Rais Samia Awashukia Wazee wa Vikokotoo: 'Tunafanya Uzembe, Mzigo Tunaushusha Kwa Wafanyakazi'
Akizungumza leo Juni 11,2024, kwenye shughuli ya kupokea gawio kutoka kwenye taasisi na makampuni, Rais Samia ameutaka mfuko wa PSSSF kujitathmini hasa kutokana na kuwa na hali mbaya katika vitabu vyake.
Пікірлер: 142
Ahsante Sana Mh.Raisi Kwa kuwajali wafanyakazi na kutambua madhaifu ya mifuko hii ya jamii
@festokemibala5832
Ай бұрын
Mifuko inasimamiwa na nani? Serikali na huo uwekezaji nani aliubariki? Seeikali!! Sasa hapa mfanyakazi amejaliwaje?
@youngsachafurniture5482
Ай бұрын
Wajinga amuishi 😢😅😅😅
Mungu akubariki mama kwa kuliona tatizo la kikokotoo!!
Kikokotoo hicho ni dhuluma, Mh Rais tunaomba kifutwe haraka
Namshukuru sana Mheshimiwa Rais kwa kutoa kauli hiyo ya ukweli. Chukua hatua zaidi usiishie kuongea
@davidkawesa3594
Ай бұрын
Mazingaumbwe hao anajuwa kila kitu
@abuujihad8411
Ай бұрын
Hajasema kitu wafanyakazi wanataka kifutwe kiondoshwe
@monicamwita7865
Ай бұрын
Acidophilus hatua, ungekuwa sana na bore.
Tafadhali Mh Rais hiki kikokotoo ni kidogo sna, naomba angalau msitaafu alipwe kwa mkupuo 75% kwani hilo ni jasho lake Halali. Natanguliza shukurani
@monicamwita7865
Ай бұрын
Tulione kama zamani. Tunaomba kitu ambacho ni haki yetu! Serikali nikakope watu walipe haki zao. Kila mwezi unakatwa mshahara.
Umewasema vizuri watu wa vikokotoo 5:52
Hongera sana mh Rais kwa kuitambua shida ya wastaafu kutolipwa jasho lao,simamia walipwe mafao yao yote . hongera kwa kina Kasalali, Msukuma na Bulaya kwa kuwatetea wastaafu .mama kura ni zako tu nawabunge wote wanaowatetea watanzania wenye tabu Mungu akubariki
Tunashukuru Mh. Rais hao lazima waelezwe ukweli ili mambo yaende.
Mama UPO VIZURI KWELI WEWE NI MSEMA KWELI,MITANO TENA
Mama Asante sana kwa kuzungumzia mifuko ya jamii.Mungu akulinde mama yetu.Mitano tena bila ubishi.Barikiwa sana
@monicamwita7865
Ай бұрын
Mi 5 ya nini? Kama 4 tu tumeumizwa.
Mama unarikiwe sana kwa ishu ya kikokotoo, bt kipekee nampongeza sana Mh Ester Bulaya maana amelipigia kelele mno hili jambo
Kikokotoo Ni dhuluma kubwa Sana kwa wazee wetu. Huwezi kuwadhulumu wazee ukabaki salama. Wote waliobuni kikokotoo Cha 33% Machozi ya wazee hayatawaacha salama. Hongera Sana mhe Rais kwa kuliona Hilo,lifanyie kazi MAPEMA iwezekanavyo!
GENGE la WEZI
Kuhusu hili la mifuko kuwa hali mbaya nakuunga mkono
Bora mngetoa mikopo kwa wafanyakai kwa asalimia ndogo.
Hapa mimi mama Asante ❤
Mama asante kutuonea imani tunaumizwa saaana wasitaafu
Nakupenda sana mama. Umeeongea kweli tupu❤
Mama amejaribu, japo suala la kikokotoo kwa wafanyakazi bado ni kandamizi, asulimia Saba iliyoongezwa ni sawa na ongezeko la milioni Saba.
Mungu akutunze na kukulinda Mama kipenzi. Futa Kikokotoo kabisa
Mama mimi hapa nilipo naumwa nimelala kitandani sina hata mia ya kujitibia nimewaandikia nssf barua wanilipe hela yangu nikaambatanisha na barua ya matibabu natakiwa nifanyiwe nilijibiwa una degree huwezi lipwa mafao .Nimechoka nimechoka
@matinyahaule792
Ай бұрын
Nssf .Mama tusaidie Sheria zilizopo zinzumiza. Mfano mtu ame achishwa KAZI TOKA 2000 na kuambiwa umesoma tafta KAZI . Ni HAKI kweli. Nisipopata KAZI je?Hela ambayo ingetumika kama mtaji inakuwa maumivu
Wewe uwe raise wa maisha
Napita tu mimi 🎉
Uko vizuri Rais wangu wenye kusikia watekeleza na kuyaishi maelekezo yako
Unachota Pesa unalipia madeni na posho za safar😂😂nani hajui
Wisdom
Ukisimamia utekelezaji wa hili.Mitano mingine kwa watumishi unastahili ✅✅✅✅
The most incremental successful people in the world is the one which is driven by a sense of puepose Today is monday change
Usiishie kuongea tu wawajibishe.Wamezoea vibaya.
@gellangi9694
Ай бұрын
Rudisha mafao kama yalivyojuwa awali kabla ya kuanzisha Kikokotoo dhalimu.Serikali iweke fedha kwenye mifuko ya Hifadhi ya Jamii haraka kuziba udhaifu wa mifumo mliyoiunda wenyewe.
@monicamwita7865
Ай бұрын
Hilo neno. Achukue hatua Swahili.
Mama Samia nakupenda kabisa! Umesema vema mno. Ujue NSSSF wamuturudisha nyuma sana kimapato tukistaafu. Hatukufanya kosa lolote la kustahili kupunguziwa mafao ya kustaafu kijanjajanja: kikokotoo kimetutafunia pato, pato la mkupuo wametufyeka, umriwa kuishi baada ya kustaafu umepungua ili kupunguza tena pato, halafu wanatuambia eti wamejumuisha wasiochangia walipwe pensheni - ili tu tulioonewa tusiungwe mkono kudai haki ya pato kulingana na patano tulipoajiriwa! Mama, tutetee!
Mama ubarikuwe Sana kiondoe kikokotoo,umesema kweli!
Kikokotoo Cha Sasa ni dhuluma tupu. Ni vema na Haki Kulipa asilimia 50 Kwa Kikokotoo Cha awali 1 Kwa 540 siyo ya Sasa 1 Kwa 580 mtatuua mapema.
Tunakishukuru mheshimiwa Rahisi .BADO Nssf.,dhuruma ipo pia. Mifuko hii inatengeneza taratibu ngumu kuumiza wafanyakazi
Tumechoka maneno Kila siku,Nchi hii Ina maneno mengi.wafanyakazi wanaongelewa leo.muongo anajua
@OmmyJames-xn7ji
Ай бұрын
MAGU ALIMIAMBIA VYUMA VIMEKAZA 😢😢😢😢😢
@monicamwita7865
Ай бұрын
Tusubiri mpaka 25. Usiwe maneño bila kitendo. Utaumizwa sana
@OmmyJames-xn7ji
Ай бұрын
@@monicamwita7865 SIASA HAINA ADUI WALA RAFIKI MY DEAR 🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Mheshimiwa rais sisi watu wa chini tunaokopa kwenye kwenye app mitandaoni tunalipishwa mara saba zaidi hasa kampuni ya kisasi na mkopo faster tusaidie
Tupo na Samia❤❤
Magari ya mawaziri
Kwa kweli kiasi cha 33 1/3% tunacholipwa wastaafu ni kidogo kwa kipimo chochote kile. Kiwango cha theluthi moja kimekadiriwa na watu ambao wao wanapokea mishahara mikubwa kuliko tuliyokuwa tunalipwa sisi bila kujali sasa sisi tuliokuwa tunapata mishahara midogo sasa hatuna hata huo mshahara mdogo. Jamani Mwenyezi Mungu anawaona.
Mama yetu rais tusaidie tunanyanyaswa kwenye mikopo ya mitandaoni hasa kampuni ya kisasi pamoja na mkopo faster ni zaidi ya kausha damu twafa
Kuhusu mifuko ya jamii pssf sio uongee tu kama ungekutana na wahusika uwasikie vile wanamatatizo utashangaa kuongea tu haitoshi!
Kweli wanalala na kusubiri kula pesa za watumishi na kukopeshana wakati huku chini tumeshikiwa chini tumefungwa mikono ndiyo maana wafanyakazi tunakufa haraka tumekuwa watumwa tu Mh rais maanisha unachowaambia maana watendaji Huwa wanatuangusha nk nk
Aaahhh magufuli lala salama uliko Leo wanabembelezwa hivi
Mh tifutie hii dhulma adhwiiim
Tunatakiwa tufikirie njia za kuwasaidie watanzania kama samia
10 mingine na mama.
Wastaafu wanaumizwa na mbogamboga
MAMA UMEONGEA LWA HUSARA SANA
Hongera
PIGA KAZI MAMA HII NDIO REALITY CHECK HAKUNA MIUJIZA
mdaumekaribia kauri za uchaguzi wa tz amkeni, uo usingozi mpaka lini?
Mama mamaa Mungu akubariki sana❤ umesema ukweli
Yaani Mheshimiwa Rais pokea maua yako.Mstaafu anaumizwa sana akistaafu
@monicamwita7865
Ай бұрын
Maura ya nini? Mpe najua akishaondoa2 KIKOKOTOO.
Yaani Uishi miaka mingi sana.Umemwaga ukweli
safi sana mama
KAMA UNAMUUNGA MKONO MAMA KUWA ADHABU WANAPEWA WATU WA CHINI YAANI WASTAAFU SEMA HAPO CHINI MAMA 2025 MITANO TENA
@monicamwita7865
Ай бұрын
Ya nini. Kama 4 th watu tumechoka. CCM kama so goli la mkono wamegoma ñamba
Mama hapo nimekupenda naomba vikokotoo hivyo vifutwe kabisa wafanya kazi wakistaafu wapewe pesa zao zote
@monicamwita7865
Ай бұрын
Aondoke ndipo kumpenda.
Watanzania mungu anawaona
@kashiririrkaasongwisye9487
Ай бұрын
Ahajjahahaaaaa kivp sasa
Sisi Wananchi tunataka 1 Katiba mpya 2 Tume huru ya uchsguzi 3 Wakurugenzi wasisimamie uchaguzi 4. Tunataka Tanganyika yetu. 5 .Tunataka tumiliki ardhi Zanzibar 6. Gharama za maisha ziko juu
@jocktanngailo5824
Ай бұрын
Jamani, kazi kweli. Sheria hupindishwa na watu sio katiba wala tume. Kikokotoo si kina sheria na mikataba ya kudumu? Mbona kimebadilishwa. Na katiba ipo. Sheria nzuri ipo. Inaongea nini wewe.
Mama FUTA kabisa kikokotoo
Mama samia umechoka sana inabidii uwachiee lisu inchi yetu maana uwezani na kazi zetu kazi yako kama rais una usa inchi yetu kwa ndugu zako warabu
@OmmyJames-xn7ji
Ай бұрын
Lisu ni mwanaharakati kazi yake ni KUBWEKA hana leadership skills yeye na mbowe wale RUZUKU 😢😢😢😢😢😢😢
Mh Rais kuongelea tu kikokotoo kisiasa half sera bado ileile sioni kama tunabadilisha kitu ............... Kusema ukweli kikokotoo ni janga la aibu sanaaaa ni Bora kifutwe half kodi iongezwe kidgo Kwa wafanyakaz ... Bora mara sabini
KWAKWELI NINGEKUWA NA UWEZA AU KATIBA INGEKUWA NA UWEZO,,. NINGEAMURU RAIS WETU, MAMA YETU DR SAMIA ASISUMBUKE KUZUNGUKA MWAKANI KUOMBA KURA,, APITE BILA KUPINGWA,, MI 5 MINGINE TUFANYE TU KWA WABUNGE NA MADIWANI ILI WAZEMBE WAPUMZISHWE KAZI.
@monicamwita7865
Ай бұрын
Pumbavu. Chawa mkubwa na mnafiki usiyeyejitambua
Tupate matokeo siyo kusema tu,pesa za wastaafu wslipwe bila masharti yote. Waliozikopa eazirudishe.
@monicamwita7865
Ай бұрын
Kila siku anaongea vitendo hakuna.
Mheshimiwa Rais utaratibu wa kikokotoo kwa wastaafu nikibaya na ni dhuluma. Mtu ametumikia taifa anastaafu badala ya kumpa stahiki yake eti mnamwekea, kwanini wabunge wao hamuwawekei mnawapa stahiki zao zote? Hii siyo sawa. Mmeua mifuko halafu solution nikuwadhulumu watumishi. Hii siyo sawa hata kidogo
Kikokotoo wakokotoe wabunge wenye mishahara kidunchu walalahoi achana nao
Mheshmiwa Rais ungesema tu tulipwe hela zetu 100%. Na hao wasiokua na vision weka pembeni.
Lisu oyee
Sasa unajua pesa zinafichwa we unachukua hatua gani?ukiishia kusema tu na wao wanachukulia poa na wanazipiga kwelikweli
@monicamwita7865
Ай бұрын
Shida iko hapo. Yeye pia phenylalamika. No vizuri wote wanaosababisha tatizo hilo wachukuliwe hatua.
@pilindauka2492
Ай бұрын
Yeye amekuta tatizo, kama unakumbuka na mwenda zake aliwaambia waziwazi, mama nae ameendelea kupigilia msumari, mbona LAPF hakukuwa na tatizo hili? Wanaanzishaje miradi mingine wakati iliyopo haijaleta tija?Mimi nashauri kuwe na bodi ya wawakilishi wa mfuko itakayojumuisha wastaafu na wastaafu watarajiwa ili kiwe chombo Cha kufuatilia mwendo wa mfuko huu, na kuwe na uwazi wa mapato na matumizi kama ambavyo tumeona katika mashirika mbalimbali yakifedha yanavyofanya.Asante sana mama kwa kutetea wastaafu na kukemea ubadhilifu huu.h
Mama fuatilia pia mapoto yanayotokana na miradi ya hii mifuko wastaafu wanafaidikaje maana ni hela za wastaafu ziliwekezwa😱
Mpe mstaafu pesa yake yote. Mnapata dhambi wote. Unampa kidogo kidogo mungu yupo tuu.
Mama selikar yako inafer Kila sehem wakurugenz wanasumbua kuripa pesa zawazabun ukiuliaza wanasema serikar Haina hela
Mama umeongea vyema sana, inatukera na inauma sana. ananipangiaje na hela yangu? kufika kustaafu ni neema tu. Bado unipe stress na changu?
@monicamwita7865
Ай бұрын
Halafu kazi ipo pale palè.
Mzembe Wa kwanza ni yy coz ameshindwa kusimamia nchi kama mkuu wa nchi
Mbona Hawa wanaopitisha. Dhuluma hizi wao Kila miaka mitano wanajilipa zakwao. Tena. Nyimgi ajabu huu ni unyama. Waliochezea. Mifuko. Wapi walipe. Kwani pesa wamechukuwa halafu wanaleta stori. Warudishe. Wale zakwao ha Mheshimiwa .Raisi itakuwa umewafundisha kitu..kwani hawajui hasara Wala faida.
WATANGANYIKA WANAIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE🤣🤣🤣👁️👁️
Nchi hii kila mtu analalamika hakuna mwenye majibu
@monicamwita7865
Ай бұрын
Mpaka mama naye phenylalamika!
Miradi isiyokuwa na tija IUZWE, na Fao la kujitoa LIRUDISWE pesa ni za mfanyakazi, makosa ni yenu serikali.
@monicamwita7865
Ай бұрын
Hawana hata aibu
Ww mama huna sifa ya uongoz hufatilii unasemaj tu mambo hayaendi Kwan mtanguliz wako hukujifunza kwake unakaz ya kubembeleza wez mm staki hata kukusikia kwaza jiuzul kbsa
Tumechoka maneno kila cku tunataka vitendo.
Wabunge wanajionaje?!! Wapiga kura hivi mnajua wajibu wenu?!!
@monicamwita7865
Ай бұрын
Bunge la CCM hivyo sana. Hawawajali watu wao. Wanajua wao ni wa kupita kwani goli la MKONO ndilo nguzo yao.
Nani wa kubebeshwa lawama? Aliyefilisi mfuko? (ujue hapo sio uongozi wa mfuko) si siri kali? Hayo maagizo ya mhe rais yanamlenga nani?
@monicamwita7865
Ай бұрын
Serikali unajua vizuri na imehusika asilimia 100. Mama kakake huko nje ili watu wakwe haki zao.
HII .MIFUKO WASISIMAMIEVIJANA WAMAUMIZA WAZEEHAWA AKINA PATROBASI KATAMBI UMRI HUU NI TATIZO
kama utafuta Sheria ya kikokotoo we Hadi 2030
@monicamwita7865
Ай бұрын
Akifute sasa. Hatua 40 bado no dhuluma kubwa
Mama Samia tizama na kodi kubwa tunayotozwa kama PAYE kwenye mishahara, hii inafanya mtumishi kuona tu namba kubwa ya pato lakini akishakatwa hadi 35% kiuhalisia anabaki tu masikini! Nyerere alikusudia kutuwezesha kupambana na umasikini. Bora wenye kipato wote tutozwe kwa asilimia ile ile! Mfano kama 9% kwa mwenye pato zaidi atatoa kingi kulingana na pato lake kubwa. Tusikomoane kwa kuweka kwamba eti anayezidi pato fulani kinachozidi kinakamuliwa karibia chote! Hii nchi kila mtu afaidi uwezo wake au cheo kinachomhalalishia pato! Asante mummy!
Umeongea madini sana mama inakuwaje uwezo mdogo wa kuendesha mifuko igeuke adhabu kwa wachangiaji?.warudishe fedha za watu kama wameshindwa au wawape bank wazizalishe wasianzishe miradi isiyo na tija au wakajenge nyumba za kupangisha wanafunzi
Sheria zinasema kwamba wewe Samia ndiye ulisaini kikokotoo Sasa Luka mkojo
@yakobokuzenza6837
Ай бұрын
Alisaini baba yenu aliyeenda kuongoza malaika.Acha upumbavu.Ndio maana alikufa.Mnafiki mkubwa
AKINA PATROBASI KATAMBI WANATETEA KANUNI KANDAMIZI WAJITATHIMINI
Mama watendaji wako wanakuangusha. Hiki kikokotoo ni hatari😢
@davidkawesa3594
Ай бұрын
Mazingaumbwe
@monicamwita7865
Ай бұрын
Tatizo wananitoa sana badala ya kueleza ukweli
"....ni menejiment na pengine serikali..."!! Anajua anachokisema kwamba serikali ilikuwa ikidaiwa michango yake almost matrilion na hiyo nyingine...!
Hivi mnajua kikokotoo kimebuniwa na nani? Kwa sababu gani? Serikali kujitoa kwenye maamuzi haya ya dhuluma si sahibi. Madeni ya fedha zilizokopwa na serikali yote yalirejeshwa kwenye mfuko? Nani amewaruhusu watumishi kutumia michango ya watumishi kuwekeza ktk miradi?
Ungekuwa unakubali ushauli ungemwindoa mwigulu wizara ya fedha ukamweka Hata Jerry Skaaa maana amesababisha uchumi kufa na pesa yetu kushuka Kila siku, nimetafuta Dollar 5,000. niende Rwanda nimetembea bank kama saba zote hakuna labda tukuelemeze Kwa bei ya 3000. Kwa Dollar wakati mabango yameandikwa 2630.kwa dollar, hii bei hupati Hata ukilia.majanga ya mwigulu.
Msajili akalifanyie kazi wapi? Ilitakiwa utoe tamko la kufuta kikokotoo sio maneno tu.
@user-ce3tx7mr8v
Ай бұрын
SUBIRA HUVUTA HERI,KAMA HUJAELEWA HIYO HOTUBA NENO KWA NENO HUTAELEWA
Mama tunasubiri hekima yako maana Kuna idara zingine zinahumia kupita kiasi hatuna pa kusemea tu hivi milioni 17 na umefanya kazi miaka 34 na una mkopo wa nyumba na ulitegemea ulipe kwa kiinua mgongo au hujajenga unategemea kujenga kwa hicho kiinua mgongo tutafika kweli au ndiyo unasogezwa karibu na kaburi tutakufa na kuacha familia zetu zikiteseka, tuondolewe hicho kikokotoo
ASANTE LISSU MAMA KASIKIA
@monicamwita7865
Ай бұрын
Hili jembe. Nawashangaa wanaomkejeli.
Tanzania inahitaji rais kma magufuli mwenye maamuzi magumu.
Mh. Rais. basi. madeni. ya. WASTAAFU. wayalipe
Mh. Rais. ni. kweli. kabisa. wanaoingusha. mifuko. ni. watumishi. wa. mifuko. na. wakuu. wao. wanajinufaisha. wenyewe. dawa. nikuwatimua. na. warudishe. fedha. zetu. walizoziiba. wachukuliwe. hatua. wanahusika
Ni kweli kabisa Rais wetu mpendwa unachokisema ila kuna baadhi ya wasaidizi wako hasa huko mikoani wapo busy na maslai binafsi na siyo kuwasaidia wananchi kama ulivyowatuma.
@monicamwita7865
Ай бұрын
Mawaziri wake, hasa fedha.
Sawasawa watendaji wetu jitafakalini jamani mnachelewesha maendeleo
Mh rais Kwa heshima naomba toa kauli thabiti kikokotoo kifutwe wewe ndio ulie bariki na wabunge wako acheni kutesa waastafu jamani mnaenda makanisani misikitini kusali kweli?
@yakobokuzenza6837
Ай бұрын
Kililetwa na kilibarikiwa na magufuli.Acha kumsingizia huyu mama.
@monicamwita7865
Ай бұрын
Wanafiki wakubwa