RAIS SAMIA AFOKA VIBAYA, ATAJA CONNECTION, "UNAIVUA NGUO NCHI YAKO, NI AIBU, INASIKITISHA"
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 14
@NyorokaNyengeАй бұрын
Kanzi nzuri kiongozi. Endelea watanzani tupo sambamba na wewe.
@charleslukumai7875Ай бұрын
Mbona waandishi walioweka udhalilishaji alioufanya mkuu wa mkoa Simiyu - aliyetumbuliwa, wanasumbuliwa kwa kukamatwa? Walikuwa hawatakiwi kuhabarisha umma juu ya hilo?
@kazikazini1042Ай бұрын
Mning'inio wa Ujamaa
@stephenndagalla8183Ай бұрын
Hivi kweli waandishi wa Tz wanao uelewa wa kujua chama kipi kinafanya vizuri/vibaya?? Labda ni kutaka kuwalazimisha wakisifie chama tawala. Matendo maovu/mazuri ya kila Chama ni lazima yaandikwe kama yalivyo. Sio eti maovu yasianikwe au " kusanuliwa".kuwa ni kujianika. Huko ni kudumisha UCHAWA na kudumaza weledi na Uhuru wa uandishi habari.
@KamwandaNzowa-eo4urАй бұрын
Mh, kama haki itatendeka nauhakika hakuwezi kuwa chokochoko yoyote
@BIGCHENDREADLOCKS
Ай бұрын
Mwambie aluhusu katiba mpya bas
@bodyamanАй бұрын
MH:Raisi umeongea fact tupu,mwenye akili na akaakilike
@deniccgabriel6153Ай бұрын
Mpuuuziîiií
@lilotz-we7xq
Ай бұрын
Kuwa na adabu wewe
@whatisthetruth.8793Ай бұрын
Kifuu tundu
@SelemanAlly-lz4sbАй бұрын
Sawa Rais uko vizur waseme Hua wanapotosha
@NOORMOHAMED-sg9loАй бұрын
Ondoa serikali za mitaa. Zinadhalilisha wananchi. Hawana uzalendo. Turudishie mabalozi wa nyumba kumi kumi. Woteva ukilavu tutekie ofu hao maviti watu. Good heri. Bendera yetu tunailavu machi hata hatupendi ivaliwe na wazungu au iuzwe. Tutasei usimaindi.
@VeronicaPaul-cj1yuАй бұрын
Heshima yako Mama, kweli unafanya kazi Ila utukumbuke na sisi wastafu tunaotafalia vinua mgongo vyetu toka miaka ya tisini viwanda vimeuzwa malipo mpaka leo tumekata tamaa na kuzeeka kwa zikii Hali yakuwa tuna haki zetu kwako.
Пікірлер: 14
Kanzi nzuri kiongozi. Endelea watanzani tupo sambamba na wewe.
Mbona waandishi walioweka udhalilishaji alioufanya mkuu wa mkoa Simiyu - aliyetumbuliwa, wanasumbuliwa kwa kukamatwa? Walikuwa hawatakiwi kuhabarisha umma juu ya hilo?
Mning'inio wa Ujamaa
Hivi kweli waandishi wa Tz wanao uelewa wa kujua chama kipi kinafanya vizuri/vibaya?? Labda ni kutaka kuwalazimisha wakisifie chama tawala. Matendo maovu/mazuri ya kila Chama ni lazima yaandikwe kama yalivyo. Sio eti maovu yasianikwe au " kusanuliwa".kuwa ni kujianika. Huko ni kudumisha UCHAWA na kudumaza weledi na Uhuru wa uandishi habari.
Mh, kama haki itatendeka nauhakika hakuwezi kuwa chokochoko yoyote
@BIGCHENDREADLOCKS
Ай бұрын
Mwambie aluhusu katiba mpya bas
MH:Raisi umeongea fact tupu,mwenye akili na akaakilike
Mpuuuziîiií
@lilotz-we7xq
Ай бұрын
Kuwa na adabu wewe
Kifuu tundu
Sawa Rais uko vizur waseme Hua wanapotosha
Ondoa serikali za mitaa. Zinadhalilisha wananchi. Hawana uzalendo. Turudishie mabalozi wa nyumba kumi kumi. Woteva ukilavu tutekie ofu hao maviti watu. Good heri. Bendera yetu tunailavu machi hata hatupendi ivaliwe na wazungu au iuzwe. Tutasei usimaindi.
Heshima yako Mama, kweli unafanya kazi Ila utukumbuke na sisi wastafu tunaotafalia vinua mgongo vyetu toka miaka ya tisini viwanda vimeuzwa malipo mpaka leo tumekata tamaa na kuzeeka kwa zikii Hali yakuwa tuna haki zetu kwako.