SERIKALI YATOA TAMKO ZITO HALI YA KIMBUNGA HIDAYA/MSEMAJI AFUNGUKA MKOA HUU KUANZA

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 37

  • @lusianguno6434
    @lusianguno64342 ай бұрын

    Yesu mtuliza dhoruba na mawimbi apishirie mbali. Kama kimbuga cha Jobo kilivyonyamazishwa. Na hiki Hidaya, ikawe hivyo kimya, kwa Jina la Yesu. Ameenn. Hatuogopi. Tutavuka salama. Ebr. 12;24 Tunaiita Damu ya Yesu itulinde, itutetee. Haleluya. 👍👍💪💪

  • @JumaNjiku-df1fd

    @JumaNjiku-df1fd

    2 ай бұрын

    Maumbile hayabadilishwi kwa imani. Yesu ni Nani hata abadilishe yaliyoumbwa na muumbaji wake yeye mwenyewe?! Hii Ni habari ya upotofu!

  • @KukuWaMayai

    @KukuWaMayai

    2 ай бұрын

    Wewe ndio uliyepotoka​@@JumaNjiku-df1fd

  • @martinajoel3666
    @martinajoel36662 ай бұрын

    Niombi langu kwa watanzania wote kila mtu amrejee Mungu kwa ukamilifu.

  • @merygodfrey3709
    @merygodfrey37092 ай бұрын

    Hata Viongozi wa Dini wanalipokeaje hilo.Mungu ni mkuu kuliko huo Upepo.Alipasua bahari Waisraeli wakapita na majeshi ya Farao na waendesha mahari ya vita wakafa.Damu ya Yesu inene mema juu ya Taifa letu.Amen

  • @marymwaya9685
    @marymwaya96852 ай бұрын

    Tunakubali taarifa lakini tunafuta maneno yote kuhusu kimbunga hicho kwa Jina la Yesu. Tunataka usalama kwenye maeneo yote yaliyotajwa hakuna kimbunga hilo pepo lirudi kuzimu kwa hiyo hiyo iliyojia kwa jina la Yesu

  • @naturelle1097
    @naturelle10972 ай бұрын

    Wewe Hidaya tokomea kwa jina la Yesu Kristo aliehai!

  • @vailethkalinga6504

    @vailethkalinga6504

    2 ай бұрын

    Tena akafie huko huko kwa jina la yesu

  • @topfreelancer5151

    @topfreelancer5151

    2 ай бұрын

    Tiwashtue au tuwaache ache kwanza jamn

  • @calistusmahombo-ty8ni
    @calistusmahombo-ty8ni2 ай бұрын

    TMA should give an update every 30 minutes and all media should be used to inform the populase and what precaution everybody should take

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama44072 ай бұрын

    Mungu Mwema Mbarikiwe Sana Mungu Ametusaidia Atatusaidia Zaidi Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai

  • @JumaNjiku-df1fd
    @JumaNjiku-df1fd2 ай бұрын

    Niliandika mapema kuwa Tanzania haitapigwa na kimbunga hata siku moja! Vimbunga vina maeneo yake, sisi hatumo, pili mwenendo wake unakwenda kulia kwa upande wetu, matokeo yake kinazidi kwenda mashariki zaidi. Mashariki mwa pwani ya Msumbiji Kuna mkondo joto wa bahari, eneo la mgandamizo mdogo wa hewa. Hii husaidia kuvuta kimbunga kuelekea huko. Hivyo Ni vigumu kimbunga kufika pwani ya Tanzania. Kama una hoja ya kijiografia itoe!

  • @martinajoel3666
    @martinajoel36662 ай бұрын

    Mawazo ya Mungu hayachunguziki.Hivyo tunao aamini katika Mungu hicho kimbunga kitazidi kudhoofika.Katika jina la Yesu Amen.

  • @HappyEel-wg4qx

    @HappyEel-wg4qx

    2 ай бұрын

    Nenda kaseme ww

  • @HappyEel-wg4qx

    @HappyEel-wg4qx

    2 ай бұрын

    Acha ujinga

  • @HappyEel-wg4qx

    @HappyEel-wg4qx

    2 ай бұрын

    Ipoelimu ya Dunia na akhera

  • @moketuponake5270
    @moketuponake52702 ай бұрын

    Mungu atusaidie jamani Tanzania tunalia mvua nyingi lakini huku Zimbabwe Mahindi yamekauka kwa kukosa mvua Mungu anajua kilichopo mbele yetu kwakweli

  • @danielkanso
    @danielkanso2 ай бұрын

    Amen Mungu ni mwema

  • @AgnessChambo-mx6rd
    @AgnessChambo-mx6rd2 ай бұрын

    Km aishivyo Mungu huyo hidaya aishie hukohuko kwa watengenezaji tunamwamwamini Mungu wala si mwanadamu anayeitamani nchi yetu kuiangamiza kwa magonjwa

  • @LwidikoLwenge
    @LwidikoLwenge2 ай бұрын

    Tunachezewa akili tu hapa tumetoka kwenye muuza madafu tumeamia kimbunga hidaya ivi hamuoni kbs 😅ni vituko juu ya vituko

  • @AgnessChambo-mx6rd
    @AgnessChambo-mx6rd2 ай бұрын

    Kwa mamlaka ya jina la Yesu ninaharibu ninaanngamiza ninamtiisha hidaya katika nchi yetu kwa jina kuu la Yesu toka ktk mikoa.toka katika wilaya tarafa kata vijiji mitaa vitongoji kwa jina la Yesu huna nafasi hidaya pepo mchafu wewe

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai93452 ай бұрын

    Waafrica ni shida haya majina ya vimbunga vinabatizwa na nani hawa wazungu

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz2 ай бұрын

    Pole sana

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf2 ай бұрын

    Jamani yesu atuokowe

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli212 ай бұрын

    KIMBUNGA Hidaya hilo ni Pepo au jini jike linalo tafuta kunywa damu,hivo hatuna budi kulikataa na kulikemea ktk Jina kuu la Yesu,kama kuna Walokole ktk Eneo hilo ombeni kwa kulikemea hilo jini jike litakimbia maana tumepewa Mamlaka juu ya nguvu zote za giza nyie mnafeli wapi😅😅😅

  • @davidkilajaga8842
    @davidkilajaga88422 ай бұрын

    Msiogope Ndugu zangu, tunae Mungu Anae badilisha mambo, lakini tuyaonapo haya tusi jisahau maana hz ni dalili za kurudi kwa Bwana Yesu Kristo, kumbuka kila kilicho tabiliwa lazima kitimie, utake usitake

  • @yordanyona1234
    @yordanyona12342 ай бұрын

    yaan siku hizi nawaamini mko vizur

  • @user-ss8iu3mx4q
    @user-ss8iu3mx4q2 ай бұрын

    Kumbukeni kushaurr watu wamwombe mungu

  • @hamadothmanomar6104
    @hamadothmanomar61042 ай бұрын

    Nye mnamchezea Mungu

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon53162 ай бұрын

    Kwaniayo majina yanatoka wapi izo hila zashetani

  • @Damas164
    @Damas1642 ай бұрын

    Zidi kusambaza matukio

  • @Amina-rg2xb
    @Amina-rg2xb2 ай бұрын

    Hee

  • @marthapeter8246
    @marthapeter82462 ай бұрын

    Mtatuuwa kwa hofu jamani

  • @kingmzebez7786
    @kingmzebez77862 ай бұрын

    🇹🇿❤📿

Келесі