Joramu Nkumbi - TBC - Mlumbi Atondoa Utondozi, Ndani ya TBC Taifa- JAMBO TANZANIA

JAHAZI LA LUGHA LINAKWENDA UBENIBENI

Пікірлер: 22

  • @benmbwele
    @benmbwele Жыл бұрын

    Jitihada za kutokomeza kiswahili kasuku, kiswahili Shelabela zinahitaji utondozi wa mara kwa mara kwa usimamizi wa walumbi. Hakika kiswahili sanifu na mufti kinaleta chata na tandwa zilizojaa tabasamu taanusi.

  • @EmmanuelBass-jr4nl
    @EmmanuelBass-jr4nl2 ай бұрын

    God bless you bro

  • @ronaldissack4955
    @ronaldissack4955 Жыл бұрын

    Mwalimu Joram nakukubali Sana,nipe bei ya kila kitabu naweza mwakani jalali akijalia nami nipate kimoja nikuze ulumbi

  • @mawandayalughatv
    @mawandayalughatv10 ай бұрын

    Joram you are a powerful speaker. Keep on.

  • @wazambulitv5735
    @wazambulitv57357 ай бұрын

    Morning Greetings/Salam ya Asubuhi 😃💯 Chewa nana (Good morning madam) Chewa Nina (Good morning mom) Waambaaje? (How are you) Answer/itikio la salam Chewa (Fine) Sina la kuambaa/Salama (Fine thank you)

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Жыл бұрын

    Safiiiiiiiiiii.... Mungu awe nasi wakati wote. Kiswahili ni lugha muhimu sana.

  • @joramunkumbi
    @joramunkumbi Жыл бұрын

    TAANUSI = a kupendeza

  • @FurahiniJM
    @FurahiniJM Жыл бұрын

    Joram una burudan sana 😄🤣😂😆 thanks

  • @PaulNgusa
    @PaulNgusa Жыл бұрын

    Safiiii brooo

  • @mohamedkondo-tq2bm
    @mohamedkondo-tq2bm Жыл бұрын

    Sheria bela.mimi napenda niwe Mlumbi mdogo wa kiswahili.

  • @abdulrazakabduljalil664
    @abdulrazakabduljalil6647 ай бұрын

    I want to learn Kiswahili from Nkumbi.

  • @mohamedkondo-tq2bm
    @mohamedkondo-tq2bm Жыл бұрын

    Huyu jamaa namkubali sana kwa udondozi wake

  • @soundmale
    @soundmale Жыл бұрын

    Kumbe diamond alitumia kiswahili fasaha ..nana

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Жыл бұрын

    ASANTE JORAM. MTAALAM.

  • @petermakondo109
    @petermakondo109 Жыл бұрын

    Hii ni hazina kwa Taifa. Serikali inapaswa kuitumia katika kukuza lugha yetu ya Kiswahili

  • @joramunkumbi
    @joramunkumbi Жыл бұрын

    KUZA MLUMBI

  • @jeremyleakingpen1565

    @jeremyleakingpen1565

    Жыл бұрын

    Naeneza kiswahili hapa Kenya,

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 Жыл бұрын

    Kama Nana wangu

  • @elishaen3328
    @elishaen332810 ай бұрын

    hakika nimekutana Mlumbi, wewe

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu208310 ай бұрын

    Serikali inatakiwa kua inanasa mapema vijana kama hawa na kuhakikisha hawapotei na kuchukua mawazo yao dhidi ya anacho kijua wakifanyie kazi, kitaifa na kimataifa

  • @geofreyyohance9085
    @geofreyyohance9085 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @allymbaruku3868
    @allymbaruku3868 Жыл бұрын

Келесі