MR HONEST MSERI Mkurugenzi wa taasisi ya ANSAF alipozungumza baada ya kuongoza mkutano na wadau.

Ойын-сауық

Mr.Honest Mseri, Mkurugenzi wa taasisi ya ANSAF alizungumza juu ya yale ambayo mkutano wa ANSAF na wadau umeyazungumza, lengo la mkutano huo ulikuwa ni nini. Ni mkutano ambao uliwakutanisha wadau wa sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kwa pamoja katika kujadili bajeti iliyopita na yale ambayo yameshafanyika na sasa kuelekea bajeti kuu ya serikali ya mwaka 2024/2025 nini kifanyike zaidi, wapi sekta hizi zimefanya vizuri na wapi hazijafanya vizuri ziongeze nguvu hapo.

Пікірлер

    Келесі