NUTRITION: EP 19 | FAIDA ZA BAMIA KATIKA LISHE NA AFYA ZETU

Ойын-сауық

Imeandaliwa na: AYESHAH BEBEH | IG @ayeshahbebeh Videographer: Director Lummy | IG @directorlummy
JAPOKUWA bamia huchukuliwa na wengi kuwa ni chakula rahisi kinachotumiwa zaidi na kundi la watu wenye uchumi wa chini na kati, ukweli kwamba aina hiyo ya mboga ina maajabu ya aina yake mwilini. Walaji wa bamia hunufaika kwa kupata utitiri wa viinilishe vilivyomo kwenye zao hilo, ambavyo humpatia mlaji faida za kiafya nyingi

Пікірлер: 2

  • @amonlington8289
    @amonlington8289Күн бұрын

    Nina vidonda vya tumbo naomba matumizi

  • @user-eq2wg9hx6o
    @user-eq2wg9hx6o7 ай бұрын

    Asante kwa somo

Келесі