Maonesho ya sabasaba ni nyenzo katika kuchochea maendeleo ya ukuaji wa uchumi - Mhe. Dkt. Samia

Mhe. Dkt. Samia Suluhu hassan ameyamesa hayo wakati wa Hafla ya ufunguzi wa Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024.

Пікірлер

    Келесі