NUTRITION EP 22: FAIDA ZA TANGO MWILINI
Ойын-сауық
Tango ni moja ya matunda maarufu sana duniani na ni tunda lenye faida nyingi katika mwili wa binadamu, kwenye kipindi cha leo utafahamu zaidi kiundani faida za tango kiafya katika mwili wa binadamu, ushauri juu ya utumiaji wa tunda hili na mambo mengine mengi kuhusiana na lishe ya lishe.
Imeandaliwa na AISHA SAID.
Пікірлер: 3
asanteee mungu akubariki
Mimi Nina maumivu kwenye koo .km Kuna vidonda.vinaniumiza . nitumie vp tango km dawa?
@Voice_of_Agriculture
27 күн бұрын
Unaweza kumuona Daktari kwa ushauri zaidi