NUTRITION: EP 19 | FAIDA ZA BAMIA KATIKA LISHE NA AFYA ZETU
Ойын-сауық
Imeandaliwa na: AYESHAH BEBEH | IG @ayeshahbebeh Videographer: Director Lummy | IG @directorlummy
JAPOKUWA bamia huchukuliwa na wengi kuwa ni chakula rahisi kinachotumiwa zaidi na kundi la watu wenye uchumi wa chini na kati, ukweli kwamba aina hiyo ya mboga ina maajabu ya aina yake mwilini. Walaji wa bamia hunufaika kwa kupata utitiri wa viinilishe vilivyomo kwenye zao hilo, ambavyo humpatia mlaji faida za kiafya nyingi
Пікірлер: 2
Nina vidonda vya tumbo naomba matumizi
Asante kwa somo