RAHA MBOYA MNUFAIKA WA MRADI WA BBT (BUILDING BETTER TOMMOROW)

Ойын-сауық

Raha Mboya ni kijana mnufaika wa mradi wa jenga kesho iliyobora ama BBT iliyochini ya wizara ya kilimo. Raha ni mkulima lakini pia mzalishaji wa miche ya mboga mboga akiwa katika eneo la Dumila mkoa wa Morogoro. Alinufaika kwa kupewa kiasi cha shilingi milioni 20 zilizomsaidia katika kutanua na kukuza wigo wa biashara na kilimo chake.

Пікірлер: 1

  • @BarakaSety-gn3dj
    @BarakaSety-gn3dj6 ай бұрын

    ❤❤ naomba nipe mchongo dada yangu

Келесі