Mkomo mmoja milioni kumi na Tano Bei au sijaelewa kama ni hivyo masikini wataweza kweli
@hajjseif5737Ай бұрын
vp kenya burundi na rwanda hakuna uhusiano mbona hamkuungangana huko ni upuuzi mtupu muungano usilazimishwe waachieni watanzania waamue km wanautaka au hawataki hivi tanganyika ikiipoteza zanzibar maisha hayatoenda ?mbona nyny vizee wabishi?muungano co lzm ht kdg undugu ni damu sio siasa
Mwenyezi Mungu akujalie napia akupe afya njema mkuu.Kila hatua DUA kwako.Mkuu afande.MkundA
@bakundukizetz3880Ай бұрын
very impressive
@RithaJoseph-cx4zzАй бұрын
Tunaomba namba zunu
@user-fx6zr6ij5yАй бұрын
Akuna wahandishi wa habari hapo wanauliza maswali ya kitoto
@GoldenChinunda-yz3veАй бұрын
Mjaku that's nice 👍👍🙂🙂👍
@user-gv2un4jl3mАй бұрын
Make hajapata akaoe nyumbani,wazazi watapelekeshwa jamani😂😂
@user-gz4qb9wz3dАй бұрын
Konde ana busara zake
@SlimWiz-zs5ylАй бұрын
Harmonize ka onesha Kama ana uwezo mukubwa kabisa freestyle ina onekana kamukimbiza mwambinu shuhudiyeni ili muni unge mukono na like zenu
@ChristopherMajengo-nj1vlАй бұрын
Napenda kwenda lkn sijapangiwa daaaah inaumaa saaan
@LRomaRomaАй бұрын
Konde konde
@nestorylitowolo3324Ай бұрын
Je mwanafunzi ambaye ajachaguliwa anaruhusiwa kujiunga na mafunzo hayo?
@ChristopherMajengo-nj1vlАй бұрын
Je amabao hatujapangiwa tunaweza kwendaa
@ChristopherMajengo-nj1vlАй бұрын
Ambao hatujapangiwa tunaweza kwendaa?
@JastineMtayobaАй бұрын
Link ya kuangalia majina
@suleimanomar4693Ай бұрын
Mbona hamtaji burndi mlikua nchi moja mnaiandama Zanzibar tu.
@anthonymasai6359Ай бұрын
hiyo hatua ya kuanza kazi kwa muda fulani kabla ya kuanza kulipa kodi...mheshimiwa Nape ilete na kwenye traditional media,tunaumia sana na ada ya mwaka pia hebu kaeni chini punguzeni hizi tozo na kodi takriban 21ambazo traditional media zimebebeshwa ni mzigo mkubwa ambao hauathiri tuu wamiliki bali hata waajiriwa wao maana hakuna mapato
@IPMMEDIAАй бұрын
Big up 💪💪💪
@rahimzuberi2673Ай бұрын
Mmejitahidi endeleeni siyo tuwacheke tu
@Giliad90MgataАй бұрын
kaz nzuri sana hyo mana tembo wamekua weng sana
@lugelosanga57982 ай бұрын
Tushauza bandariii na ngorongoro kwa mkoloni Bado kuvalishwaaa minyololo
@geraldchaka7912 ай бұрын
This is a wonderful look at Tanzania led by the female President. It's also available on Amazon Prime.
@derekmurusuri35782 ай бұрын
President Samia's state of the union address is unprecedented. A masterpiece indeed. Congratulations and long live Tanzania!
@JohnShuma-jr1uz2 ай бұрын
Ntaka nijue jinsi yakujiunga chuo chaualim patand
@lugelosanga57982 ай бұрын
Da twafwaaaaaa na mafuliko kurufijiiii umama ali kuuuturuki kusaini imikataba da tulinisha hadi basiii twafwaaa
@abdulazackabdul18942 ай бұрын
KAZI IENDELEE
@franciskobelo2 ай бұрын
Muungano daima
@rashidabdallah32532 ай бұрын
Muungano ili iwe sawa bc lazima ziwe serikali tatu iwe serikali ya Tanganyika,serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na serikali ya muungano na hapo kwenye ya muungano kuwe tuu na mambo kama matatu hadi matano kwa wingi hayo ndo yawe ya muungano hapo kiama kitatuuka hutosikia kelele zozote juu ya muungano.
@rashidabdallah32532 ай бұрын
Kwa nn unakimbilia kwenye serikali mmoja na husemi tatu? Na ukisema kwenda serikali mmoja hiyo dhana ya muungano itakuwa ipo wapi?
@darianclery44552 ай бұрын
Herligt at opleve Tanzanian in Tanzania our history very lovely documentary...
@wesley36842 ай бұрын
P R O M O S M
@OscarFabian-uu3rs2 ай бұрын
Mungu mpokee kwenye ufalme wako. Amina
@dicksonmadihi2 ай бұрын
❤
@yurisangarciaramirez48483 ай бұрын
God bless this family, always 🙏🏻 RIP 🤍Mr Sokoine 🙏🏻
@exaverysimon10643 ай бұрын
GOOOD
@kamanda0073 ай бұрын
Safi sana kazi iendelee
@florencemeza65403 ай бұрын
Muogopeni Mungu
@jogoomohamed26523 ай бұрын
Hongera sana mama,hongera sana nchi yangu mpendwa.Mwenyezi MUNGU jalia hatua zaidi ya mhe Rais wangu/wetu kila siku.Inshallah
@philomenakwangu33833 ай бұрын
Tanzania nchi yangu yaan nimejikuta nalia mzee nae kafa juzi yaan
@philomenakwangu33833 ай бұрын
Nimekumiss baba yangu
@samwelmacha78643 ай бұрын
Magufuli alikuwa mwamba r.i.p president magufuli😢😢😢😢
@EditaTairo-sv1ls3 ай бұрын
Maelezo mazuri. Asante kwa ufafanuzi mzuri. Hongereni sana TANAPA
@DeboraKisungura3 ай бұрын
Hongereni.
@tawaloharuna48853 ай бұрын
Nice content ,yesterday was amazing day for our beloved women. May God bless them more and more to archive what they want
@barakarobert10293 ай бұрын
Leo mzee wa watu kajipiga risasi kwa kuchelewa kumlipa haki yake
Пікірлер
Mfipa mwenye akili nyingi
Mawasiliano Safiii
Mkomo mmoja milioni kumi na Tano Bei au sijaelewa kama ni hivyo masikini wataweza kweli
vp kenya burundi na rwanda hakuna uhusiano mbona hamkuungangana huko ni upuuzi mtupu muungano usilazimishwe waachieni watanzania waamue km wanautaka au hawataki hivi tanganyika ikiipoteza zanzibar maisha hayatoenda ?mbona nyny vizee wabishi?muungano co lzm ht kdg undugu ni damu sio siasa
Congratulations 👏🎉 general. JJ
Mkutano uliandaliwa vizuri
Ongera sana kong konde boy
Konde umetuheshimisha wamakonde wote.M/Mungu aendelee kukubariki ktk safari yako ya kimziki ❤
Mwenyezi Mungu akujalie napia akupe afya njema mkuu.Kila hatua DUA kwako.Mkuu afande.MkundA
very impressive
Tunaomba namba zunu
Akuna wahandishi wa habari hapo wanauliza maswali ya kitoto
Mjaku that's nice 👍👍🙂🙂👍
Make hajapata akaoe nyumbani,wazazi watapelekeshwa jamani😂😂
Konde ana busara zake
Harmonize ka onesha Kama ana uwezo mukubwa kabisa freestyle ina onekana kamukimbiza mwambinu shuhudiyeni ili muni unge mukono na like zenu
Napenda kwenda lkn sijapangiwa daaaah inaumaa saaan
Konde konde
Je mwanafunzi ambaye ajachaguliwa anaruhusiwa kujiunga na mafunzo hayo?
Je amabao hatujapangiwa tunaweza kwendaa
Ambao hatujapangiwa tunaweza kwendaa?
Link ya kuangalia majina
Mbona hamtaji burndi mlikua nchi moja mnaiandama Zanzibar tu.
hiyo hatua ya kuanza kazi kwa muda fulani kabla ya kuanza kulipa kodi...mheshimiwa Nape ilete na kwenye traditional media,tunaumia sana na ada ya mwaka pia hebu kaeni chini punguzeni hizi tozo na kodi takriban 21ambazo traditional media zimebebeshwa ni mzigo mkubwa ambao hauathiri tuu wamiliki bali hata waajiriwa wao maana hakuna mapato
Big up 💪💪💪
Mmejitahidi endeleeni siyo tuwacheke tu
kaz nzuri sana hyo mana tembo wamekua weng sana
Tushauza bandariii na ngorongoro kwa mkoloni Bado kuvalishwaaa minyololo
This is a wonderful look at Tanzania led by the female President. It's also available on Amazon Prime.
President Samia's state of the union address is unprecedented. A masterpiece indeed. Congratulations and long live Tanzania!
Ntaka nijue jinsi yakujiunga chuo chaualim patand
Da twafwaaaaaa na mafuliko kurufijiiii umama ali kuuuturuki kusaini imikataba da tulinisha hadi basiii twafwaaa
KAZI IENDELEE
Muungano daima
Muungano ili iwe sawa bc lazima ziwe serikali tatu iwe serikali ya Tanganyika,serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na serikali ya muungano na hapo kwenye ya muungano kuwe tuu na mambo kama matatu hadi matano kwa wingi hayo ndo yawe ya muungano hapo kiama kitatuuka hutosikia kelele zozote juu ya muungano.
Kwa nn unakimbilia kwenye serikali mmoja na husemi tatu? Na ukisema kwenda serikali mmoja hiyo dhana ya muungano itakuwa ipo wapi?
Herligt at opleve Tanzanian in Tanzania our history very lovely documentary...
P R O M O S M
Mungu mpokee kwenye ufalme wako. Amina
❤
God bless this family, always 🙏🏻 RIP 🤍Mr Sokoine 🙏🏻
GOOOD
Safi sana kazi iendelee
Muogopeni Mungu
Hongera sana mama,hongera sana nchi yangu mpendwa.Mwenyezi MUNGU jalia hatua zaidi ya mhe Rais wangu/wetu kila siku.Inshallah
Tanzania nchi yangu yaan nimejikuta nalia mzee nae kafa juzi yaan
Nimekumiss baba yangu
Magufuli alikuwa mwamba r.i.p president magufuli😢😢😢😢
Maelezo mazuri. Asante kwa ufafanuzi mzuri. Hongereni sana TANAPA
Hongereni.
Nice content ,yesterday was amazing day for our beloved women. May God bless them more and more to archive what they want
Leo mzee wa watu kajipiga risasi kwa kuchelewa kumlipa haki yake