Rais Samia Awashukia Wazee wa Vikokotoo: 'Tunafanya Uzembe, Mzigo Tunaushusha Kwa Wafanyakazi'

Akizungumza leo Juni 11,2024, kwenye shughuli ya kupokea gawio kutoka kwenye taasisi na makampuni, Rais Samia ameutaka mfuko wa PSSSF kujitathmini hasa kutokana na kuwa na hali mbaya katika vitabu vyake.

Пікірлер: 142

  • @neddon5822
    @neddon5822Ай бұрын

    Ahsante Sana Mh.Raisi Kwa kuwajali wafanyakazi na kutambua madhaifu ya mifuko hii ya jamii

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    Ай бұрын

    Mifuko inasimamiwa na nani? Serikali na huo uwekezaji nani aliubariki? Seeikali!! Sasa hapa mfanyakazi amejaliwaje?

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    Ай бұрын

    Wajinga amuishi 😢😅😅😅

  • @CHRISTOPHERKATOTO-dl1vl
    @CHRISTOPHERKATOTO-dl1vlАй бұрын

    Mungu akubariki mama kwa kuliona tatizo la kikokotoo!!

  • @user-vl5tz6xt2m
    @user-vl5tz6xt2mАй бұрын

    Kikokotoo hicho ni dhuluma, Mh Rais tunaomba kifutwe haraka

  • @MajiiIfande
    @MajiiIfandeАй бұрын

    Namshukuru sana Mheshimiwa Rais kwa kutoa kauli hiyo ya ukweli. Chukua hatua zaidi usiishie kuongea

  • @davidkawesa3594

    @davidkawesa3594

    Ай бұрын

    Mazingaumbwe hao anajuwa kila kitu

  • @abuujihad8411

    @abuujihad8411

    Ай бұрын

    Hajasema kitu wafanyakazi wanataka kifutwe kiondoshwe

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Acidophilus hatua, ungekuwa sana na bore.

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646Ай бұрын

    Tafadhali Mh Rais hiki kikokotoo ni kidogo sna, naomba angalau msitaafu alipwe kwa mkupuo 75% kwani hilo ni jasho lake Halali. Natanguliza shukurani

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Tulione kama zamani. Tunaomba kitu ambacho ni haki yetu! Serikali nikakope watu walipe haki zao. Kila mwezi unakatwa mshahara.

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jcАй бұрын

    Umewasema vizuri watu wa vikokotoo 5:52

  • @MATHAYOMUHULU-jt9sq
    @MATHAYOMUHULU-jt9sqАй бұрын

    Hongera sana mh Rais kwa kuitambua shida ya wastaafu kutolipwa jasho lao,simamia walipwe mafao yao yote . hongera kwa kina Kasalali, Msukuma na Bulaya kwa kuwatetea wastaafu .mama kura ni zako tu nawabunge wote wanaowatetea watanzania wenye tabu Mungu akubariki

  • @lazaromalambugi4163
    @lazaromalambugi4163Ай бұрын

    Tunashukuru Mh. Rais hao lazima waelezwe ukweli ili mambo yaende.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8vАй бұрын

    Mama UPO VIZURI KWELI WEWE NI MSEMA KWELI,MITANO TENA

  • @ReginaldLema
    @ReginaldLemaАй бұрын

    Mama Asante sana kwa kuzungumzia mifuko ya jamii.Mungu akulinde mama yetu.Mitano tena bila ubishi.Barikiwa sana

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Mi 5 ya nini? Kama 4 tu tumeumizwa.

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471Ай бұрын

    Mama unarikiwe sana kwa ishu ya kikokotoo, bt kipekee nampongeza sana Mh Ester Bulaya maana amelipigia kelele mno hili jambo

  • @edwinndyamukama8918
    @edwinndyamukama8918Ай бұрын

    Kikokotoo Ni dhuluma kubwa Sana kwa wazee wetu. Huwezi kuwadhulumu wazee ukabaki salama. Wote waliobuni kikokotoo Cha 33% Machozi ya wazee hayatawaacha salama. Hongera Sana mhe Rais kwa kuliona Hilo,lifanyie kazi MAPEMA iwezekanavyo!

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8vАй бұрын

    GENGE la WEZI

  • @Worldunite
    @WorlduniteАй бұрын

    Kuhusu hili la mifuko kuwa hali mbaya nakuunga mkono

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977Ай бұрын

    Bora mngetoa mikopo kwa wafanyakai kwa asalimia ndogo.

  • @leinaamos
    @leinaamosАй бұрын

    Hapa mimi mama Asante ❤

  • @MagrethMadila-nz4vo
    @MagrethMadila-nz4voАй бұрын

    Mama asante kutuonea imani tunaumizwa saaana wasitaafu

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491Ай бұрын

    Nakupenda sana mama. Umeeongea kweli tupu❤

  • @melejisekeyan9492
    @melejisekeyan9492Ай бұрын

    Mama amejaribu, japo suala la kikokotoo kwa wafanyakazi bado ni kandamizi, asulimia Saba iliyoongezwa ni sawa na ongezeko la milioni Saba.

  • @bahatilyimo659
    @bahatilyimo659Ай бұрын

    Mungu akutunze na kukulinda Mama kipenzi. Futa Kikokotoo kabisa

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2jeАй бұрын

    Mama mimi hapa nilipo naumwa nimelala kitandani sina hata mia ya kujitibia nimewaandikia nssf barua wanilipe hela yangu nikaambatanisha na barua ya matibabu natakiwa nifanyiwe nilijibiwa una degree huwezi lipwa mafao .Nimechoka nimechoka

  • @matinyahaule792

    @matinyahaule792

    Ай бұрын

    Nssf .Mama tusaidie Sheria zilizopo zinzumiza. Mfano mtu ame achishwa KAZI TOKA 2000 na kuambiwa umesoma tafta KAZI . Ni HAKI kweli. Nisipopata KAZI je?Hela ambayo ingetumika kama mtaji inakuwa maumivu

  • @marisangaelifadhili3166
    @marisangaelifadhili3166Ай бұрын

    Wewe uwe raise wa maisha

  • @rashidsalehsalum6462
    @rashidsalehsalum6462Ай бұрын

    Napita tu mimi 🎉

  • @edwinnyale6265
    @edwinnyale6265Ай бұрын

    Uko vizuri Rais wangu wenye kusikia watekeleza na kuyaishi maelekezo yako

  • @geey7893
    @geey7893Ай бұрын

    Unachota Pesa unalipia madeni na posho za safar😂😂nani hajui

  • @reneebill3742
    @reneebill3742Ай бұрын

    Wisdom

  • @nicolausminja689
    @nicolausminja689Ай бұрын

    Ukisimamia utekelezaji wa hili.Mitano mingine kwa watumishi unastahili ✅✅✅✅

  • @emmanuelmush6732
    @emmanuelmush6732Ай бұрын

    The most incremental successful people in the world is the one which is driven by a sense of puepose Today is monday change

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442Ай бұрын

    Usiishie kuongea tu wawajibishe.Wamezoea vibaya.

  • @gellangi9694

    @gellangi9694

    Ай бұрын

    Rudisha mafao kama yalivyojuwa awali kabla ya kuanzisha Kikokotoo dhalimu.Serikali iweke fedha kwenye mifuko ya Hifadhi ya Jamii haraka kuziba udhaifu wa mifumo mliyoiunda wenyewe.

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Hilo neno. Achukue hatua Swahili.

  • @ibrahimtesha2733
    @ibrahimtesha2733Ай бұрын

    Mama Samia nakupenda kabisa! Umesema vema mno. Ujue NSSSF wamuturudisha nyuma sana kimapato tukistaafu. Hatukufanya kosa lolote la kustahili kupunguziwa mafao ya kustaafu kijanjajanja: kikokotoo kimetutafunia pato, pato la mkupuo wametufyeka, umriwa kuishi baada ya kustaafu umepungua ili kupunguza tena pato, halafu wanatuambia eti wamejumuisha wasiochangia walipwe pensheni - ili tu tulioonewa tusiungwe mkono kudai haki ya pato kulingana na patano tulipoajiriwa! Mama, tutetee!

  • @julianadaudi8541
    @julianadaudi8541Ай бұрын

    Mama ubarikuwe Sana kiondoe kikokotoo,umesema kweli!

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139Ай бұрын

    Kikokotoo Cha Sasa ni dhuluma tupu. Ni vema na Haki Kulipa asilimia 50 Kwa Kikokotoo Cha awali 1 Kwa 540 siyo ya Sasa 1 Kwa 580 mtatuua mapema.

  • @matinyahaule792
    @matinyahaule792Ай бұрын

    Tunakishukuru mheshimiwa Rahisi .BADO Nssf.,dhuruma ipo pia. Mifuko hii inatengeneza taratibu ngumu kuumiza wafanyakazi

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6ziАй бұрын

    Tumechoka maneno Kila siku,Nchi hii Ina maneno mengi.wafanyakazi wanaongelewa leo.muongo anajua

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    Ай бұрын

    MAGU ALIMIAMBIA VYUMA VIMEKAZA 😢😢😢😢😢

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Tusubiri mpaka 25. Usiwe maneño bila kitendo. Utaumizwa sana

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    Ай бұрын

    @@monicamwita7865 SIASA HAINA ADUI WALA RAFIKI MY DEAR 🤩🤩🤩🤩🤩🤩

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3uАй бұрын

    Mheshimiwa rais sisi watu wa chini tunaokopa kwenye kwenye app mitandaoni tunalipishwa mara saba zaidi hasa kampuni ya kisasi na mkopo faster tusaidie

  • @symonmhoja3102
    @symonmhoja3102Ай бұрын

    Tupo na Samia❤❤

  • @edosha3137
    @edosha3137Ай бұрын

    Magari ya mawaziri

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8pАй бұрын

    Kwa kweli kiasi cha 33 1/3% tunacholipwa wastaafu ni kidogo kwa kipimo chochote kile. Kiwango cha theluthi moja kimekadiriwa na watu ambao wao wanapokea mishahara mikubwa kuliko tuliyokuwa tunalipwa sisi bila kujali sasa sisi tuliokuwa tunapata mishahara midogo sasa hatuna hata huo mshahara mdogo. Jamani Mwenyezi Mungu anawaona.

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3uАй бұрын

    Mama yetu rais tusaidie tunanyanyaswa kwenye mikopo ya mitandaoni hasa kampuni ya kisasi pamoja na mkopo faster ni zaidi ya kausha damu twafa

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487Ай бұрын

    Kuhusu mifuko ya jamii pssf sio uongee tu kama ungekutana na wahusika uwasikie vile wanamatatizo utashangaa kuongea tu haitoshi!

  • @user-ou1ls6oj2f
    @user-ou1ls6oj2fАй бұрын

    Kweli wanalala na kusubiri kula pesa za watumishi na kukopeshana wakati huku chini tumeshikiwa chini tumefungwa mikono ndiyo maana wafanyakazi tunakufa haraka tumekuwa watumwa tu Mh rais maanisha unachowaambia maana watendaji Huwa wanatuangusha nk nk

  • @CalmBaseballStadium-up6uj
    @CalmBaseballStadium-up6ujАй бұрын

    Aaahhh magufuli lala salama uliko Leo wanabembelezwa hivi

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938Ай бұрын

    Mh tifutie hii dhulma adhwiiim

  • @emmanuelmush6732
    @emmanuelmush6732Ай бұрын

    Tunatakiwa tufikirie njia za kuwasaidie watanzania kama samia

  • @kalumangachannel4760
    @kalumangachannel4760Ай бұрын

    10 mingine na mama.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Ай бұрын

    Wastaafu wanaumizwa na mbogamboga

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko5493Ай бұрын

    MAMA UMEONGEA LWA HUSARA SANA

  • @Nehe100Kilindu
    @Nehe100KilinduАй бұрын

    Hongera

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7jiАй бұрын

    PIGA KAZI MAMA HII NDIO REALITY CHECK HAKUNA MIUJIZA

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qdАй бұрын

    mdaumekaribia kauri za uchaguzi wa tz amkeni, uo usingozi mpaka lini?

  • @theclanyoni4438
    @theclanyoni4438Ай бұрын

    Mama mamaa Mungu akubariki sana❤ umesema ukweli

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185Ай бұрын

    Yaani Mheshimiwa Rais pokea maua yako.Mstaafu anaumizwa sana akistaafu

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Maura ya nini? Mpe najua akishaondoa2 KIKOKOTOO.

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185Ай бұрын

    Yaani Uishi miaka mingi sana.Umemwaga ukweli

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448Ай бұрын

    safi sana mama

  • @mcmambo8774
    @mcmambo8774Ай бұрын

    KAMA UNAMUUNGA MKONO MAMA KUWA ADHABU WANAPEWA WATU WA CHINI YAANI WASTAAFU SEMA HAPO CHINI MAMA 2025 MITANO TENA

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Ya nini. Kama 4 th watu tumechoka. CCM kama so goli la mkono wamegoma ñamba

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8dsАй бұрын

    Mama hapo nimekupenda naomba vikokotoo hivyo vifutwe kabisa wafanya kazi wakistaafu wapewe pesa zao zote

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Aondoke ndipo kumpenda.

  • @user-zy4rr9iv3m
    @user-zy4rr9iv3mАй бұрын

    Watanzania mungu anawaona

  • @kashiririrkaasongwisye9487

    @kashiririrkaasongwisye9487

    Ай бұрын

    Ahajjahahaaaaa kivp sasa

  • @richardnyarugenda9769
    @richardnyarugenda9769Ай бұрын

    Sisi Wananchi tunataka 1 Katiba mpya 2 Tume huru ya uchsguzi 3 Wakurugenzi wasisimamie uchaguzi 4. Tunataka Tanganyika yetu. 5 .Tunataka tumiliki ardhi Zanzibar 6. Gharama za maisha ziko juu

  • @jocktanngailo5824

    @jocktanngailo5824

    Ай бұрын

    Jamani, kazi kweli. Sheria hupindishwa na watu sio katiba wala tume. Kikokotoo si kina sheria na mikataba ya kudumu? Mbona kimebadilishwa. Na katiba ipo. Sheria nzuri ipo. Inaongea nini wewe.

  • @user-le2ep5nq8c
    @user-le2ep5nq8cАй бұрын

    Mama FUTA kabisa kikokotoo

  • @JoshuaKamusiara
    @JoshuaKamusiaraАй бұрын

    Mama samia umechoka sana inabidii uwachiee lisu inchi yetu maana uwezani na kazi zetu kazi yako kama rais una usa inchi yetu kwa ndugu zako warabu

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    Ай бұрын

    Lisu ni mwanaharakati kazi yake ni KUBWEKA hana leadership skills yeye na mbowe wale RUZUKU 😢😢😢😢😢😢😢

  • @drsumatz7539
    @drsumatz7539Ай бұрын

    Mh Rais kuongelea tu kikokotoo kisiasa half sera bado ileile sioni kama tunabadilisha kitu ............... Kusema ukweli kikokotoo ni janga la aibu sanaaaa ni Bora kifutwe half kodi iongezwe kidgo Kwa wafanyakaz ... Bora mara sabini

  • @lugendondayanse4910
    @lugendondayanse4910Ай бұрын

    KWAKWELI NINGEKUWA NA UWEZA AU KATIBA INGEKUWA NA UWEZO,,. NINGEAMURU RAIS WETU, MAMA YETU DR SAMIA ASISUMBUKE KUZUNGUKA MWAKANI KUOMBA KURA,, APITE BILA KUPINGWA,, MI 5 MINGINE TUFANYE TU KWA WABUNGE NA MADIWANI ILI WAZEMBE WAPUMZISHWE KAZI.

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Pumbavu. Chawa mkubwa na mnafiki usiyeyejitambua

  • @ChristerKoku
    @ChristerKokuАй бұрын

    Tupate matokeo siyo kusema tu,pesa za wastaafu wslipwe bila masharti yote. Waliozikopa eazirudishe.

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Kila siku anaongea vitendo hakuna.

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519Ай бұрын

    Mheshimiwa Rais utaratibu wa kikokotoo kwa wastaafu nikibaya na ni dhuluma. Mtu ametumikia taifa anastaafu badala ya kumpa stahiki yake eti mnamwekea, kwanini wabunge wao hamuwawekei mnawapa stahiki zao zote? Hii siyo sawa. Mmeua mifuko halafu solution nikuwadhulumu watumishi. Hii siyo sawa hata kidogo

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Ай бұрын

    Kikokotoo wakokotoe wabunge wenye mishahara kidunchu walalahoi achana nao

  • @daltonmunguatosha1197
    @daltonmunguatosha1197Ай бұрын

    Mheshmiwa Rais ungesema tu tulipwe hela zetu 100%. Na hao wasiokua na vision weka pembeni.

  • @BIGCHENDREADLOCKS
    @BIGCHENDREADLOCKSАй бұрын

    Lisu oyee

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ubАй бұрын

    Sasa unajua pesa zinafichwa we unachukua hatua gani?ukiishia kusema tu na wao wanachukulia poa na wanazipiga kwelikweli

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Shida iko hapo. Yeye pia phenylalamika. No vizuri wote wanaosababisha tatizo hilo wachukuliwe hatua.

  • @pilindauka2492

    @pilindauka2492

    Ай бұрын

    Yeye amekuta tatizo, kama unakumbuka na mwenda zake aliwaambia waziwazi, mama nae ameendelea kupigilia msumari, mbona LAPF hakukuwa na tatizo hili? Wanaanzishaje miradi mingine wakati iliyopo haijaleta tija?Mimi nashauri kuwe na bodi ya wawakilishi wa mfuko itakayojumuisha wastaafu na wastaafu watarajiwa ili kiwe chombo Cha kufuatilia mwendo wa mfuko huu, na kuwe na uwazi wa mapato na matumizi kama ambavyo tumeona katika mashirika mbalimbali yakifedha yanavyofanya.Asante sana mama kwa kutetea wastaafu na kukemea ubadhilifu huu.h

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xtАй бұрын

    Mama fuatilia pia mapoto yanayotokana na miradi ya hii mifuko wastaafu wanafaidikaje maana ni hela za wastaafu ziliwekezwa😱

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026Ай бұрын

    Mpe mstaafu pesa yake yote. Mnapata dhambi wote. Unampa kidogo kidogo mungu yupo tuu.

  • @davidgeorge9324
    @davidgeorge9324Ай бұрын

    Mama selikar yako inafer Kila sehem wakurugenz wanasumbua kuripa pesa zawazabun ukiuliaza wanasema serikar Haina hela

  • @andersonsamuel9214
    @andersonsamuel9214Ай бұрын

    Mama umeongea vyema sana, inatukera na inauma sana. ananipangiaje na hela yangu? kufika kustaafu ni neema tu. Bado unipe stress na changu?

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Halafu kazi ipo pale palè.

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801Ай бұрын

    Mzembe Wa kwanza ni yy coz ameshindwa kusimamia nchi kama mkuu wa nchi

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552Ай бұрын

    Mbona Hawa wanaopitisha. Dhuluma hizi wao Kila miaka mitano wanajilipa zakwao. Tena. Nyimgi ajabu huu ni unyama. Waliochezea. Mifuko. Wapi walipe. Kwani pesa wamechukuwa halafu wanaleta stori. Warudishe. Wale zakwao ha Mheshimiwa .Raisi itakuwa umewafundisha kitu..kwani hawajui hasara Wala faida.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382Ай бұрын

    WATANGANYIKA WANAIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE🤣🤣🤣👁️👁️

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206Ай бұрын

    Nchi hii kila mtu analalamika hakuna mwenye majibu

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Mpaka mama naye phenylalamika!

  • @clickway..
    @clickway..Ай бұрын

    Miradi isiyokuwa na tija IUZWE, na Fao la kujitoa LIRUDISWE pesa ni za mfanyakazi, makosa ni yenu serikali.

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Hawana hata aibu

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140Ай бұрын

    Ww mama huna sifa ya uongoz hufatilii unasemaj tu mambo hayaendi Kwan mtanguliz wako hukujifunza kwake unakaz ya kubembeleza wez mm staki hata kukusikia kwaza jiuzul kbsa

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117Ай бұрын

    Tumechoka maneno kila cku tunataka vitendo.

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334Ай бұрын

    Wabunge wanajionaje?!! Wapiga kura hivi mnajua wajibu wenu?!!

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Bunge la CCM hivyo sana. Hawawajali watu wao. Wanajua wao ni wa kupita kwani goli la MKONO ndilo nguzo yao.

  • @michaellorri2275
    @michaellorri2275Ай бұрын

    Nani wa kubebeshwa lawama? Aliyefilisi mfuko? (ujue hapo sio uongozi wa mfuko) si siri kali? Hayo maagizo ya mhe rais yanamlenga nani?

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Serikali unajua vizuri na imehusika asilimia 100. Mama kakake huko nje ili watu wakwe haki zao.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8vАй бұрын

    HII .MIFUKO WASISIMAMIEVIJANA WAMAUMIZA WAZEEHAWA AKINA PATROBASI KATAMBI UMRI HUU NI TATIZO

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418Ай бұрын

    kama utafuta Sheria ya kikokotoo we Hadi 2030

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Akifute sasa. Hatua 40 bado no dhuluma kubwa

  • @ibrahimtesha2733
    @ibrahimtesha2733Ай бұрын

    Mama Samia tizama na kodi kubwa tunayotozwa kama PAYE kwenye mishahara, hii inafanya mtumishi kuona tu namba kubwa ya pato lakini akishakatwa hadi 35% kiuhalisia anabaki tu masikini! Nyerere alikusudia kutuwezesha kupambana na umasikini. Bora wenye kipato wote tutozwe kwa asilimia ile ile! Mfano kama 9% kwa mwenye pato zaidi atatoa kingi kulingana na pato lake kubwa. Tusikomoane kwa kuweka kwamba eti anayezidi pato fulani kinachozidi kinakamuliwa karibia chote! Hii nchi kila mtu afaidi uwezo wake au cheo kinachomhalalishia pato! Asante mummy!

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339Ай бұрын

    Umeongea madini sana mama inakuwaje uwezo mdogo wa kuendesha mifuko igeuke adhabu kwa wachangiaji?.warudishe fedha za watu kama wameshindwa au wawape bank wazizalishe wasianzishe miradi isiyo na tija au wakajenge nyumba za kupangisha wanafunzi

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын

    Sheria zinasema kwamba wewe Samia ndiye ulisaini kikokotoo Sasa Luka mkojo

  • @yakobokuzenza6837

    @yakobokuzenza6837

    Ай бұрын

    Alisaini baba yenu aliyeenda kuongoza malaika.Acha upumbavu.Ndio maana alikufa.Mnafiki mkubwa

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8vАй бұрын

    AKINA PATROBASI KATAMBI WANATETEA KANUNI KANDAMIZI WAJITATHIMINI

  • @geofreyrwezimula6039
    @geofreyrwezimula6039Ай бұрын

    Mama watendaji wako wanakuangusha. Hiki kikokotoo ni hatari😢

  • @davidkawesa3594

    @davidkawesa3594

    Ай бұрын

    Mazingaumbwe

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Tatizo wananitoa sana badala ya kueleza ukweli

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832Ай бұрын

    "....ni menejiment na pengine serikali..."!! Anajua anachokisema kwamba serikali ilikuwa ikidaiwa michango yake almost matrilion na hiyo nyingine...!

  • @hashimbakari4670
    @hashimbakari4670Ай бұрын

    Hivi mnajua kikokotoo kimebuniwa na nani? Kwa sababu gani? Serikali kujitoa kwenye maamuzi haya ya dhuluma si sahibi. Madeni ya fedha zilizokopwa na serikali yote yalirejeshwa kwenye mfuko? Nani amewaruhusu watumishi kutumia michango ya watumishi kuwekeza ktk miradi?

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34Ай бұрын

    Ungekuwa unakubali ushauli ungemwindoa mwigulu wizara ya fedha ukamweka Hata Jerry Skaaa maana amesababisha uchumi kufa na pesa yetu kushuka Kila siku, nimetafuta Dollar 5,000. niende Rwanda nimetembea bank kama saba zote hakuna labda tukuelemeze Kwa bei ya 3000. Kwa Dollar wakati mabango yameandikwa 2630.kwa dollar, hii bei hupati Hata ukilia.majanga ya mwigulu.

  • @michaelnzowa
    @michaelnzowaАй бұрын

    Msajili akalifanyie kazi wapi? Ilitakiwa utoe tamko la kufuta kikokotoo sio maneno tu.

  • @user-ce3tx7mr8v

    @user-ce3tx7mr8v

    Ай бұрын

    SUBIRA HUVUTA HERI,KAMA HUJAELEWA HIYO HOTUBA NENO KWA NENO HUTAELEWA

  • @JamesChrizestome
    @JamesChrizestomeАй бұрын

    Mama tunasubiri hekima yako maana Kuna idara zingine zinahumia kupita kiasi hatuna pa kusemea tu hivi milioni 17 na umefanya kazi miaka 34 na una mkopo wa nyumba na ulitegemea ulipe kwa kiinua mgongo au hujajenga unategemea kujenga kwa hicho kiinua mgongo tutafika kweli au ndiyo unasogezwa karibu na kaburi tutakufa na kuacha familia zetu zikiteseka, tuondolewe hicho kikokotoo

  • @WilbertMalula-vv7ml
    @WilbertMalula-vv7mlАй бұрын

    ASANTE LISSU MAMA KASIKIA

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Hili jembe. Nawashangaa wanaomkejeli.

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470Ай бұрын

    Tanzania inahitaji rais kma magufuli mwenye maamuzi magumu.

  • @user-fd7ul7pq9s
    @user-fd7ul7pq9sАй бұрын

    Mh. Rais. basi. madeni. ya. WASTAAFU. wayalipe

  • @user-fd7ul7pq9s
    @user-fd7ul7pq9sАй бұрын

    Mh. Rais. ni. kweli. kabisa. wanaoingusha. mifuko. ni. watumishi. wa. mifuko. na. wakuu. wao. wanajinufaisha. wenyewe. dawa. nikuwatimua. na. warudishe. fedha. zetu. walizoziiba. wachukuliwe. hatua. wanahusika

  • @furahamwakalukwa
    @furahamwakalukwaАй бұрын

    Ni kweli kabisa Rais wetu mpendwa unachokisema ila kuna baadhi ya wasaidizi wako hasa huko mikoani wapo busy na maslai binafsi na siyo kuwasaidia wananchi kama ulivyowatuma.

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Mawaziri wake, hasa fedha.

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5yАй бұрын

    Sawasawa watendaji wetu jitafakalini jamani mnachelewesha maendeleo

  • @user-fw6xu8gn2q
    @user-fw6xu8gn2qАй бұрын

    Mh rais Kwa heshima naomba toa kauli thabiti kikokotoo kifutwe wewe ndio ulie bariki na wabunge wako acheni kutesa waastafu jamani mnaenda makanisani misikitini kusali kweli?

  • @yakobokuzenza6837

    @yakobokuzenza6837

    Ай бұрын

    Kililetwa na kilibarikiwa na magufuli.Acha kumsingizia huyu mama.

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Ай бұрын

    Wanafiki wakubwa

Келесі