MHE. RAIS SAMIA ASHIRIKI KONGAMANO LA WANAWAKE WA KIISLAM ZANZIBAR

Ойын-сауық

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki kongamano la Wanawake wa Kislamu Zanzibar, leo tarehe 05 Julai, 2024. Rais Samia ndie Mgeni Rasmi katika Kongamano hilo linalofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar.

Пікірлер

    Келесі