MASELINA KIBENA Mwenyekiti wa shirikisho la vikundi vya wakulima na wafugaji mkoa wa Morogoro.

Ойын-сауық

Bi. Maselina Kibena ni mmoja wa wadau wa ANSAF ambao walishiriki kikamilishu katika mkutano uliowakutanisha wadau wa ANSAF kutoka sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kuweza kujadili mwelekeo wa wizara hizi mbili lakini kuangalia mambo ya kufanya kuelekea bajeti ya serikali ya mwaka 2024/2025.

Пікірлер

    Келесі