ESTER MAHILE MKULIMA WA ALIZETI NA ZABIBU KUTOKA CHAMWINO MKOANI DODOMA.

Ойын-сауық

Ester Mahile ni mkulima wa mazao ya alizeti na zabibu kutoka mkoani dodoma, ni moja ya washiriki wa mkutano uliandaliwa na taasisi ya ANSAF uliolenga wadau katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kuelekea bajeti ya serikali ya mwaka 2024/2025. Bi Ester, alitoa ushauri wake kwa serikali juu nini kifanyike hasa katika zao la zabibu.

Пікірлер

    Келесі