MKE WA TUNDU LISSU AWALIZA WATU, AELEZEA YALIYOMKUTA KWA MIAKA MITATU YA KUUGUZA
#ChademaMedia #Chadema
Жүктеу.....
Пікірлер: 100
@atiliogisanganga39643 жыл бұрын
Mama wa kazi uko vizuri wewe ni mke mwema Mungu akupe moyo huohuo wa hekima sisi hatuwaachi .tunakwenda na lisu tutamaliza na lisu
@shukranisekaga96093 жыл бұрын
Mwanamke jasiri sana ww, nakupenda sana first lady! Unaosha!
@musarichard29343 жыл бұрын
Wapo wanaombeza Lissu,but if not today..it's tomorrow!..he must be the greatest leader!
@madukaj.j.6999
3 жыл бұрын
Hapo ndo mwisho Mkubwa.
@messiasulleydidy2585
3 жыл бұрын
For sure
@jedidahbintidaudi8241
3 жыл бұрын
and eloquent too, but not sure if he will take over this country
@nuhuhatibu16173 жыл бұрын
Yaani huyu mama kaongea kwa hisia sana na anaumia sana pole sana mama kwani hakuna mwanadam yeyote yule ambaye anaweza maumivu haya ila tumuachie MUNGU ndio ambaye atahukumu eee MWENZI MUNGU NAOMBA MWISHO MWEMA NISIJE NIKAWA MIONGONI MWA WATU WABAYA🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙏🏻
@user-do5by8jl6g
5 ай бұрын
Mungu mi mwamifu hakika hamtagarikishwa mungu atawalinfa
@sasha-ri7tf3 жыл бұрын
Mamma yetu wa Tz aliye tuuguzia kipenzi chetu Mhe Tundu Lisu Mungu akupe baraka zaid kwa mahaba makubwa zaid juu ya Rais wetu Mhe Tundu Lisu ❤❤❤❤❤
@jacobmayalla56983 жыл бұрын
Pole Malkia wa Tanzania,Umepambana Sana,hakika unafaa kuwa Malkia na ninaamini,Utamshauri vizuri Mfalme!!!!?
@ndogoroedson199
2 ай бұрын
Malikia gan au malkia wa manyumbu? Hahahaaaaa keeeenge
@ULUMBIADAM
Ай бұрын
K,wewe
@rebecashumbi3450 Жыл бұрын
Jina la Yesu lilimuokoa mmeo nawashauri mpokeeni Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu tulimuombea mweshimiwa poleni Yesu yuko kazini tuliomba kuokoka ni vizuri mpeni YESU maisha yeni mama pole poleni sana
@hassansamo68233 жыл бұрын
Tunaomba mola lissu afanikiwe insha allah
@santosclassic99353 жыл бұрын
Unatetea wanyonge saf kabisa
@simonfundi36093 жыл бұрын
Asante sana First Lady wetu
@dorahy1579
3 жыл бұрын
Mnajua mlichokoza boss wenu. Mnataka Italia kwa kufanya ujanja ujanja muonewe huruma na mambo yote mlipanga wenyewe. Mnadanganya bongo lala siyo werevu. Mnajuliakana mipango yenu. Tamaa bin Tamaa
@simonfundi3609
3 жыл бұрын
Dorah Y huruma za Mungu zinatutosha hatuitaji izo za maccm
@johnsonmarick453 жыл бұрын
She a real strong 💪 woman💃👩, Much blessing to you mom.
@amanijoel39243 жыл бұрын
It wasn’t easy.... it’s not easy ..... we still have long way to go but there is a hope . Through the cloudy ⛅️ I can see an open window ... penye nia pana NJIA ....watching & following you from the 🇺🇸 But Tanzania 🇹🇿 is my home
@FilbertKalembe-fy4oqАй бұрын
Duu mungu yupo msjaribu ni sehemu ya binadamu waliofanya haya mungu anawaona
@rehemadaudi43903 жыл бұрын
Hongera sana my wifi love u.
@simonmdulla8051 Жыл бұрын
Mungu.akutie.nguvu.mama.endelea.kua.hivyo.
@santosclassic99353 жыл бұрын
Rais wetu lissu 🙏 umeshapita
@katwigayona8041
3 жыл бұрын
Dua za kuku
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
Katwiga Yona kwan ww nani.. paka uone ina shindikan... mbn mlimuombea afe lkn ni mzima wa afya... nyie wajinga tu tutawaonyesha
@murugaisaya66813 жыл бұрын
It's painful hongera sana mama we shujaaa
@ayoubabdull12653 жыл бұрын
Mara pah'Antipasu ikulu ....yaan kuna watu sijui wataenda kuishi nchi ipi maan mzik wake hapatosh ...
@izackhongoli4017
3 жыл бұрын
apo ukubali ukatae akipta lisu nakuingia ikulu vita inaanza amini nakwambia
@joramkimario2666
3 жыл бұрын
We endelea kuota na otakaaposhwa ukiamka ukafungue milango ya ikulu
@jonathanmundeda9714 Жыл бұрын
Pole sana na familia yako mama
@osodowilberforce2 ай бұрын
Madam Lissu,we love you.Pole sana.
@wennybarny16810 күн бұрын
Poleni sana
@amosmoses78003 жыл бұрын
Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya - Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___ 1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea. 2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani. Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ? Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani? 3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ? 4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ? Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi? 5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .? kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi. Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao? Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu. 6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi? 7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini? 8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ? 9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu? 10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ? Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi. 11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.? Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani? KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO. BWANA YESU ASIFIWE ! CCM OYEEE !!
@sebastiankessy10153 жыл бұрын
Dah pole Kwa Yaliyo kukuta
@ombenipenieli1432 Жыл бұрын
Mama usiwashukuru watu,mshukuru Mungu aliemshindia na kumuepusha na kifo
@mohamedturanardan88713 жыл бұрын
Aliyempiga risasi ipo siku. Mungu ni mwema na muadilifu, hasahau, hali, hanywi, anampururia. Ipo siku yake
@faustinendama23043 жыл бұрын
Pole sana
@fredreckmwakalinga34753 жыл бұрын
Wapinzani hasa chadema na Act kama mtawachekea hii Tume ya ccm watawatesa sana lakini ngumi jiwe ndo itaondoa huu upumbavu ya mungu mtu
@shebymnazi35303 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atalipa kwa yote aliyofanyiwa kiumbe chake tundu lisu tunaamini ivyo
@clemencekaogo88263 жыл бұрын
Inauma sana Kwa binadamu kumfanya mwenzako kama mnyama wa polini mungu atawalipa Kwa yote
@octavianadolph45773 жыл бұрын
♥
@DeogratiusAndrew-zi7zv7 ай бұрын
Lakini amesema ubavu wangu , kwani nisawa kweli nani hapo ndie ubavu wa mwenzake kati ya lisu na mkewe?
@iddijumaali71923 жыл бұрын
Inasikitisha
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Mkulya sura mbaya shapeless
@dorahy15793 жыл бұрын
Mmmmh, nao wanalia hawana wa kulilia
@endwardntandu3736Ай бұрын
Mnafiki kama mumeo hats ubalozi was nyumba kumi hapati
@drtobias_3 жыл бұрын
Chadema Tunaomba SERA JAMANI
@mcjogopah8513
3 жыл бұрын
Kwani Lazima, uje huku ambako hakuna Sera? Au wewe ndie wale wasiojulikana?
@drtobias_
3 жыл бұрын
@@mcjogopah8513 ndugu yangu tusigombane ,sijasema hivyo kwa Nia mbaya,Hii Ni hamu tu ya kumwona Lissu akiwa IKULU
@zacijoe3772
3 жыл бұрын
Mbona Lisu kamwaga sera au umekuwa kipofu
@admaumsengi42303 жыл бұрын
Wewe ni kamanda, wewe ni malkia wa nguvu
@HamzaHeri26 күн бұрын
WEWE MBONA UNAUSO KAMA UNA PULIZA MOTO ALIPIGWA RISASI KWA SABABU YA KUTAKA KUTU SHAWI TUOWANE WANA UME KWA WANAUME NA WANAWAKE 2 KAMA NA WEWE NI MOJA WAO BASI MTAKAASANA BASI TAFUTE KAZI NYINGINE ZA KUFANYA AO NJOONI HUKU MIRERENI TUCHIMBE MADINI BLOCK C ASANTE SANA FATA USHAURI WANGU
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
RIP LISSU
@mussamapesa56323 жыл бұрын
Tutamuomba magufuli ampe kazi mumeo ili na ww upate utulivu maana unaonekana mumeo anakutesa sana
@zainabuselemani6709
3 жыл бұрын
akil huna kwan maguful ni mung
@agnesskisima8214
3 жыл бұрын
Unakichaaaa Cha mbwaaaas
@jamhurramadhan37073 жыл бұрын
Hiyo nihadis yk tukiruhusu kila moja aimuliye majaribu aliyo pitia sijuw na atakuwa rais mana kila moja atakua na matatizo makubwa zaid
@yusufuvea53113 жыл бұрын
Sera hamna kila siku risasi risasi,,, mmekwisha nyie
@deodatusideostusi6273 жыл бұрын
Baba I
@hassannanji35643 жыл бұрын
Leteni sera sio kila siku kuhubiria kupingwa risasi.hizi stori zinachosha.You think you are going to win election by using this agenda.it's nonsense.absurd.I believe JPM will emerge winner by 85 percent of votes before 10.00 am
@abdulrahmansalim97733 жыл бұрын
Magufuli anatuletea upumbavu was kitoto lazima aondoke. Kwa kutuletea vitendo vya kihuni akili zake taahira kutumia shooting act no good
@yusufuvea5311
3 жыл бұрын
Utaondoka ww na mamazako Magufuli ndiye wa Tz maumbwa nyie
@katwigayona8041
3 жыл бұрын
Eti aondoke ,,wewe ni kagonjwa ka akili
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
yusufu vea ndy umemaliza hapo.... mjinga mkubwa ww kwani yy nani paka asiondoke huyo magufuli yan amefanya nn toka aingike au kuongeza DENI LA TAIFA KAPA WATT HATUZA ZAA TUNATAKIWA KULIPA
@yusufuvea5311
3 жыл бұрын
@@jevinjacob5439 kwani ww tangu uzaliwe umefanya nn mpaka ulipo unakua kama shoga bhana,, kwani we ni kipofu huoni si aliyoyafanya
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
yusufu vea mashoga wanatambuana aise... mm sijaona kila kitu huwa kina fanywa hvy hvy na marais wote toka uhuru na hata wakoloni walifanya
@mashannapapaaa95826 ай бұрын
Safisana
@denismakono1973 жыл бұрын
Kwan tunaomba history ya maisha yako umekufa au mwanga Sera unishawish lakin najua rais anajulikana in magufuli upo mama
@mohdhassan8763
3 жыл бұрын
wovu wakumwa jiji kazienu mbropa nganda
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
Ww acha kuongea kama mtu unae kosa hoja... kwan hujui nani ndy msema sera saiv wa chama...😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tatizo watu wa sisim sio smart kbs mnafanya mambo kwa mazoea
@KS-iw7qv3 жыл бұрын
Sera sera tunataka......... sio kuomba huruma........
@hijakisoro5376
3 жыл бұрын
Sera na hamani broo kua care
@jedidahbintidaudi8241
3 жыл бұрын
kweli
@johnsonmarick45
3 жыл бұрын
Wewe utampa huruma, au sifa
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
Yan watu wa sisim bhn.. 😂😂😂😂 nyie mizik ndy sera sera..😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mm ww hata siku chekei nakutukan ww ni mjinga na utoke kweny ujinga... au umetuma... sasa kwa taarifa yako hakuna mtu anaongea sera saiv tofauti na MGOMBEA URAIS BASI NA SIO MTU MWNGN FALA WW
@ndogoroedson1992 ай бұрын
Huwa nacheka sana nikiwaona waigizaji kama huyu mama! Ulijichelewesha sana kuolewa na chozi anayepinga kila kitu! Hiv mtawaambukiza na watoto ujinga kama huo mlionao poleni sana!
@subiraabeid5883 жыл бұрын
Pole sana mama lakini lisu kula yangu simpi
@bakariamour6024
3 жыл бұрын
Kwa iyo hutaki kujua habari za risasi daa we kweli ni fisiam
@bensonzabroni1809
3 жыл бұрын
Tunaweza kushinda but kama hatutaeleza lengo la kugombea tutashindwa tunahitaji sera sasa
@husseinkonz51923 жыл бұрын
Ubavu wa risas tunajua sasa mwagen sera story nying za nn
Alijifanya mjanja anajua sheria kumuwekea mwamba pingamizi ya kugombea urais,,, sasa watu wakaona isiwe tabu wakamwaga mbga kabisaa fyekelea mbali wagombea ubnge na madiwani...anatafuta jina kupitia jina la mwamba jpm
@nebartmuyagala95453 жыл бұрын
Historia tulishaisikia tupe sera mama baada yakufikilia kuchukua hii inchi pamoja nakua nindoto ya mchana
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Sura mbaya ya kikulya
@brunomirambi87923 жыл бұрын
What's WOMEN?? _Is way organising men
@kibwanaMAlly3 жыл бұрын
Inahusiana nanin sasa .
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
Kwan ww unatutakia nn... mbn wambea watu wa sisim, hofu yenu mnajua kuwa mnatetea uwovu... labla ni kwambie tu umasikin hauondoki kwa kujifangany sisi wenyw.... sisim imefanya nn kweny hii nchi toka 59 hakuna ambacho tuna jivunia ni kizur sio umeme, barabara, maji na biashara.. usiongee kwa ushabiki mjinga ww
@mwanasaid61773 жыл бұрын
Sasa habari za risasi sisi za nini?
@abdulrahmansalim9773
3 жыл бұрын
Kama baba yako ingelikuwaje . Magufuli hafai akili zake taahira mpumbavu was kuileta mafundisho ya shooting act mjinga mwizi bustard
@mwanasaid6177
3 жыл бұрын
@@abdulrahmansalim9773 mpumbavu mwenyew mbwa wewe habari za magufuli zimekujaje hapa?kwanza unaanzaje kumtukana kiongozi wa nchi? Ww ipo siku mdomo utakuponza
@agustinopaulo3650
3 жыл бұрын
Mweshimiwa lisu umesahau wapi nchi yetu ina rasmali nying sana ikiwemo madini y aina nying,hifadhi ya wanyam, maziwa, na megineo mengi vya kuingiza kipato serikali unashidwa nini kusema kila mtanzania aliyefikishwa umri wa miak18 anastahili kila mwish w mwezi apate fungu fulan y hela kweny hudum y benk ili kila mtanzania a enjoy matunda y nchi yake hii ni sehem moja wapo y kupunguza umaskin nchin kwa asilimia kubwa san
@hassansamo6823
3 жыл бұрын
Jiulize senge ww
@adenadolph19513 жыл бұрын
Magufuli rais asubuhi na mapema kabisa atatangazwa,NGARA CCM NGARA.....JPM 4 ALL 2020
Пікірлер: 100
Mama wa kazi uko vizuri wewe ni mke mwema Mungu akupe moyo huohuo wa hekima sisi hatuwaachi .tunakwenda na lisu tutamaliza na lisu
Mwanamke jasiri sana ww, nakupenda sana first lady! Unaosha!
Wapo wanaombeza Lissu,but if not today..it's tomorrow!..he must be the greatest leader!
@madukaj.j.6999
3 жыл бұрын
Hapo ndo mwisho Mkubwa.
@messiasulleydidy2585
3 жыл бұрын
For sure
@jedidahbintidaudi8241
3 жыл бұрын
and eloquent too, but not sure if he will take over this country
Yaani huyu mama kaongea kwa hisia sana na anaumia sana pole sana mama kwani hakuna mwanadam yeyote yule ambaye anaweza maumivu haya ila tumuachie MUNGU ndio ambaye atahukumu eee MWENZI MUNGU NAOMBA MWISHO MWEMA NISIJE NIKAWA MIONGONI MWA WATU WABAYA🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙏🏻
@user-do5by8jl6g
5 ай бұрын
Mungu mi mwamifu hakika hamtagarikishwa mungu atawalinfa
Mamma yetu wa Tz aliye tuuguzia kipenzi chetu Mhe Tundu Lisu Mungu akupe baraka zaid kwa mahaba makubwa zaid juu ya Rais wetu Mhe Tundu Lisu ❤❤❤❤❤
Pole Malkia wa Tanzania,Umepambana Sana,hakika unafaa kuwa Malkia na ninaamini,Utamshauri vizuri Mfalme!!!!?
@ndogoroedson199
2 ай бұрын
Malikia gan au malkia wa manyumbu? Hahahaaaaa keeeenge
@ULUMBIADAM
Ай бұрын
K,wewe
Jina la Yesu lilimuokoa mmeo nawashauri mpokeeni Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu tulimuombea mweshimiwa poleni Yesu yuko kazini tuliomba kuokoka ni vizuri mpeni YESU maisha yeni mama pole poleni sana
Tunaomba mola lissu afanikiwe insha allah
Unatetea wanyonge saf kabisa
Asante sana First Lady wetu
@dorahy1579
3 жыл бұрын
Mnajua mlichokoza boss wenu. Mnataka Italia kwa kufanya ujanja ujanja muonewe huruma na mambo yote mlipanga wenyewe. Mnadanganya bongo lala siyo werevu. Mnajuliakana mipango yenu. Tamaa bin Tamaa
@simonfundi3609
3 жыл бұрын
Dorah Y huruma za Mungu zinatutosha hatuitaji izo za maccm
She a real strong 💪 woman💃👩, Much blessing to you mom.
It wasn’t easy.... it’s not easy ..... we still have long way to go but there is a hope . Through the cloudy ⛅️ I can see an open window ... penye nia pana NJIA ....watching & following you from the 🇺🇸 But Tanzania 🇹🇿 is my home
Duu mungu yupo msjaribu ni sehemu ya binadamu waliofanya haya mungu anawaona
Hongera sana my wifi love u.
Mungu.akutie.nguvu.mama.endelea.kua.hivyo.
Rais wetu lissu 🙏 umeshapita
@katwigayona8041
3 жыл бұрын
Dua za kuku
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
Katwiga Yona kwan ww nani.. paka uone ina shindikan... mbn mlimuombea afe lkn ni mzima wa afya... nyie wajinga tu tutawaonyesha
It's painful hongera sana mama we shujaaa
Mara pah'Antipasu ikulu ....yaan kuna watu sijui wataenda kuishi nchi ipi maan mzik wake hapatosh ...
@izackhongoli4017
3 жыл бұрын
apo ukubali ukatae akipta lisu nakuingia ikulu vita inaanza amini nakwambia
@joramkimario2666
3 жыл бұрын
We endelea kuota na otakaaposhwa ukiamka ukafungue milango ya ikulu
Pole sana na familia yako mama
Madam Lissu,we love you.Pole sana.
Poleni sana
Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya - Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___ 1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea. 2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani. Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ? Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani? 3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ? 4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ? Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi? 5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .? kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi. Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao? Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu. 6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi? 7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini? 8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ? 9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu? 10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ? Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi. 11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.? Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani? KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO. BWANA YESU ASIFIWE ! CCM OYEEE !!
Dah pole Kwa Yaliyo kukuta
Mama usiwashukuru watu,mshukuru Mungu aliemshindia na kumuepusha na kifo
Aliyempiga risasi ipo siku. Mungu ni mwema na muadilifu, hasahau, hali, hanywi, anampururia. Ipo siku yake
Pole sana
Wapinzani hasa chadema na Act kama mtawachekea hii Tume ya ccm watawatesa sana lakini ngumi jiwe ndo itaondoa huu upumbavu ya mungu mtu
Mwenyezi Mungu atalipa kwa yote aliyofanyiwa kiumbe chake tundu lisu tunaamini ivyo
Inauma sana Kwa binadamu kumfanya mwenzako kama mnyama wa polini mungu atawalipa Kwa yote
♥
Lakini amesema ubavu wangu , kwani nisawa kweli nani hapo ndie ubavu wa mwenzake kati ya lisu na mkewe?
Inasikitisha
Mkulya sura mbaya shapeless
Mmmmh, nao wanalia hawana wa kulilia
Mnafiki kama mumeo hats ubalozi was nyumba kumi hapati
Chadema Tunaomba SERA JAMANI
@mcjogopah8513
3 жыл бұрын
Kwani Lazima, uje huku ambako hakuna Sera? Au wewe ndie wale wasiojulikana?
@drtobias_
3 жыл бұрын
@@mcjogopah8513 ndugu yangu tusigombane ,sijasema hivyo kwa Nia mbaya,Hii Ni hamu tu ya kumwona Lissu akiwa IKULU
@zacijoe3772
3 жыл бұрын
Mbona Lisu kamwaga sera au umekuwa kipofu
Wewe ni kamanda, wewe ni malkia wa nguvu
WEWE MBONA UNAUSO KAMA UNA PULIZA MOTO ALIPIGWA RISASI KWA SABABU YA KUTAKA KUTU SHAWI TUOWANE WANA UME KWA WANAUME NA WANAWAKE 2 KAMA NA WEWE NI MOJA WAO BASI MTAKAASANA BASI TAFUTE KAZI NYINGINE ZA KUFANYA AO NJOONI HUKU MIRERENI TUCHIMBE MADINI BLOCK C ASANTE SANA FATA USHAURI WANGU
RIP LISSU
Tutamuomba magufuli ampe kazi mumeo ili na ww upate utulivu maana unaonekana mumeo anakutesa sana
@zainabuselemani6709
3 жыл бұрын
akil huna kwan maguful ni mung
@agnesskisima8214
3 жыл бұрын
Unakichaaaa Cha mbwaaaas
Hiyo nihadis yk tukiruhusu kila moja aimuliye majaribu aliyo pitia sijuw na atakuwa rais mana kila moja atakua na matatizo makubwa zaid
Sera hamna kila siku risasi risasi,,, mmekwisha nyie
Baba I
Leteni sera sio kila siku kuhubiria kupingwa risasi.hizi stori zinachosha.You think you are going to win election by using this agenda.it's nonsense.absurd.I believe JPM will emerge winner by 85 percent of votes before 10.00 am
Magufuli anatuletea upumbavu was kitoto lazima aondoke. Kwa kutuletea vitendo vya kihuni akili zake taahira kutumia shooting act no good
@yusufuvea5311
3 жыл бұрын
Utaondoka ww na mamazako Magufuli ndiye wa Tz maumbwa nyie
@katwigayona8041
3 жыл бұрын
Eti aondoke ,,wewe ni kagonjwa ka akili
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
yusufu vea ndy umemaliza hapo.... mjinga mkubwa ww kwani yy nani paka asiondoke huyo magufuli yan amefanya nn toka aingike au kuongeza DENI LA TAIFA KAPA WATT HATUZA ZAA TUNATAKIWA KULIPA
@yusufuvea5311
3 жыл бұрын
@@jevinjacob5439 kwani ww tangu uzaliwe umefanya nn mpaka ulipo unakua kama shoga bhana,, kwani we ni kipofu huoni si aliyoyafanya
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
yusufu vea mashoga wanatambuana aise... mm sijaona kila kitu huwa kina fanywa hvy hvy na marais wote toka uhuru na hata wakoloni walifanya
Safisana
Kwan tunaomba history ya maisha yako umekufa au mwanga Sera unishawish lakin najua rais anajulikana in magufuli upo mama
@mohdhassan8763
3 жыл бұрын
wovu wakumwa jiji kazienu mbropa nganda
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
Ww acha kuongea kama mtu unae kosa hoja... kwan hujui nani ndy msema sera saiv wa chama...😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tatizo watu wa sisim sio smart kbs mnafanya mambo kwa mazoea
Sera sera tunataka......... sio kuomba huruma........
@hijakisoro5376
3 жыл бұрын
Sera na hamani broo kua care
@jedidahbintidaudi8241
3 жыл бұрын
kweli
@johnsonmarick45
3 жыл бұрын
Wewe utampa huruma, au sifa
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
Yan watu wa sisim bhn.. 😂😂😂😂 nyie mizik ndy sera sera..😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mm ww hata siku chekei nakutukan ww ni mjinga na utoke kweny ujinga... au umetuma... sasa kwa taarifa yako hakuna mtu anaongea sera saiv tofauti na MGOMBEA URAIS BASI NA SIO MTU MWNGN FALA WW
Huwa nacheka sana nikiwaona waigizaji kama huyu mama! Ulijichelewesha sana kuolewa na chozi anayepinga kila kitu! Hiv mtawaambukiza na watoto ujinga kama huo mlionao poleni sana!
Pole sana mama lakini lisu kula yangu simpi
@bakariamour6024
3 жыл бұрын
Kwa iyo hutaki kujua habari za risasi daa we kweli ni fisiam
@bensonzabroni1809
3 жыл бұрын
Tunaweza kushinda but kama hatutaeleza lengo la kugombea tutashindwa tunahitaji sera sasa
Ubavu wa risas tunajua sasa mwagen sera story nying za nn
@bakariamour6024
3 жыл бұрын
Ata kupigwa risasi pia ni sera tena kubwa
SIMLIJIFANYA MTAANDAMANA KUDAI HAKI ZENU KUTEULIWA WALIOFYEKWA NDIPO MUANZE KAMPENI !!!!MBONA HAMUANDAMANIIIIIII??????
@gizakazeno1688
3 жыл бұрын
Alijifanya mjanja anajua sheria kumuwekea mwamba pingamizi ya kugombea urais,,, sasa watu wakaona isiwe tabu wakamwaga mbga kabisaa fyekelea mbali wagombea ubnge na madiwani...anatafuta jina kupitia jina la mwamba jpm
Historia tulishaisikia tupe sera mama baada yakufikilia kuchukua hii inchi pamoja nakua nindoto ya mchana
Sura mbaya ya kikulya
What's WOMEN?? _Is way organising men
Inahusiana nanin sasa .
@jevinjacob5439
3 жыл бұрын
Kwan ww unatutakia nn... mbn wambea watu wa sisim, hofu yenu mnajua kuwa mnatetea uwovu... labla ni kwambie tu umasikin hauondoki kwa kujifangany sisi wenyw.... sisim imefanya nn kweny hii nchi toka 59 hakuna ambacho tuna jivunia ni kizur sio umeme, barabara, maji na biashara.. usiongee kwa ushabiki mjinga ww
Sasa habari za risasi sisi za nini?
@abdulrahmansalim9773
3 жыл бұрын
Kama baba yako ingelikuwaje . Magufuli hafai akili zake taahira mpumbavu was kuileta mafundisho ya shooting act mjinga mwizi bustard
@mwanasaid6177
3 жыл бұрын
@@abdulrahmansalim9773 mpumbavu mwenyew mbwa wewe habari za magufuli zimekujaje hapa?kwanza unaanzaje kumtukana kiongozi wa nchi? Ww ipo siku mdomo utakuponza
@agustinopaulo3650
3 жыл бұрын
Mweshimiwa lisu umesahau wapi nchi yetu ina rasmali nying sana ikiwemo madini y aina nying,hifadhi ya wanyam, maziwa, na megineo mengi vya kuingiza kipato serikali unashidwa nini kusema kila mtanzania aliyefikishwa umri wa miak18 anastahili kila mwish w mwezi apate fungu fulan y hela kweny hudum y benk ili kila mtanzania a enjoy matunda y nchi yake hii ni sehem moja wapo y kupunguza umaskin nchin kwa asilimia kubwa san
@hassansamo6823
3 жыл бұрын
Jiulize senge ww
Magufuli rais asubuhi na mapema kabisa atatangazwa,NGARA CCM NGARA.....JPM 4 ALL 2020
@masala8099
3 жыл бұрын
Masnichi Kama ww mtaumbuka tu
@festolukumay1217
3 жыл бұрын
ngara ndio nini