Joramu Nkumbi - TBC - Mlumbi Atondoa Utondozi, Ndani ya TBC Taifa- JAMBO TANZANIA
JAHAZI LA LUGHA LINAKWENDA UBENIBENI
Жүктеу.....
Пікірлер: 22
@benmbwele Жыл бұрын
Jitihada za kutokomeza kiswahili kasuku, kiswahili Shelabela zinahitaji utondozi wa mara kwa mara kwa usimamizi wa walumbi. Hakika kiswahili sanifu na mufti kinaleta chata na tandwa zilizojaa tabasamu taanusi.
@EmmanuelBass-jr4nl2 ай бұрын
God bless you bro
@ronaldissack4955 Жыл бұрын
Mwalimu Joram nakukubali Sana,nipe bei ya kila kitabu naweza mwakani jalali akijalia nami nipate kimoja nikuze ulumbi
@mawandayalughatv10 ай бұрын
Joram you are a powerful speaker. Keep on.
@wazambulitv57357 ай бұрын
Morning Greetings/Salam ya Asubuhi 😃💯 Chewa nana (Good morning madam) Chewa Nina (Good morning mom) Waambaaje? (How are you) Answer/itikio la salam Chewa (Fine) Sina la kuambaa/Salama (Fine thank you)
@kabhikachambala3392 Жыл бұрын
Safiiiiiiiiiii.... Mungu awe nasi wakati wote. Kiswahili ni lugha muhimu sana.
@joramunkumbi Жыл бұрын
TAANUSI = a kupendeza
@FurahiniJM Жыл бұрын
Joram una burudan sana 😄🤣😂😆 thanks
@PaulNgusa Жыл бұрын
Safiiii brooo
@mohamedkondo-tq2bm Жыл бұрын
Sheria bela.mimi napenda niwe Mlumbi mdogo wa kiswahili.
@abdulrazakabduljalil6647 ай бұрын
I want to learn Kiswahili from Nkumbi.
@mohamedkondo-tq2bm Жыл бұрын
Huyu jamaa namkubali sana kwa udondozi wake
@soundmale Жыл бұрын
Kumbe diamond alitumia kiswahili fasaha ..nana
@thomaskiponda6079 Жыл бұрын
ASANTE JORAM. MTAALAM.
@petermakondo109 Жыл бұрын
Hii ni hazina kwa Taifa. Serikali inapaswa kuitumia katika kukuza lugha yetu ya Kiswahili
@joramunkumbi Жыл бұрын
KUZA MLUMBI
@jeremyleakingpen1565
Жыл бұрын
Naeneza kiswahili hapa Kenya,
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Kama Nana wangu
@elishaen332810 ай бұрын
hakika nimekutana Mlumbi, wewe
@georgemassebu208310 ай бұрын
Serikali inatakiwa kua inanasa mapema vijana kama hawa na kuhakikisha hawapotei na kuchukua mawazo yao dhidi ya anacho kijua wakifanyie kazi, kitaifa na kimataifa
Пікірлер: 22
Jitihada za kutokomeza kiswahili kasuku, kiswahili Shelabela zinahitaji utondozi wa mara kwa mara kwa usimamizi wa walumbi. Hakika kiswahili sanifu na mufti kinaleta chata na tandwa zilizojaa tabasamu taanusi.
God bless you bro
Mwalimu Joram nakukubali Sana,nipe bei ya kila kitabu naweza mwakani jalali akijalia nami nipate kimoja nikuze ulumbi
Joram you are a powerful speaker. Keep on.
Morning Greetings/Salam ya Asubuhi 😃💯 Chewa nana (Good morning madam) Chewa Nina (Good morning mom) Waambaaje? (How are you) Answer/itikio la salam Chewa (Fine) Sina la kuambaa/Salama (Fine thank you)
Safiiiiiiiiiii.... Mungu awe nasi wakati wote. Kiswahili ni lugha muhimu sana.
TAANUSI = a kupendeza
Joram una burudan sana 😄🤣😂😆 thanks
Safiiii brooo
Sheria bela.mimi napenda niwe Mlumbi mdogo wa kiswahili.
I want to learn Kiswahili from Nkumbi.
Huyu jamaa namkubali sana kwa udondozi wake
Kumbe diamond alitumia kiswahili fasaha ..nana
ASANTE JORAM. MTAALAM.
Hii ni hazina kwa Taifa. Serikali inapaswa kuitumia katika kukuza lugha yetu ya Kiswahili
KUZA MLUMBI
@jeremyleakingpen1565
Жыл бұрын
Naeneza kiswahili hapa Kenya,
Kama Nana wangu
hakika nimekutana Mlumbi, wewe
Serikali inatakiwa kua inanasa mapema vijana kama hawa na kuhakikisha hawapotei na kuchukua mawazo yao dhidi ya anacho kijua wakifanyie kazi, kitaifa na kimataifa
🤣🤣🤣🤣