MAELEZO TV

MAELEZO TV

Karibu Idara ya Habari MAELEZO na Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali - Dodoma, Tanzania

Mashirika Yaliyotoa Gawio

Mashirika Yaliyotoa Gawio

Пікірлер

  • @Ivon-qz6gg
    @Ivon-qz6gg10 күн бұрын

    Mfipa mwenye akili nyingi

  • @zakayomosha13
    @zakayomosha1314 күн бұрын

    Mawasiliano Safiii

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela587121 күн бұрын

    Mkomo mmoja milioni kumi na Tano Bei au sijaelewa kama ni hivyo masikini wataweza kweli

  • @hajjseif5737
    @hajjseif5737Ай бұрын

    vp kenya burundi na rwanda hakuna uhusiano mbona hamkuungangana huko ni upuuzi mtupu muungano usilazimishwe waachieni watanzania waamue km wanautaka au hawataki hivi tanganyika ikiipoteza zanzibar maisha hayatoenda ?mbona nyny vizee wabishi?muungano co lzm ht kdg undugu ni damu sio siasa

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589Ай бұрын

    Congratulations 👏🎉 general. JJ

  • @Methodia-rn5ku
    @Methodia-rn5kuАй бұрын

    Mkutano uliandaliwa vizuri

  • @mtemikana6714
    @mtemikana6714Ай бұрын

    Ongera sana kong konde boy

  • @bokemwita-rs4ux
    @bokemwita-rs4uxАй бұрын

    Konde umetuheshimisha wamakonde wote.M/Mungu aendelee kukubariki ktk safari yako ya kimziki ❤

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652Ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akujalie napia akupe afya njema mkuu.Kila hatua DUA kwako.Mkuu afande.MkundA

  • @bakundukizetz3880
    @bakundukizetz3880Ай бұрын

    very impressive

  • @RithaJoseph-cx4zz
    @RithaJoseph-cx4zzАй бұрын

    Tunaomba namba zunu

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5yАй бұрын

    Akuna wahandishi wa habari hapo wanauliza maswali ya kitoto

  • @GoldenChinunda-yz3ve
    @GoldenChinunda-yz3veАй бұрын

    Mjaku that's nice 👍👍🙂🙂👍

  • @user-gv2un4jl3m
    @user-gv2un4jl3mАй бұрын

    Make hajapata akaoe nyumbani,wazazi watapelekeshwa jamani😂😂

  • @user-gz4qb9wz3d
    @user-gz4qb9wz3dАй бұрын

    Konde ana busara zake

  • @SlimWiz-zs5yl
    @SlimWiz-zs5ylАй бұрын

    Harmonize ka onesha Kama ana uwezo mukubwa kabisa freestyle ina onekana kamukimbiza mwambinu shuhudiyeni ili muni unge mukono na like zenu

  • @ChristopherMajengo-nj1vl
    @ChristopherMajengo-nj1vlАй бұрын

    Napenda kwenda lkn sijapangiwa daaaah inaumaa saaan

  • @LRomaRoma
    @LRomaRomaАй бұрын

    Konde konde

  • @nestorylitowolo3324
    @nestorylitowolo3324Ай бұрын

    Je mwanafunzi ambaye ajachaguliwa anaruhusiwa kujiunga na mafunzo hayo?

  • @ChristopherMajengo-nj1vl
    @ChristopherMajengo-nj1vlАй бұрын

    Je amabao hatujapangiwa tunaweza kwendaa

  • @ChristopherMajengo-nj1vl
    @ChristopherMajengo-nj1vlАй бұрын

    Ambao hatujapangiwa tunaweza kwendaa?

  • @JastineMtayoba
    @JastineMtayobaАй бұрын

    Link ya kuangalia majina

  • @suleimanomar4693
    @suleimanomar4693Ай бұрын

    Mbona hamtaji burndi mlikua nchi moja mnaiandama Zanzibar tu.

  • @anthonymasai6359
    @anthonymasai6359Ай бұрын

    hiyo hatua ya kuanza kazi kwa muda fulani kabla ya kuanza kulipa kodi...mheshimiwa Nape ilete na kwenye traditional media,tunaumia sana na ada ya mwaka pia hebu kaeni chini punguzeni hizi tozo na kodi takriban 21ambazo traditional media zimebebeshwa ni mzigo mkubwa ambao hauathiri tuu wamiliki bali hata waajiriwa wao maana hakuna mapato

  • @IPMMEDIA
    @IPMMEDIAАй бұрын

    Big up 💪💪💪

  • @rahimzuberi2673
    @rahimzuberi2673Ай бұрын

    Mmejitahidi endeleeni siyo tuwacheke tu

  • @Giliad90Mgata
    @Giliad90MgataАй бұрын

    kaz nzuri sana hyo mana tembo wamekua weng sana

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga57982 ай бұрын

    Tushauza bandariii na ngorongoro kwa mkoloni Bado kuvalishwaaa minyololo

  • @geraldchaka791
    @geraldchaka7912 ай бұрын

    This is a wonderful look at Tanzania led by the female President. It's also available on Amazon Prime.

  • @derekmurusuri3578
    @derekmurusuri35782 ай бұрын

    President Samia's state of the union address is unprecedented. A masterpiece indeed. Congratulations and long live Tanzania!

  • @JohnShuma-jr1uz
    @JohnShuma-jr1uz2 ай бұрын

    Ntaka nijue jinsi yakujiunga chuo chaualim patand

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga57982 ай бұрын

    Da twafwaaaaaa na mafuliko kurufijiiii umama ali kuuuturuki kusaini imikataba da tulinisha hadi basiii twafwaaa

  • @abdulazackabdul1894
    @abdulazackabdul18942 ай бұрын

    KAZI IENDELEE

  • @franciskobelo
    @franciskobelo2 ай бұрын

    Muungano daima

  • @rashidabdallah3253
    @rashidabdallah32532 ай бұрын

    Muungano ili iwe sawa bc lazima ziwe serikali tatu iwe serikali ya Tanganyika,serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na serikali ya muungano na hapo kwenye ya muungano kuwe tuu na mambo kama matatu hadi matano kwa wingi hayo ndo yawe ya muungano hapo kiama kitatuuka hutosikia kelele zozote juu ya muungano.

  • @rashidabdallah3253
    @rashidabdallah32532 ай бұрын

    Kwa nn unakimbilia kwenye serikali mmoja na husemi tatu? Na ukisema kwenda serikali mmoja hiyo dhana ya muungano itakuwa ipo wapi?

  • @darianclery4455
    @darianclery44552 ай бұрын

    Herligt at opleve Tanzanian in Tanzania our history very lovely documentary...

  • @wesley3684
    @wesley36842 ай бұрын

    P R O M O S M

  • @OscarFabian-uu3rs
    @OscarFabian-uu3rs2 ай бұрын

    Mungu mpokee kwenye ufalme wako. Amina

  • @dicksonmadihi
    @dicksonmadihi2 ай бұрын

  • @yurisangarciaramirez4848
    @yurisangarciaramirez48483 ай бұрын

    God bless this family, always 🙏🏻 RIP 🤍Mr Sokoine 🙏🏻

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon10643 ай бұрын

    GOOOD

  • @kamanda007
    @kamanda0073 ай бұрын

    Safi sana kazi iendelee

  • @florencemeza6540
    @florencemeza65403 ай бұрын

    Muogopeni Mungu

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed26523 ай бұрын

    Hongera sana mama,hongera sana nchi yangu mpendwa.Mwenyezi MUNGU jalia hatua zaidi ya mhe Rais wangu/wetu kila siku.Inshallah

  • @philomenakwangu3383
    @philomenakwangu33833 ай бұрын

    Tanzania nchi yangu yaan nimejikuta nalia mzee nae kafa juzi yaan

  • @philomenakwangu3383
    @philomenakwangu33833 ай бұрын

    Nimekumiss baba yangu

  • @samwelmacha7864
    @samwelmacha78643 ай бұрын

    Magufuli alikuwa mwamba r.i.p president magufuli😢😢😢😢

  • @EditaTairo-sv1ls
    @EditaTairo-sv1ls3 ай бұрын

    Maelezo mazuri. Asante kwa ufafanuzi mzuri. Hongereni sana TANAPA

  • @DeboraKisungura
    @DeboraKisungura3 ай бұрын

    Hongereni.

  • @tawaloharuna4885
    @tawaloharuna48853 ай бұрын

    Nice content ,yesterday was amazing day for our beloved women. May God bless them more and more to archive what they want

  • @barakarobert1029
    @barakarobert10293 ай бұрын

    Leo mzee wa watu kajipiga risasi kwa kuchelewa kumlipa haki yake