMBA, AKUTWA BAR AKINYWA POMBE
DAKTARI 'FEKI' anaswa NA DAMU ZA WATU, VIFAA VYA KUTOLEA MIMBA, AKUTWA BAR AKINYWA POMBE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 500
Mtu anayo taaluma ya doctor apewe ajira kwa nini akamatwe Tanzania ya ovyo kweli😢
@tegemeakyangenyenka6111
Жыл бұрын
Huwezi ukafanya hudums bila kibali na cheti je likitokea tatizo kwa mgonjwa watamlaumu nani,basi aprleke vyeti vyake na aende kujitolea kwenye mahospital
@crownpress5512
Жыл бұрын
Tanzania hapo imeongia vipi ????
@haragitabrytoin6411
Жыл бұрын
Anataluma gan , ss maana ata vifaa havijuii majina
@chakuboyofficial9720
Жыл бұрын
Wala ihina Aja yaku mfunga apo ina itajika elimu tuu
@estherboniphace9695
Жыл бұрын
Shakira hakuna kajifungulia dispensary yake kosa lake hakufuata taratibu za afya
Kumbe ni daktari mzuri kabisa nawatu Wana pona inabd wampe kibali tu
Ushauru wangu kwa wenye mamlaka watu kama Hawa wenye vipaji waonywe kisha wasaidiwe kukuza vipaji vyao maana ni tunu kubwa kwa taifa
@mwesachristopher2785
Жыл бұрын
Bora wee dakitari umesema vizuri, kweli jamaa anakipaji Kama ukisikia mgonjwa Yule wa mguu anasema walimpima wakamwambia ata akienda mwimbili Bado ata pona Sasa uyu jamaa anaweza kusaidia .
Watuwengi sana wamepona kupitia yeye mi pia ni shuhuda
@jacklinemhagama5372
Жыл бұрын
Wengine ni wataaramu sema walitumbuliwa au vyeti vlichukuliwa
Mpeni kibali baba wa watu mbona mtaalamu mzuri tu 😅
@officialkamdudu
Жыл бұрын
huyo ni mwenyewe kabisa sema tu bongo tunaamini makaratasi
@yasminjuma9146
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@officialkamdudu
Жыл бұрын
@@yasminjuma9146 hapo hatta Mganga mkuu hafui dafu. si unaona cha kusafishia vidonda Mganga mkuu anasema cha kutolea mimba ? sasa hapo Daktari mkuu na Daktari nani Daktari ?🤔😀
@happyalicko8571
Жыл бұрын
Huyu ni dr bwana achen kuamini makaratasi
Uyu jamaa aachiwe,asa we fikiria hospital mtu anakatishwa mpaka tamaa kwamba hata aende muhimbili haponi lakin kapona,sawa hana kibali lakin anastahili hii nchi tubadilike.people love him,we love him.❤
Ma daktari proffesional wapo na kazi hawafanyi uyoo katibia watu na wanashuhudia wamepona kama uyo aliyeambiwa ata akienda muhimbil hatoboi. Lakin bado mnamkamata kwel nchi hii kikubwa uhai tu
Jamani ndio kafanya makosa kwa kufanya kitu bila utaratibu lakini uyu mtu anaonyesha anauzoefu na mtaalamu na anasaidia watu. Mpeni elimu aendeleze ki paji chake kwenye iyo kazi .mmekalia vyeti tu na kujaza watu wasio na uzoefu wowote wa kazi , huyu mtu ni muhimù katika jamii tafadhali mpeni mafunzo na muendelezeni ana kipaji atasaidia baadae uko .ndio maana kuna wakunga wa jadi .sisi watu weusi akisha fundiswa na mzungu basi kamaliza
@johnurio1900
Жыл бұрын
Kweli kabisa hii serikali imekalia vyeti tu ,Sasa huyo jamaa Hana cheti lakini anapiga mzigo kuliko hata dk mkuu wa ikonda mpeni mafunzo acheni roho mbaya
@isaachayes9783
Жыл бұрын
Nyie mfagilieni tuu, mtakapo fikwa na madhara juu ya hawa watu ndio mtaona madhara yake.
@gustavompemba1781
Жыл бұрын
@@isaachayes9783 ata mm nashangaa
@janethkomba4485
Жыл бұрын
kabisaaaa
@zuzuutv8782
Жыл бұрын
ukweli kabisa
Watu wametoka sehemu za mbali inamaana huyo anaweza kufanya kazi huyo mganga mkuu ni wivu watu hawaendi hosptal zao serikali huyo asaidiwe
@zehrahaji1566
Жыл бұрын
Lkn kwanini vifaa haoshi anaviweka vichafu anaweza kuwaambukiza magonjwa
@everinamhagama2961
Жыл бұрын
Yaani hii nchi yetu yahovyo sana ,wanahacha kudili na mashoga na wasagaji ,wanamkamata watu wanao toa msahada kwa jamii
Apewe kazi yupo vzriii kabisaaa
Huyu anaweza kuwa Ana elimu ndogo saana ya hayo mambo ila Ana kipaji ndani yake.watu kama hawa kwenye nchi za wenzetu wanaendelezwa kwa faida za wananchi.ila huku ataenda magereza.
@simbabayeAbibu
10 ай бұрын
Tanzania nihatari kuna vitoko kila kukicha watu nwanashuhudiya wamepona nabado wana mupeleka
Serikali muna hospital kila kona ila huduma zenu mbovu tena mnakera kazi yakujaza maforeni ata chamaana akuna ndio maana akitokea mtu anasaidia wananchi wanaenda kujazana
@mirajijumbe6568
Жыл бұрын
Sasa folen Ni kwaajili ya wagonjwa ulitaka wajaze wanajeshi badala ya wagonjwa chuki sio kitu kizuri
@jasminetesha8225
Жыл бұрын
@@mirajijumbe6568 ivi ushawahi kwenda hospital yaserikali ukaona wanavyojizungusha au unajiongeresha ufala kama mkundu unakuwasha katafute wafilaji mbere usilete usenge kwenye mambo yamsingi
Huyu serikali wamsaidie sio wamfunge kwakweli anasaidi serikali yetu viongozi walivyokuwa na roho mbaya watamuweka ndani baada ya kufanya asaidie watu
Jamaa anapiga kazi nzuri angalieni namna ya kum-suport tu serikali Kuna vijiji havina madaktar wenye uwezo kama Hawa,,,,lkn pia wapo wenye vibari na wanatoa watu mimba na hawakamatwi... halafu jamaa anatoa maelezo vzr kabisa,pia wagonjwa wanapewa huduma nzuri tu
Jamaa yuko vizuri Serikali kama ni sikivu watakaa nae waone jinsi ya kuendelea kuwasaidia wayu maana inaonekana anatoa huduma safi kabisa
Mpeni Nafasi na ikiwezekana mkamsomeshe kabisa asee,mliowaajiri wakipew operetaion wafanye ya kichwa wanafany ya mguuu huyo jamaa ajafata sheria lakn ni Dokta hakika
@kulwanzobe7657
Жыл бұрын
Nakuunga mkono
@fatmaally7252
Жыл бұрын
Wampe mtu nafasi anaonèkana anajua
Huyu anatakiwa aachiwe na apewe vibali aendelee na kazi yake
Tatiz kibali mbon watu wanatoa shuhuda kwamba wamepona kupitia huyo mtu wakati osipitarin wameshindwa mpeni maua yake huyo jamaa
@beautyglam6746
Жыл бұрын
AaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAaaaaaAaaaaaaaAaaaaaaaaaaaaAaaaaaaaaaaaaaaaaaaAA🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉AaàaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaàaaaÀaaaàaaaaaaaaa🎉aaààaaàààaaaaaàaaààaaaaaàààaaaaaa🎉aaaa🎉🎉aaaàaaaaàaaaàaaaaàaaaààaaaaaaaaaàààaaaàaaaaaaaààaàaaaààaaaaaaaàààaaaàaààaaaaaaaaaaààaaàaaaaaaaaàaaaààààaaaààaaaaaaaàaaààaàaàaaaàaaaààaàaààààaàaaaaaaaaàààaàaàààaàaàààaàaaaàaaaaààaàaaaaàaAàààaaà🎉àaaàààaààààaàaaa🎉aàaaaaàaaaàaàaaàààaaaaàaaaaaàààaaaàààà🎉aàaaaaaaaaààaàaa🎉🎉🎉
Hana cheti lakini ana uwezo ,Kuna mwenye cheti lakini uwezo ni hafifu ,Kuna anafanya kazi kwasababu kasomea lkin this man it shows has something hidden na akipatiwa mafunzo ipasavyo atakuwa tunu kwetu He's talent an inborn ability obviously needs to be recognized
@hajimohamed6093
Жыл бұрын
Mpeni sapoti anasaidia watu
Ugumu wa maisha ndiyo chanzo cha yote hayo.
😂😂😂😂😂😂mzee baba kajikaza sana.. Vifaa vyote anavyo😂😂😂alinunua pharmacy😂😂😂na kajipanga hatari😂😂
Daaa mimi nina maoni binafsi. Japo ni kweli mtuhumiwa amekamatwa lakini kitendo cha kutoa maelezo ya kila kitu ni kujitia mwenyewe kitanzi, kuomba msaada wa mwanasheria wakati wa sehem kama hio ni jambo la msingi sana, japo kutokana na mazingira halisi ya hapa nyumbani ni ngumu. Ila nadhani nimeeleweka kwa kiasi kidogo. Asanteni
Ukiwa na stress somo comments. Zinaondoka zenyewe🤣🤣🤣
Mpen kibali sasa angekuwa anauwa sawa mpen maua yake 🌹🌹🌹🌹🔥🔥🔥 doctor mpen kibali tuuuu
Serikar yetu unakuta wanamkamata huyo af ilo eneo halina hospital
Yuko vizur kama watu wanashuhudia kuwa wanapona!
😢😢😢 sasa wakiumwa naniawasaidia na Doctor wao kaswekwa rumande sasa mleteni huyu mweye Vyeti😂😂😂
Anatia huruma japo kafanya makosa na anapenda kazi ya udoctor angeenda kusomea hayo mambo bahati mbaya kachelewa
@Mary-fs4mc
Жыл бұрын
Ni kweli anatia huruma sana😢,ugumu wa maisha kweli ndio chanzo cha yote haya.
@mosule9262
Жыл бұрын
Kuna waliosomea lakin hawamfikii Kwa huduma zake .
@liboriusbabile1197
Жыл бұрын
Haja chelewa kabisaa
@mariawanjiru1275
Жыл бұрын
Saidieni huyo dactari ako na utu sio mu uaji mpeni kazi
Bwana eeeh hebu muendelezeni ili aweze kufikia mbali,huko hospitali za kawaida zenyewe madaktari wengine hawaelewi chochote sa si Bora huyu
Duh 🙄 Mwaka wa 18 anahudumia wananchi duh mtihani 😢💔
@DaheerK
7 күн бұрын
Ajaua duh nn naww muache atibu hao wamahospitali siyo waxur mnakula san pesa
Msaidieni yuko na talent
Huyo mtu anatoa tiba nzuri mno asiwaambie mtu .. hospital zetu za serikali hazimfikii ..ni makaratasi tu Hana (vyeti) mwananchi anahitaji tiba sio sheria ... siasa mavi za hii nchi.
Sasa izo dam si kwaajili ya vipimo acheni roho mbaya km anasaidia apewe kibali hospital za vijijini huduma ni mbaya mno
Hivi Dr wa kwanza kabisa,alisomea wapi?Huyu inaonyesha alikuwa anafanya kazi yake vizuri. Kuna watu wenye wivu wamemchomea.
TATIZO KUBWA SELIKALI IMEZIDI GARAMA ZA HUDUMA NDO MANA WANAWAFATA WATU KAMA HAWA
This gives me a flash back of a kenyan pilot who got a D in school,never went to an aviation collage.Been flying passengers and never had any accident so if he is good at it grant him documents
@Ruu974
Жыл бұрын
Guessing power with people lives naaaah😂
@ruthogungo
Жыл бұрын
How is he a thief.. People are attesting that he has helped them
Umeona hii nchi yangu sasa inavyo warudisha watu nyuma..?😢😢😢
@Hajri188
Жыл бұрын
Hii nchi yako bwana hamna kitu😅😅
@ScolaMasanja-fg7hi
10 ай бұрын
Huyu anamakosa ila ndani yake anasaidia apewe erimu naapatiwe ajila mana waliosomea nao ukienda skuhiz zalau nying bolahuyu
@BONGOINMOTION
10 ай бұрын
Kosa lake hajafuata taratibu ,,,muelewesheni afuate taratibu aendelee kusaidia watu
Jamaaa yuko smart sana...amewambia twendeni polis ntaeleza ukweri basi
Huyo mkaguzi mwembamba alivyo chachamaa utasema jamaa kaua MTU. Mpeni saport dr anafanya kazi vizuri
Uyo itakua kuna watu wamemuonea wivu anapata wateja Wakaamua kumletea polisi, 😂😂
Atakama Hana vet anaweza
Ni kweli tusitetehe ujinga ila tuombe serekali iwasaidie awa watu wenye vipaji maalumu uyo sio mtu wa kufunga ni mtu wa kuweka sekita maalumu kama makofuli alivyo kuwa anarasimisha watu walio patia vipaji pembeni
@nabillalli
Жыл бұрын
Serikali ina cha kujifunza hapa kupitia wizara yao ya afya.(poor service kwa mahospitali ya serikali ndio yapelekea haya) hao hao madaktar ukienda wanakuelekeza sehem nyingine private ya kupat huduma)Shame
This man is gifted
😂😂😂, mwamba anasema anajitambua nusu
@Ruu974
Жыл бұрын
Uku anawatibu😂
Ahaaa watu wanamsifu Tena balaa hii
Km ana vyeti hastahili adhabu kuubwa. Muendelezeni mumuajiri. Huyu daktari bingwa mbona kabisa. Msimdhalilishe jmn. Afuatiliwe tu kama anafaa asamehewe na aendelezwe. Mngewauliza wananchi kwnn wanaenda huko wasiende panapojulikana!
jamaa apelekwe shule kabisa ,,kama kaweza kutoa huduma ya afya miaka 18 na watu wako fresh anaweza kuwa dk
@stellah3844
Жыл бұрын
😅😅😅😅
@annwanjiru8897
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Ushauliwangu naomba mpeni kibalu haendelee na KAZI wengine wapo kazini lakini awanaujuzi
Kumbe na watu wanamsifia Kabisa Apewe Elimu Zaidi Ili azidi Kufanya Vizuri ni kipaji Kutoka Kwa Mungu
@fridamwamposalivemakitele2583
Жыл бұрын
Huyu mtu kasoma Tena Yuko vizuri Ila Tanzania ajira hakuna jamani kajiajiri mwenyewe
Tuache yote hayo iyo ni taaluma apewe ajilra tuache siasa hata kama Hana vibari Hana uwezo wa kufungua dispensary Tu tatizo mashert ni magumu tu kiendelezeni kipaji hicho kwa kumpa ajira wapo wengi wa Aina iyo vijijini.
Hapa kuna mgongano wa ki maslahi ( conflict of interest ) uzoefu haupo kwenye vyetu bali upo ground na ndo maana halisi ya wasomi kuenda field. Apewe vyeti
Achen kutafuta vyeo...yupo poa tu akitoka nitakuja anihudumie
@faustinmarko2278
Жыл бұрын
😄😄😄😄😄
Wengine wanapewa na Mungu ( KIPAJI ) watu wame witness kua wanapona c muacheni aendelee
Ugumu,wa,maisha,ndio,chanzo,Cha,maalifa,amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Huyo mtu tunamuombea msamaha maana Kama wananchi wenyewe kuwa anatibu vizuri na wengine wanatibiwa sehemu nyingine hawponi wanahangaika Ila kwake Wana pona msameheni msaidini apate vibali aendelee na tiba maana wananchi wa eneo hilo wamemkubali
Hata reonadi huwa anasema nikilewa mniache 😅,sasa na huyu muacheni kidogo ili siishe akatoe maelezo mazuri mbele,maana pombe sio chai wenzangu.
Uyo jamaa ni doctor mpelekeni hospital akaanze kazi na alipwe mshahara mzuri sana
Huwenda kukamatwa kwake ndo hapo anapotokea.mungu amsaidie
Yuko sawa wanamuhoji hoji ovyoovyo ...naunavyo wahi kwamba katoa mimba
Usikute ..maeneo hayo hakuna hata huduma za afya 😨 All in all kujua sheria si sababu ya kuvunja sheria.. Tuongeze vituo vya huduma za afya nchini
Huyo ni docter msaidieni tu kumuendeleza
Serikali hawana makosa wao wana fanya kazi yao ili atunusuru maisha ya watu na huyo daktar feki ana makosa kutibia watu kinyume na utaratibu ndio maana kuna sheria ndio maana kuna utaratibu ndio maana Kukajengwa hospitali ..ndio maana kuna katiba mimi binafsi Nawapongeza sana vyombo vya usalama Mungu awabariki sana🙏🏿
Msaidien ako natalent akii😅😅😅
Nipeni hicho kifaa cha kuchungulia ukeni basi.
@scorasticaclement6308
Жыл бұрын
😂
Tz nchi ya uonevu docta yupo mtaani na sisi tunapona baada mumuajiri mnakwenda mfunga
Uswahili Tu ! Muacheni afanye kazi
Huyu jamaa anafanya kazi sahihi kwenye mazingira yasiyo sahihi ila ushuhuda upo he is good man Pia amenyooka maan makosa mengine hata waajiriwa wanafanya..
Kumbe wananchi wenyewe wamemkubali wanapata nafuu kuliko hata huduma za wandewa 😂😂😂
Apewe ajira
Huyo ni Dkt mimi mwenyewe naushuhuda miaka ya 1968 kulikuaga na wakunga vijijini ambao hawajasoma ila walikuwa wanazalisha wa mama wajawazito hata chanjo hazikuwepo mimi mwenyewe sina chanjo ya ndui wala polio Mama yangu alinizaa akiwa peke yake akanikata kitovu akanifunga hadi leo Mungu ananisaidia niko poa na mama yangu yupo mzima wa afya anamiaka 80, huyo mpelekeni shule akaongeze ujuzi wala siyo kumuweka ndani endelezeni kipaji chake bana
Udaktari siyo mchezo, unahusisha afya na uhai wa watu. Siyo ufundi gereji. Achukuliwe hatua stahiki!
@maessanzungu1202
Жыл бұрын
Unavyo sema dk gerej achukuliwe hatua za kisheria kwa hao unao wasifia wamefiwa na watu wangap mikonon mwao mtu anakufa huku wauguz wanachat where iz membe, jpm,mkapa hawkutibiwa na hao wenye vyet hicho n kipaj jamaa apew fursa acha kisiran
Serikari angalieni upande wapili wa maisha ya watu, nikweli huyu ndugu anakosa la kuudumia wananchi bila kutambuliwa kialali na serika lkn je uduma yake imewadhuru watu au imewapa faraja.msaidieni afikie vigezo vyenu asaidie Jamie ya watanzania wanaoteseka nauaba wamatibabu hapa nchini
Mpeni kaz huyo, mbona kahudumia miaka mingi na watu wanapona
Huyu kasoma Hana kazi! Wamwachie huru na kumpasaport afanye kazi kwa utaratibu,, acheni Hila watanzania tunaona maonevu haya
Mwacheni Apige kazi mahospitari ya serkari galama hatuwezi.
Dah msaada unatoka wanakijj wanakosa huduma
Yupo vizur wananchi anatusaidia na hilo mnalijua kinacho watesa mlio waamini na kuwapa ajira, yeye amewazidi uwezo ndo maana mmemkamata kwa uzalilishaji maana kama tatizo nikabali c mnge mwita sehemu husika mumuhoji na mfunge huduma kwa muda hadi atimize vigezo, ndo maana kina nanihili wanataka katiba mpyaaa,😢😢
Wamemchomekea TU watu wenye roho mbaua
NCHI YETU INASHERIA ZAKE2 BADALA WAKAMPE AJIRA WANAKWENDA KUMFUNGA..😭😭😭😭
Serikali Hugo Ni doctor Muendelezeni tu. Teena inawezekana Ana taaruma Zaid ya Madactal Wa Muhimbil
Jamani ndo mara ya kwanza nasikia damu inatolewa hospital na anapewa mgonuwa yeye mwenyewe vituko Kwa kweli dunia imeisha!
@Ruu974
Жыл бұрын
😂😂😂
hospitli gan za serikali azina tiba uyu bwana mimi namjuwa mda aliniponya ugonjwa niliozunguka mpak nairobi mama ummiy mwalimu mfikirie mrMohamedy
Nawafwatilia kutoka Kenya 🇰🇪 huyu mtu yuko sawa hana makosa wacheni afanye kazi yake
Serikali ifikirie ni namna gani inaweza msaidia atoe huduma bora na sio kumpeleka jela
Waziri wa afya litazame hili seals Kwa jicho la Tati au la nne kabisa hiyo jamaa ni anafaa mtumieni mungu kaamua kuwaonyesha
Jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Huyoooooooooo Dokta kweli kafanya makosa kutibu bila kibali ila ushauriii wangu apelekwe TU mafunzoni akasomeee kipaji hicho vizuri na apewe sapoti na vibali apige kazi
Huyu jamaa yupo vizuri,kosa lake Hana vyeti tu hivyo wamuweze apate vyeti sio kumfungulia mashtaka , waafrica tutazidi kuwa watumwa hatujali wabunifu, mwamba Ana kipaji.
Kaimu Mganga😁,,, hapa kwetu Kenya MGANGA ni daktari wa kienyeji 😅
Jomon kuna watu wamemchomesha wanalohoo mbaya tena unaweza wanaume wenzie jomoni🤨
sio lazima uende shule ndio uwe maarufu,mshikeni mkono aendeleze kazi safi.
Sasa kujengewa mahospitali yasiyo kuwa na huduma na kuifuata huduma ilipo nzuli kipi bora zaidi
Dokta huyu peponi ....Mimi nimekuelewa serikali mjitadhimini sana
Huyu jamaa yuko vizuri.kwakuwa anasaidia watu na hajauwa .basi selekari imsaidia kumpa mafunzo ya udocta aendelee kusaidia jamii.
Na wewe unawatoleaga umejuaje kama ni kifaa cha kutoka mimba mkaachaga looooo achaa mbambaa weweeee
Mpeni kazi sasa sio mnamuweka maabusu miaka kibao mana policy wetu baazi sio watu wakujiongeza😊
Hospitali zaserikali madocta zarau nyingi alafu amtibu vizuri tatizo la miguu mnapasua kichwa
Huyu bro atakua kati ya wale waliotumbuliwa na vyeti feki, ila anaonekana ana uzoefu na anachokifanya so serikali isipoteze watu kama hawa .
Anaonekana yuposafi wampatie tu vibali jamani😊😊😊
Kama watu wanapona serikali msaidieni apate kibali asaidie watu😮
Sasa ndo kumfata na bunduki😂😂😂😂